Pastor NG'ANG'A Alitabiri Haya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 апр 2024
  • #special4utv #kenya #Ogola #africa #news #tanzania #nairobi

Комментарии • 80

  • @user-ge3ni4qn4u
    @user-ge3ni4qn4u 26 дней назад +16

    Ndugu zangu Mimi ni Apostle John malale nipo Tanzania, naomba Sana ndugu zangu wa Kenya,kaeni chini muheshimu Sana watumishi wa Mungu,
    Mpango wa Mungu Huwa hauzuwiwi na Bina damu,ni muhiimu Sana serikali iwe makini sana,hata Mimi nilisha wahi kuonyeshwa,MH.wenu Rais ange pitia wakati mgumu Sana na serikali yake,Kuna Wakati.mungu alikuwa anaonyesha hatali kubwa Sana kuanguka Kwa serikali.na kumpoteza huyo kiongozi wenu,ashukuriwe Sana
    Mungu alivyo mleta.Pastor Ben hiini.ulikuwa ni mpango mpya wa kusamehewa nyinyi kama Taifa.na ashukuriwe Sana
    MH.wenu Rais ruto.kushiliki
    Kongamano
    Mungu aliweza kuwaepusha
    Na Tukio kubwa Sana.ni waombe Sana
    Hata huyo Apostle
    NGanga.serikali isifanye vita na kazi hiyo ya Mungu.
    Ni kosa kubwa Sana
    Kama mtumishi atasononeka Mbele za Mungu.
    Huwa sio jambo zuri.
    Mungu yeye anajua
    Kwa Nini ameweka madhabahu yake hapo.ni.muhimu Sana
    Serikali iwe makini.
    Niwapmbe Sana
    Ombeni
    Mungu aepushe matatizo.
    Wa heshimuni Sana watumishi wa Mungu wote.
    Na
    Sisi tuna waombea
    God bless you Kenya ❤

    • @bensonmwadime-pc1cy
      @bensonmwadime-pc1cy 25 дней назад +1

      Kenya mwanzo mpaka waheshimu mungu please Kenya heshimuni mungu

    • @Clipalert-ft2vj
      @Clipalert-ft2vj 25 дней назад

      thanks you so much brother 🙏, am a kenyan my self bt let me tell you mungu anaenda kutupiga kiboko kikali sana huu ni mwanzo tu.kenya imewafukuza manabii wa mungu karibu wote kutoka kenya sai wameenda kuubiria mataifa uko nche akiwemo ezekiel dr david owuor na ndio hawa tena wanataka kuondoa nganga i think hapo kuna kingdom's zinapigana this is not a war of flash and blood this is spiritually war and i myself i don't trust this beni inn cz even the devil can turn himself into an angel of light,i will give u the reason why cz how comes the whole nation ilimkubali kiurahisi hadi serikali inahuthuria mikutano yake bt sijawai ona wakihuthuria mikutano kama za ezekiel owour ao huyu nganga na wengineo,something is of here cz mi nacho kijua ni kwamba uongo ni rahisi kukubalika kwa hii dunia kuliko ukweli especially kwa hii kenya yangu😢,mimi naunga muumba wangu mkono wacha aitingize hii🇰🇪kidogo ndio tuaamke cz is like tume lala sana majeshi wa vita vya kiroho wamezembea kazini wengi wamemtupa yesu kando wameingia kwa umodenezm. muumba wetu atusamehe na asiachilie gathabu yake kwa inchi yangu ya kenya jamani ila wacha ai shake kidogo ili kuamsha jashi lake la kiro pia na walio lala watoka kwa usingizi na wajiunge kwa jeshi hilo ili tuvipige vita hivi pamoja,cz is like they forgot about what happened in 2007 this young generation never experienced war nikiwa mmoja wao that's why many of us don't know how precious peace is we just playing around with it God hv mercy on us...God bless tz shalom brother watangazie watanzania watu maana mda umeisha yesu yuwaja kwa maana bibilia inasema tukiyaona mambo haya yameanza kutendeka basi tujue yuko mlangoni na kama unapoona mpinga kristo amesha anza 2030 mack of the beast inaanza lakini inakuja kitecnologycaly waerevu tu ndio wataelewa kua hii ni hii 666 inayo zungumziwa kwa bibilia mambo iko chini ya maji tu sasa ivi bt itakuja kulipika tu mara moja pap kama corona ilivyo lipuka ulimwengu mzima.inaitwa new world order yaani vision 2030 shalom toda raba wakristo wenzangu tusikufe moyo tujitie moyo kila siku cz i know the worst is coming for us thi is just a beginning jaribu kufungua wenzako macho pia wale wako kwenye giza bado waeleze kua mpinga kristo ashaa funguliwa,na hii technology yenye inakuja bila hiyo cheap juezi nunua huezi uza huezi safiri yani huwezi fanya any bila hiyo cheap so please inform those who are not a where...shalom shalom shalom

