HIGHLIGHTS: SIMBA 1 - 5 YANGA/ UTAMU WA USHINDI HUU HAPA MWANANCHI ENJOY 5G🖐🏼

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 287

  • @javowa121407
    @javowa121407 10 месяцев назад +78

    Shabiki sugu wa Yanga Fc kutoka 🇰🇪 Kenya, tafadhali nipeni like

  • @mupetv6381
    @mupetv6381 10 месяцев назад +23

    Leo Mzize amepiga kazi haswa😅👍🔥

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 10 месяцев назад +20

    Mzize nampa maua yake kanibadilishia matokeo,drogba wa bongo au Lukaku na wachezaji wote kwa ujumla big up,tuwakilishieni nembo ya watoto wa jangwani,GSM mwendo huo huo mpaka waisome namba ,love yanga daima mbele nyuma kwetu mwiko.

  • @ZennashySaidy-om3xh
    @ZennashySaidy-om3xh 10 месяцев назад +21

    Yanga ih ilivo kua ya Moto🔥🔥🔥

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 10 месяцев назад +20

    Mzize akiendelea na umakini huo namuona mbali big up kocha kuwaingiza kwenye mfumo😂😂😂😂😂..

  • @evaristkomba3184
    @evaristkomba3184 10 месяцев назад +28

    Put some respect to pacoume zizzou mwamba ni hatari

  • @allexisaya6590
    @allexisaya6590 10 месяцев назад +32

    Tunawakubali sana wachezaji wetu ❤❤ nasubiri Hidden Camera

  • @EddyMwangiri
    @EddyMwangiri 10 месяцев назад +10

    Hongera yanga..bao ya nne walicheza utamu..sisi ndo yanga

  • @husseinmejja8041
    @husseinmejja8041 10 месяцев назад +19

    Young africa best team in africa right now

  • @daudimmary3965
    @daudimmary3965 10 месяцев назад +5

    Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi bila kuwasahau viongozi na sisi mashabiki wallah tumefurahi sanaa

  • @rashidsimba3680
    @rashidsimba3680 10 месяцев назад +8

    hongera sana Dar young Africans ,Fans,Bench la ufundi,Rais na Management nzima ya Club ,Kongoleee

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 10 месяцев назад +21

    Ninamuita BBS "Big Brain Striker" Walid Clement Mzize unaweza kumuita Drogba wa Bongo

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 10 месяцев назад +5

    Mmenifurahisha toka machakos kenya..

  • @ashatupa6076
    @ashatupa6076 10 месяцев назад +11

    Hongera sana mwananchi mwenzangu 💚💛💛💛💛💛

  • @neemadaniel6233
    @neemadaniel6233 10 месяцев назад +3

    Ahsanten sana Jana mmekonga nyoyo zetu na mmekata ngebe za mtani, Magnificent, Excellent 👌

  • @nyabzuwamwagonme
    @nyabzuwamwagonme 10 месяцев назад +15

    Yanga ❤❤❤❤❤❤❤

  • @eugenejustin8487
    @eugenejustin8487 10 месяцев назад +2

    Watchint all the way from South Africa ❤❤

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 10 месяцев назад +27

    Refa kawasaidia Sana Ile penati Yule beki WA Simba alitakiwa ale redcard😂😂😂😂😂

    • @elinazimsuya1725
      @elinazimsuya1725 10 месяцев назад +1

      Bora aliwaacha ili tuwapige nyingi pacpo kicngzyo cha Redcard

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 10 месяцев назад +23

    Viva Yanga Viva Wananchiiiiii 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️⚽🔝💛💚👊💥5G Hii imeeenda

  • @DoricaMsanya-ze2wc
    @DoricaMsanya-ze2wc 10 месяцев назад +3

    Tabulele laaaah💚💛💚💛💚hii sio raha ila ni zaidi ya furaha jmm wananchi ni mwendo wa kutabasamu😊😊😊😊😊😊

  • @chiefosward1376
    @chiefosward1376 10 месяцев назад +5

    TABULELE LAHHHHH 💛💚🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 10 месяцев назад +8

    Hongereni wananchi, hongereni wachezaji, hongereni uongozi kwa kuwaadhibu hawa mandunduka. Mmewapelekea aibu ya mwaka.

