Ndugu zangu Mimi ni Apostle John malale nipo Tanzania, naomba Sana ndugu zangu wa Kenya,kaeni chini muheshimu Sana watumishi wa Mungu, Mpango wa Mungu Huwa hauzuwiwi na Bina damu,ni muhiimu Sana serikali iwe makini sana,hata Mimi nilisha wahi kuonyeshwa,MH.wenu Rais ange pitia wakati mgumu Sana na serikali yake,Kuna Wakati.mungu alikuwa anaonyesha hatali kubwa Sana kuanguka Kwa serikali.na kumpoteza huyo kiongozi wenu,ashukuriwe Sana Mungu alivyo mleta.Pastor Ben hiini.ulikuwa ni mpango mpya wa kusamehewa nyinyi kama Taifa.na ashukuriwe Sana MH.wenu Rais ruto.kushiliki Kongamano Mungu aliweza kuwaepusha Na Tukio kubwa Sana.ni waombe Sana Hata huyo Apostle NGanga.serikali isifanye vita na kazi hiyo ya Mungu. Ni kosa kubwa Sana Kama mtumishi atasononeka Mbele za Mungu. Huwa sio jambo zuri. Mungu yeye anajua Kwa Nini ameweka madhabahu yake hapo.ni.muhimu Sana Serikali iwe makini. Niwapmbe Sana Ombeni Mungu aepushe matatizo. Wa heshimuni Sana watumishi wa Mungu wote. Na Sisi tuna waombea God bless you Kenya ❤
thanks you so much brother 🙏, am a kenyan my self bt let me tell you mungu anaenda kutupiga kiboko kikali sana huu ni mwanzo tu.kenya imewafukuza manabii wa mungu karibu wote kutoka kenya sai wameenda kuubiria mataifa uko nche akiwemo ezekiel dr david owuor na ndio hawa tena wanataka kuondoa nganga i think hapo kuna kingdom's zinapigana this is not a war of flash and blood this is spiritually war and i myself i don't trust this beni inn cz even the devil can turn himself into an angel of light,i will give u the reason why cz how comes the whole nation ilimkubali kiurahisi hadi serikali inahuthuria mikutano yake bt sijawai ona wakihuthuria mikutano kama za ezekiel owour ao huyu nganga na wengineo,something is of here cz mi nacho kijua ni kwamba uongo ni rahisi kukubalika kwa hii dunia kuliko ukweli especially kwa hii kenya yangu😢,mimi naunga muumba wangu mkono wacha aitingize hii🇰🇪kidogo ndio tuaamke cz is like tume lala sana majeshi wa vita vya kiroho wamezembea kazini wengi wamemtupa yesu kando wameingia kwa umodenezm. muumba wetu atusamehe na asiachilie gathabu yake kwa inchi yangu ya kenya jamani ila wacha ai shake kidogo ili kuamsha jashi lake la kiro pia na walio lala watoka kwa usingizi na wajiunge kwa jeshi hilo ili tuvipige vita hivi pamoja,cz is like they forgot about what happened in 2007 this young generation never experienced war nikiwa mmoja wao that's why many of us don't know how precious peace is we just playing around with it God hv mercy on us...God bless tz shalom brother watangazie watanzania watu maana mda umeisha yesu yuwaja kwa maana bibilia inasema tukiyaona mambo haya yameanza kutendeka basi tujue yuko mlangoni na kama unapoona mpinga kristo amesha anza 2030 mack of the beast inaanza lakini inakuja kitecnologycaly waerevu tu ndio wataelewa kua hii ni hii 666 inayo zungumziwa kwa bibilia mambo iko chini ya maji tu sasa ivi bt itakuja kulipika tu mara moja pap kama corona ilivyo lipuka ulimwengu mzima.inaitwa new world order yaani vision 2030 shalom toda raba wakristo wenzangu tusikufe moyo tujitie moyo kila siku cz i know the worst is coming for us thi is just a beginning jaribu kufungua wenzako macho pia wale wako kwenye giza bado waeleze kua mpinga kristo ashaa funguliwa,na hii technology yenye inakuja bila hiyo cheap juezi nunua huezi uza huezi safiri yani huwezi fanya any bila hiyo cheap so please inform those who are not a where...shalom shalom shalom
It was God speaking, not pastor Nganga, Wakenya tu tubu, tumemkosea Mungu. Viongozi wanafanyia watumishi wa Mungu yasio stahili. Hasira ya Mungu iko juu yetu.
