Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mabingwa watetezi, Yanga SC wametinga nusu fainali ya #CRDBBankFederationCup kwa kuibutua Tabora United mabao 3-0 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
    Magoli ya Yanga yametoka kwa Stephane Aziz ki dakika ya 35, Kennedy Musonda dakika ya 66 na Joseph Guede dakika ya 82.

Комментарии • 113

  • @jozidasuperior7257
    @jozidasuperior7257 4 месяца назад +11

    Wa kumi na sita nipeni like zangu Sasa mbele nyuma mwiko😂

  • @Trendingnews-bill
    @Trendingnews-bill 4 месяца назад +3

    Guede ashakua moto❤🎉

  • @uchebetz7284
    @uchebetz7284 4 месяца назад +5

    Aziziki ni fund sana huyu jamaaaa

  • @angelnyalile4827
    @angelnyalile4827 4 месяца назад +2

    Uyu Guedee Ana kitu atafik mbaliii🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀

  • @PriscangoshaNgosha
    @PriscangoshaNgosha 4 месяца назад +3

    Magori ya Azizi k ni pambe 👌👌

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 4 месяца назад +3

    Yanga oyeeeee,,, simba ni watoto wadogo,,,hii ngoma hawaiwezi❤❤❤❤

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842 4 месяца назад +2

    Safi sana

  • @mashekac.mtatiro894
    @mashekac.mtatiro894 4 месяца назад +3

    Good work Wananchi

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 4 месяца назад +5

    Gwende juuu, juuu sana🇹🇿🌻🌻

  • @HassanHalifa-u4l
    @HassanHalifa-u4l 4 месяца назад +2

    Jamani Guede tusamahe tulisema wametuletea galasha 🤣🤣🤣

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 4 месяца назад +1

    Yangaaaa bingwa

  • @rahmaali8423
    @rahmaali8423 4 месяца назад +2

    Lakini jamani guede anajua kufunga jamaa ni noma

  • @kwamefidel736
    @kwamefidel736 4 месяца назад +4

    Hongera wananchi Kwa mchezo mzuri

  • @ColinMgaya-td3vv
    @ColinMgaya-td3vv 4 месяца назад +8

    Usipokuja na gadi na miradi ilimradi....😅jumla nitaigawa idadi iwee wastani 🎉yanga hatari

  • @barakachaula7050
    @barakachaula7050 4 месяца назад +4

    Hii Mechi Angekua Simba Angekula 3😂😂😂

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 4 месяца назад +1

    Uyu guede kwa kumalizaga machi mungu ambariki sana

  • @issaya8977
    @issaya8977 4 месяца назад +2

    A Aziziki ni fundi wakuona mbali

  • @dickMassawe
    @dickMassawe 4 месяца назад +5

    Wakwanza Kam kaw wananchi

  • @beninyojamestungaraza9190
    @beninyojamestungaraza9190 4 месяца назад +3

    Tabora mlipanda kwa janjaa janjaa acha mpate mlicho stahilii

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 4 месяца назад +2

    Alhamdulillah jmn vip makolo kuhusu psccome mmetoka apo mmekimbilia kwa red card ila nyie bhn nilisikia uchungu alipofanyiwa faulo paccome nikasema Mungu wangu awa wanataka kumuumiza tena ila mwamba ako fiti

    • @nasramercy7016
      @nasramercy7016 4 месяца назад

      Ila pacome hii game kacheza Kwa woga sanaa😅

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 4 месяца назад +7

    Ila Pacome ni mtu mmoja hatari sana sijawahi kuona hapa Tanzania.

  • @tanzalandtv3311
    @tanzalandtv3311 4 месяца назад +3

    Young Africans SC , hatariiiiiiii motoooooooo

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 4 месяца назад +1

    Kiii moto wakuotea mbali

  • @TeacherTz-cw2xs
    @TeacherTz-cw2xs 4 месяца назад +36

    wapili leo like zangu bc km unaamini yanga ni bingwa wa hii michuano pia🇹🇿🇹🇿

  • @SamsonElias-bj8vm
    @SamsonElias-bj8vm 4 месяца назад +2

    Naitwa samusoni eriass azzk nifundi2 kusema kweri

    • @Tino-outfit23
      @Tino-outfit23 4 месяца назад

      kuandika tu ujui sas mpira utaweza kuchambua

    • @josephkilosa2655
      @josephkilosa2655 4 месяца назад

      @@Tino-outfit23 🤣🤣🤣🤣

  • @Kingsunnymusic
    @Kingsunnymusic 4 месяца назад +2

    Guede nimeanza kumwelewa

  • @chandrakuziga9214
    @chandrakuziga9214 4 месяца назад

    Forward hatuna wananchi

  • @FredyKhamis
    @FredyKhamis 4 месяца назад +5

    If you love yanga press your like here❤❤❤

  • @amoscharles1985
    @amoscharles1985 4 месяца назад +1

    Mi simba lakin kwa hii yanga rangi nyekundundu ufisadi mwingi acha wawatese mashabiki harisi

