Mzize nampa maua yake kanibadilishia matokeo,drogba wa bongo au Lukaku na wachezaji wote kwa ujumla big up,tuwakilishieni nembo ya watoto wa jangwani,GSM mwendo huo huo mpaka waisome namba ,love yanga daima mbele nyuma kwetu mwiko.
Na Leo katika siku alizocheza mzize Leo ndio amecheza alikuwa na utulivu sometime usilazimishe kufunga wewe ata pasi inatosha Leo kacheza vizuri sanaaaaaaaaaaaa
Asanteni sana sana mno vjn wetu. Nimeelemewa,yaaani nakosa neno zuri la kuwapongeza.Niseme tu burdan mrabata.Mlikuwa vzr idara zote,asikwambie mtu kweli Yanga tam. Daima mbele nyuma mwiko. Wenye husda na husda zao,kina nani ??,c hao madunduka/makolokolo
Shabiki sugu wa Yanga Fc kutoka 🇰🇪 Kenya, tafadhali nipeni like
🎉🎉
Hongera kuchagua yanga💚💛
Leo Mzize amepiga kazi haswa😅👍🔥
Mzize nampa maua yake kanibadilishia matokeo,drogba wa bongo au Lukaku na wachezaji wote kwa ujumla big up,tuwakilishieni nembo ya watoto wa jangwani,GSM mwendo huo huo mpaka waisome namba ,love yanga daima mbele nyuma kwetu mwiko.
Yanga ih ilivo kua ya Moto🔥🔥🔥
Mzize akiendelea na umakini huo namuona mbali big up kocha kuwaingiza kwenye mfumo😂😂😂😂😂..
Put some respect to pacoume zizzou mwamba ni hatari
Tunawakubali sana wachezaji wetu ❤❤ nasubiri Hidden Camera
Hongera yanga..bao ya nne walicheza utamu..sisi ndo yanga
Young africa best team in africa right now
AL AHLY🤫
Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi bila kuwasahau viongozi na sisi mashabiki wallah tumefurahi sanaa
hongera sana Dar young Africans ,Fans,Bench la ufundi,Rais na Management nzima ya Club ,Kongoleee
Ninamuita BBS "Big Brain Striker" Walid Clement Mzize unaweza kumuita Drogba wa Bongo
Mmenifurahisha toka machakos kenya..
Hongera sana mwananchi mwenzangu 💚💛💛💛💛💛
Ahsanten sana Jana mmekonga nyoyo zetu na mmekata ngebe za mtani, Magnificent, Excellent 👌
Yanga ❤❤❤❤❤❤❤
Watchint all the way from South Africa ❤❤
Refa kawasaidia Sana Ile penati Yule beki WA Simba alitakiwa ale redcard😂😂😂😂😂
Bora aliwaacha ili tuwapige nyingi pacpo kicngzyo cha Redcard
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️⚽🔝💛💚👊💥5G Hii imeeenda
Tabulele laaaah💚💛💚💛💚hii sio raha ila ni zaidi ya furaha jmm wananchi ni mwendo wa kutabasamu😊😊😊😊😊😊
TABULELE LAHHHHH 💛💚🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongereni wananchi, hongereni wachezaji, hongereni uongozi kwa kuwaadhibu hawa mandunduka. Mmewapelekea aibu ya mwaka.
WANANCHIII NIPENI KOMENT 5✋🏻✋🏻✋🏻😁😁 HAPAA
💛💛💛💛💛💛💛💛
✋Hi five To All Yangs African Fans 🎉🎉Am so happy wallah 💚💛Waliamini Mvuaaa😂😂
Ukuta wa Jericoh umevunjwa rasmi...Young yetu pokea 💐yako kutoka 🇷🇼
Nipe tano zangu nitembeee zangu👊👊👊👊👊👊👊👊
Mzize namuona mbali saaan jmn,hongera kwa kujirekebishaaaa
Nilijipata nikiwa fan wa Yanga FC from 2017
Wachezaji wetu,kazi nzuri saaana.Ahsante Mungu.🙏🙏🙏🙏.
Tumempiga Mtu Tano Alafu Kumbe Ni Tarehe 5 😂😂😂
Tabu leleeeeeee Laaaaaaaah🖐️5G🖐🏼💚💛💐💐💐
Simba mfumo wa mvua umewachanganya 😂😂😂😂😂
Hata HUKU nilipo mvua kali Lakini Mnara unasoma vizuri tuuuu.... FULL 5G 📶......Vijino vyote......