Ulimi ninsumu jua.hivyo.. kama ni mungu apumzike vyema. Kama nimukono wa mtu basi pia mungu ndio atamua.. watu hawajui hapa tuko matemnezi tu.. na tuko kwa muda hapa duniani tutaenda kwa nafasi ndogo tu shula blaket muchanga..😢😢😢
Spiritual matters are hidden. Alafu even when you are a man or woman of God n you call God to fight your battles,mungu anaweza amua kupigama vita vyako in a different ways.. He saw it in a vision in a dream maybe..hata sisi sio pastors na huwa tunaota na mengine yanatimia.the bible says the battle aint ours the battle belongs to God..
Agolla alikosea mtumishi yupi sielewi hama analipea wegine makosa hisio yake watu wanakufa wakiwa hawasitahili kukufa mungu lida watu wako tunaagamia kwa kutojua maatifa
Tuliza boli na uachane na servants of God,fanya yako,huyo si pastor Nga'nga anaitwa chief General commander controller of spirits JEHU. Touch not the Annointed sisi tunajua hivyo,yeye atumbuizi watu kama wewe watch him on sasa Tv utaona akiwa kwa his office wachana na vile watu wanamuita,take your time watch sasa Tv😂😂😂
Sasa ? Nonsense ! Ata wale ni followers wa huyu; hawana mungu wa kweli. Yeye anaweza tabiri kifo zake? May be he is mad.Maringo yakusema TU! Kwani mungu anamjua huyu peke yake? He is now beyond the satanic verses.Can he stop jocking with GOD ? Eti alikuwa mwizi, eti alikuwa maskini, eti alikuwa maskini , eti alikuwa ... ? . Haaa? Na aambiwe mungu alituumba mfano naye . Ngang'a sio mungu na hatakuwa mungu. Kila mtu ametoka mbali na Kwa nehema ya mungu wanadamu wote waliumbwa na mungu. Na huyu ngang'a aache maringo ya mdomo mdomo.
Mm chenye najuwa ukiwa umeonyezwa watu watakufa ..unafunga hiyo kivo ...unaeda maombi pia unatoa thabihu kwa mungu hiyo inaiza bt siku hizi mm sielewi ...kumaniza si nabiiii
Ndugu zangu Mimi ni Apostle John malale nipo Tanzania, naomba Sana ndugu zangu wa Kenya,kaeni chini muheshimu Sana watumishi wa Mungu,
Mpango wa Mungu Huwa hauzuwiwi na Bina damu,ni muhiimu Sana serikali iwe makini sana,hata Mimi nilisha wahi kuonyeshwa,MH.wenu Rais ange pitia wakati mgumu Sana na serikali yake,Kuna Wakati.mungu alikuwa anaonyesha hatali kubwa Sana kuanguka Kwa serikali.na kumpoteza huyo kiongozi wenu,ashukuriwe Sana
Mungu alivyo mleta.Pastor Ben hiini.ulikuwa ni mpango mpya wa kusamehewa nyinyi kama Taifa.na ashukuriwe Sana
MH.wenu Rais ruto.kushiliki
Kongamano
Mungu aliweza kuwaepusha
Na Tukio kubwa Sana.ni waombe Sana
Hata huyo Apostle
NGanga.serikali isifanye vita na kazi hiyo ya Mungu.
Ni kosa kubwa Sana
Kama mtumishi atasononeka Mbele za Mungu.
Huwa sio jambo zuri.
Mungu yeye anajua
Kwa Nini ameweka madhabahu yake hapo.ni.muhimu Sana
Serikali iwe makini.
Niwapmbe Sana
Ombeni
Mungu aepushe matatizo.
Wa heshimuni Sana watumishi wa Mungu wote.
