CHUMVI ,CHANZO CHA MAGONJWA YASIOAMBUKIZWA .PROF JANABI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Matumizi ya Chumvi yaliyopitiliza kwa kuzidisha kiwango kinachoshauriwa, yametajwa kuwa sababu kuu ya magonjwa yasiyoambukiza kwa wakazi wa Arusha ikiwemo shinikizo la juu la damu, kiharusi na magonjwa ya moyo.
    Kauli hiyo imetolewa na Daktari bingwa wa moyo na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Janabi, alipokuwa akizungumza na wanahabari kwenye kambi ya Madaktari bingwa na wabobezi inayoendelea kwenye Mkoa wa Arusha leo Alhamisi Juni 27, 2024

Комментарии •