VAR ilivyotumika dimbani Azam Complex, Chamazi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Tazama VAR ilivyotumika kwenye tukio hili la offside kwa upande wa Coastal Union kwenye michuano ya #LigiKuuYaVijanaU20

Комментарии • 26

  • @paschalurassa6648
    @paschalurassa6648 2 года назад +1

    Hongereni Sana hatua nzuri

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 2 года назад +1

    Safi sana maana marefa walikua wanaharibu soka letu kwa makosa ya hovyohovyo.

  • @denismvula300
    @denismvula300 2 года назад +2

    Hiii VAR iondolewe mala moja kama ndo hivyooo😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @hamisibongo629
    @hamisibongo629 2 года назад +2

    Waangalia Waangalia VAR kama wanachungulia mpira wa shoulling soccer

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 2 года назад +1

    MWANZO mgum ilaaa atlest itasaidiaaa kwenye mipila ya kushika kwenye box n.k ongera kwa kujalib

  • @mbishkula1875
    @mbishkula1875 2 года назад +1

    Muangaliaji V.A.R Anachungulia Kama anatafuta SINDANO,,😀😀😀

  • @ibrahimabel8360
    @ibrahimabel8360 2 года назад +1

    Nimecheka kwa sauti mnoooo

  • @samweljames
    @samweljames 2 года назад

    Duh!!! Ukiwa wajifunza kitu ni noma😂😂😂😂😂😂

  • @djhboytz3993
    @djhboytz3993 2 года назад +1

    Waoooooooo

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 2 года назад

    bado sana

  • @littlesakhoiv1893
    @littlesakhoiv1893 2 года назад

    Mnakosaga sehemu mpaka mkae kwenye magari

  • @elvisthomas1621
    @elvisthomas1621 2 года назад

    Tuleteeni ligi kuu kulwa na doto watapata tabu sna

  • @ennopromes8584
    @ennopromes8584 2 года назад

    Duh

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 года назад

    VAR ya kisenge unakataa gori la namna hiyo.

  • @hassanhd6480
    @hassanhd6480 2 года назад

    Makolo wataumbuka mwaka huu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 года назад

    Kama ndio hivyo, hakuna sababu ya VAR

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 года назад

    O vyo kabisa bila hata aibu mnakataa Gori la jivyo, siku mkiichezesha hiyo var,Zinapigwa mpaka na hiyo Var,wataipiga mawe.

  • @philipo5
    @philipo5 2 года назад

    Make apo kwanza nicheke

  • @makameally1962
    @makameally1962 2 года назад

    Hii ni offside offence

  • @mwanalau2457
    @mwanalau2457 2 года назад

    Iletwe hiyo🤣🤣🤣🤣

  • @thedon8048
    @thedon8048 2 года назад

    VAR😂

  • @Dodoma_Supplement_Store
    @Dodoma_Supplement_Store 2 года назад +1

    hahahaha zitapigwa ngumi nyingi sanaaaa NGOJA TUIONE TREHE 13 AUG.