bahati nzuri baba mwenye nyumba alikuwa loyal kwa mke wake na hatimaye vitimbi vya hidaya viligonga mwamba. Na ni mfano mzuri pia kwa sisi wanaume tuweze kumuiga baba zumo, sio kuwasaliti wake zetu wa halali kwa ajili ya tamaa na urembo tunaovutiwa na wanawake wapita njia.
Mhhhh 😊nawe siwe wa karne hii, mashallah mara zote,wanaume kama nyinyi naona mulifanya shusha,nasio bahati kuwapata,umeongea point,❤ nakupenda buree, MUNGU akuongoze katika maisha yako, inshaallah kama unandoa udumu nayo,nakama huna ALLAH akujaalie wakher nao.
Safi sana mumeweza 👏hidaya imekula kwako yaan kusaidiwa kooote kule hayo ndo malipo yake haya umevuna kula matunda yako we utakuwa basi fungu la kukosa😢 hii inafunzo kubwa kwa wale wanaosaidiwa kujisahau walikotolewa 😢,Mungu atukumbushe kuwa watu wakurudusha shukran kwa waliotusaidia na siyo kuwafanya wajute 🤲🙏
Hidaya nyoko
Umemkamata. Bayasana kumbe Tamaa na malizaqwzoe 😂😂😂😂nimecheka Sana Leo nilikua bado sijaiyonahii
Wallah mnafundisha
😂😂😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉😢😢😮😮😮😮
😂😂😂😂😂
Hidaya kwisha habariyako
Ongera Sana. Ako. Zumo na washiriki wote kwa kutuerimisha
Najifunza kitu
😂😂😂Mambo ni motooo
Funzo kubwa binadamu sisi hatufadhiliki haki 😢❤❤❤
Binadamu tumekuwa hatuna wema kabisa 🤣🤣🤣🤣 Masikini Hidaya amekamatwa vizuri kweli 😂😂😂
Binadamu. wabaya
Wakwanza leo nipeni like 🎉🎉🎉🎉🎉
Like wapewe wahusika wanao tuburudisha sio shabiki
Jaman huyu hidaya kagonga mwamba
Haya nipeni sasaleo zamu yangu wakwanza 😂😂😂 like zangu
Nawapenda sana Zumo na Habiba
Ndoa yenu idumu hasidi asiingie kati
bahati nzuri baba mwenye nyumba alikuwa loyal kwa mke wake na hatimaye vitimbi vya hidaya viligonga mwamba. Na ni mfano mzuri pia kwa sisi wanaume tuweze kumuiga baba zumo, sio kuwasaliti wake zetu wa halali kwa ajili ya tamaa na urembo tunaovutiwa na wanawake wapita njia.
Mhhhh 😊nawe siwe wa karne hii, mashallah mara zote,wanaume kama nyinyi naona mulifanya shusha,nasio bahati kuwapata,umeongea point,❤ nakupenda buree, MUNGU akuongoze katika maisha yako, inshaallah kama unandoa udumu nayo,nakama huna ALLAH akujaalie wakher nao.
@@Amina-xc8tl Aamin...Shukran!
Hajakuja nakitu hapo,mbwa koko ende zake vivyohivyo, twashkuru mno kwa funzo hili,mfadhili mbuzi binadamu ana maudhi
Ahsanteni washiriki tumepata mafunzo mazuri na Mungu awabariki
Good mambo My 😂😂😂
Yaani bora tu nilikuwa naumia mimi😂😂😂❤❤
😂😂👍👍👍👍👍
Hidaya kumbuka ulipo toka
Duuuh😢
Hhhhh hiday kaaumbuk😂😂
Hofwiii asanteni mlioshiriki nyote 😂😂❤❤
Hiyo nimeipenda sanaaa na mm nitakuja ifanya kwandugu zagu 😂😂😂😂😂ili nione wanawapenda wanangu au wanawapenda kwaajili ya mali nilonayo😂😂😂😂😂😂😂
Wataka kukosana nduguzo ndugu yangu
@@abumoyo840 kweli eti basi stoifanya
@@فيصلالبادي-ح1غ kweli my dear
Ile sauti ya huluma imeeanza Tena dada nisaidie ❤❤❤
😂😂
Zumo family on 🔥
Fadhila mfadhili mbuz...Lkn bnadamu...mhhhh
Uyo rombo inamuusu idaya aondoke tu shezi msgezinyoooo
❤❤❤❤👍👍👍👍
Safi sana mumeweza 👏hidaya imekula kwako yaan kusaidiwa kooote kule hayo ndo malipo yake haya umevuna kula matunda yako we utakuwa basi fungu la kukosa😢 hii inafunzo kubwa kwa wale wanaosaidiwa kujisahau walikotolewa 😢,Mungu atukumbushe kuwa watu wakurudusha shukran kwa waliotusaidia na siyo kuwafanya wajute 🤲🙏
Hiime ni fuza kitu
Ufuuuuuuu binadam hatuna wema wanaume chukueni hiyo kutoka kwa uncle zumo
Binadamu hatuna wema😅😅😅😅😅😅
We hidaya njoo ulale hapa Kati,😅😅😅😅nimeipenda hio
Nimeipenda walaah nzuri sana
Ha hidaya umepatikana shoga angu sijuwi utaenda wapi tena
Haya mambo yapo na yanatokea
Kaz nzr sana hatimae hidaya kaadhirika
Funzu kubwa binadam sis hatufadhilik🎉🎉🎉
Wema unaponza mara nyingi😢 duuuh.
Yani msaada wake umemponza jamani
asantenisana hiyo ni ihsani nzuri kabisa
much love always
Kweli binadamu hatuna wema looh
😂😂😂mna wezaaa
Ahsante kwa tuelimisha🤝
Zumo kazi nzury sanaa
Asanten tumejifunza mengi
nakukubali sana mwamba
😂😂😂 idaya😊
Maashaallah hongereni san
😂😂😂😂😂😂
Safi kabisa akome hidaya😅😅
Sema kimeumanaaaaaa😂😂😂😂😂
Real life situation
Good Job Funzo Kabisa
😂😂😂😂😂
Kazi nzuri sana
Nimeipenda iyooooo❤❤❤❤❤
Nmeipenda hiyooo mama zumo
😂😂😂😂
❤❤
😂😂😂❤❤
🔥🔥
Safi sana