HOUSE GIRL EP 33 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 961

  • @busatitv
    @busatitv  3 месяца назад +141

    House Girl fans WhatsApp 👇👇
    chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl

    • @maysaghjii5058
      @maysaghjii5058 3 месяца назад +6

      Candy usimzarau usiemjua

    • @HopeMmbando-wb8ci
      @HopeMmbando-wb8ci 3 месяца назад +4

      Candy kitamramba mwaka huu haaahha nasubir ya mchana jmn

    • @ShamsaAdam-c7z
      @ShamsaAdam-c7z 3 месяца назад +1

      Candy kitamrudi mwenyewe

    • @juliethrobart9430
      @juliethrobart9430 3 месяца назад +1

      @@busatitv kwangu mimi mbona hili group la wasp halifunguki?
      Au likoje?

    • @madinarobert4944
      @madinarobert4944 3 месяца назад

      Huko kunanini kai

  • @FatmaSalim-dc6zp
    @FatmaSalim-dc6zp 3 месяца назад +41

    Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 месяца назад +11

    Nasubiri episode 34 kwa hamu sana, Nataka kuona candy atafanyiwa nini na shoshi, hongera sana leo imekua 🔥🔥🔥❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @StellaKimaro-no6mv
    @StellaKimaro-no6mv 3 месяца назад +21

    Jaman bora nikose kula ila bando liwepo co kwa hii movie.....🥰🥰🥰

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 3 месяца назад +13

    Cardy ameyakanyanga yaani bibi kiboko 😂😂😂team zuu tuko na matumaini 💪💪💪

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 3 месяца назад +43

    Wakwanzaaaaaaaaa wapi daa zuuuuuu❤❤❤❤❤naonbeni likes zangu from 🇰🇪

  • @HappyMtawali
    @HappyMtawali 3 месяца назад +132

    Mnaomba cendy aumbuke mgonge like ata 2 tu

    • @estherezzy136
      @estherezzy136 3 месяца назад +2

      😂😂😂😂😂

    • @lucyrif-np8ik
      @lucyrif-np8ik 3 месяца назад +1

      go nishagonga hiyo like😂😂😂😂

    • @HappyMtawali
      @HappyMtawali 3 месяца назад +2

      @@lucyrif-np8ik hauogopi 😂😂😂

  • @DelphinaJeremiah-ii1rv
    @DelphinaJeremiah-ii1rv 3 месяца назад +43

    Leo candy kayakanyaga bibi zuu kaamua kuonyesha makucha yake🙌🙌🙌
    Kama una mkubali bibi gonga like hapa

    • @reginaDevid
      @reginaDevid 2 месяца назад +1

      Km uyo Bibi ni mchwa kwa Nini asimtafute mchukuu wKe😊

    • @SalmaSalma-o7t
      @SalmaSalma-o7t 2 месяца назад

      Nitumie namb ya Kai jamani

  • @JacksonNgari-fs2qt
    @JacksonNgari-fs2qt 3 месяца назад +102

    Jaman wakwa leo tuone mwisho wakend walio pamoja na bibi yake zuu nawaomba like zenu

  • @BubbyBrenjoy
    @BubbyBrenjoy 3 месяца назад +146

    Kama unaamini zuu atapona wapi like...za zuuu

  • @BettyKawira-g6i
    @BettyKawira-g6i 3 месяца назад +27

    Timu zuu wapi likes jamani❤❤

  • @daazuu4608
    @daazuu4608 3 месяца назад +7

    Mnaboa bana vipande vyenyewe vidg afu mnarudia sehemu ambazo tushaangalia😏😏😏

  • @JoshuaMbeyela-o2p
    @JoshuaMbeyela-o2p 3 месяца назад +197

    Nan amegundua ukigusa like mara tatu inajicopy🙌🙌

    • @mamume710
      @mamume710 3 месяца назад +5

      Unataka likes tu mxyu 😒

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 3 месяца назад +5

      ​@@mamume710😂😂😂 alakini Kweli 😂

    • @fatmaubwa-z8s
      @fatmaubwa-z8s 3 месяца назад +3

      ​@@mamume710😂😂😂😂😂

    • @fatmaubwa-z8s
      @fatmaubwa-z8s 3 месяца назад +3

      tumewastukizia😂😂

    • @Jamila96_juma
      @Jamila96_juma 3 месяца назад +3

      Naijua hiyo

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 3 месяца назад +18

    Wow nimekua wa kwanza leo kaka kai naomba like hata moja tu jaman 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @richardchristopher7141
    @richardchristopher7141 3 месяца назад +106

    Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea.
    Kama tuko pamoja like hapa 🙏

  • @husnahusna1544
    @husnahusna1544 3 месяца назад +6

    Waooo mnatuletea Kwa wakati shukran
    Ila zuu utapona tu mungu yupo ❤❤❤

  • @celinamboga581
    @celinamboga581 3 месяца назад +5

    Aaah mm ata sijafurahi natakakumuona zuu😂😂😂mm na babake kai tumechoka kungoja😢😢😢

  • @MagrethyAdolph
    @MagrethyAdolph 3 месяца назад +47

    Zuuuh lazma apatkne kam unaamini hilo nnipe like❤❤

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 3 месяца назад +10

    Nyie mbona nipo Hapa Hapa Mmenipiga 😂daaa Ila hya nipeni bas japo moja😂 from Oman 🇴🇲

  • @ZayNiyonzima
    @ZayNiyonzima 3 месяца назад +19

    Jaman wa mwisho Leo naombeni like zangu😂😂😂

  • @StellaKimaro-no6mv
    @StellaKimaro-no6mv 3 месяца назад +12

    Funs wa zuuh tujuane hapa....😍😍😍❤️❤️❤️💞💞💞💞

  • @MudyAlly-jt5xc
    @MudyAlly-jt5xc 3 месяца назад +8

    Haya jamani wapenzj wote wa busati usipite.bure hapa bila kulike🥰🥰

  • @HPZAYOZA
    @HPZAYOZA 3 месяца назад +31

    Wakwanza leo naomba like zenu please and please wale wapezi wa zuu na kai na bibi kai , malaika lets go like sasa naitaji ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy 3 месяца назад +1

    Mnaweza sna tunajifunza vingi sana kwa hii move❤❤❤❤❤❤

  • @SophiaMfilinge-o8t
    @SophiaMfilinge-o8t 3 месяца назад +3

    ❤🎉❤ jamani nawapenda mimi humja wai nipa like hata moja 😢 naomba mwee moja to

  • @Noella-p5u
    @Noella-p5u 3 месяца назад +33

    Nimechelea jamani warundi muko wap munipe like ❤❤❤

  • @MagrethYohana-ry5fk
    @MagrethYohana-ry5fk 3 месяца назад +61

    jamn wa kwanz naomb like zangu

  • @marymnandi9924
    @marymnandi9924 3 месяца назад +19

    Nyie mnaoomba like acheni upuuzi ni utoto Kuomba omba tu kulike kukoment na kushare haaah😂😂

    • @carlynemgonja-2004
      @carlynemgonja-2004 3 месяца назад

      😂😂Nimecheka kwa sauti

    • @rexe9651
      @rexe9651 3 месяца назад

      Hahaha 🤣🤣🤣 jamani wakuige ww tu ju hujaomba lakini umepewa

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 3 месяца назад +4

    Wangapi wanaenjoy wimbo wa house girl 😊😂👍

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад +34

    Mwenye atakuja nyuma anipe like jamani 🎉🎉❤🇧🇮🇧🇮

  • @SaumuRuwa-t3h
    @SaumuRuwa-t3h 3 месяца назад +5

    🎉🎉🎉acha tuone candy atatoboa kweli,njooni tutizame pamoja

  • @ZuhuraMusa-hl3wp
    @ZuhuraMusa-hl3wp 3 месяца назад +18

    Leo mumeweza at least mumetoa mapema naomba like zenu

  • @JoyAisha-og4hs
    @JoyAisha-og4hs 3 месяца назад +3

    Yani sichafurahia movie poa yenye mafunzo kama hii mubarikiwe sana waigizaji hapa mumejitahidi Sanaa's Yani

