Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo
Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea. Kama tuko pamoja like hapa 🙏
Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa saai kendi kimekuramba,Bibi ya zuu sio mchache, waaaah congratulations guys,mnajua Kazi.Mungu aendelee kuwapa nguvu za kuendelea kupambana jamani 🙏🪴💞
House Girl fans WhatsApp 👇👇
chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
Candy usimzarau usiemjua
Candy kitamramba mwaka huu haaahha nasubir ya mchana jmn
Candy kitamrudi mwenyewe
@@busatitv kwangu mimi mbona hili group la wasp halifunguki?
Au likoje?
Huko kunanini kai
Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo
Nasubiri episode 34 kwa hamu sana, Nataka kuona candy atafanyiwa nini na shoshi, hongera sana leo imekua 🔥🔥🔥❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jaman bora nikose kula ila bando liwepo co kwa hii movie.....🥰🥰🥰
Cardy ameyakanyanga yaani bibi kiboko 😂😂😂team zuu tuko na matumaini 💪💪💪
Wakwanzaaaaaaaaa wapi daa zuuuuuu❤❤❤❤❤naonbeni likes zangu from 🇰🇪
Mnaomba cendy aumbuke mgonge like ata 2 tu
😂😂😂😂😂
go nishagonga hiyo like😂😂😂😂
@@lucyrif-np8ik hauogopi 😂😂😂
Leo candy kayakanyaga bibi zuu kaamua kuonyesha makucha yake🙌🙌🙌
Kama una mkubali bibi gonga like hapa
Km uyo Bibi ni mchwa kwa Nini asimtafute mchukuu wKe😊
Nitumie namb ya Kai jamani
Jaman wakwa leo tuone mwisho wakend walio pamoja na bibi yake zuu nawaomba like zenu
😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
utamu umakuja sasa😂😂kesho naona haifiki
😂😂😂
Kama unaamini zuu atapona wapi like...za zuuu
Timu zuu wapi likes jamani❤❤
Mnaboa bana vipande vyenyewe vidg afu mnarudia sehemu ambazo tushaangalia😏😏😏
Nan amegundua ukigusa like mara tatu inajicopy🙌🙌
Unataka likes tu mxyu 😒
@@mamume710😂😂😂 alakini Kweli 😂
@@mamume710😂😂😂😂😂
tumewastukizia😂😂
Naijua hiyo
Wow nimekua wa kwanza leo kaka kai naomba like hata moja tu jaman 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Yes ok
Ivi.kila.mtu
Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea.
Kama tuko pamoja like hapa 🙏
Kbs
Safi nahongera kwakuona elimu iliyopo ndani ya house girl
Asant sana
Uhakikaaa
Waooo mnatuletea Kwa wakati shukran
Ila zuu utapona tu mungu yupo ❤❤❤
Aaah mm ata sijafurahi natakakumuona zuu😂😂😂mm na babake kai tumechoka kungoja😢😢😢
Zuuuh lazma apatkne kam unaamini hilo nnipe like❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤😂😂
Nyie mbona nipo Hapa Hapa Mmenipiga 😂daaa Ila hya nipeni bas japo moja😂 from Oman 🇴🇲
Jaman wa mwisho Leo naombeni like zangu😂😂😂
😂😂😂
Funs wa zuuh tujuane hapa....😍😍😍❤️❤️❤️💞💞💞💞
Hi
@@OfficialZuli-ve5kh mamb
@@StellaKimaro-no6mv poa vip
@@StellaKimaro-no6mv poa mzm
@@OfficialZuli-ve5kh nipo pouw cjui ww jmn
Haya jamani wapenzj wote wa busati usipite.bure hapa bila kulike🥰🥰
Wakwanza leo naomba like zenu please and please wale wapezi wa zuu na kai na bibi kai , malaika lets go like sasa naitaji ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mnaweza sna tunajifunza vingi sana kwa hii move❤❤❤❤❤❤