    • @user-ng2dz3oy7y
      @user-ng2dz3oy7y 24 дня назад

      Hakika Kenya yetu Iko na vita na watumishi wa Mungu na sijui ni kwa Nini ,Huwa inaniuma sana😢😢

    • @Blessedone349
      @Blessedone349 24 дня назад

      Shugulika na Tanzania

    • @user-di3sb7mu9m
      @user-di3sb7mu9m 21 день назад

      Ako sawa

  • @stanleyj.m.mwamguda1619
    @stanleyj.m.mwamguda1619 23 дня назад +4

    It was God speaking, not pastor Nganga, Wakenya tu tubu, tumemkosea Mungu.
    Viongozi wanafanyia watumishi wa Mungu yasio stahili.
    Hasira ya Mungu iko juu yetu.

  • @mariakesumo8131
    @mariakesumo8131 3 дня назад

    I appreciate you pastor Nganga

  • @mariakesumo8131
    @mariakesumo8131 3 дня назад

    Respect the church

  • @NambatyaMichael-jz9et
    @NambatyaMichael-jz9et 26 дней назад +2

    Kwani ogola anafanya na tittle deeds au na lands NDIO apate ajali kwani si ruto NDIO anasumbua nganga so how can it be diverted to ogolla

  • @VictorOkango-ev6vi
    @VictorOkango-ev6vi 23 дня назад +2

    Mungu ndiye tabibu was ukweli

  • @TheGlobalRestorationPrayerMove
    @TheGlobalRestorationPrayerMove 6 дней назад

    May God remember mercy upon us kenya🙏🙏

  • @MilimuVictor-sz6du
    @MilimuVictor-sz6du 22 дня назад +1

    I really like this man

  • @yobbyannhomman
    @yobbyannhomman 20 дней назад +1

    I love that man bythaway

  • @user-hy6qw2ld1d
    @user-hy6qw2ld1d 7 дней назад

    No stress alikuwa nazo

  • @AlexGetts-ri6sd
    @AlexGetts-ri6sd 23 дня назад +1

    Kwani ogola alikua Kwa hiyo story wacha kutuchukua mafala

  • @samtivas9967
    @samtivas9967 22 дня назад +1

    Wewe ni truthwatchdog wa RUclips story za Java 😅

  • @user-tt6tb2cq3n
    @user-tt6tb2cq3n 8 дней назад

    Munisadie kuomba watumishi ni kuwe muombezi sana

  • @wesleywallace-qk6zb
    @wesleywallace-qk6zb 7 дней назад

    Usituletee kichwa maji kijana.

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 24 дня назад +1

    Mpaka muambiwe huyo ni mchawi ndiyo akili zenu zitaamka

  • @tinalulule917
    @tinalulule917 23 дня назад

    Ulimi ninsumu jua.hivyo.. kama ni mungu apumzike vyema. Kama nimukono wa mtu basi pia mungu ndio atamua.. watu hawajui hapa tuko matemnezi tu.. na tuko kwa muda hapa duniani tutaenda kwa nafasi ndogo tu shula blaket muchanga..😢😢😢

  • @IRENEIRENE871
    @IRENEIRENE871 26 дней назад +1

    Mm huwa sipendi mtu WA UONGO MTU amekufa wakwako wanalia mumeanza umbea uu na ule wala hamtoi ukweli inachosha bwans

  • @TheGlobalRestorationPrayerMove
    @TheGlobalRestorationPrayerMove 6 дней назад

