Sasa kama Mpira ni vita Sio ushindani ..Iko wapi hio starehe mfano kuna Simba Tu au Yanga Tu sasa Sisi mashabiki tungali tokeya wapi ?Na tungali weza wapi kuwa tunashangiliya na kushinda au utani.
NA MBAYA ZAIDI VIONGOZI WAO WAMEZILANGUA TIKETI KISHA WANAZIGAWA KWENYE MATAWI YAO BURE! HAHAHAH!!!MIKIA FC ENDELEENI KUISHI KWENYE UONGO NA PROPAGANDA
Crown mko vizuri sanaconglution 👏👏👏👏
Mm sijasema sikiliza mpaka mwisho wamesema wenyewe....
Sasa kama Mpira ni vita Sio ushindani ..Iko wapi hio starehe mfano kuna Simba Tu au Yanga Tu sasa Sisi mashabiki tungali tokeya wapi ?Na tungali weza wapi kuwa tunashangiliya na kushinda au utani.
😅😅siwamezoea vyabure ?hawaniwapenda ubwete sana
Aslaam aleykum Warahmatullah wabarakyatu brothers..
Ukiwa mbishi nimbishitu lakini uwanja utajaa birafunguria mbwa
Nguvu moja, unyama mwingi na ubaya ubwela mwaka wetu
Mgeni rasmi nani?
Hawajamaliza amna kitu hapo
Kumariza Nini kamahazijaisha watasemaje hivyo iriwatu wasinunue ? Nikwamba nitayari kamahutaki kaakinya
Wazee wa supu"😂😂😂😂😂
Na wasafi ni chawa wa yanga kama walivyo wachambuzi wa media nyingi hapa nchini
Wanalipiwa kodi za nyumba na kuwekewa mafuta kwenye magari waoga mnoo unaona kabisa kusifia Sifia tu
Kwanini wabongo hatupendi ukweli Sasa wachambuzi wanaingiaje kwenye uchawa?
Cha kushangaa nini mbona hamusemi wasafi
Hilo Alina Ubishi
Ndugu yenu mm ninataka kujuwa Kwanini ushabiki wa Tanzania unakuwa ni chuki Tu ..Mpira ni starehe Sio vita wala ogomvi.hebu tuwe wastarabu.
Wazee wa xupu ni mwndo wa xhombo tu wamekaa kimy
kuanzia leo naamia kwa wacha mbuzi wa ledio hii
HATUONI AJABU KWA MIKIA KUPOTOSHA KWANI MWAKA JANA WALITANGAZA SOLD OUT ALAFU UWNJA UKAWA NA MAPENGO!
Protocol ya ilisababisha hayo Mapengo
Rais alivyoingia uwanjani
Isingekuwa rahisi kwa mtu mwingine kuingia uwanjani kwa vyovyote vile.
CHANELA YA CROWN NI BORA SANA KULIKO ZINGINE. NI TULIVU HAZINA KELELE
Acha wifu wewe utoo fc
Kumbe crown meadia ni chawa wa Simba nipe like
Ubaya ubwela
NA MBAYA ZAIDI VIONGOZI WAO WAMEZILANGUA TIKETI KISHA WANAZIGAWA KWENYE MATAWI YAO BURE! HAHAHAH!!!MIKIA FC ENDELEENI KUISHI KWENYE UONGO NA PROPAGANDA
Kama wamezilanguwa yanawausu chamsingi timu imeshaingiza mkwanja.
Na ww nenda katoe damu ili upewe tiketi
na ww kanunue