Babalevo yupo vizuri sana ifike mahali watanzania tuwe wakweli maana ishu za greencard niliambiwa uongo mpka nika give up kufuatilia lets keep watching tupate madini
Mtani mauwa ni ishara ya upendo siyo miaka. Jamani yapokee kwa furaha na upendo. Mpe busu shavuni. Mke wako mrembo sana pia kakuzalia Watoto wazuri muno. Ukimkosea anibeep nakuja kukucharaza viboko.😂❤ Nawaombea maisha mazuri ya furaha tele. Tulia mtani umesikia. Tii Amri mimi Mama 🧓🏾 Ninachokupendea una roho nzuri na ni muwazi na umenyooka.
Asante sana Baba Levo. Wakumbushe watu waende kucheza Green Card Lotto... it's open season mpaka November 5th 2024. Watu wanao saidia wapo Tanzania sasa hivi Dada Zawadi na Kaka Makulilo.. this is real folks, not fake.
Good that you are talking the truth..but people from Tanzania should know that,America is not a bed if roses.They should work hard and be ready for the challenges..La sivyo akuna rahisi..
Kuna tofauti ya mwandishi baba levi na huyo Baba levi akiuliza swali analijibu mwenyewe ila huyu mwandishi anampa nafasi anaelezea vizuri,baba levo jifunze kwa mfanyakazi wako😂
Baba Levo ya kusaidiwa na huduma tatu au nne ukipiga simu sio kweli. Usipotoshe bana! Research kwanza then urekebishe vingine kwenye show yako.. usually just one comes. Ambulance only if you are sick. Police kama kuna criminal activity. Fire fighter kama kuna fire au kama wewe ni mnene sana to the point you can not fit in a regular ambulance. Hii nyingine "federal" sijui ni nini. FBI does not usually come to visit your house unless you've committed a serious act like murder, robbery suspect. Ukiwa una taka kuelimisha jamii do research hata kama umefika marekani for one week haimahanishi unajua kila kitu. Sisi wengine tunaishi huku miaka nenda rudi bado tuna mengi yakujifunza.
Baba levo umemkoseya mama rubi muombe radhi kaja kukupokeya kaleta mauwa unamkejeli tena ktk camera sio powa hata kama hujapenda mauwa hukupaswa kumtoa😢😢
Babalevo yupo vizuri sana ifike mahali watanzania tuwe wakweli maana ishu za greencard niliambiwa uongo mpka nika give up kufuatilia lets keep watching tupate madini
Mtani mauwa ni ishara ya upendo siyo miaka. Jamani yapokee kwa furaha na upendo. Mpe busu shavuni.
Mke wako mrembo sana pia kakuzalia Watoto wazuri muno. Ukimkosea anibeep nakuja kukucharaza viboko.😂❤
Nawaombea maisha
mazuri ya furaha tele. Tulia mtani umesikia. Tii Amri mimi Mama 🧓🏾 Ninachokupendea una roho nzuri na ni muwazi na umenyooka.
Mushamba uyo 😂😂
Huyo ndugu ni mukweli kabisa,very true
Hongera sana baba levo.
Asante sana Baba Levo. Wakumbushe watu waende kucheza Green Card Lotto... it's open season mpaka November 5th 2024. Watu wanao saidia wapo Tanzania sasa hivi Dada Zawadi na Kaka Makulilo.. this is real folks, not fake.
Kweli penye miti hakuna wajenzi maua ni mambo ya watoto tena aloo amemkata sana mwenzake
❤❤❤❤❤
B revo mi nakuelewa Sana tuamshe. watanzania hatupendi kuona mwenzio anafika hapo ulipo
Good that you are talking the truth..but people from Tanzania should know that,America is not a bed if roses.They should work hard and be ready for the challenges..La sivyo akuna rahisi..
Majibu utanipa wee khs p Diddy,na hujabeba zawadi ya Diddy oil
Oh! Jamani ndugu yetu kasahau begi ila mwijaku asijuwe maana akijuwa tu baba levo umekwisha
Kuna tofauti ya mwandishi baba levi na huyo
Baba levi akiuliza swali analijibu mwenyewe ila huyu mwandishi anampa nafasi anaelezea vizuri,baba levo jifunze kwa mfanyakazi wako😂
Wahindi ni wezi sana
😂😂😂 umezibet simu za watu Bb R
Umetoa saadaka baba levol
Wabongo tunaiga sana Wazungu. Sas maua huku sio kawaida yetu.
Hapo nakubaliana sana na huyo jamaa niukweli mtupu tuu
Bora hvyo kuliko huku uchawa ndo imekua kazi
mchumu tu chumban hatutaona😅😅😅
Ni kweli kbs akerika kila kitu
Baba levo😂😂😂
🎉❤
Babba levo mse**nge sana asa unaongelea maisha ya roma ndo ukichotumwa na wase*** wenzio huo uchoko
Katimuliwa nini mbona ajakaa nakutembea sana kama mwijaku mana mwamba kaambulia kwenda kulenga shabaha tu na kuongea na roma
Ulitaka Akae mpaka lini?
Alipewa wiki moja. Fuatilia mambo
Baba Levo ya kusaidiwa na huduma tatu au nne ukipiga simu sio kweli. Usipotoshe bana! Research kwanza then urekebishe vingine kwenye show yako.. usually just one comes. Ambulance only if you are sick. Police kama kuna criminal activity. Fire fighter kama kuna fire au kama wewe ni mnene sana to the point you can not fit in a regular ambulance. Hii nyingine "federal" sijui ni nini. FBI does not usually come to visit your house unless you've committed a serious act like murder, robbery suspect. Ukiwa una taka kuelimisha jamii do research hata kama umefika marekani for one week haimahanishi unajua kila kitu. Sisi wengine tunaishi huku miaka nenda rudi bado tuna mengi yakujifunza.
Malekani nini bongo ushamba mwingi
Uturuki hapo sahau
weee mkaka umetoka kwa zamarad
Huyu jamaa ni mkweli mauwa ni mambo ya watoto 😅
Baba levo umemkoseya mama rubi muombe radhi kaja kukupokeya kaleta mauwa unamkejeli tena ktk camera sio powa hata kama hujapenda mauwa hukupaswa kumtoa😢😢
Kazi ya Mauwa kazi yake Nini?.
Mushamba uyo
Chawa ni mpuuzi sana, mbona unaongelea maua hivo? Hadi mke wake anaona haya.
Maua kazi yake Nini?
acha makasiriko mnyonge mnyongen haki yake mpen acha utim autakaidia kitu
safari yako umefanya yamsingi kwa midia yako na kwa watanzania wafwatiliaji wa seven!
Pokea mauwa wewe kichwa kipara