    May

  • @SleepyBlueMackerel-fv2gs
    @SleepyBlueMackerel-fv2gs 24 дня назад

    Powe😂😂😂

  • @selveneiramwenya8552
    @selveneiramwenya8552 26 дней назад +1

    Enyewe pass na bado ruto tuu akufe tuu

  • @zakariamwamburi-7940
    @zakariamwamburi-7940 12 дней назад

    Kweli kenya one

  • @GeoffreyKirochi
    @GeoffreyKirochi 23 дня назад

    He is an Apostle

  • @tida3727
    @tida3727 24 дня назад

    Spiritual matters are hidden.
    Alafu even when you are a man or woman of God n you call God to fight your battles,mungu anaweza amua kupigama vita vyako in a different ways..
    He saw it in a vision in a dream maybe..hata sisi sio pastors na huwa tunaota na mengine yanatimia.the bible says the battle aint ours the battle belongs to God..

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 27 дней назад +1

    Haihusiani

  • @kaninimuindi6470
    @kaninimuindi6470 24 дня назад

    Agolla alikosea mtumishi yupi sielewi hama analipea wegine makosa hisio yake watu wanakufa wakiwa hawasitahili kukufa mungu lida watu wako tunaagamia kwa kutojua maatifa

  • @dancansaka5004
    @dancansaka5004 23 дня назад

    ❤❤❤

  • @tabithawanjirukariuki-262
    @tabithawanjirukariuki-262 24 дня назад

    Yeye ni nani njemeni????

  • @DavidObachi
    @DavidObachi 20 дней назад

    😅😮😢🎉😂❤💋🌼🌹🥱😤🙄🤗🤭👎😬😑Pamoja

  • @mutheeelizabeth7562
    @mutheeelizabeth7562 26 дней назад +1

    For my frst time listening to nonsense...... upgrade man

  • @RaphaelmuiaMaithya
    @RaphaelmuiaMaithya 23 дня назад

    😂❤

  • @DeborahNelima
    @DeborahNelima 26 дней назад

    Sasa hizi nini tena

  • @kinyuadenis7447
    @kinyuadenis7447 26 дней назад

    Huuu ni upuuzi wa hali ya juu

  • @daviesmurunga-jl6eb
    @daviesmurunga-jl6eb 25 дней назад

    Kumbafu kabisa,ogola alichukua kanisa

  • @nicholasonsomuoyaro9549
    @nicholasonsomuoyaro9549 23 дня назад

    Kuhubiri si lazima uwe na Hilo shamba!

  • @WawiraSteve
    @WawiraSteve 26 дней назад

    Wewe kijana tafuta kazi wacha mishene 😢

  • @vannyg4271
    @vannyg4271 16 дней назад

    Stop cheating people ng'ang'a

  • @user-vh4rz4qp8z
    @user-vh4rz4qp8z 26 дней назад

    What are you saying acha mambo yako muzee ata ukiombea watu wakufe wewe mwenyewe unjue everybody will die

  • @Annahmomanyi-nh3bz
    @Annahmomanyi-nh3bz 26 дней назад

    Yeye ni mtu wa mungu

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 26 дней назад

    No connection whatsoever

  • @user-jb6ej1hj4p
    @user-jb6ej1hj4p 24 дня назад

    Hakuna mahusiano

  • @margaretkisau2416
    @margaretkisau2416 23 дня назад

    😂prophecy is hidden men,,

  • @mbogowanjohiofficial
    @mbogowanjohiofficial 24 дня назад

    Múcene

  • @daviesmurunga-jl6eb
    @daviesmurunga-jl6eb 25 дней назад

    Kumbafu tena

  • @isaacnyongesa-lw8rp
    @isaacnyongesa-lw8rp 4 дня назад

    Too much propaganda!Stop injuring the family of Ogolla.Let CDF Rest In Peace and let the family heal.

