ZUMO FAMILY (hidaya part 5🇹🇿)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 75

  • @مكتومالدرعي
    @مكتومالدرعي Год назад +1

    Hidaya nyoko

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 11 месяцев назад +1

    Umemkamata. Bayasana kumbe Tamaa na malizaqwzoe 😂😂😂😂nimecheka Sana Leo nilikua bado sijaiyonahii

  • @مكتومالدرعي
    @مكتومالدرعي Год назад

    Wallah mnafundisha

  • @هياءعون-ل7ط
    @هياءعون-ل7ط 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉😢😢😮😮😮😮

  • @nininahazwezabibu2595
    @nininahazwezabibu2595 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @zaituniabdallah
    @zaituniabdallah Год назад

    Hidaya kwisha habariyako

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 11 месяцев назад

    Ongera Sana. Ako. Zumo na washiriki wote kwa kutuerimisha

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 Год назад

    Najifunza kitu

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 10 месяцев назад

    😂😂😂Mambo ni motooo

  • @aminaramambungo4414
    @aminaramambungo4414 Год назад +5

    Funzo kubwa binadamu sisi hatufadhiliki haki 😢❤❤❤

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +7

    Binadamu tumekuwa hatuna wema kabisa 🤣🤣🤣🤣 Masikini Hidaya amekamatwa vizuri kweli 😂😂😂

  • @susanjawa9569
    @susanjawa9569 Год назад +7

    Wakwanza leo nipeni like 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @khadijasaidi9794
    @khadijasaidi9794 Год назад +1

    Jaman huyu hidaya kagonga mwamba

  • @FarajiBakari-ys3pv
    @FarajiBakari-ys3pv Год назад +3

    Haya nipeni sasaleo zamu yangu wakwanza 😂😂😂 like zangu

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Год назад +1

    Nawapenda sana Zumo na Habiba
    Ndoa yenu idumu hasidi asiingie kati

  • @ahmaduun6523
    @ahmaduun6523 Год назад +6

    bahati nzuri baba mwenye nyumba alikuwa loyal kwa mke wake na hatimaye vitimbi vya hidaya viligonga mwamba. Na ni mfano mzuri pia kwa sisi wanaume tuweze kumuiga baba zumo, sio kuwasaliti wake zetu wa halali kwa ajili ya tamaa na urembo tunaovutiwa na wanawake wapita njia.

    • @Amina-xc8tl
      @Amina-xc8tl Год назад

      Mhhhh 😊nawe siwe wa karne hii, mashallah mara zote,wanaume kama nyinyi naona mulifanya shusha,nasio bahati kuwapata,umeongea point,❤ nakupenda buree, MUNGU akuongoze katika maisha yako, inshaallah kama unandoa udumu nayo,nakama huna ALLAH akujaalie wakher nao.

    • @ahmaduun6523
      @ahmaduun6523 Год назад

      @@Amina-xc8tl Aamin...Shukran!

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl Год назад +1

    Hajakuja nakitu hapo,mbwa koko ende zake vivyohivyo, twashkuru mno kwa funzo hili,mfadhili mbuzi binadamu ana maudhi

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 Год назад +2

    Ahsanteni washiriki tumepata mafunzo mazuri na Mungu awabariki

  • @halimama6314
    @halimama6314 Год назад +2

    Good mambo My 😂😂😂

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 Год назад +1

    Yaani bora tu nilikuwa naumia mimi😂😂😂❤❤

  • @NancyNancy-v9f
    @NancyNancy-v9f Год назад +1

    😂😂👍👍👍👍👍

  • @monalisachela8679
    @monalisachela8679 Год назад +2

    Hidaya kumbuka ulipo toka

  • @hamisahakim4926
    @hamisahakim4926 Год назад +1

    Hhhhh hiday kaaumbuk😂😂

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 Год назад +1

    Hofwiii asanteni mlioshiriki nyote 😂😂❤❤

  • @فيصلالبادي-ح1غ
    @فيصلالبادي-ح1غ Год назад +5

    Hiyo nimeipenda sanaaa na mm nitakuja ifanya kwandugu zagu 😂😂😂😂😂ili nione wanawapenda wanangu au wanawapenda kwaajili ya mali nilonayo😂😂😂😂😂😂😂

