🚨Ahmedally Afunguka mazito baada ya Tiketi kumalizika,ATOA neno kwa Mashabiki.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • #football #alikamwe #simba #simbaislive #ahmedally #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Комментарии • 30

  • @WilleMbwilo
    @WilleMbwilo Месяц назад

    Crown mko vizuri sanaconglution 👏👏👏👏

  • @gervas58
    @gervas58 Месяц назад +2

    Mm sijasema sikiliza mpaka mwisho wamesema wenyewe....

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 Месяц назад +1

    Sasa kama Mpira ni vita Sio ushindani ..Iko wapi hio starehe mfano kuna Simba Tu au Yanga Tu sasa Sisi mashabiki tungali tokeya wapi ?Na tungali weza wapi kuwa tunashangiliya na kushinda au utani.

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx Месяц назад

    😅😅siwamezoea vyabure ?hawaniwapenda ubwete sana

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 Месяц назад

    Aslaam aleykum Warahmatullah wabarakyatu brothers..

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx Месяц назад

    Ukiwa mbishi nimbishitu lakini uwanja utajaa birafunguria mbwa

  • @SebastianiMaganga-me8lq
    @SebastianiMaganga-me8lq Месяц назад +1

    Nguvu moja, unyama mwingi na ubaya ubwela mwaka wetu

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Месяц назад

    Mgeni rasmi nani?

  • @user-ge3yd1tx5e
    @user-ge3yd1tx5e Месяц назад

    Hawajamaliza amna kitu hapo

    • @Shemahonge-ku7xx
      @Shemahonge-ku7xx Месяц назад

      Kumariza Nini kamahazijaisha watasemaje hivyo iriwatu wasinunue ? Nikwamba nitayari kamahutaki kaakinya

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu Месяц назад

    Wazee wa supu"😂😂😂😂😂

  • @saidimketo6708
    @saidimketo6708 Месяц назад

    Na wasafi ni chawa wa yanga kama walivyo wachambuzi wa media nyingi hapa nchini

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Месяц назад

      Wanalipiwa kodi za nyumba na kuwekewa mafuta kwenye magari waoga mnoo unaona kabisa kusifia Sifia tu

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga Месяц назад

    Kwanini wabongo hatupendi ukweli Sasa wachambuzi wanaingiaje kwenye uchawa?

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf Месяц назад

    Cha kushangaa nini mbona hamusemi wasafi

  • @xpandy7686
    @xpandy7686 Месяц назад

    Hilo Alina Ubishi

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 Месяц назад

    Ndugu yenu mm ninataka kujuwa Kwanini ushabiki wa Tanzania unakuwa ni chuki Tu ..Mpira ni starehe Sio vita wala ogomvi.hebu tuwe wastarabu.

  • @TheresiaFransic
    @TheresiaFransic Месяц назад

    Wazee wa xupu ni mwndo wa xhombo tu wamekaa kimy

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Месяц назад +1

    kuanzia leo naamia kwa wacha mbuzi wa ledio hii

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Месяц назад

    HATUONI AJABU KWA MIKIA KUPOTOSHA KWANI MWAKA JANA WALITANGAZA SOLD OUT ALAFU UWNJA UKAWA NA MAPENGO!

    • @ignasamando9593
      @ignasamando9593 Месяц назад

      Protocol ya ilisababisha hayo Mapengo
      Rais alivyoingia uwanjani
      Isingekuwa rahisi kwa mtu mwingine kuingia uwanjani kwa vyovyote vile.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад

    CHANELA YA CROWN NI BORA SANA KULIKO ZINGINE. NI TULIVU HAZINA KELELE

  • @PauloMole-lv4tf
    @PauloMole-lv4tf Месяц назад

    Acha wifu wewe utoo fc

  • @gervas58
    @gervas58 Месяц назад

    Kumbe crown meadia ni chawa wa Simba nipe like

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Месяц назад

    NA MBAYA ZAIDI VIONGOZI WAO WAMEZILANGUA TIKETI KISHA WANAZIGAWA KWENYE MATAWI YAO BURE! HAHAHAH!!!MIKIA FC ENDELEENI KUISHI KWENYE UONGO NA PROPAGANDA