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 3 месяца назад +40

    Wakwanza tunae mkubali chiko gonga like ata tano apa

  • @OmaramimoOmar
    @OmaramimoOmar 3 месяца назад +15

    Nipe like zenu jamani, kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv 3 месяца назад +1

    Ka2i nzuri sana bibi 2u 🎉🎉🎉🎉🎉 kendi sasa kimean2a kuku ramba

  • @Lily-rn6xc
    @Lily-rn6xc 3 месяца назад +9

    Ngoja niangalie ntarud kucoment

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 3 месяца назад +1

    Baasi👏👏bibi ameyaanza zuu wetu atarudi jamani alf Kai mke wako ameshauriwa😂😂ueke nyumba raani chunga,,😅 from 🇰🇪🇰🇪 nawapenda

  • @MagrethYohana-ry5fk
    @MagrethYohana-ry5fk 3 месяца назад +10

    zuuuu atapatikana tyu

  • @MpashiKennedy
    @MpashiKennedy 3 месяца назад +1

    ❤❤Nazipenda saana movie zenu nakizuri munatoa haraka haraka na enough time thank you good job

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад

      🥰🥰🥰🙏🙏

  • @salumhamad
    @salumhamad 3 месяца назад +19

    wakwanz nipen like zng😅

  • @TumainiJaphary
    @TumainiJaphary 3 месяца назад +1

    Yajayo yanafulaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ii tamthilia tam san cjui mwisho wa candy utakuwaj

  • @MariamKigoto
    @MariamKigoto 3 месяца назад +4

    Sijawai kukoment ila leo naona mwanga waja candy raundi hii huwezi toboa lazima useme tu kula chuma hicho bibi zuu 🎉🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад

      🤣🥰🥰🥰

  • @janetnasimiyu8646
    @janetnasimiyu8646 3 месяца назад +1

    Hii imenifurahiaha kidogo imenpa matumaini kuwa zuu atapona good job guys much love from kenya

  • @Nailah736
    @Nailah736 3 месяца назад +6

    Mzigo tayari wacha tukae mwanzo tujue yafuatayo😂😂

  • @NiyoFrancine
    @NiyoFrancine 3 месяца назад +23

    Wa1 ila kama unamkubali kayi like hapa

  • @AshaNzara
    @AshaNzara 3 месяца назад +4

    Jaman 😂😂😂raha kuwai wako wap wakuomba like bla kuangalia movie 🎉🎉🎉🎉❤

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 3 месяца назад +1

    Patamu hpo safii bib zuu nmeipenda hio hongereni nyote Kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉🎉 wee Kai mm nngekua best yko nngekuzaba Kofi ili akili zikkufunguka 😂😂😂😂

  • @Lucy-t7n
    @Lucy-t7n 3 месяца назад +3

    Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 3 месяца назад +2

    Zuu naomba Like yako nakufatilia hap plzzz mpenz ❤❤❤❤

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 3 месяца назад +28

    Sasa kama kila mmoja ni wakwazda,wa pili niyupi tumupe like😂

  • @nadzuwazidi
    @nadzuwazidi 3 месяца назад

    Namini daa zuu atapatikana na atapona anayeamani gongalike🎉🎉🎉🎉

  • @TinahDavid
    @TinahDavid 3 месяца назад +5

    Jaman leo nmekuwa wa kwanza daaah tng nmeanza ndo leo like zenu bx

  • @IL-HAMFAKI
    @IL-HAMFAKI 3 месяца назад +2

    Jaman hii move inausambaratisha moyo wang, mapenz yote ni Kwa zuu nani anampend zuu njooni tujuwan Kwa like dears

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 3 месяца назад +2

    Naamini kabisa kwa uweza wa Mungu zuu atapatikana na kupona pia huyo candy ataumbuka