Na
Sisi tuna waombea
God bless you Kenya ❤
Kenya mwanzo mpaka waheshimu mungu please Kenya heshimuni mungu
thanks you so much brother 🙏, am a kenyan my self bt let me tell you mungu anaenda kutupiga kiboko kikali sana huu ni mwanzo tu.kenya imewafukuza manabii wa mungu karibu wote kutoka kenya sai wameenda kuubiria mataifa uko nche akiwemo ezekiel dr david owuor na ndio hawa tena wanataka kuondoa nganga i think hapo kuna kingdom's zinapigana this is not a war of flash and blood this is spiritually war and i myself i don't trust this beni inn cz even the devil can turn himself into an angel of light,i will give u the reason why cz how comes the whole nation ilimkubali kiurahisi hadi serikali inahuthuria mikutano yake bt sijawai ona wakihuthuria mikutano kama za ezekiel owour ao huyu nganga na wengineo,something is of here cz mi nacho kijua ni kwamba uongo ni rahisi kukubalika kwa hii dunia kuliko ukweli especially kwa hii kenya yangu😢,mimi naunga muumba wangu mkono wacha aitingize hii🇰🇪kidogo ndio tuaamke cz is like tume lala sana majeshi wa vita vya kiroho wamezembea kazini wengi wamemtupa yesu kando wameingia kwa umodenezm. muumba wetu atusamehe na asiachilie gathabu yake kwa inchi yangu ya kenya jamani ila wacha ai shake kidogo ili kuamsha jashi lake la kiro pia na walio lala watoka kwa usingizi na wajiunge kwa jeshi hilo ili tuvipige vita hivi pamoja,cz is like they forgot about what happened in 2007 this young generation never experienced war nikiwa mmoja wao that's why many of us don't know how precious peace is we just playing around with it God hv mercy on us...God bless tz shalom brother watangazie watanzania watu maana mda umeisha yesu yuwaja kwa maana bibilia inasema tukiyaona mambo haya yameanza kutendeka basi tujue yuko mlangoni na kama unapoona mpinga kristo amesha anza 2030 mack of the beast inaanza lakini inakuja kitecnologycaly waerevu tu ndio wataelewa kua hii ni hii 666 inayo zungumziwa kwa bibilia mambo iko chini ya maji tu sasa ivi bt itakuja kulipika tu mara moja pap kama corona ilivyo lipuka ulimwengu mzima.inaitwa new world order yaani vision 2030 shalom toda raba wakristo wenzangu tusikufe moyo tujitie moyo kila siku cz i know the worst is coming for us thi is just a beginning jaribu kufungua wenzako macho pia wale wako kwenye giza bado waeleze kua mpinga kristo ashaa funguliwa,na hii technology yenye inakuja bila hiyo cheap juezi nunua huezi uza huezi safiri yani huwezi fanya any bila hiyo cheap so please inform those who are not a where...shalom shalom shalom
Hakika Kenya yetu Iko na vita na watumishi wa Mungu na sijui ni kwa Nini ,Huwa inaniuma sana😢😢
Shugulika na Tanzania
Ako sawa
It was God speaking, not pastor Nganga, Wakenya tu tubu, tumemkosea Mungu.
Viongozi wanafanyia watumishi wa Mungu yasio stahili.
Hasira ya Mungu iko juu yetu.
I appreciate you pastor Nganga
Respect the church
Kwani ogola anafanya na tittle deeds au na lands NDIO apate ajali kwani si ruto NDIO anasumbua nganga so how can it be diverted to ogolla
Mungu ndiye tabibu was ukweli
May God remember mercy upon us kenya🙏🙏
I really like this man
I love that man bythaway
No stress alikuwa nazo
Kwani ogola alikua Kwa hiyo story wacha kutuchukua mafala
Wewe ni truthwatchdog wa RUclips story za Java 😅
Munisadie kuomba watumishi ni kuwe muombezi sana
Usituletee kichwa maji kijana.
Mpaka muambiwe huyo ni mchawi ndiyo akili zenu zitaamka
Ulimi ninsumu jua.hivyo.. kama ni mungu apumzike vyema. Kama nimukono wa mtu basi pia mungu ndio atamua.. watu hawajui hapa tuko matemnezi tu.. na tuko kwa muda hapa duniani tutaenda kwa nafasi ndogo tu shula blaket muchanga..😢😢😢
Mm huwa sipendi mtu WA UONGO MTU amekufa wakwako wanalia mumeanza umbea uu na ule wala hamtoi ukweli inachosha bwans
May
Powe😂😂😂
Enyewe pass na bado ruto tuu akufe tuu
Kweli kenya one
He is an Apostle
Spiritual matters are hidden.
Alafu even when you are a man or woman of God n you call God to fight your battles,mungu anaweza amua kupigama vita vyako in a different ways..