❤🎉❤ jamani nawapenda mimi humja wai nipa like hata moja 😢 naomba mwee moja to
Nimechelea jamani warundi muko wap munipe like ❤❤❤
tuko hapa
❤❤❤ tupo pamoja
Nipo lakini sikupi
Tupo
jamn wa kwanz naomb like zangu
Uzipeleke wapi😂😂❤🎉
❤❤❤
Unakul iyo like au mbn husifiii kaz Yao achen kutumia kaz za watu km fursa kwenu mnaboa yaan tumewachok like like t heeeee
@@sifamaureen2792 nazipeleka kw zuu
We zann
Nyie mnaoomba like acheni upuuzi ni utoto Kuomba omba tu kulike kukoment na kushare haaah😂😂
😂😂Nimecheka kwa sauti
Hahaha 🤣🤣🤣 jamani wakuige ww tu ju hujaomba lakini umepewa
Wangapi wanaenjoy wimbo wa house girl 😊😂👍
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mwenye atakuja nyuma anipe like jamani 🎉🎉❤🇧🇮🇧🇮
mimi hapa team gulf
🎉@@SalmaKenyatta-cn8tg
@@SalmaKenyatta-cn8tg Thank you
🎉🎉🎉acha tuone candy atatoboa kweli,njooni tutizame pamoja
Leo mumeweza at least mumetoa mapema naomba like zenu
Yani sichafurahia movie poa yenye mafunzo kama hii mubarikiwe sana waigizaji hapa mumejitahidi Sanaa's Yani
Musichelewe na episode 34plz
Wakwanza tunae mkubali chiko gonga like ata tano apa
Nipe like zenu jamani, kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ka2i nzuri sana bibi 2u 🎉🎉🎉🎉🎉 kendi sasa kimean2a kuku ramba
Ngoja niangalie ntarud kucoment
Baasi👏👏bibi ameyaanza zuu wetu atarudi jamani alf Kai mke wako ameshauriwa😂😂ueke nyumba raani chunga,,😅 from 🇰🇪🇰🇪 nawapenda
zuuuu atapatikana tyu
❤❤Nazipenda saana movie zenu nakizuri munatoa haraka haraka na enough time thank you good job
🥰🥰🥰🙏🙏
wakwanz nipen like zng😅
Yajayo yanafulaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ii tamthilia tam san cjui mwisho wa candy utakuwaj
Sijawai kukoment ila leo naona mwanga waja candy raundi hii huwezi toboa lazima useme tu kula chuma hicho bibi zuu 🎉🎉🎉🎉
🤣🥰🥰🥰
Hii imenifurahiaha kidogo imenpa matumaini kuwa zuu atapona good job guys much love from kenya
Mzigo tayari wacha tukae mwanzo tujue yafuatayo😂😂
Wa1 ila kama unamkubali kayi like hapa
Jaman 😂😂😂raha kuwai wako wap wakuomba like bla kuangalia movie 🎉🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂😂
Patamu hpo safii bib zuu nmeipenda hio hongereni nyote Kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉🎉 wee Kai mm nngekua best yko nngekuzaba Kofi ili akili zikkufunguka 😂😂😂😂
Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zuu naomba Like yako nakufatilia hap plzzz mpenz ❤❤❤❤
Sasa kama kila mmoja ni wakwazda,wa pili niyupi tumupe like😂
Mimi apa😊
Nibora munipe mm wamwisho😂😂😂😂
Mimi
😂😂😂😂😂😂
Namini daa zuu atapatikana na atapona anayeamani gongalike🎉🎉🎉🎉
Jaman leo nmekuwa wa kwanza daaah tng nmeanza ndo leo like zenu bx
Jaman hii move inausambaratisha moyo wang, mapenz yote ni Kwa zuu nani anampend zuu njooni tujuwan Kwa like dears
Naamini kabisa kwa uweza wa Mungu zuu atapatikana na kupona pia huyo candy ataumbuka
Kaz nzuriiii sanaaa,hongereniii🎉❤