  • @FaridaMahami-zw1mv
    @FaridaMahami-zw1mv 3 месяца назад +1

    Kaz nzuriiii sanaaa,hongereniii🎉❤

  • @MgangaJohn-j1r
    @MgangaJohn-j1r 3 месяца назад +10

    Hata nami jaman like hata mbili

  • @shilashilajackson7879
    @shilashilajackson7879 3 месяца назад +2

    Bibi kafanya vzur sana leo,nilikua natamani sana hio taimu ya kumusumbua kendal ifike leo imefika😂

  • @manojira5469
    @manojira5469 3 месяца назад +5

    Tem Zuu twendeni uku 🏃🏃

  • @ClariceMatulanga
    @ClariceMatulanga 3 месяца назад +2

    Hii itakua sawa Kendi akiumbuka mbna tacheka

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 3 месяца назад +5

    Jmn munanifulahisha watu wa busati TV munadupa kwa wakati maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 3 месяца назад +1

    Yaani kai,,,,utakuja kulia kilio cha paka mwizi heeeee hujui tu kitu candy anakusukia

  • @bonifacekemboi8482
    @bonifacekemboi8482 3 месяца назад +3

    Nyanya wa zuu ivyo sasa ndio nilikuwa nangojea sana wapi like kwangu

  • @HappyJumwa-h9e
    @HappyJumwa-h9e 3 месяца назад

    Waash mambo yamebadilikaa ..... 😮😮😮Bibi ya zuu kaamuaaa anataka mjukuu wake ..candy candy tafta plam b 😅😅😅

  • @hanifahanifa7708
    @hanifahanifa7708 3 месяца назад +3

    Leo nimekuwa wa kwanza jamani😂 napenda love story

  • @DalilaHasani-m2i
    @DalilaHasani-m2i 3 месяца назад

    Jamani da zuuh apone bhana ❤❤❤ tunawapendaà tunasubiri episode nyingineee

  • @AnyesiKonga
    @AnyesiKonga 3 месяца назад +6

    Sekunde watu washafka selathini

  • @Aziza..Shaban
    @Aziza..Shaban 3 месяца назад +1

    Wooow❤❤❤kai weka hata dakika 30 bro. Filamu tamu sana😊Mungu awatie nguvu

  • @JastonnaruweniJaston-cu5rm
    @JastonnaruweniJaston-cu5rm 3 месяца назад +3

    Leo mmewahisha sanaa nawakubali

  • @khayraatkheirame5928
    @khayraatkheirame5928 3 месяца назад

    Yaani sasa napenda sana mchezo bibi Kawa kwenye uhalisia wake kendi jiandae na uchizi

  • @HadijaChondo
    @HadijaChondo 3 месяца назад +4

    Leo nimewahii jamnn mnipee ata likes moja

  • @ShazzLizz
    @ShazzLizz 3 месяца назад +1

    Jamani mbona mnanichukia ivyo mnipee like ata kumi tu

  • @MathayonkindaManela-fq4uo
    @MathayonkindaManela-fq4uo 3 месяца назад +3

    Kiboko wa kendy bibi Kama bibi dadeki mwisho wa ufalme wa kendy 😅😅

  • @VERONICAMSENYERE
    @VERONICAMSENYERE 3 месяца назад +2

    Jamani naombeni like za wanachuo wanaofatilia House girl 😂

  • @VillaviaChemutai-if2ry
    @VillaviaChemutai-if2ry 3 месяца назад +6

    Wakenya hoye🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o 3 месяца назад

    Huy Bibi Kwa uchawi namuaminia Maan kweny move ya boss mchawi wee namp ❤

    • @peterphilipo5103
      @peterphilipo5103 3 месяца назад

      Alikua na cheo kikubwa Sema seson 2 Bado haijaanza

  • @JaneJane-h2i
    @JaneJane-h2i 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂 ep 34 wangapi tunaanimi kuwa itakuwa tamu😂😂😂😂

