Walter Chilambo-Sijawahi Ona (official Video Lyrics)
HTML-код
- Опубликовано: 22 фев 2024
- #SijawahiOna #WalterChilambo
onerpm.link/WalterChilambo-Si...
Audio Produced by KITAH THE PRO
Mixing and Mastering by @walterchilambotz
Production by LOVE MUSIC BRAND
Video Directed by AIC (DirectedAic)
Color By XNIPER CG
Props By Ms Loveness
NEVER SEEN, SIJAWAHI ONA
It is a word that admits to being amazed by the great things that God does in our lives, it is a word of faith that shows acceptance of God's works and his power and strength, and how he loves us and gives us everything if only we believe in him and accept him and receive him as the Lord and Savior of our lives
.
AUDIOMACK - audiomack.com/WalterChilambo_
SPOTIFY- open.spotify.com/artist/45uMT...
BOOMPLAY - www.boomplay.com/share/album/...
I'M BLESSED- open.spotify.com/album/4YPYAw...
TWITER - WalterChilambo4?s=09
THREADS - www.threads.net/@walterchilam...
INSTAGRAM - walterchilambot...
FACEBOOK PAGE - ChilamboWalt...
TIKTOK
www.tiktok.com/@walterchilamb...
SIJAWAHI ONA BOOMPLAY
www.boomplay.com/share/music/...
.
.
LYRICS
VERSE 1
Sijaumbwa kwa bahati mbaya
Aah jamani napendwa
Hivi hivi nilivyo
Mungu ananipenda
Pamoja na madhaifu yangu
Lakini napendwa
Hivi hivi nilivyo
Mungu ananipenda
So ukinidharau,we nidharau tu
Lakini mimi na Mungu wangu tuna jambo letu
Na ukinicheka,we nicheke sana
Hizo kwa Mungu kelele tu
Hazinisumbui wala
HOOK
Mungu wangu halali
Mungu wangu hasinzii
Na akisema anakubariki
Hakuna wakuzuia
Mungu wangu hashindwi
Mungu wangu hapangiwi
Neno lake halijawahi kupita
Bila kutimia....sijawahi ona
CHORUS
SIJAWAHI ONA aahh aahh (Mungu kama wewe aahh)
SIJAWAHI ONA aaah aah ( Mimi aah)
SIJAWAHI ONA aaah aahh (Upendo kama wako)
SIJAWAHI ONA aah aaah (Baba baba baba)
VERSE 2
Wewe umesema akutegemeaye
Haumuachi ng'o aah aaah
Akutegemeaye Haumuachi ng'o
Na tukiomba kwa bidii
Tena kwa kumaanisha
Ye hutimiza ahadi tusipozimia moyo
Nakosaje ujasiri ndani
Nimembeba mtu wa maana
Naanzaje ...naanzaje
Hatua moja huanzisha nyingine
Na nyingine ananipa mwenyewe
Naachaje ....naachaje
HOOK
Mungu wangu halali
Mungu wangu hasinzii
Na akisema anakubariki
Hakuna wakuzuia
Mungu wangu hashindwi
Mungu wangu hapangiwi
Neno lake halijawahi kupita
Bila kutimia....sijawahi ona
CHORUS
SIJAWAHI ONA aahh aahh (Mungu kama wewe aahh)
SIJAWAHI ONA aaah aah ( Mimi aah)
SIJAWAHI ONA aaah aahh (Upendo kama wako)
SIJAWAHI ONA aah aaah (Baba baba baba) Видеоклипы
Kama Unausubiri kwa hamu weka like na comments hapa
❤❤❤❤ yan aukoseagi kak mungu azidi kukutumia zaidi
nakusubili Kwa ham,naomba pamoja namapungufu yanguuuh oooh napendwaaah hatamkiniachaaaah,siogopi ananiliiindaaah,haujawah kunichokaaaah,ananipendaaah. voko inapanda. wasaliti Niweeengiiih ila yeye hakuniaaachaaah.weeeeh ebu Lete huo wimbo nimeikubali Sana Sana big up Kaz nzur
Ubarikiwe
Wimbo mtamu sana you're blessed bro
Good music ❤
Kila atakae like hii comment atakuwa ananikumbusha kwamba natakiwa kurudi hapa tena na tena kumsifu na kumshukuru Mungu ❤😊🎉💃💃💃
Mimi wa pili toka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania wapi like za chilambo weka hapa zote sijawahi. Weka like hapa zote za chilambo
Kaka mkubwa
Nouma zaidi ya Nouma,yaani Kali sana
Kama unaamini unapendwa na mungu gonga likes za kutosha hapaaa
Napend kaz zako♥️♥️♥️
Nkajua mario kahamisha kambii.... nice song hongera sana....mimi na mungu wangu tunajambo letu
waoooh Amazing song Glory to Glory Mungu wangu hadhindwiiii
Aaah jamn Ata like moja tu ntakosa kwel
god bless you kwa kweli Mungu sili yako anaijuwa yeye 👍👍👍
Waouuw🎉nyimbo nzuri sana😍courage kbx na ubarikiwe sana🙏
Kama umebarikiwa basi ngonga apa 😢😢😢
Nyimbo traaaaaamu sana hii hongera mtumishi wa Mungu
AMEEEN ,naamini ninachakwangu kwa ujumbe huo