  • @Dorothy-mn2tk
    @Dorothy-mn2tk 26 дней назад

    Wachauongo

  • @johnitebete9052
    @johnitebete9052 26 дней назад

    Hii ina uhusiano gani na ajali ya nsege nani muwache kuchanganya wakenya na habari za uwongo hapa

  • @AnnitaOda
    @AnnitaOda 26 дней назад +1

    Hio ni upuzi

  • @fridahkarimi5510
    @fridahkarimi5510 24 дня назад

    Tuliza boli na uachane na servants of God,fanya yako,huyo si pastor Nga'nga anaitwa chief General commander controller of spirits JEHU.
    Touch not the Annointed sisi tunajua hivyo,yeye atumbuizi watu kama wewe watch him on sasa Tv utaona akiwa kwa his office wachana na vile watu wanamuita,take your time watch sasa Tv😂😂😂

  • @BlackphilosophyMarto-sp9bn
    @BlackphilosophyMarto-sp9bn 22 дня назад

    Bure kabisa umeniaribia bundle

  • @marrieimmaculate
    @marrieimmaculate 24 дня назад

    Ajali ngapi za magari, pikipiki au ndege zimewhi tokea tangu Ng'ang'a atamke hayo maneno?😮 Eti alitabiri?😩🤣😅 😂Kkkkkkkk 😆

  • @theheraldbroadcastingnetwo4836
    @theheraldbroadcastingnetwo4836 12 дней назад

    Simple liar, ogolla had no interest of snatching a kiosk from nganga...

  • @carolneratandi1294
    @carolneratandi1294 23 дня назад

    Wow!!!Ajana na man of God

  • @lucyjerotich
    @lucyjerotich 23 дня назад

    Kwani ni yeye ndio alijua hio kifo ama ni sacrifice

  • @jameslagat9124
    @jameslagat9124 26 дней назад

    utabiri ya ubaya sio upasta.

    • @Blessedone349
      @Blessedone349 24 дня назад

      Kwani Jeremiah akitabri kuhusu Babylonian captivity aliacha kuwa mtumishi wa Mungu?

  • @bettyreuter1255
    @bettyreuter1255 23 дня назад

    YEYE SIO BISHOP WALA SIO PASTOR, YEYE NI APOSTLE. APOSTLES NI WAKALI. NI PIGO TU KWA SERIKALI. NI KWELI

  • @fleviahella9818
    @fleviahella9818 25 дней назад

    JqbJhlgjihalghjublh habari nsbpibpjsjojph

  • @wilsonmatunda4937
    @wilsonmatunda4937 24 дня назад

    Pasta hakuwa specific!

  • @WawiraSteve
    @WawiraSteve 26 дней назад

    Ni nn shida na wewe

  • @pascalbalex5142
    @pascalbalex5142 26 дней назад

    Acha uongo wewe ndo unasema huo upuzi shenzi sana umbwa hio inaingilia wapi umbwa wewe

  • @Isaac.Mutinda
    @Isaac.Mutinda 26 дней назад

    Content creation si talanta yako..Tafuta kazi ingine ufanye.

  • @PhakeRimweo
    @PhakeRimweo 25 дней назад +1

    What has Ogolla got to do with Nganga? N"gombe wewe. Be sensible.

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u 26 дней назад

    Mrongo wewe

  • @SmilingFarmhouse-er5nb
    @SmilingFarmhouse-er5nb 26 дней назад

    Sasa ? Nonsense ! Ata wale ni followers wa huyu; hawana mungu wa kweli. Yeye anaweza tabiri kifo zake? May be he is mad.Maringo yakusema TU! Kwani mungu anamjua huyu peke yake? He is now beyond the satanic verses.Can he stop jocking with GOD ? Eti alikuwa mwizi, eti alikuwa maskini, eti alikuwa maskini , eti alikuwa ... ? . Haaa? Na aambiwe mungu alituumba mfano naye . Ngang'a sio mungu na hatakuwa mungu. Kila mtu ametoka mbali na Kwa nehema ya mungu wanadamu wote waliumbwa na mungu. Na huyu ngang'a aache maringo ya mdomo mdomo.

    • @user-oc7vx4pq6y
      @user-oc7vx4pq6y 26 дней назад

      Aceni gupiganisha Nganga na serekari please please

  • @user-li7gi5ge7g
    @user-li7gi5ge7g 26 дней назад

    Mm chenye najuwa ukiwa umeonyezwa watu watakufa ..unafunga hiyo kivo ...unaeda maombi pia unatoa thabihu kwa mungu hiyo inaiza bt siku hizi mm sielewi ...kumaniza si nabiiii