TRAIN EXPERIENCE IN DUBAI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025

Комментарии • 68

  • @wilyfred8617
    @wilyfred8617 9 дней назад +11

    Bro usijali eti hujui kizungu, mwenye ako na haja ya kuhoji akuje na mkalimani. Chapa kiswahili ka kawa, na kiluhya pia usione aibu. Kudos 👏

  • @sophiadamary476
    @sophiadamary476 9 дней назад +2

    Waaah. ...Bradley got guts. Mimi siwezani na public eyes hivo.

  • @losttribe007
    @losttribe007 10 дней назад +7

    Your winning bro,mob lov from 🇹🇿✌

  • @Another_Look
    @Another_Look 8 дней назад +2

    This is very nice. Umetuonyesha Dubai na pia wasee huko wanafurahia sana kupiga picha na wewe.

  • @DanielMburu-jw5dr
    @DanielMburu-jw5dr 10 дней назад +2

    bradley ulikuwa unapiga commander mapangale kwa train eeey🤣🤣🤣🤣next sasa ni globally mzee mashallah

  • @victorabayo9404
    @victorabayo9404 9 дней назад +2

    Good stuff Bradley. Hehehe unapeleka hao watu bafu lakini! Ati 3 chicken, 5 loaves of bread. 😂😂. Just tell them the truth yawa.

  • @BORDERSSAFARISTRAVEL
    @BORDERSSAFARISTRAVEL 9 дней назад +2

    KENYA 🇰🇪
    😂❤ WE'RE REALLY BLESSED 👼 WE'VE ### GOLIATH
    SHINE BRANDLEY SHINE ❤

  • @rodgersndiwa3778
    @rodgersndiwa3778 9 дней назад +1

    Kwani tukifika 2026 atakuwa 18yrs😂😂😂😂 big up Bradly

  • @PskratchKenya
    @PskratchKenya 10 дней назад +1

    i love this kudos to zam zam brothers

  • @liudave
    @liudave 9 дней назад +1

    brad mungu akufungulie mlango

  • @Maureenreal-q8x
    @Maureenreal-q8x 10 дней назад +2

    Brad keep winning nakucrushia huku Kenya ukirudi nakutafuta

  • @Realsocialbettor02
    @Realsocialbettor02 10 дней назад +2

    Majama Kizungu akunaa😂

  • @Djojozkenya
    @Djojozkenya 10 дней назад +4

    All the best big bro ❤❤

  • @RodgersNgesu
    @RodgersNgesu 8 дней назад +3

    Dubai is a City in UAE

  • @samwelwaweru3201
    @samwelwaweru3201 9 дней назад

    Kujeni etihad museum nataka kumuona livelive❤

  • @mkenyagermany1950
    @mkenyagermany1950 10 дней назад

    Aaaahlaaaa sio the tallest man in Africa...or Kenya😅😂

  • @michiekamogaka8846
    @michiekamogaka8846 10 дней назад +2

    Nice content

  • @kalakatapa
    @kalakatapa 9 дней назад

    mshauri weka description hapa,atapa more earnings,,,,

  • @juliasngiraMoranHonest
    @juliasngiraMoranHonest 10 дней назад +2

    Hizi views zifike milioni

  • @paulmendy4465
    @paulmendy4465 9 дней назад

    Beautiful lady! excuse me, how tall is he down there?

  • @Jacintanabwera
    @Jacintanabwera 10 дней назад

    Upcoming RUclipsrs kujeni hapa tupitiane pia sisi tugrow pamoja comment done ni kupitie ❤

  • @kalakatapa
    @kalakatapa 9 дней назад

    ongea kishwali wajipange na wakutafsiri,kizungu baadae

  • @idahgloriaidayaidaya4271
    @idahgloriaidayaidaya4271 10 дней назад +1

    Waarabu wenyewe wajui english

  • @llmwangi
    @llmwangi 9 дней назад

    Brandly we shine bro

  • @niajekevo
    @niajekevo 6 дней назад

    @ ya huyo mrembo ni?

