MAKOSA YA NDOA [ FULL MOVIE ][ MICHAEL WA SHILINGI 🙌😢😢😢👌💕❤❤❤❤❤❤💕💖🤳

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 191

  • @AminaMohammed-u5u
    @AminaMohammed-u5u Год назад +5

    Mashaallah Mashaallah filamu nimeipenda sana hii. Inamafunzo tosha katika jamii zinazotuzungusha shukurani sana. Ahamd. Shiringi

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y 2 дня назад

    Congrats mama mukwe uko na hekma sana ya kutatua matatizo, hongera sana

  • @bintimarkan5898
    @bintimarkan5898 Год назад +1

    Asante kwa mafundishoyenu mzr nimejifunza kitu kwa kweli

  • @shanyabuzefa5855
    @shanyabuzefa5855 Год назад +1

    Hongera maiko wa shilingi kwa kazi njema kusamehe ni jambo nzuri nimejifunza kitu hapa

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl Год назад +3

    Movie nzr mno asanteni kwa funzo pia ❤more love 😘

  • @elinakithi6978
    @elinakithi6978 7 дней назад

    Mama wakwe kama hawa wako wapii🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hongera mama

  • @fatuma46ramadhan18
    @fatuma46ramadhan18 Год назад +2

    Jamani tuandamane kwa ajili ya shilingi 😢pengine tutasaidika roma,tupostie plzplz

  • @FzoneMwandi
    @FzoneMwandi Год назад

    Duhuu ni kweli shilingi inatumis sana mimi siko tayari kwakufata filam yoyote ile kabla sija malizia shilingi

  • @GilberthRajabu
    @GilberthRajabu Год назад +2

    Jaman chezea kila kitu so mke wa mtu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MunyaoJulius
    @MunyaoJulius Год назад +2

    Wah movie zuri kweli ikona mafunzo mazuri❤❤❤❤

  • @kingmediatz5243
    @kingmediatz5243  Год назад

    fatilia chanel yetu ya KING MEDIA TZ MIENDELEZO UTAPATA HAPA na full movie za wasanii wa shiling 👍👍👌👌😎😎✔✔🙌🙌❤❤❤❤❤❤

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 Год назад +1

    OG nembo wa mtaa from Kenye Micheal is my legend rejesha shilingi

  • @latifabrayt7509
    @latifabrayt7509 Год назад +2

    Umeniliza latifa and hemed😢😢😢😢😢😢😢😢 movie nzr sana imetufunza

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز Год назад

    Mama n mqaarm kwel manshallah ❤❤❤ila ss wanawake pia tuache kusaliti ndoa zetu

  • @thefirstlane5236
    @thefirstlane5236 Год назад +12

    Tunataka shillingi, tunataka shilingi, tunataka, shilingi 🚶‍♀️🚶🚶‍♀️🚶💔💔😡😡😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪

    • @AnnWairimu-dq5kf
      @AnnWairimu-dq5kf Год назад +2

      Tunataka shilingi ama tuandamane kama raila 😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @josephegesa7017
      @josephegesa7017 Год назад

      Apo n sawa

    • @AnnWairimu-dq5kf
      @AnnWairimu-dq5kf Год назад

      Maandamano yameanza ya shilingi🚶‍♀️🏃‍♂️🏃‍♀️🕺💃👯‍♂️🚶‍♂️🚶‍♀️🏃‍♂️🏃‍♀️🕺💃🚶‍♂️👩‍⚖️👨‍⚖️👨‍🏭👩‍🔧👩‍🍳👩‍🌾

    • @irakozechantal1669
      @irakozechantal1669 Год назад

      💔💔💔💔💔🇧🇮😭😭😭

    • @jacklineachieng8647
      @jacklineachieng8647 6 месяцев назад

      Tunataka shilingi tunataka shilingi tunataka shilingi😢😢😢😢😢😢

  • @sabastianmusyoka3403
    @sabastianmusyoka3403 Год назад +2

    Tunawakubali sana ila tumalizie shilingi pliz.7stian kenya❤

  • @BwanaMdogo-cq1jh
    @BwanaMdogo-cq1jh Год назад

    Akika filamo nizuri ila tunaka mutumalizie shilingui Kwanza mana tuna Hamo yakumaliza here from Mozambique ❤️❤️❤️💖💖💖