  • @kevymloje730
    @kevymloje730 10 месяцев назад +37

    WANANCHIII NIPENI KOMENT 5✋🏻✋🏻✋🏻😁😁 HAPAA

    • @janelebayo6161
      @janelebayo6161 10 месяцев назад

      💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @aminasubira6591
    @aminasubira6591 10 месяцев назад +31

    ✋Hi five To All Yangs African Fans 🎉🎉Am so happy wallah 💚💛Waliamini Mvuaaa😂😂

  • @Zapata88
    @Zapata88 10 месяцев назад +15

    Ukuta wa Jericoh umevunjwa rasmi...Young yetu pokea 💐yako kutoka 🇷🇼

  • @jumannezengo3437
    @jumannezengo3437 10 месяцев назад +11

    Nipe tano zangu nitembeee zangu👊👊👊👊👊👊👊👊

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 10 месяцев назад +2

    Mzize namuona mbali saaan jmn,hongera kwa kujirekebishaaaa

  • @rajah9328
    @rajah9328 10 месяцев назад +10

    Nilijipata nikiwa fan wa Yanga FC from 2017

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 10 месяцев назад +5

    Wachezaji wetu,kazi nzuri saaana.Ahsante Mungu.🙏🙏🙏🙏.

  • @JacksonKiondo
    @JacksonKiondo 10 месяцев назад +21

    Tumempiga Mtu Tano Alafu Kumbe Ni Tarehe 5 😂😂😂

  • @hggvg9809
    @hggvg9809 10 месяцев назад +10

    Tabu leleeeeeee Laaaaaaaah🖐️5G🖐🏼💚💛💐💐💐

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 10 месяцев назад +12

    Simba mfumo wa mvua umewachanganya 😂😂😂😂😂

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 10 месяцев назад +20

    Hata HUKU nilipo mvua kali Lakini Mnara unasoma vizuri tuuuu.... FULL 5G 📶......Vijino vyote......
    Hii tunaita UNDER-MBWA...😊

  • @MapessaIcon
    @MapessaIcon 10 месяцев назад +2

    Muandishi acha mbwembwe simba tumepata lakufutia machozi sio 5-0 kama ulivyoandika😁 lkn hongera sana kwa ushindi mliopata🎉

  • @bonifacehamis4088
    @bonifacehamis4088 10 месяцев назад +4

    YANGA bingwa tena 🔰💥💥💥

  • @FabiusMnyambo
    @FabiusMnyambo 8 месяцев назад +3

    akha i had a lot of stresses but after reviewing that match i felt stronger

  • @jumaiddyyusuph
    @jumaiddyyusuph 10 месяцев назад +3

    🦁🦁🦁🦁 0 - 5 au 1 - 5 msitunyime ata la kufutia machozi😭

  • @agnesmsangi4935
    @agnesmsangi4935 10 месяцев назад +17

    Naombeni salamu tano🖐

  • @cosmangonyani1371
    @cosmangonyani1371 10 месяцев назад +8

    Pamoja sana hakika mmenipa Raha sana siku ya leo

  • @joshkelatv6876
    @joshkelatv6876 10 месяцев назад +8

    Yanga💛💚🔰💛💚

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 10 месяцев назад +37

    Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi pamoja na viongozi Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @graciellaYerry-hi2ky
    @graciellaYerry-hi2ky 10 месяцев назад +4

    Yanga❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @leonleon6323
    @leonleon6323 10 месяцев назад +12

