Achillian ft Mfalme Jeffrey LUCIFER S4(official music audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • LUCIFER 4
    Umenitosha kwenye dharuba ya ubandia
    Umenipeleka nchi kavu kwenye kutulia
    Ujana maji ya moto, umefanya ya baridi
    Umenitowa getho mimi mkahidi
    Thank you God
    BILA MUNGU SITOBOI yes
    BILA MUNGU SITOBOI yeh eh
    BILA WEWE HATUTOBOWI mmh djeah
    BILA MUNGU SITOBOI mmh
    Mbele ya yote naomba Mungu wangu
    Yeye njo anajua maisha yangu
    Nikiwa nae mimi sipotei
    Nini itatuma sitoboi?
    Acha miniseme amina Kwa yote ambayo anayo nitendea
    Acha niseme asante Bwana kwa yote ambayo unayo nitendea
    Wengine aseme niroge ili mbele ni songe
    Mini mtoto wa yesu pamoja na Mungu mimi ndatoboa
    Bya shetani habiruhusu alie niumba naimani ataniokoa
    Eh bila wewe siweziweza
    kila wakipima bado natereza
    Pamoja na MUNGU naisi ntaangaza
    Mambo ya devil, mambo ya ovyo
    Mbele ya Mungu nasema sitaki
    Nina malengo, nina mpango
    Nifungue mlango ya yangu riski
    Wewaza nimekua star inaomba ulozi
    Ma bangi mitungi na mwisho wana loose
    Machipukizi wanaleta mapozi
    Ugangi ugangi na hawana kazi
    Sasa Acha niwa diss nikiwa na Mungu na sina wasi
    Yes jesus is my protect
    Rap ya kivu nai project
    Ndomana wananema sema wana pinga pinga
    wana chongachonga Ila bado Mungu wangu iko
    Wana chimba shimo wanaanguka wenyewe
    Minawaambia ambia ni byabobyabo
    Palipo shimo niepushe nivuke
    Nikitaka teleza nisaidie nisianguke
    WENJO MUNGU, MUWEZA YOTE
    TUMAINI LETU, TATUWA SHIDA ZETU
    MWEZA YOTE, TUMAINI LETU
    TWAKUPA SHIDA ZETU
    alléluia
    Ah
    Kwa mara nyingine nakuja mbele zako baba
    Ni mimi wala sio mwingine Mwanao naitaji tiba
    Kwa mara nyingine nimekosa nisamee Baba
    Mwanao sijakamilika
    Jehova jire, jehova shama, jehova nisi,jehova rafa
    Pumzi bure leo nahema sitakuasi hata nikifa
    Asie tumika asile, weulisema
    Tupe mkate nasi, okoa taifa
    Ajira ni tele, makazi noma❌
    Wanao tunaangamia kwa kukosa maarifa
    Shiloh! Jehovah! Eloïm!
    Nkolo! Tolová ópesa biso bakonzi ya bien
    Sapilo never mais usine eza na mboka
    Aba na aba ujaza kibaba
    Bilizani kipaji pekee kinatosha, kitanilisha,
    Familia nitaivusha
    Kwetu elimu haijatosha, inatusha🥶
    Connaaissance njo maisha
    Tunaishi na aina za watu
    wenye roho zao tuh za kutu
    Watakuteta, watakusifu siku tuh ukivua viatu
    Atuna kitu na hatukose kitu
    Mana tunajua akuna mtu bila watu
    Eh Mungu teta na wanao teta nami baba
    roho zao chafu
    Low!
    Ulisema ombeni mtapewa
    mwanao nimeomba bila kutereka
    Leo akuna kazi bila dawa
    Nina mwanga wa jua ila sjamulika
    Kama binadamu tumeombwa sawa
    Hatuitaji machawa tushushie baraka
    Weye bdie Mungu unae gawa
    Usipo nipa baraka nipe hata fizi nitaridhika
    Hiiiiiii ni bya kiroho hauwezi elewa
    Iyi tour mbaka balombe msamaha
    Vesi zangu mipanga zinawakata tamaa
    Iyi tour atasadiki thomas
    Akuna bya mafoyi si mtaona roman
    WENJO MUNGU, MUWEZA YOTE
    TUMAINI LETU, TATUWA SHIDA ZETU
    MWEZA YOTE, TUMAINI LETU
    TWAKUPA SHIDA ZETU
    Usijaribu izi fow nyumbani
    Iyi inaitwa weka mbali na watoto
    MWALIMU JEFFREY na MR CHAMPION
    ni bya kiroho hauwezi elewa weee

Комментарии • 108