Kitu safi clean message, my G uko juu sana kama mligotii
Your biggest fan from +254..nasubiri kwa hamu😊
Mie wa tatu kuiona hii wanao mkubari Cholambo tujuane hapa
Kweli kabisa mungu ananipenda❤
Amen Mungu akubaliki kaka nakubali🙏🙏🙏
Unanibariki sana kaka Mungu akutunzee zaidi 🎧
Be blessed mtumishi wa Mungu🙏
🙏🙏🙏Hakika Mungu wangu halali,Be blessed Brother
Umepotea sana..... All works well
Mungu wangu ananipenda sanaaaaa 🙏
Mungu akubariki sana I do love your songs broo
Maisha niya Mungu🙌🙌🙌
Mungu ni jibu Ubarikiwe ndugu
Nani mwingine anazurura kama mwehu kusubiri hii nyimbo😊❤
Mmmmh 😮 ,tuombe tulale iii nikesho dear
Kaka hizi ndio level zako sasa ubarikiwe sana
Glory to Glory Mungu wangu hashindwiii
Kaka kazi kubwa sana hii❤
Barikiwa bro unaeda far zaidi
Sijawah ona Mungu kama wewe 😊
Hivi hivi nilivyo Mungu ananipenda
Nyimbo nzuri chilambo
Ubarikiwe sana mwana wa Mungu
Tunapedwa kweli kk
Safi kabisa
Nakukubl San broo unanibariki San hususan wimbo wako wa only you..❤❤
Sijaumbwa kwa bahati mbaya ❤❤❤
Powa sana uko vizuri sana
sijawai ona
Oh my goodness! Walter hii imeweza sana! Praise God from Tennessee, USA😭😭😭
This is a top notch I can't stop repeating listening to this song again and again good work
Mimi pia sijawahi ona Mungu kama wewe wallahi Mungu ananipenda!! Nyimbo zako hunitia moyo sana walter 💪💪# your biggest fan from +254
Broo!! Unajua sana
Wimbo mzuri jaman
Apewe yake maua yake your the winner bro❤
Mungu Akupe Maisha Marefu🤝
God bless you for blessing our soul with wonderful songs
I love it ❤
Asante sana for the english translation🙏
Mungu akubariki🙏
Bonge la wimbo binafsi nimebarikiwa sana sijawahi ona Mungu kama wewe! Mungu wa namna hii
🎉🎉🎉🎉🎉Halleluyah Amen...sijawai ona mimj
Asante sana kupenda mungu Walter naeatakupenda daima
Gonna like hapa kwa ajili ya huu wimbo 🎉🎉🎉🎉
Kweli mwanzo nimeshituka nikajuwa ni marioo😂❤
Sijaona Bado
Sijaona kama wew
Umetisha Sana 👏
Nakupenda sana walter chilambo hakika unanikumbusha umuhimu wa Mungu kwangu
Saf sana comred
wakati napo sikihya nyimbo zake nakuwaka najukuta sana kupata na fasi yakusema na Mungu wangu, bro kuwa sana nipate wakati ya ku furahi kila wakati Aksante brother.
Napendwa jamani, hivi hivi nilivyoooo
Walter hii ni 🔥
Kazi nzuri bro... Mungu anakupenda. More grace
Ubarikiwe kaka 🙏
Nice song 🙌🙌🙌
❤❤❤❤May Jesus Christ bless us all
Kazi nzuri,my broo,Mungu akubariki
❤❤❤❤❤❤❤pokea mapenzi kutoka Kenya
Jamani napendwa
🔥🔥🔥🔥🔥
God bless you bro.. From Kenya your song blesses me
Amazing song 🎶 😢 glory be to God🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼🙏
MUNGU ANANIPENDA🎉❤
@walter chilambo songs always on 🔥..my favourite
Nakumbali sana utendaji wa kazi wa chilmbao,mimi ni wa kwanza kutoka Congo 🇨🇩, nampenda sana
KIGALI,RWANDA🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Wakwanza like zenu wapendwa
Kazi nzuri anko wa Samrina Mungu aendelea kubariki kazi zako
Kaka @walter you kill it bro gid is greatest
Kaka umetisha sana 🔥🔥🔥🔥
I'm so excited Mtu wa Mungu. Release it soon
Jah Bless Bro,Namuona marioo kwa sauti yako wenda nayee atapata neema ya kuimba injili siku zijazo
Dah kipaji chako kikubwa sana, Mungu azidi kukupaisha viwango vya juu
MUNGU akubariki sana kakaaa,,, hakika sijawahi ona
I like it
It sounds like marioo vibes
Nakubali kaka
brother ni baraka sana
Wimbo wa baraka sana
Hongera xna
Nakukubali 100%
Mimi na Mungu tunajambo letu💪🙏🙌 God bless you bro
Brother unajua hundred percent
Ubarikiwe bro
Kazin yako ni nzur bro God bless you
akisema nakubariki hakuna wa kuzuia🔥
Nyimbo nzuri tumeipokea vyema hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Woooh mtumishi be blessed bro
From Nakuru tuko inn❤🎉
Ngoma kalii snaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nyimbo nzuri
Pamoja kaka.... 😊😊