Hii tunaita UNDER-MBWA...😊
Muandishi acha mbwembwe simba tumepata lakufutia machozi sio 5-0 kama ulivyoandika😁 lkn hongera sana kwa ushindi mliopata🎉
YANGA bingwa tena 🔰💥💥💥
akha i had a lot of stresses but after reviewing that match i felt stronger
🦁🦁🦁🦁 0 - 5 au 1 - 5 msitunyime ata la kufutia machozi😭
Naombeni salamu tano🖐
Pamoja sana hakika mmenipa Raha sana siku ya leo
Yanga💛💚🔰💛💚
Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi pamoja na viongozi Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥🔥🔥🔥
Amen.
Pamoja sana💪💪💪
Yanga❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tumewanyanyasa sana hao mbwa walitamba sana hii week😅
Hongera wachezaji wetu na benchi la ufundi hakika kazi mmeifanya
Na Leo katika siku alizocheza mzize Leo ndio amecheza alikuwa na utulivu sometime usilazimishe kufunga wewe ata pasi inatosha Leo kacheza vizuri sanaaaaaaaaaaaa
Hongereni sana mmeupiga mwingi sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️💐💐💐💐💐🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
yanga tamuuu💚💛
Safi rqha sanaa 😂🎉🎉
Yanga baba lao 💚💛💚💛💚
Yanga tamu
Asanteni sana sana mno vjn wetu.
Nimeelemewa,yaaani nakosa neno zuri la kuwapongeza.Niseme tu burdan mrabata.Mlikuwa vzr idara zote,asikwambie mtu kweli Yanga tam.
Daima mbele nyuma mwiko.
Wenye husda na husda zao,kina nani ??,c hao madunduka/makolokolo
Love yanga
Hii yanga itaniuwa 😂😂😂you
Like zangu Kwa yanga
Tulio rudia kuangalia Zaid ya mara Moja tujuane kwa like hapa za kutosha
Nilikuwa nina stress leo lakini baada ya kujikumbushia haya magoli ya timu yangu, stress zimeisha.....Yanga Afrika for life💚💚💚
Naombeni like 5 kwa Yanga 🖐
Waambieni simba walale uvunguni
❤❤❤❤❤ Ilove You Yanga
❤
Mimi ni yangaaa
😢😮😅😅
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yangaaaaaaa
Simba 1__5 yanga admini umeteleza Apo kwenye ubao. ....ni tano moja
Ynga tamu ❤❤❤
Alhamdullah
1-5 yanga mbele nyuma mwiko
Nipeni like zangu shabiki damdam walisema atufikibmbali apa niwapi❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.👊👊👊👊👊👊 Yanga daima mbele nyuma mwiko hahahahaaaaaaaa had watakubali huu mwaka
Ahsante Mungu,ahsante Yanga
Itabaki kwenye kumbukumbu kwao
Watambue Simba jamii ya Paka kuwà uchawi hauvuki maji
Ahsanteni wanainchi birthday yangu imefana sana
Rekebishen tattle Simba watani wetu walishinda Moja tuwape haki yao
Ukisikia timu kubwa ni yangasc💚💚💛💛
Amna Beki apoo simbaa
mshike uyooo HATOKI MTU
Love you Aziz key 🔐
Tabulele lahaaaaaa
Hiiii yanga top top🔰🔰🔰💚
💥💥💥💥💥💥💥💥💛💚🖤
Shabalala we believe nisikilizen sahabalala so beki
Wananchiiiiiiii
🇰🇪 yanga mpaka the end 👋
Tumewamwagia shwaaa
Wachezaji tumepata kama timu za ulaya sio yanga walio izoea nasikia raha kama ningekuwa na uwezo wangeichoi yanga
Oyaaaaa weeeeeee👋😊
muache uswahili wa kifala wa kuja kusherehekea ndani ya uwanja kuweni professional
💚💫
Wnainchi oyeeeee
Yaani Kibu akatufunga mdomo akaona wamemaliza mchezo, kilichowakuta sasa hawatokaa wasahau
Owa eee ni atar
💛💚🖐
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👋
Nimeirudia rudia kuangalia hii highlights mpaka leo mwaka 2075
Allaah Akbar
Azam hawaja post high light ya mwalabu 4 - 0 Ngoja Tuji pooze huku😂😂
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yanga Tamu mnatupa lahaa
Best team
Huyo shabalala hata kuzuia hajui mfundishen kuzuia
Mzize kaupiga mwing sana
Hajaman waoneen huluma Ni 1kwa5
❤❤❤❤❤