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 3 месяца назад

    Safi sana bibi zuu safi kabisa Sasa uyo mke wa Kay atalijuwa jiji hhhhhhh Yani inazidi kunoga tu jamanj

  • @Mwanamvua-ze5ls
    @Mwanamvua-ze5ls 3 месяца назад +3

    Chengine saa sita usiku jamni nzur sana mungu jalia zuu aonekane

  • @GladysKarembo
    @GladysKarembo 3 месяца назад

    Sasa saai kendi kimekuramba,Bibi ya zuu sio mchache, waaaah congratulations guys,mnajua Kazi.Mungu aendelee kuwapa nguvu za kuendelea kupambana jamani 🙏🪴💞

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 3 месяца назад +4

    Wapi nduru nimewahi leo wa kwanzaaà🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣kujeni tuone zuuu akipona 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Beatrice-z4c
    @Beatrice-z4c 3 месяца назад +1

    Sijachelewa sana leo ila mbona kama kendi ataumbuka jamani😂😂😂😂 kama waona hivo kama mm basi like jamani team zuu hi

  • @RatifaSekamba
    @RatifaSekamba 3 месяца назад +3

    Naombeni likes mi wa kwanza leo asanteni kwa kuwahi

  • @NeillahMcute
    @NeillahMcute 3 месяца назад

    Hapa ilipofikia n kali aisee❤❤❤❤❤candy chako kimoyoni😂😂😂😂

  • @EdwardLukanda
    @EdwardLukanda 3 месяца назад +4

    Wa kwanza leo naomben like jaman

  • @zaitunibendera7988
    @zaitunibendera7988 3 месяца назад

    😂😂😂naona harus tunayo ya zuu na kai🎉🎉🎉

  • @RehemaElendela
    @RehemaElendela 3 месяца назад +3

    Mimi wa kwanza Naomba like ❤❤❤❤

  • @NipherRubia
    @NipherRubia 3 месяца назад

    wau very interested Gendy kimekuramba😂😂😂😂

  • @RehemaFuko-yy4yr
    @RehemaFuko-yy4yr 3 месяца назад +4

    Jaman naomben like zangu kwa mar ya kwanza nmewah mapema

  • @annstamciawanzila2652
    @annstamciawanzila2652 3 месяца назад

    Tamu sana hii ❤❤nina matumaini sasa kuwa zuu atakuwa mzima 🎉🎉

  • @Navaronetvmusic
    @Navaronetvmusic 3 месяца назад +6

    Nakubali bwana munipe like zangu zakutosha Kama unayuwa zuuu atapona

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 3 месяца назад

    Kendi kimeanja kukuramba subiri moto❤❤❤❤❤nyanya kanyagia hapohapo🔥🔥🔥🔥

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq 3 месяца назад +2

    Leo nimewaacha makusudi muwahi no kwasababu nyote uwa ni wa kwanza 😂😂😂😂😂ukiwa wa 300 uwa uoni kwa au auelewi

  • @niyimbabazisandrine3303
    @niyimbabazisandrine3303 3 месяца назад

    Jamani he naomba munisaidie huo wimbo naupenda sana kweli❤❤❤❤❤

  • @DiamondMatandala-o7l
    @DiamondMatandala-o7l 3 месяца назад +7

    Me wakwanza leo jaman like Zang mnipe

  • @HajiMwanz-to3vg
    @HajiMwanz-to3vg 3 месяца назад +1

    Jaman mjitaid muwe mnatoa vipade viwili kwa siku

  • @Amina-lz1ht
    @Amina-lz1ht 3 месяца назад +6

    Wakwanza Leo like zangu

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 3 месяца назад

    Kai kai acha ushaga msikilize bwana mpago ww bibi mau yako 🌹💐🏵️🏵️ nimependa hyoo bibi

  • @AbrahmanSenzia
    @AbrahmanSenzia 3 месяца назад +4

    Nimechelewa kidogo hata3 😢 basi

  • @12omochildren
    @12omochildren 3 месяца назад

    Candy yameanza kumkumba kweli ,,,,harusi tunayo zuu na khai❤❤❤❤