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад +1

    Michel kaz nzur san part2 plz ❤❤❤❤

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Год назад

    Latifa ww unamakosa kbs yn penzi ndio uvunje ndoa yako Pole Medi😥😥😥😥😥😥

  • @jacklinekenyanya9352
    @jacklinekenyanya9352 Год назад +1

    Mke hakua tayari na ndoa maanake kadanganywa

  • @FathyaSalum
    @FathyaSalum Год назад +3

    Sio ya leo hii move ni ya mdaaaaaa Sana niliangalia wakat npo zenj kabla haijaja shilingi jmn shilingi ipo wapii😢😢😢😢😢😢

  • @DieuAshuza
    @DieuAshuza 5 месяцев назад +1

    Kama haulete shilingi sisi hatufate movie zenyu kwetu congo

  • @HOJAMANENO-zj5zr
    @HOJAMANENO-zj5zr Год назад

    Nanyie wanawake muwe na hakili Kuna muda mnawachosha waume zenu ko umiolewa jieshimu ,,tamaaa ndo mbaya Sana huleta ushetan

  • @OnePATCHO
    @OnePATCHO 5 месяцев назад +1

    Maïko tuna taka SHILINGI iendele hapa Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @edinarobert6716
    @edinarobert6716 Год назад +1

    Nimependa sana❤❤❤❤

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y 2 дня назад

    Kwel nmeamini wanawake ni wadhaifu yaani latifa ashaakubali kumsaliti mumewe

  • @SalmaSalma-e8g4k
    @SalmaSalma-e8g4k 5 месяцев назад

    Mashallah movie nzuri ❤❤❤

  • @BwanaMdogo-cq1jh
    @BwanaMdogo-cq1jh Год назад +1

    Tunaitaka shingui kwa hamo sana bwana rusheni kamba ipo tunasubilia

  • @priscakimburi-sl9ml
    @priscakimburi-sl9ml Год назад +1

    Michael umecheza vizuri sana basi utoe zingine❤❤❤❤❤❤

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 Год назад

    Nzuri sana, ila sio wanaume wengi wanaeza kukudhamini tena

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад

    Mkiact halafu mkiingiza na mambo ya kiisilam basi ni bora muwaulize masheikh! Kitanda hakizai haram lkn mnakosea kusema ati muishi na musahau yaliopita kwa kua tu ati wazee mlikosana na mkaishi nakuzikana. Zinaa ya ndani ya ndoa m’ke haruhusiki hata kukaa eda namna Allah anavyoichukia zaidi.

  • @MpunduMariam
    @MpunduMariam Год назад

    Big up sana ndugu zangu mafunzo mazuri sana munatufundisha❤🇧🇮🇸🇦

  • @Smart7-b5e
    @Smart7-b5e Год назад +1

    Nimeipenda sana❤❤❤

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 2 месяца назад

    Good message mother

  • @puritykalasinga371
    @puritykalasinga371 Год назад +2

    Meddy love your part such Amazing, Amazing movie great lesson learnt keep up the good work ❤️❤️❤️ love watching

  • @WilliamBigy
    @WilliamBigy Год назад

    Msipoendeleza shilingi sisi wakenya hatuangalii tena movie zenu

  • @Fumbini_Arts
    @Fumbini_Arts Год назад

    Hiyo beat n poa sana

  • @allybulula9104
    @allybulula9104 Год назад +2

    Kaz mzur imefundisha Sana

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث

    ❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢 ongereni sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 5 месяцев назад

    Napenda move za Michel

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Hata mimi ningempa talaka mana angeyakuta yaliyomo yamo ktk mechi alocheza inamana ndo angekuwa mchipuko wake daima dawamu

  • @mwanaharusichizikalama7790
    @mwanaharusichizikalama7790 Год назад +3

    Kwani shilingi imeisha unajua unapoteza mashabiki ukitumana movie naiishe ndo uweke nyingine

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Год назад +1

      Wakisifiwa tu. Baaas wanaharibu

    • @shakilabakari6928
      @shakilabakari6928 Год назад

      Mumeambiwa msubili itakuja kwahyo kama shilingi haipo watu ndo wasifanye mambo mengine nyie vipi