    Tumewanyanyasa sana hao mbwa walitamba sana hii week😅

  • @salimually6601
    @salimually6601 10 месяцев назад +3

    Hongera wachezaji wetu na benchi la ufundi hakika kazi mmeifanya

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 10 месяцев назад +5

    Na Leo katika siku alizocheza mzize Leo ndio amecheza alikuwa na utulivu sometime usilazimishe kufunga wewe ata pasi inatosha Leo kacheza vizuri sanaaaaaaaaaaaa

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 10 месяцев назад +6

    Hongereni sana mmeupiga mwingi sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️💐💐💐💐💐🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @hadsonsangala3083
    @hadsonsangala3083 10 месяцев назад +2

    yanga tamuuu💚💛

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 10 месяцев назад +6

    Safi rqha sanaa 😂🎉🎉

  • @kingimmakelela662
    @kingimmakelela662 10 месяцев назад +8

    Yanga baba lao 💚💛💚💛💚

  • @mkapangope9119
    @mkapangope9119 10 месяцев назад +8

    Yanga tamu

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 10 месяцев назад +4

    Asanteni sana sana mno vjn wetu.
    Nimeelemewa,yaaani nakosa neno zuri la kuwapongeza.Niseme tu burdan mrabata.Mlikuwa vzr idara zote,asikwambie mtu kweli Yanga tam.
    Daima mbele nyuma mwiko.
    Wenye husda na husda zao,kina nani ??,c hao madunduka/makolokolo

  • @sashamotana3490
    @sashamotana3490 10 месяцев назад +3

    Love yanga

  • @DefaoKimata-rf7wp
    @DefaoKimata-rf7wp 10 месяцев назад +10

    Hii yanga itaniuwa 😂😂😂you

  • @issamellody8880
    @issamellody8880 10 месяцев назад +11

    Like zangu Kwa yanga

  • @HassaniMsigala
    @HassaniMsigala 10 месяцев назад +12

    Tulio rudia kuangalia Zaid ya mara Moja tujuane kwa like hapa za kutosha

  • @shomari_msumi
    @shomari_msumi 10 месяцев назад +1

    Nilikuwa nina stress leo lakini baada ya kujikumbushia haya magoli ya timu yangu, stress zimeisha.....Yanga Afrika for life💚💚💚

  • @amriiddy1972
    @amriiddy1972 10 месяцев назад +145

    Naombeni like 5 kwa Yanga 🖐

  • @AbdalaJanuali
    @AbdalaJanuali 10 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yangaaaaaaa

  • @beeyclasikytz8404
    @beeyclasikytz8404 10 месяцев назад +3

    Simba 1__5 yanga admini umeteleza Apo kwenye ubao. ....ni tano moja

  • @monikakagolo7827
    @monikakagolo7827 10 месяцев назад +2

    Ynga tamu ❤❤❤

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 10 месяцев назад +4

    Alhamdullah

  • @rizikinmshauli1390
    @rizikinmshauli1390 10 месяцев назад +2

    1-5 yanga mbele nyuma mwiko

  • @RehemaKisesa-vw9ol
    @RehemaKisesa-vw9ol 10 месяцев назад +2

    Nipeni like zangu shabiki damdam walisema atufikibmbali apa niwapi❤❤❤

  • @Emanuelorgtz
    @Emanuelorgtz 10 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.👊👊👊👊👊👊 Yanga daima mbele nyuma mwiko hahahahaaaaaaaa had watakubali huu mwaka

