TAZAMA NDOA YA MTOTO WA TB JOSHUA ILIVYOFUNGWA NCHINI TANZANIA ARUSHA
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- MTOTO WA TB JOSHUA WA NIGERIA AFUNGA NDOA JIJINI ARUSHA SHANGWE LATAWALA KANISANI
Kijana wa Kitanjania Brayan Moshi amefunga ndoa leo jijini Arusha na Mtotot wa Mtumishi wa Mungu Nabii TB Joshua wa Nigeria Sareh katika kanisa Katoliki la Moyo safi wa Bikira Maria lilopo Arusha
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Prophet TB Joshua daughters promise and Heart will marry from Ghana 🙏🙏🙏🙏🙏
All glory be to GOD ALMIGHTY JESUS CHRIST Amen Amen and amen 🙏🏾 I love this may God almighty bless the union in JESUS CHRIST name 🙏🏾♥️❤️
Hiyo ndio heshima kwa mwanaume...No matter wat they are...Wezangu na mimi tungefunga ndoa nnchini kwa mwanamke!!Hawa watu ni watu wa mungu kweli kweli
I am so happy she did not marry from nigeria, their hatred is too much for this family
Our God will always know what to do. May the Lord bless and keep them in Jesus name, Amen.
May our good Lord be with you be blessed,
God is Good!muwahoji ilikuaje kuaje mpaka wamefik hapa?shuhuda zinajenga
Hongera college mate, Brian
Mapenzi yana nguvu sana na yanasafiri popote
❤❤❤❤
Ongereni sanaa,
Ongera sana
Safi Sana
Congrats.
Santee sana arushaaaaa
izi connection zinatoka wap
🤣🤣🤣 Hata me najiuliza. Alianzaje anzaje
Naombeni namba yenu plz
Mmmm
Mama nyoni kwa mbali kuleee nimemwona
Heheeee chezea mapenzi wewe
Wow hongereni sana. So Happy to see mama Evelyn in Tanzania, now Tanzania and Nigeria are spiritually United. The anointing and grace of Prophet TB Joshua will be permanent in all Tanzanians
Fake prophet
Ameen
Pro tip: watch series on Flixzone. Been using it for watching all kinds of movies recently.
@Kannon Brixton yea, I have been using Flixzone for months myself =)
Hatimaye mzee TB Joshuwa tumemsogeza kwetu, mzee umetisha sana.
Why can't you people believe today that prophet TB Joshua is Christ in human form, Things that move you move others doesn't move him, And he is decent and humble, he behaves like Christ himself, Why can't you think about yourself, Did you see any jet or helicopter or president or governor or richest men in the world in that wedding, Did he said the wedding must be in his church,Did he discriminate? Since a great man like this allow this lowest wedding even the poor man cannot do such wedding why are you criticizing this Jesus in human form that is what I called him
Hongeraa ndugu kWa kuoa mtoto wa Nabii good life with her
Tumekufurahia kaka yetu kumleta mtoto wa mtumishi wa Mungu hapa Tanzania tena zaidi Kilimanjaro. Hip Hip hurray
Ni kweli hata Mimi nimefurahi hongereni sana
I tap brain's blessings
Wachaga bana! Karibia Binti tz karibu uchagani wenyewe hatuna makuu
Father have mercy on me and connect my children to this grace in the mighty name of Jesus Christ of Nazareth
Jesus e bom
Chezea chaga weweeeeee
wow...East Africa
Be blessed in JESUS CHRIST NAME... AMEN AMEN AMEN
wachagaa tumevutaaa mkee kutokaa mambalii
Du kumbe TB joshua babamkwe
😁😁😁😁😁
Nimependa sana hii, Brian imani yako umeisimamia.
Mkalimani uko wapi?
Mkalimani wa mama Uko wapiii
If my fatha was tbjoshua,i would not ask the catholic church to bless my wedding! This girl disobeyed her fatha,the late great servant of GD almighty! a man who served GD,was rejected by his own dotta.......she made the catholic church bless her wedding. Now that he is dead,suddenly she is telling people how great her fatha was. if he was really that great.why did u not let him bless the wedding? In the USA and i hope the whole world, our father is the one who would hold our hands to the groom. Your fatha was not there. How do u know the catholic church blessed U? huh..? YOUR OWN FATHA WAS NOT THERE,so please stop this!
Nimefurahi kupita kawaida
Bibi arusi anafanana na baba yake! Wamependeza.
Hongera college mate, Brian
amesoma colleage
@@williamkavuta8066 undergraduate amesoma MWEKA WILDLIFE COLLEGE
Hii harusi imefanyika mara ngapi ? Mwezi kadha iliyopita ilifanyika harusi ya Sarah na Brian ,Nigeria, au siyo Sarah huyu?