  • @mahsenali8668
    @mahsenali8668 Год назад

    uyu Michael kumbe ni mjinga kistep ,

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Na pengine kwa shoo angepewq ange
    Msaliti mume zaidi

  • @nasrahassan2260
    @nasrahassan2260 6 месяцев назад

    Huyu jamaa anajuwa sana ❤❤❤

  • @Isayapetro1920
    @Isayapetro1920 Год назад

    Tunataka shilingi sisi

  • @shakilabakari6928
    @shakilabakari6928 Год назад +1

    Hapo hakuna mapenzi hiv kufanyiwa had mimba mchezo 😢😢ushauri huo citaki labda nicjuwe

  • @AgnessAgness-w6s
    @AgnessAgness-w6s Год назад

    Daah linafuza huna mbambambaaaa ❤❤❤

  • @halimaamini8015
    @halimaamini8015 3 месяца назад

    Kwaiyo karim mmmemuacha tu 😅😅 aendelee kualibu ndoa zingine😂😂 angepewa hata kishipaa

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 Год назад +3

    Mwenzenu ninakazi yakutafuta mwendelezo kumbe imeisha 😂😂😂 acha tuu niangalie hoi apa

  • @CharlyKanduki
    @CharlyKanduki Год назад +2

    Hatuna hamu ya iZi muvi zenu tunataka shilling

  • @AbdallaAthaman
    @AbdallaAthaman Год назад

    hii movie ya mwaka gani naona lukman ni mdogo sana

  • @zabibushauri3244
    @zabibushauri3244 Год назад

    Jaman mm sinaaman shilingi nahitaji

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Год назад

    Haifundishi maadili zaidi ya udayuuth mtupu

  • @magrethsarwat103
    @magrethsarwat103 6 месяцев назад

    Funzo Zuri Sana Kwa Jamii,

  • @Mohamedishabani-om8qf
    @Mohamedishabani-om8qf Год назад +14

    Mshaanza kutuletea drama tena tunaitaji shilingi

  • @Mohamedishabani-om8qf
    @Mohamedishabani-om8qf Год назад +2

    Mshaafeli tayar hamna jipya tena

  • @سميةالشرياني
    @سميةالشرياني 4 месяца назад

    Tunataka shilingi nn hii mana leta toeni shilingi ata zigke episode lakn lakn sio izo

  • @سميةالشرياني
    @سميةالشرياني 4 месяца назад

    Tunataka shilingi bhana

  • @Lucy-bn1tz
    @Lucy-bn1tz Год назад +3

    Tunataka Shilling 😢😢😢😢😢😢😢

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 2 месяца назад

    Karim wewe ulitaka mzigo sasa chukuwa mzigo peleka kwako ndo uendeleye na ubezema wako

  • @faridajackson8643
    @faridajackson8643 5 месяцев назад

    Mwi show 🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @FreedahSonga
    @FreedahSonga 4 месяца назад

    Jamani shilling shilling shilling

  • @edisondiokeresy2306
    @edisondiokeresy2306 Год назад +4

    Msipo leta shilingi siangaliii tena muvi ya mtu yeyote anae usika kwenye shiling

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 Год назад +1

    Mambo mwayafanya mengi mbona msitumalizie shilingi kwanza jamani

  • @AbubakarySemkuya
    @AbubakarySemkuya 4 месяца назад

    Shilingi ishapotea tena

  • @ZachariaKoroso
    @ZachariaKoroso 3 месяца назад

    Leta shillingi Duuh

  • @yohanashabani-eq9zm
    @yohanashabani-eq9zm Год назад

    Yaani nikweli shilingi ndo filamu tamu teeni shilingi jamani mbona mnatuumiza mioyo

  • @IssaOmulama
    @IssaOmulama Год назад

    ningependa kujua,je nialali jamaa kuendelea kushiriki tendo la ndoa nae

  • @hamsodady9815
    @hamsodady9815 Год назад +1

    Nawatuambie kma shillingi imeisha ama vp

  • @Asia-vc9em
    @Asia-vc9em Год назад +1

    Jama shilingi ndio furaha yetu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +1

