BABA LEVO ATUA DAR KUTOKA MAREKANI,AZUNGUMZIA ISHU YA ROMA/APOTEZA VITU VYENYE THAMANI YA MIL 30

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 41

  • @Samalentv1
    @Samalentv1 Час назад +1

    Babalevo yupo vizuri sana ifike mahali watanzania tuwe wakweli maana ishu za greencard niliambiwa uongo mpka nika give up kufuatilia lets keep watching tupate madini

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 5 часов назад +5

    Mtani mauwa ni ishara ya upendo siyo miaka. Jamani yapokee kwa furaha na upendo. Mpe busu shavuni.
    Mke wako mrembo sana pia kakuzalia Watoto wazuri muno. Ukimkosea anibeep nakuja kukucharaza viboko.😂❤
    Nawaombea maisha
    mazuri ya furaha tele. Tulia mtani umesikia. Tii Amri mimi Mama 🧓🏾 Ninachokupendea una roho nzuri na ni muwazi na umenyooka.

  • @frederickloongableu-goude
    @frederickloongableu-goude 7 часов назад +4

    Huyo ndugu ni mukweli kabisa,very true

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 2 часа назад +1

    Hongera sana baba levo.

  • @ruthmukami7573
    @ruthmukami7573 3 часа назад

    Asante sana Baba Levo. Wakumbushe watu waende kucheza Green Card Lotto... it's open season mpaka November 5th 2024. Watu wanao saidia wapo Tanzania sasa hivi Dada Zawadi na Kaka Makulilo.. this is real folks, not fake.

  • @giztony2009
    @giztony2009 8 минут назад

    Kweli penye miti hakuna wajenzi maua ni mambo ya watoto tena aloo amemkata sana mwenzake

  • @BenjaSamson
    @BenjaSamson 25 минут назад

    ❤❤❤❤❤

  • @HashimHossa
    @HashimHossa 5 часов назад +1

    B revo mi nakuelewa Sana tuamshe. watanzania hatupendi kuona mwenzio anafika hapo ulipo

  • @timothyumeme1521
    @timothyumeme1521 7 часов назад +2

    Good that you are talking the truth..but people from Tanzania should know that,America is not a bed if roses.They should work hard and be ready for the challenges..La sivyo akuna rahisi..

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Час назад

    Majibu utanipa wee khs p Diddy,na hujabeba zawadi ya Diddy oil

  • @NyirantokiZahara
    @NyirantokiZahara 2 часа назад

    Oh! Jamani ndugu yetu kasahau begi ila mwijaku asijuwe maana akijuwa tu baba levo umekwisha

  • @Jasminadamu
    @Jasminadamu 4 часа назад

    Kuna tofauti ya mwandishi baba levi na huyo
    Baba levi akiuliza swali analijibu mwenyewe ila huyu mwandishi anampa nafasi anaelezea vizuri,baba levo jifunze kwa mfanyakazi wako😂

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 5 часов назад +1

    Wahindi ni wezi sana

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 6 часов назад +1

    😂😂😂 umezibet simu za watu Bb R

  • @richardkwayson7202
    @richardkwayson7202 5 часов назад +1

    Umetoa saadaka baba levol

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 4 часа назад

    Wabongo tunaiga sana Wazungu. Sas maua huku sio kawaida yetu.

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq 2 часа назад

    Hapo nakubaliana sana na huyo jamaa niukweli mtupu tuu

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla 3 часа назад

    Bora hvyo kuliko huku uchawa ndo imekua kazi

  • @odazzletvdaniel9025
    @odazzletvdaniel9025 5 часов назад +1

    mchumu tu chumban hatutaona😅😅😅

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 5 часов назад +1

    Ni kweli kbs akerika kila kitu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 часа назад

    Baba levo😂😂😂

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 6 часов назад +2

    🎉❤

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla 3 часа назад

    Babba levo mse**nge sana asa unaongelea maisha ya roma ndo ukichotumwa na wase*** wenzio huo uchoko

  • @norobo205
    @norobo205 6 часов назад +4

    Katimuliwa nini mbona ajakaa nakutembea sana kama mwijaku mana mwamba kaambulia kwenda kulenga shabaha tu na kuongea na roma

  • @ruthmukami7573
    @ruthmukami7573 2 часа назад

    Baba Levo ya kusaidiwa na huduma tatu au nne ukipiga simu sio kweli. Usipotoshe bana! Research kwanza then urekebishe vingine kwenye show yako.. usually just one comes. Ambulance only if you are sick. Police kama kuna criminal activity. Fire fighter kama kuna fire au kama wewe ni mnene sana to the point you can not fit in a regular ambulance. Hii nyingine "federal" sijui ni nini. FBI does not usually come to visit your house unless you've committed a serious act like murder, robbery suspect. Ukiwa una taka kuelimisha jamii do research hata kama umefika marekani for one week haimahanishi unajua kila kitu. Sisi wengine tunaishi huku miaka nenda rudi bado tuna mengi yakujifunza.

  • @EvelyneIsambi
    @EvelyneIsambi 5 часов назад

    Malekani nini bongo ushamba mwingi

  • @jovovichmedia9424
    @jovovichmedia9424 5 часов назад

    Uturuki hapo sahau

  • @JescaMwagama-oc9yt
    @JescaMwagama-oc9yt 7 часов назад

    weee mkaka umetoka kwa zamarad

  • @penueldjuma2845
    @penueldjuma2845 6 часов назад +1

    Huyu jamaa ni mkweli mauwa ni mambo ya watoto 😅

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 6 часов назад +2

    Baba levo umemkoseya mama rubi muombe radhi kaja kukupokeya kaleta mauwa unamkejeli tena ktk camera sio powa hata kama hujapenda mauwa hukupaswa kumtoa😢😢

  • @isaacmagambo4017
    @isaacmagambo4017 7 часов назад +2

    Chawa ni mpuuzi sana, mbona unaongelea maua hivo? Hadi mke wake anaona haya.

  • @Thekidsknowledger
    @Thekidsknowledger 3 часа назад

    safari yako umefanya yamsingi kwa midia yako na kwa watanzania wafwatiliaji wa seven!

  • @BideoMukambilwa
    @BideoMukambilwa 6 часов назад +1

    Pokea mauwa wewe kichwa kipara