He saw it in a vision in a dream maybe..hata sisi sio pastors na huwa tunaota na mengine yanatimia.the bible says the battle aint ours the battle belongs to God..
Haihusiani
Agolla alikosea mtumishi yupi sielewi hama analipea wegine makosa hisio yake watu wanakufa wakiwa hawasitahili kukufa mungu lida watu wako tunaagamia kwa kutojua maatifa
❤❤❤
Yeye ni nani njemeni????
😅😮😢🎉😂❤💋🌼🌹🥱😤🙄🤗🤭👎😬😑Pamoja
For my frst time listening to nonsense...... upgrade man
😂❤
Sasa hizi nini tena
Huuu ni upuuzi wa hali ya juu
Kumbafu kabisa,ogola alichukua kanisa
Kuhubiri si lazima uwe na Hilo shamba!
Wewe kijana tafuta kazi wacha mishene 😢
Stop cheating people ng'ang'a
What are you saying acha mambo yako muzee ata ukiombea watu wakufe wewe mwenyewe unjue everybody will die
Yeye ni mtu wa mungu
Kweli
No connection whatsoever
Hakuna mahusiano
😂prophecy is hidden men,,
Múcene
Kumbafu tena
Too much propaganda!Stop injuring the family of Ogolla.Let CDF Rest In Peace and let the family heal.
Wachauongo
Hii ina uhusiano gani na ajali ya nsege nani muwache kuchanganya wakenya na habari za uwongo hapa
Ongeza sauti
Hio ni upuzi
Tullia uncheck upusi wa mungu
Tuliza boli na uachane na servants of God,fanya yako,huyo si pastor Nga'nga anaitwa chief General commander controller of spirits JEHU.
Touch not the Annointed sisi tunajua hivyo,yeye atumbuizi watu kama wewe watch him on sasa Tv utaona akiwa kwa his office wachana na vile watu wanamuita,take your time watch sasa Tv😂😂😂
Bure kabisa umeniaribia bundle
Ajali ngapi za magari, pikipiki au ndege zimewhi tokea tangu Ng'ang'a atamke hayo maneno?😮 Eti alitabiri?😩🤣😅 😂Kkkkkkkk 😆
Simple liar, ogolla had no interest of snatching a kiosk from nganga...
Wow!!!Ajana na man of God
Kwani ni yeye ndio alijua hio kifo ama ni sacrifice
Mungu uwavunulia awapendao😮
utabiri ya ubaya sio upasta.
Kwani Jeremiah akitabri kuhusu Babylonian captivity aliacha kuwa mtumishi wa Mungu?
YEYE SIO BISHOP WALA SIO PASTOR, YEYE NI APOSTLE. APOSTLES NI WAKALI. NI PIGO TU KWA SERIKALI. NI KWELI
JqbJhlgjihalghjublh habari nsbpibpjsjojph
Pasta hakuwa specific!
Ni nn shida na wewe
Acha uongo wewe ndo unasema huo upuzi shenzi sana umbwa hio inaingilia wapi umbwa wewe
Content creation si talanta yako..Tafuta kazi ingine ufanye.
Stop discouraging people for their hard work
What has Ogolla got to do with Nganga? N"gombe wewe. Be sensible.
Mrongo wewe
Sasa ? Nonsense ! Ata wale ni followers wa huyu; hawana mungu wa kweli. Yeye anaweza tabiri kifo zake? May be he is mad.Maringo yakusema TU! Kwani mungu anamjua huyu peke yake? He is now beyond the satanic verses.Can he stop jocking with GOD ? Eti alikuwa mwizi, eti alikuwa maskini, eti alikuwa maskini , eti alikuwa ... ? . Haaa? Na aambiwe mungu alituumba mfano naye . Ngang'a sio mungu na hatakuwa mungu. Kila mtu ametoka mbali na Kwa nehema ya mungu wanadamu wote waliumbwa na mungu. Na huyu ngang'a aache maringo ya mdomo mdomo.
Aceni gupiganisha Nganga na serekari please please
Mm chenye najuwa ukiwa umeonyezwa watu watakufa ..unafunga hiyo kivo ...unaeda maombi pia unatoa thabihu kwa mungu hiyo inaiza bt siku hizi mm sielewi ...kumaniza si nabiiii