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 10 месяцев назад +1

    Ahsante Mungu,ahsante Yanga

  • @kassimumqatary648
    @kassimumqatary648 10 месяцев назад +3

    Itabaki kwenye kumbukumbu kwao

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 10 месяцев назад +1

    Watambue Simba jamii ya Paka kuwà uchawi hauvuki maji

  • @Samalextz
    @Samalextz 10 месяцев назад +3

    Ahsanteni wanainchi birthday yangu imefana sana

  • @annastaziaramadhani2666
    @annastaziaramadhani2666 10 месяцев назад +1

    Rekebishen tattle Simba watani wetu walishinda Moja tuwape haki yao

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 10 месяцев назад +1

    Ukisikia timu kubwa ni yangasc💚💚💛💛

  • @raksulchoki7063
    @raksulchoki7063 10 месяцев назад

    Amna Beki apoo simbaa

  • @elardmassawe5513
    @elardmassawe5513 10 месяцев назад +2

    mshike uyooo HATOKI MTU

  • @MAMUUSUU
    @MAMUUSUU 10 месяцев назад

    Love you Aziz key 🔐

  • @MustaqimMuhsin
    @MustaqimMuhsin 10 месяцев назад

    Tabulele lahaaaaaa

  • @omaryamiri3175
    @omaryamiri3175 10 месяцев назад +1

    Hiiii yanga top top🔰🔰🔰💚

  • @ngendas7488
    @ngendas7488 10 месяцев назад +1

    💥💥💥💥💥💥💥💥💛💚🖤

  • @Mahengo-d3r
    @Mahengo-d3r 10 месяцев назад

    Shabalala we believe nisikilizen sahabalala so beki

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 10 месяцев назад

    Wananchiiiiiiii

  • @abdallahchimerah2634
    @abdallahchimerah2634 10 месяцев назад +3

    🇰🇪 yanga mpaka the end 👋

  • @RajabuBojo-j2l
    @RajabuBojo-j2l 8 месяцев назад +1

    Tumewamwagia shwaaa

  • @MaiKimatilo
    @MaiKimatilo 10 месяцев назад +1

    Wachezaji tumepata kama timu za ulaya sio yanga walio izoea nasikia raha kama ningekuwa na uwezo wangeichoi yanga

  • @dianajeremiah1547
    @dianajeremiah1547 10 месяцев назад

    Oyaaaaa weeeeeee👋😊

  • @muhammadrashford4757
    @muhammadrashford4757 10 месяцев назад +1

    muache uswahili wa kifala wa kuja kusherehekea ndani ya uwanja kuweni professional

  • @reymgusi1616
    @reymgusi1616 10 месяцев назад +5

    💚💫

  • @IrandagiyeBlaise
    @IrandagiyeBlaise 10 месяцев назад

    Wnainchi oyeeeee

  • @elizabethmagesa2818
    @elizabethmagesa2818 10 месяцев назад +1

    Yaani Kibu akatufunga mdomo akaona wamemaliza mchezo, kilichowakuta sasa hawatokaa wasahau

  • @John-hn4qg
    @John-hn4qg 10 месяцев назад

    Owa eee ni atar

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 10 месяцев назад +1

    💛💚🖐

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 10 месяцев назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👋

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 10 месяцев назад +1

    Nimeirudia rudia kuangalia hii highlights mpaka leo mwaka 2075

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 10 месяцев назад +1

    Allaah Akbar

  • @PiusSaid
    @PiusSaid 7 месяцев назад +2

    Azam hawaja post high light ya mwalabu 4 - 0 Ngoja Tuji pooze huku😂😂

  • @anrelyltv3757
    @anrelyltv3757 10 месяцев назад +3

    🔥🔥🔥

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 10 месяцев назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @FurorianJosephat
    @FurorianJosephat 10 месяцев назад

    Yanga Tamu mnatupa lahaa

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 10 месяцев назад +1

    Best team

  • @Mahengo-d3r
    @Mahengo-d3r 10 месяцев назад

    Huyo shabalala hata kuzuia hajui mfundishen kuzuia

  • @LevinaMwashigalaLevinaMwashiga
    @LevinaMwashigalaLevinaMwashiga 10 месяцев назад

    Mzize kaupiga mwing sana

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 10 месяцев назад

    Hajaman waoneen huluma Ni 1kwa5

  • @JayMsafi-zs9nm
    @JayMsafi-zs9nm 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