Mkiact halafu mkiingiza na mambo ya kiisilam basi ni bora muwaulize masheikh! Kitanda hakizai haram lkn mnakosea kusema ati muishi na musahau yaliopita kwa kua tu ati wazee mlikosana na mkaishi nakuzikana. Zinaa ya ndani ya ndoa m’ke haruhusiki hata kukaa eda namna Allah anavyoichukia zaidi.
Mama kama dini inasema ivo kwq nini mtt akizaliwq nje ya ndowa akiolewq huo zeshwa na wajomba yani kwa mama?na akifa huzikwa umamani? Na huwa hamrisi huyo baba wa ndowa?watu wa dini mashekh hem tuekeni sawa hapa kweli hakuna upotoshaji kwa huyu bibi?😢
Mashaallah Mashaallah filamu nimeipenda sana hii. Inamafunzo tosha katika jamii zinazotuzungusha shukurani sana. Ahamd. Shiringi
😂😂..swadakta
Nice movie ❤❤❤
Congrats mama mukwe uko na hekma sana ya kutatua matatizo, hongera sana
Asante kwa mafundishoyenu mzr nimejifunza kitu kwa kweli
Hongera maiko wa shilingi kwa kazi njema kusamehe ni jambo nzuri nimejifunza kitu hapa
Movie nzr mno asanteni kwa funzo pia ❤more love 😘
Mama wakwe kama hawa wako wapii🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hongera mama
Jamani tuandamane kwa ajili ya shilingi 😢pengine tutasaidika roma,tupostie plzplz
Duhuu ni kweli shilingi inatumis sana mimi siko tayari kwakufata filam yoyote ile kabla sija malizia shilingi
Jaman chezea kila kitu so mke wa mtu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wah movie zuri kweli ikona mafunzo mazuri❤❤❤❤
fatilia chanel yetu ya KING MEDIA TZ MIENDELEZO UTAPATA HAPA na full movie za wasanii wa shiling 👍👍👌👌😎😎✔✔🙌🙌❤❤❤❤❤❤
OG nembo wa mtaa from Kenye Micheal is my legend rejesha shilingi
Umeniliza latifa and hemed😢😢😢😢😢😢😢😢 movie nzr sana imetufunza
Mama n mqaarm kwel manshallah ❤❤❤ila ss wanawake pia tuache kusaliti ndoa zetu
Tunataka shillingi, tunataka shilingi, tunataka, shilingi 🚶♀️🚶🚶♀️🚶💔💔😡😡😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪
Tunataka shilingi ama tuandamane kama raila 😢😢😢😢😢😢😢😢
Apo n sawa
Maandamano yameanza ya shilingi🚶♀️🏃♂️🏃♀️🕺💃👯♂️🚶♂️🚶♀️🏃♂️🏃♀️🕺💃🚶♂️👩⚖️👨⚖️👨🏭👩🔧👩🍳👩🌾
💔💔💔💔💔🇧🇮😭😭😭
Tunataka shilingi tunataka shilingi tunataka shilingi😢😢😢😢😢😢
Tunawakubali sana ila tumalizie shilingi pliz.7stian kenya❤
Akika filamo nizuri ila tunaka mutumalizie shilingui Kwanza mana tuna Hamo yakumaliza here from Mozambique ❤️❤️❤️💖💖💖
Michel kaz nzur san part2 plz ❤❤❤❤
Latifa ww unamakosa kbs yn penzi ndio uvunje ndoa yako Pole Medi😥😥😥😥😥😥
Mke hakua tayari na ndoa maanake kadanganywa
Sio ya leo hii move ni ya mdaaaaaa Sana niliangalia wakat npo zenj kabla haijaja shilingi jmn shilingi ipo wapii😢😢😢😢😢😢
Washaafel hawa drama kibao
Kama haulete shilingi sisi hatufate movie zenyu kwetu congo
👍👍👍
Nanyie wanawake muwe na hakili Kuna muda mnawachosha waume zenu ko umiolewa jieshimu ,,tamaaa ndo mbaya Sana huleta ushetan
Maïko tuna taka SHILINGI iendele hapa Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nimependa sana❤❤❤❤
Kwel nmeamini wanawake ni wadhaifu yaani latifa ashaakubali kumsaliti mumewe
Mashallah movie nzuri ❤❤❤
Tunaitaka shingui kwa hamo sana bwana rusheni kamba ipo tunasubilia
Michael umecheza vizuri sana basi utoe zingine❤❤❤❤❤❤
Nzuri sana, ila sio wanaume wengi wanaeza kukudhamini tena
Mkiact halafu mkiingiza na mambo ya kiisilam basi ni bora muwaulize masheikh! Kitanda hakizai haram lkn mnakosea kusema ati muishi na musahau yaliopita kwa kua tu ati wazee mlikosana na mkaishi nakuzikana. Zinaa ya ndani ya ndoa m’ke haruhusiki hata kukaa eda namna Allah anavyoichukia zaidi.
