MUONEKANO MPYA WA HOSPITALI YA MUHIMBILI, PROF JANABI AFAFANUA HUDUMA YA KUEGESHA MAGARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2023

Комментарии • 30

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 9 месяцев назад +2

    Keep this Dr as long as he can work so as to improve our health system here..❤

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 11 месяцев назад +2

    I admire you prof, your doing a great job. Mungu akuzidishie 🇹🇿🇹🇿

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 9 месяцев назад +1

    Hongera Professor Janabi . Ubarikiwe ❤

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 11 месяцев назад +2

    Prof ur ze best.....MNH iko🔥🔥🔥

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 11 месяцев назад +1

    Hongera sana Daktari kwa weredi wako!!
    Keepgoing Prof

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 11 месяцев назад +3

    Mungu akuzidishie prof

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 11 месяцев назад +2

    Tangu prof janab apewe muhimbili ameleta matibabu ya magonjwa yaliokua yanatibiwa nje ya nchi hongera san Prof janab

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 8 месяцев назад +1

    Yn uyu mzeee katulia jamani daaaaa mpka na mwelewa 🤗🤗🤗

  • @akbarmaulid9624
    @akbarmaulid9624 11 месяцев назад +4

    Kazi nzuri prof janabj

  • @user-zv4fz8mv4o
    @user-zv4fz8mv4o 11 месяцев назад +3

    Kazi nzur professa janabi

  • @peninajulius4843
    @peninajulius4843 11 месяцев назад +1

    uko sawa prof cha msingi utaratibu ufuatwe na kufanyiwa kazi

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 8 месяцев назад +1

    Mpo sawa kabisa kupunguza mlipuko wa magonjwa

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 11 месяцев назад +1

    Hongera sana Prof. Janabi kwa utawala mzuri

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 11 месяцев назад +2

    Sawa professa Nimekuelewa

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 11 месяцев назад +3

    Nimeelewa Pro....

  • @pascojm6816
    @pascojm6816 11 месяцев назад +1

    Namkubali sana huyu prof

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 11 месяцев назад +3

    At least layout imekaa vizuri sasa...mwanza ilikua ni hectic kwakua layout ya eneo ilikua haijakaa sawa

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 3 месяца назад

    Professor mungu akuweke una akili mpaka chafu

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 11 месяцев назад +1

    Tulichelewa wap kumpa Prof janab Hospital ya Taifa muhimbili

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 26 дней назад

    Kumekucha huku una mgonjwa ulipoe bill huku ulipie parking mbona jmn hamna huruma na wananchi

  • @user-hu4vs2en5n
    @user-hu4vs2en5n 11 месяцев назад +1

    M/mugu akuzidishie tanzia nd yako Moshi majungu amefariki

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 11 месяцев назад +2

    Doctor tunsomba muwasa8die wananchi WA chini wawe wanaingia hata 5 kuona wagonjwa wordini. Hii inawajenga hata wagonjwa kisaikolojia.Nb hospital za private Kwa wakubwa mbona huingia tu.t7naomba sana hili pro utusaidie

    • @Jakayamiplayz
      @Jakayamiplayz 11 месяцев назад +1

      unajua kwa nini watu wa hali ya chini wanakufa hovyo hovyo? ni kwa sababu wakiambiwa hawaelewi..ushaambiwa kuna nosocomial infections mahospitalini.. mkiingia kwa msongamano unaambukizwa na unaambukiza pia, sasa kama hilo tu huwezi kulielewa unaanza kuleta siasa na huruma kwenye sayansi, then you have a big problem

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 10 месяцев назад

      Halafu usijifananishe na WAKUBWA KWA HERUFI KUBWA, wewe ukipata maambukizi yeyote Tiba ni hapa hapa. Wakubwa bima zao zinaruhusu kubebwa na Air Ambulance kwenda popote, hayo wafanyayo ni kwa ajili yetu, tushukuru na kukubali sheria, hayo yako duniani kooooooote.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 11 месяцев назад

    Chezea madem waSudan

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 11 месяцев назад

    Umeboresha san Hospital ya muhimbili

  • @misembe
    @misembe 7 месяцев назад

    Natamani uje ata uwe rais wa hii nchi jamani

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 11 месяцев назад

    Heee hawa wasudani wameleta msukumo

    • @mcback4384
      @mcback4384 11 месяцев назад

      Mmmh Mbona ujenzi umeanza ni zaidi ya miezi 6 sasa?

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 2 месяца назад

      Msukumo upi wameleta wakati wenyewe wamefika tz tu wameshangaa kuona imejengeka na pasafi sana na watu wake wastaarabu sasa wao wameleta msukumo gani zaidi ni wanafunzi na wametokea nchi yenye changamoto ya kisiasa, hivi wanaweza kuwa bora zaidi ya proffesors?