  • @RAM7_TZ
    @RAM7_TZ Год назад +2

    Ile sauti ya huluma imeeanza Tena dada nisaidie ❤❤❤

  • @abdillahsalim1623
    @abdillahsalim1623 Год назад +1

    Zumo family on 🔥

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 Год назад

    Fadhila mfadhili mbuz...Lkn bnadamu...mhhhh

  • @ashasaidi1599
    @ashasaidi1599 Год назад

    Uyo rombo inamuusu idaya aondoke tu shezi msgezinyoooo

  • @امينه-خ3ع
    @امينه-خ3ع Год назад +1

    ❤❤❤❤👍👍👍👍

  • @Tnjosph25PT
    @Tnjosph25PT Год назад +1

    Safi sana mumeweza 👏hidaya imekula kwako yaan kusaidiwa kooote kule hayo ndo malipo yake haya umevuna kula matunda yako we utakuwa basi fungu la kukosa😢 hii inafunzo kubwa kwa wale wanaosaidiwa kujisahau walikotolewa 😢,Mungu atukumbushe kuwa watu wakurudusha shukran kwa waliotusaidia na siyo kuwafanya wajute 🤲🙏

  • @annafarida6333
    @annafarida6333 Год назад

    Hiime ni fuza kitu

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 Год назад

    Ufuuuuuuu binadam hatuna wema wanaume chukueni hiyo kutoka kwa uncle zumo

  • @MAUREENMTV
    @MAUREENMTV Год назад

    Binadamu hatuna wema😅😅😅😅😅😅

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 Год назад

    We hidaya njoo ulale hapa Kati,😅😅😅😅nimeipenda hio

  • @FarajaJuliana
    @FarajaJuliana Год назад

    Nimeipenda walaah nzuri sana

  • @mwambailunga1511
    @mwambailunga1511 Год назад

    Ha hidaya umepatikana shoga angu sijuwi utaenda wapi tena

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Год назад

    Haya mambo yapo na yanatokea

  • @khadijasaidi9794
    @khadijasaidi9794 Год назад

    Kaz nzr sana hatimae hidaya kaadhirika

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад

    Funzu kubwa binadam sis hatufadhilik🎉🎉🎉

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Год назад

    Wema unaponza mara nyingi😢 duuuh.

  • @hamadikhalfan6751
    @hamadikhalfan6751 Год назад

    Yani msaada wake umemponza jamani

  • @5damhozz728
    @5damhozz728 Год назад

    asantenisana hiyo ni ihsani nzuri kabisa

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 Год назад

    much love always

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Год назад

    Kweli binadamu hatuna wema looh

  • @فاطمهال-ص7ت
    @فاطمهال-ص7ت Год назад

    😂😂😂mna wezaaa

  • @maryamjuma6848
    @maryamjuma6848 Год назад

    Ahsante kwa tuelimisha🤝

  • @maryah4601
    @maryah4601 Год назад

    Zumo kazi nzury sanaa

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Год назад

    Asanten tumejifunza mengi

  • @Bartalomerichard-xv8sl
    @Bartalomerichard-xv8sl Год назад

    nakukubali sana mwamba

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 Год назад

    😂😂😂 idaya😊

  • @abdallahamad855
    @abdallahamad855 Год назад

    Maashaallah hongereni san

  • @copycopy2729
    @copycopy2729 Год назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Год назад

    Safi kabisa akome hidaya😅😅

  • @dnx_Gr
    @dnx_Gr Год назад

    Sema kimeumanaaaaaa😂😂😂😂😂

  • @adventinaphilimon3675
    @adventinaphilimon3675 Год назад

    Real life situation

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Год назад

    Good Job Funzo Kabisa

  • @abbubakar-c7i
    @abbubakar-c7i Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @floramchalo2860
    @floramchalo2860 Год назад

    Kazi nzuri sana

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Год назад

    Nimeipenda iyooooo❤❤❤❤❤

  • @florahfrancis1613
    @florahfrancis1613 Год назад

    Nmeipenda hiyooo mama zumo

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 Год назад

    😂😂😂😂

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Год назад

    ❤❤

  • @tatomary1375
    @tatomary1375 Год назад

    😂😂😂❤❤

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 Год назад

    🔥🔥