Congratulations 👏 👏 👏 👏 👏
Kwakweli Brian umetuwakilisha vema wanaume wa tanzania
Deep codolence PS. TB. Joshua Nigeria
Congratulations!!
Napenda sana, congratulations stay always with God's love always
We thank you too Madame.
We thank God
We thank God ooooooh
Congratulations
Amen
Kama kweli harusi imefanyika Leo Bora walioenda harusini kuliko walioenda kwenye mechi ya Simba na yanga
🤣🤣🤣
Ilo nalo neno...
Welcome Serah to Tanzania, we love you so much, may God be your guide in your marriage in Jesus name I prayer. Amen.
😄😄
Unatafuta ugonvi nawatu nimecheka
God bless you all
Jamani wakiitwa manabii wa kweli wa Mungu aliyehai na TB Joshua pia atajitokeza??🤣🤣
Mm simjui
Hilo ni swali la kujiuliza kweli?
Kukumbuka TB Joshua ameitwa peke yake n.a. watoto wanamaamuzi Yao wakisha fika miaka 18 hawezi kumlazimisha wokovu .atafuata maamusi yake kama m zazi Hawezi kumlasimisha.
Biblia inasema "Zijaribuni roho" sasa wewe kama unataka kujua ukweli, acha uvivu. Ingia magotini umuulize Mungu 'Je, Joshua ni nabii wa kweli au laa?'
Mungu ni mwaminifu mbona unapata majibu faster tuu.
@@marykarebeti9410 nilishapata majibu pale alipotabiri Hillary Clinton kuwa Raisi kule marekani na corona kuisha mwaka jana machi.Ka confirm hayo machache ndio utatambuwa huyo tapeli wa kawaida
Brayani .Moshi wewe ni Jembeeeeeeeee
Amenisha
Yaan ni zaidi ya jembe...kacmamia Imani yake...
@@stemarcely7493 hadi raha wewe ni shujaa wa Msalaba wewe ni mwanaume wa shoka wanaume wengine wangeona hvyo angebadilishwa hata jina
@@happymsaki1720 Yaan wanaume ambao hawana mcmamo na dini zao ndo wanahangaika na dini za wenza wao. Brayan amenikosha kwa kweli.
Tanzania tatizo kizungu...mmeelewa kitu kweli
Congratulations, may God bless your marriage
Watanzania wenzangu, kuweni macho na Wanaigeria. Ndoa zingine siyo ndoa ila mafia wanatafuta jinzi ya kuishi anakotafuta biashara. Kuna mabinti wako jela China na Indonesia kwa ajili ya kubebe Madawa ya kulevya.Nao waliolewa na wanaigeria
Huna jipya wewe
Si kwa mtoto huyu wa tb joshua
Hongela munani kumbusha mengi
Tumia lugha ya kimataifa ndugu mwandishi kiendana na tukio
He was a layer
Arusha bwana Sihami Hahahaha hahahaha
Wao father festo na kupenda mnooo
Na wanafanana
Nivile unapiga makofi haujaelewa chochote
Rip dad
Hongereni san
Safii
Thank you Jesus
Kumbe tb joshua ni nabii
Nabii wa kizazi hiki,.mtumishi wa Mungu Jehova
Unaishi wapi we jamaa hujui kuwa tb joshua ni nabii?
Pole lakini
@@imanikambindu6830 kweli ni nabii kwa maana mara ya mwisho nilicheki alitabiri Hillary Clinton kuwa Raisi kule marekani na pia akasema corona itaisha machi 27 mwaka jana
@@vailethkaaya3383 ni kweli na ukumbuke huyu ndie alitoa unabii kuwa Hilary Clinton atakuwa Raisi wa marekani na pia kasema corona itaisha mwaka jana machi 27 hadi leo corona inatamba...tafakari tena kuhusu huyu tapeli wa kiroho 🤣🤣🤣
Mungu akawe kimbilio lenu Amen ❤❤❤❤❤❤❤❤
Alafu msishangilie Sana hizi ndoa za mabinti wa kitajili huwaga hazidumu Sana,woiiii mtaachana tu Kama Belinda na Bill gate
Acha uchawi
Mungu ndiye nguzo kuu
Kaolewa Kilimanjaro lkn mkazi wa Arusha..
Kilimanjaro Moshi...mchaga huyuu
Acha kumzulia mwenzio UCHURO...!!
Kumbuka anaye laani naye atalaaniwa but ukibariki nawe utabarikiwa, usiwaombee watoto mabaya