Bradley jaribu kutema hiyo tabia ya kuwekea mikono kwa bega za watu wakati wa photo shoot coz unaweza sahau ukawekelea kwa mwanamke wa ki islamu of which ni offence huko ushtukie ukiwa flogged.
Sio ati hana nguo ni vile nguo zake zote ni hio design,hapa ako na blue, Jana alikuwa na yellow na juzi white unless mjinga ndio haoni colours ni tofauti kila siku.
Bro usijali eti hujui kizungu, mwenye ako na haja ya kuhoji akuje na mkalimani. Chapa kiswahili ka kawa, na kiluhya pia usione aibu. Kudos 👏
Waaah. ...Bradley got guts. Mimi siwezani na public eyes hivo.
Your winning bro,mob lov from 🇹🇿✌
This is very nice. Umetuonyesha Dubai na pia wasee huko wanafurahia sana kupiga picha na wewe.
bradley ulikuwa unapiga commander mapangale kwa train eeey🤣🤣🤣🤣next sasa ni globally mzee mashallah
Good stuff Bradley. Hehehe unapeleka hao watu bafu lakini! Ati 3 chicken, 5 loaves of bread. 😂😂. Just tell them the truth yawa.
KENYA 🇰🇪
😂❤ WE'RE REALLY BLESSED 👼 WE'VE ### GOLIATH
SHINE BRANDLEY SHINE ❤
Kwani tukifika 2026 atakuwa 18yrs😂😂😂😂 big up Bradly
i love this kudos to zam zam brothers
brad mungu akufungulie mlango
Brad keep winning nakucrushia huku Kenya ukirudi nakutafuta
haiombwangwi hivyo
Ngoja uone mjulus utakimbia usahau viatu😂😂😂😂😂
Yangu refuu kumshinda@@immaculatekivisi5966
Nipitieni guys pale kwangu🎉
Majama Kizungu akunaa😂
All the best big bro ❤❤
Take care
Nipitieni guys pale kwangu🎉🎉
Dubai is a City in UAE
Yes
Kujeni etihad museum nataka kumuona livelive❤
Aaaahlaaaa sio the tallest man in Africa...or Kenya😅😂
Nice content
mshauri weka description hapa,atapa more earnings,,,,
Hizi views zifike milioni
Beautiful lady! excuse me, how tall is he down there?
Upcoming RUclipsrs kujeni hapa tupitiane pia sisi tugrow pamoja comment done ni kupitie ❤
ongea kishwali wajipange na wakutafsiri,kizungu baadae
Waarabu wenyewe wajui english
Brandly we shine bro
@ ya huyo mrembo ni?
Nasikia sauti ya Deno
Bradley mbona train yetu ni ya Expo 2020 but angalia vile tume ingia ya UAE Exchange
Congratulations
Msee asome vitabu kwa sana
Bradley jaribu kutema hiyo tabia ya kuwekea mikono kwa bega za watu wakati wa photo shoot coz unaweza sahau ukawekelea kwa mwanamke wa ki islamu of which ni offence huko ushtukie ukiwa flogged.
Na yeye mwanamke mbona ajiue karibu na Bradley kama anajua ni dhambi🤣🤣🤣🤣
Ni hao wanawake ndo wanajileta🙄 si yeye amewaita...
Nipitieni guys pale kwangu🎉
Celeb wa nguvu see how people are staring at him
Act on suond broo OK
Endelea kijana atafika mbali
For me I prefer ukue tourists than making content with people ...
Win
Huyu msee hana nguo ingine?
Sio ati hana nguo ni vile nguo zake zote ni hio design,hapa ako na blue, Jana alikuwa na yellow na juzi white unless mjinga ndio haoni colours ni tofauti kila siku.
Hizo ni nguo za branding so lazima character iendee na hizoo
Na viatu je
Brad ambassador uvaangi nguo ovyo..Kuna hio design but colours ni different
Nipitieni guys pale kwangu youtube🎉
This is God's favour
Kinzungu ni ngumu kwa jamaa wetu
Huko kwenye Ako kizungu sio shida
Hata hao wenyewe wengi hawajui kizungu but atleast he has an interpreter
Huku yeye anaeza kua the best kwa kizungu hawaa zao ni go come here straight there tembea ujionee 😂😂
Anafaa aende language lessons anatuangusha
Ako sawa, anajua kiswahili na kiluhya ❤ kizungu ni lugha ka zingine.
Kwani bata shoes walishindwa kshonea viatu
Rudi sasa tumekumiss 😅
Siwezi 😂😂😂😂😂
Hiki kidem si kinyamaze
Bradley ambia huyo dame apunguze kiherehere anaongea mingi
Dem anaongea mingi
RTA....needs to extend the height ya 🚆...