  • @CalebMusyoki-ti8vu
    @CalebMusyoki-ti8vu 10 дней назад +1

    Nasikia sauti ya Deno

  • @Tasha870
    @Tasha870 9 дней назад

    Bradley mbona train yetu ni ya Expo 2020 but angalia vile tume ingia ya UAE Exchange

  • @ojuluwa-areat7518
    @ojuluwa-areat7518 9 дней назад

    Congratulations

  • @VincentGamboMuye
    @VincentGamboMuye 10 дней назад

    Msee asome vitabu kwa sana

  • @David-t7s9p
    @David-t7s9p 10 дней назад +3

    Bradley jaribu kutema hiyo tabia ya kuwekea mikono kwa bega za watu wakati wa photo shoot coz unaweza sahau ukawekelea kwa mwanamke wa ki islamu of which ni offence huko ushtukie ukiwa flogged.

    • @ruthkaruru8662
      @ruthkaruru8662 10 дней назад

      Na yeye mwanamke mbona ajiue karibu na Bradley kama anajua ni dhambi🤣🤣🤣🤣

    • @FridahOnkangi
      @FridahOnkangi 9 дней назад

      Ni hao wanawake ndo wanajileta🙄 si yeye amewaita...

    • @KENYANQUEENOFFICIAL
      @KENYANQUEENOFFICIAL 8 дней назад

      Nipitieni guys pale kwangu🎉

  • @dollyopiyo534
    @dollyopiyo534 7 дней назад

    Celeb wa nguvu see how people are staring at him

  • @davidobiero-wl7yi
    @davidobiero-wl7yi 5 дней назад

    Act on suond broo OK

  • @daisybuyantsi5953
    @daisybuyantsi5953 10 дней назад

    Endelea kijana atafika mbali

  • @SheilaChebichiy
    @SheilaChebichiy 7 дней назад

    For me I prefer ukue tourists than making content with people ...

  • @VincentGamboMuye
    @VincentGamboMuye 10 дней назад

    Win

  • @danielnyongesa1541
    @danielnyongesa1541 9 дней назад +1

    Huyu msee hana nguo ingine?

    • @Roxana-q5j
      @Roxana-q5j 9 дней назад +3

      Sio ati hana nguo ni vile nguo zake zote ni hio design,hapa ako na blue, Jana alikuwa na yellow na juzi white unless mjinga ndio haoni colours ni tofauti kila siku.

    • @samwelwaweru3201
      @samwelwaweru3201 9 дней назад

      Hizo ni nguo za branding so lazima character iendee na hizoo

    • @isagreg8482
      @isagreg8482 9 дней назад

      Na viatu je

    • @RodgersNgesu
      @RodgersNgesu 8 дней назад

      Brad ambassador uvaangi nguo ovyo..Kuna hio design but colours ni different

    • @KENYANQUEENOFFICIAL
      @KENYANQUEENOFFICIAL 8 дней назад

      Nipitieni guys pale kwangu youtube🎉

  • @ruthkaruru8662
    @ruthkaruru8662 10 дней назад

    This is God's favour

  • @pammimuriu3002
    @pammimuriu3002 10 дней назад +2

    Kinzungu ni ngumu kwa jamaa wetu

    • @salkanini6277
      @salkanini6277 10 дней назад

      Huko kwenye Ako kizungu sio shida

    • @Roxana-q5j
      @Roxana-q5j 9 дней назад

      Hata hao wenyewe wengi hawajui kizungu but atleast he has an interpreter

    • @samwelwaweru3201
      @samwelwaweru3201 9 дней назад +1

      Huku yeye anaeza kua the best kwa kizungu hawaa zao ni go come here straight there tembea ujionee 😂😂

    • @isagreg8482
      @isagreg8482 9 дней назад

      Anafaa aende language lessons anatuangusha

    • @wilyfred8617
      @wilyfred8617 9 дней назад

      Ako sawa, anajua kiswahili na kiluhya ❤ kizungu ni lugha ka zingine.

  • @isagreg8482
    @isagreg8482 9 дней назад

    Kwani bata shoes walishindwa kshonea viatu

  • @ReginaFarida-ql6hy
    @ReginaFarida-ql6hy 10 дней назад +3

    Rudi sasa tumekumiss 😅

  • @idahgloriaidayaidaya4271
    @idahgloriaidayaidaya4271 10 дней назад +3

    Hiki kidem si kinyamaze

  • @Roxana-q5j
    @Roxana-q5j 9 дней назад +1

    Bradley ambia huyo dame apunguze kiherehere anaongea mingi

  • @chris_omwenga
    @chris_omwenga 10 дней назад +1

    Dem anaongea mingi

  • @bensonobino9479
    @bensonobino9479 9 дней назад +1

    RTA....needs to extend the height ya 🚆...