Big up sana ndugu zangu mafunzo mazuri sana munatufundisha❤🇧🇮🇸🇦
Nimeipenda sana❤❤❤
Good message mother
Meddy love your part such Amazing, Amazing movie great lesson learnt keep up the good work ❤️❤️❤️ love watching
Msipoendeleza shilingi sisi wakenya hatuangalii tena movie zenu
Hiyo beat n poa sana
Kaz mzur imefundisha Sana
❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢 ongereni sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote
Napenda move za Michel
Hata mimi ningempa talaka mana angeyakuta yaliyomo yamo ktk mechi alocheza inamana ndo angekuwa mchipuko wake daima dawamu
Kwani shilingi imeisha unajua unapoteza mashabiki ukitumana movie naiishe ndo uweke nyingine
Wakisifiwa tu. Baaas wanaharibu
Mumeambiwa msubili itakuja kwahyo kama shilingi haipo watu ndo wasifanye mambo mengine nyie vipi
uyu Michael kumbe ni mjinga kistep ,
Na pengine kwa shoo angepewq ange
Msaliti mume zaidi
Huyu jamaa anajuwa sana ❤❤❤
Tunataka shilingi sisi
Hapo hakuna mapenzi hiv kufanyiwa had mimba mchezo 😢😢ushauri huo citaki labda nicjuwe
Daah linafuza huna mbambambaaaa ❤❤❤
Kwaiyo karim mmmemuacha tu 😅😅 aendelee kualibu ndoa zingine😂😂 angepewa hata kishipaa
Mwenzenu ninakazi yakutafuta mwendelezo kumbe imeisha 😂😂😂 acha tuu niangalie hoi apa
Tupo wengi tunaitafuta
Hatuna hamu ya iZi muvi zenu tunataka shilling
hii movie ya mwaka gani naona lukman ni mdogo sana
Jaman mm sinaaman shilingi nahitaji
Haifundishi maadili zaidi ya udayuuth mtupu
Funzo Zuri Sana Kwa Jamii,
Mshaanza kutuletea drama tena tunaitaji shilingi
😂😂 leta shilingi dj wetu unatuangusha
@@queenofireland898 dj anatuzingua
😂😂😂
Shilingi imeenda ile
😂😂😂😂😂😂😂
Mshaafeli tayar hamna jipya tena
Tunataka shilingi nn hii mana leta toeni shilingi ata zigke episode lakn lakn sio izo
Tunataka shilingi bhana
Tunataka Shilling 😢😢😢😢😢😢😢
Karim wewe ulitaka mzigo sasa chukuwa mzigo peleka kwako ndo uendeleye na ubezema wako
Mwi show 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Jamani shilling shilling shilling
Msipo leta shilingi siangaliii tena muvi ya mtu yeyote anae usika kwenye shiling
😅😅😅
😂😂😂 sema ukweli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂punguza hasira
Mambo mwayafanya mengi mbona msitumalizie shilingi kwanza jamani
Shilingi ishapotea tena
Leta shillingi Duuh
Yaani nikweli shilingi ndo filamu tamu teeni shilingi jamani mbona mnatuumiza mioyo
ningependa kujua,je nialali jamaa kuendelea kushiriki tendo la ndoa nae
Nawatuambie kma shillingi imeisha ama vp
Jama shilingi ndio furaha yetu
Hemedi usikatishwe tamaa mvi tamu sana koment zisikuvunjishe moyo
Vipi tena shilingi
Sisi tunataka shilingi Bana mbona munatuacha n'a machozi tunatamaani kuona maicko akipona tuome David akia n'a furaha aki plz tuleteye shilingi
Asante movie inamafuzo
Mama kama dini inasema ivo kwq nini mtt akizaliwq nje ya ndowa akiolewq huo zeshwa na wajomba yani kwa mama?na akifa huzikwa umamani? Na huwa hamrisi huyo baba wa ndowa?watu wa dini mashekh hem tuekeni sawa hapa kweli hakuna upotoshaji kwa huyu bibi?😢
Ni upotoshaji mchana kweupe peeee hapo hkuna dini labda dini ya mashia au mabanyani
Sauti yako iko vzr bro
Mnazinguwa hii chanell tuleten shilling kwanz tumalizn nayo tumeimis San
Daah inataka moyo sana
Pole michael wa shilingi ndo hali ya ndoa ina misuko misuko
Hemedi anajua anajua tena
Huku wapi tena shillingi haijaisha mwatuletea nyingine loh hebu njoo kule utumalizie ndio mambo mengine yaendelee
Lakini Latinas unamlaumu bure Rose ila ni kosa lako mwenyewe zakuqmbiwq changing na zako
Hyu mschana Hana mana kbcaaa aliokutuma nnani utembee n Karim mwanakulitafuta mwanakulipata
Mama Dini haijasema ivo kitanda hakizai haram sio kweli
Tupo wachache tunao Tak shilingi
Shilingi jamaniiii😂❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉ikowap?
Shiling mshainunua mihogo
Minaona Dj kama ameishiwa
Shida so dj walio igiza ndo wameishia hapo si ilikuwa inalushwa sinema zetu ndo ilipo ishia mpaka wakashuti tena mwaka 2047
Tunaka shilingi
Jaman shilingi mambo gan hayoo 😢
Mbona huyu mke hajielewi kias kikubwa kama hichi? Shenz
Bonge la move
Nahadiya namimi nashangaa
Kaka wa shilingi❤❤❤❤❤❤❤
Mpaka mda gani brother shilingi
Mpaka mda gani brother shilingi
Tutaacha kuyangalia haya maana move zenu hazifiki mwishoo shilingi umeishia njiani
Hapo patamu shilingi imezima mbona hivyo
Tumalizieni shilingi kwanza 😢😢😢😢
Tuleteeni shilingi
Tunataka shilingi jmn