MUONEKANO MPYA WA HOSPITALI YA MUHIMBILI, PROF JANABI AFAFANUA HUDUMA YA KUEGESHA MAGARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 31

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +2

    Keep this Dr as long as he can work so as to improve our health system here..❤

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Год назад +2

    I admire you prof, your doing a great job. Mungu akuzidishie 🇹🇿🇹🇿

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +2

    Tangu prof janab apewe muhimbili ameleta matibabu ya magonjwa yaliokua yanatibiwa nje ya nchi hongera san Prof janab

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 Год назад +3

    Mungu akuzidishie prof

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +1

    Hongera Professor Janabi . Ubarikiwe ❤

  • @akbarmaulid9624
    @akbarmaulid9624 Год назад +4

    Kazi nzuri prof janabj

  • @KalukulaEssah
    @KalukulaEssah Год назад +3

    Kazi nzur professa janabi

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 Год назад +1

    Hongera sana Daktari kwa weredi wako!!
    Keepgoing Prof

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Год назад +2

    Prof ur ze best.....MNH iko🔥🔥🔥

  • @peninajulius4843
    @peninajulius4843 Год назад +1

    uko sawa prof cha msingi utaratibu ufuatwe na kufanyiwa kazi

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +1

    Yn uyu mzeee katulia jamani daaaaa mpka na mwelewa 🤗🤗🤗

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Год назад +2

    Sawa professa Nimekuelewa

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 Год назад +3

    Nimeelewa Pro....

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Год назад +1

    Hongera sana Prof. Janabi kwa utawala mzuri

  • @pascojm6816
    @pascojm6816 Год назад +1

    Namkubali sana huyu prof

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Год назад +3

    At least layout imekaa vizuri sasa...mwanza ilikua ni hectic kwakua layout ya eneo ilikua haijakaa sawa

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 7 месяцев назад

    Professor mungu akuweke una akili mpaka chafu

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +1

    Tulichelewa wap kumpa Prof janab Hospital ya Taifa muhimbili

  • @Zahirimzee
    @Zahirimzee Год назад +1

    M/mugu akuzidishie tanzia nd yako Moshi majungu amefariki

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 4 месяца назад

    Kumekucha huku una mgonjwa ulipoe bill huku ulipie parking mbona jmn hamna huruma na wananchi

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 Год назад +2

    Doctor tunsomba muwasa8die wananchi WA chini wawe wanaingia hata 5 kuona wagonjwa wordini. Hii inawajenga hata wagonjwa kisaikolojia.Nb hospital za private Kwa wakubwa mbona huingia tu.t7naomba sana hili pro utusaidie

    • @Jakayamiplayz
      @Jakayamiplayz Год назад +1

      unajua kwa nini watu wa hali ya chini wanakufa hovyo hovyo? ni kwa sababu wakiambiwa hawaelewi..ushaambiwa kuna nosocomial infections mahospitalini.. mkiingia kwa msongamano unaambukizwa na unaambukiza pia, sasa kama hilo tu huwezi kulielewa unaanza kuleta siasa na huruma kwenye sayansi, then you have a big problem

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 Год назад

      Halafu usijifananishe na WAKUBWA KWA HERUFI KUBWA, wewe ukipata maambukizi yeyote Tiba ni hapa hapa. Wakubwa bima zao zinaruhusu kubebwa na Air Ambulance kwenda popote, hayo wafanyayo ni kwa ajili yetu, tushukuru na kukubali sheria, hayo yako duniani kooooooote.

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 11 месяцев назад +1

    Mpo sawa kabisa kupunguza mlipuko wa magonjwa

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Umeboresha san Hospital ya muhimbili

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад

    Chezea madem waSudan

  • @misembe
    @misembe 10 месяцев назад

    Natamani uje ata uwe rais wa hii nchi jamani

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Год назад

    Heee hawa wasudani wameleta msukumo

    • @mcback4384
      @mcback4384 Год назад

      Mmmh Mbona ujenzi umeanza ni zaidi ya miezi 6 sasa?

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 месяцев назад

      Msukumo upi wameleta wakati wenyewe wamefika tz tu wameshangaa kuona imejengeka na pasafi sana na watu wake wastaarabu sasa wao wameleta msukumo gani zaidi ni wanafunzi na wametokea nchi yenye changamoto ya kisiasa, hivi wanaweza kuwa bora zaidi ya proffesors?

  • @shufwaaofficialtv1306
    @shufwaaofficialtv1306 2 месяца назад

    Wekeni taa za kutosha nje hapo