Hata nami jaman like hata mbili
Bibi kafanya vzur sana leo,nilikua natamani sana hio taimu ya kumusumbua kendal ifike leo imefika😂
Tem Zuu twendeni uku 🏃🏃
Hii itakua sawa Kendi akiumbuka mbna tacheka
🙏🙏
Jmn munanifulahisha watu wa busati TV munadupa kwa wakati maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaani kai,,,,utakuja kulia kilio cha paka mwizi heeeee hujui tu kitu candy anakusukia
Nyanya wa zuu ivyo sasa ndio nilikuwa nangojea sana wapi like kwangu
Waash mambo yamebadilikaa ..... 😮😮😮Bibi ya zuu kaamuaaa anataka mjukuu wake ..candy candy tafta plam b 😅😅😅
Leo nimekuwa wa kwanza jamani😂 napenda love story
Jamani da zuuh apone bhana ❤❤❤ tunawapendaà tunasubiri episode nyingineee
Sekunde watu washafka selathini
Wooow❤❤❤kai weka hata dakika 30 bro. Filamu tamu sana😊Mungu awatie nguvu
Leo mmewahisha sanaa nawakubali
Yaani sasa napenda sana mchezo bibi Kawa kwenye uhalisia wake kendi jiandae na uchizi
Leo nimewahii jamnn mnipee ata likes moja
Jamani mbona mnanichukia ivyo mnipee like ata kumi tu
Kiboko wa kendy bibi Kama bibi dadeki mwisho wa ufalme wa kendy 😅😅
Jamani naombeni like za wanachuo wanaofatilia House girl 😂
Wakenya hoye🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yoooh🎉
Huy Bibi Kwa uchawi namuaminia Maan kweny move ya boss mchawi wee namp ❤
Alikua na cheo kikubwa Sema seson 2 Bado haijaanza
😂😂😂😂 ep 34 wangapi tunaanimi kuwa itakuwa tamu😂😂😂😂
Safi sana bibi zuu safi kabisa Sasa uyo mke wa Kay atalijuwa jiji hhhhhhh Yani inazidi kunoga tu jamanj
Chengine saa sita usiku jamni nzur sana mungu jalia zuu aonekane
Sasa saai kendi kimekuramba,Bibi ya zuu sio mchache, waaaah congratulations guys,mnajua Kazi.Mungu aendelee kuwapa nguvu za kuendelea kupambana jamani 🙏🪴💞
Wapi nduru nimewahi leo wa kwanzaaà🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣kujeni tuone zuuu akipona 😂😂😂😂😂😂😂
Sijachelewa sana leo ila mbona kama kendi ataumbuka jamani😂😂😂😂 kama waona hivo kama mm basi like jamani team zuu hi
Naombeni likes mi wa kwanza leo asanteni kwa kuwahi
Hapa ilipofikia n kali aisee❤❤❤❤❤candy chako kimoyoni😂😂😂😂
Wa kwanza leo naomben like jaman
😂😂😂naona harus tunayo ya zuu na kai🎉🎉🎉
Mimi wa kwanza Naomba like ❤❤❤❤
wau very interested Gendy kimekuramba😂😂😂😂
Jaman naomben like zangu kwa mar ya kwanza nmewah mapema
Tamu sana hii ❤❤nina matumaini sasa kuwa zuu atakuwa mzima 🎉🎉
Nakubali bwana munipe like zangu zakutosha Kama unayuwa zuuu atapona
Kendi kimeanja kukuramba subiri moto❤❤❤❤❤nyanya kanyagia hapohapo🔥🔥🔥🔥
Leo nimewaacha makusudi muwahi no kwasababu nyote uwa ni wa kwanza 😂😂😂😂😂ukiwa wa 300 uwa uoni kwa au auelewi
Jamani he naomba munisaidie huo wimbo naupenda sana kweli❤❤❤❤❤
Me wakwanza leo jaman like Zang mnipe
Jaman mjitaid muwe mnatoa vipade viwili kwa siku
Wakwanza Leo like zangu
Kai kai acha ushaga msikilize bwana mpago ww bibi mau yako 🌹💐🏵️🏵️ nimependa hyoo bibi
Nimechelewa kidogo hata3 😢 basi
Candy yameanza kumkumba kweli ,,,,harusi tunayo zuu na khai❤❤❤❤