    Hemedi usikatishwe tamaa mvi tamu sana koment zisikuvunjishe moyo

  • @kazungumwiru5170
    @kazungumwiru5170 Год назад

    Vipi tena shilingi

  • @albertinekantungane-yb5oq
    @albertinekantungane-yb5oq Год назад

    Sisi tunataka shilingi Bana mbona munatuacha n'a machozi tunatamaani kuona maicko akipona tuome David akia n'a furaha aki plz tuleteye shilingi

  • @Saadiya-t9r
    @Saadiya-t9r Год назад

    Asante movie inamafuzo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +1

    Mama kama dini inasema ivo kwq nini mtt akizaliwq nje ya ndowa akiolewq huo zeshwa na wajomba yani kwa mama?na akifa huzikwa umamani? Na huwa hamrisi huyo baba wa ndowa?watu wa dini mashekh hem tuekeni sawa hapa kweli hakuna upotoshaji kwa huyu bibi?😢

    • @kenedymlinga5316
      @kenedymlinga5316 11 месяцев назад

      Ni upotoshaji mchana kweupe peeee hapo hkuna dini labda dini ya mashia au mabanyani

  • @PhilomenaKangalawe
    @PhilomenaKangalawe Год назад

    Sauti yako iko vzr bro

  • @hamadabdullah9702
    @hamadabdullah9702 Год назад

    Mnazinguwa hii chanell tuleten shilling kwanz tumalizn nayo tumeimis San

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 Год назад +1

    Daah inataka moyo sana

  • @SarahTsuma-g3r
    @SarahTsuma-g3r Год назад

    Pole michael wa shilingi ndo hali ya ndoa ina misuko misuko

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Hemedi anajua anajua tena

  • @latifamohamed7692
    @latifamohamed7692 Год назад +1

    Huku wapi tena shillingi haijaisha mwatuletea nyingine loh hebu njoo kule utumalizie ndio mambo mengine yaendelee

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Lakini Latinas unamlaumu bure Rose ila ni kosa lako mwenyewe zakuqmbiwq changing na zako

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Год назад

    Hyu mschana Hana mana kbcaaa aliokutuma nnani utembee n Karim mwanakulitafuta mwanakulipata

  • @AminaMshirazi
    @AminaMshirazi 4 месяца назад

    Mama Dini haijasema ivo kitanda hakizai haram sio kweli

  • @Isayapetro1920
    @Isayapetro1920 Год назад

    Tupo wachache tunao Tak shilingi

  • @PurityDida
    @PurityDida Год назад +1

    Shilingi jamaniiii😂❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉ikowap?

  • @سميةالشرياني
    @سميةالشرياني 4 месяца назад

    Shiling mshainunua mihogo

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ Год назад +1

    Minaona Dj kama ameishiwa

    • @mauwabanda2746
      @mauwabanda2746 Год назад

      Shida so dj walio igiza ndo wameishia hapo si ilikuwa inalushwa sinema zetu ndo ilipo ishia mpaka wakashuti tena mwaka 2047

  • @AndersonKazungu-k2f
    @AndersonKazungu-k2f Год назад

    Tunaka shilingi

  • @AgnessAgness-w6s
    @AgnessAgness-w6s Год назад

    Jaman shilingi mambo gan hayoo 😢

  • @alichau3831
    @alichau3831 5 месяцев назад

    Mbona huyu mke hajielewi kias kikubwa kama hichi? Shenz

  • @VailethSanga-h8v
    @VailethSanga-h8v 9 месяцев назад

    Bonge la move

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Nahadiya namimi nashangaa

  • @fatumashehe361
    @fatumashehe361 Год назад +2

    Kaka wa shilingi❤❤❤❤❤❤❤

  • @lilyprince8941
    @lilyprince8941 Год назад +1

    Tutaacha kuyangalia haya maana move zenu hazifiki mwishoo shilingi umeishia njiani

  • @FrancisMwango-tk4no
    @FrancisMwango-tk4no Год назад

    Hapo patamu shilingi imezima mbona hivyo

  • @uwitonzedorcas
    @uwitonzedorcas 5 месяцев назад

    Tumalizieni shilingi kwanza 😢😢😢😢

  • @Asia-vc9em
    @Asia-vc9em Год назад

    Tuleteeni shilingi

  • @dosihamud-rf5ph
    @dosihamud-rf5ph Год назад

    Tunataka shilingi jmn