  • @LusekeloLusekelokibona
    @LusekeloLusekelokibona 4 месяца назад +4

    Yanga acha itupe laha jaman

  • @mukhsintwaha5909
    @mukhsintwaha5909 4 месяца назад +3

    MashaAllah

  • @tawakalimankasim82
    @tawakalimankasim82 4 месяца назад

    Tushamsahau "manywele" manywele ya kichwani hatuna haja nae hhhhhhhh🤣🤣🤣🤣 saiv tuna gwede. Yanga bingwa

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 4 месяца назад +4

    Asanteni wazee wa Yanga kufika ktk uwanja baada ya kushiba pilau na jezi mpya mkaingia chamanzi na KUFANYA YENU 😂😂😂😂

  • @christinajohn8891
    @christinajohn8891 4 месяца назад +5

    Pacome wetu karejeaaa

  • @yustobitalio3597
    @yustobitalio3597 4 месяца назад

    This is Yanga 🗿🗿🗿🗿

  • @LusekeloLusekelokibona
    @LusekeloLusekelokibona 4 месяца назад +2

    2:10

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 4 месяца назад

    Kibabage wakati mwingine badala ya kutoa assist apige moja kwa moja golini kuliko kupoteza muda. Awe haraka tu na kidogo kuongeza ukatiri

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 4 месяца назад

    Mashabiki kidogo😢

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 4 месяца назад +2

    nimepend hiy ya guede

  • @rodrickshio8346
    @rodrickshio8346 4 месяца назад +1

    Mzize huwa anakunywa uji tu au? dogo hana malengo kabisa ,anacheza ili mradi,sijui hajifunzi kitu kwa hawa wafungaji waleo !!?

  • @linahmkinga8041
    @linahmkinga8041 4 месяца назад

    Mnaboa azamu utuonyeshe vizuri.jamani mbona ivyo

  • @jasmangumbe3894
    @jasmangumbe3894 4 месяца назад +3

    jamani mzize ana shida sehemu

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 4 месяца назад +1

      Aenda akasomewe azinguliwe sio bure

  • @tekanabishwiga8074
    @tekanabishwiga8074 4 месяца назад

    Nilijua kuwa yanga bado inaendlea kunyanyasa

  • @hamisisonga9958
    @hamisisonga9958 4 месяца назад +7

    Nzengel kama mbape tu mule mule

  • @LusekeloLusekelokibona
    @LusekeloLusekelokibona 4 месяца назад +3

    Yanga nibola

    • @dvjkelly8449
      @dvjkelly8449 4 месяца назад

      Ni kweli, hadi nyie tuliwapa bahasha tukawapiga nje ndani

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 4 месяца назад +2

    Tabira kipa mnae, kaokoa magori mengi kweli

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 месяца назад

      KIPIA ni Diara na yule wa kosti unioni aisee

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 4 месяца назад

      @@errydeo8865 kweli, lakini wa Tabora nimemuheshimu, asinge kuwa mzuri jana ingekuwa magiri sita, amejitahidi

  • @shafiibashir9337
    @shafiibashir9337 4 месяца назад

  • @abdullabdalatif2834
    @abdullabdalatif2834 4 месяца назад +1

    Mzize ni mchezaji mzuri shida yake ni kutoona gori lilipo

  • @abdidalalidalalisanya
    @abdidalalidalalisanya 4 месяца назад +2

    Mchezo upo poa sana

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 месяца назад +1

    Kumbe zile 5-1 na 2-1 mlipewa bahasha na wazee wa bahasha?.

  • @CosmassKabuti
    @CosmassKabuti 4 месяца назад

    naomba mamba ya pakome zuzwa

  • @SilasNgunda
    @SilasNgunda 4 месяца назад

    🎉

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 4 месяца назад +1

    💚💐💚💛💛🙏🏿

  • @k.jrluther6301
    @k.jrluther6301 4 месяца назад +3

    Who is NEXT? Nani anakuja tumshone.

  • @amanizavala
    @amanizavala 4 месяца назад +1

    Utopolo wazee wa bahasha

    • @AthumanRamadhan-h5e
      @AthumanRamadhan-h5e 4 месяца назад

      Makolo mmebaki kujinyonga tu

    • @VictorBugobola
      @VictorBugobola 4 месяца назад

      Sawa nyie 😂si wazee makelele fc lialia fc mangungu fc na Shimba waliwapa bahasha wakala 5-1 tukawapa tena bahasha wakala 2-1 bahasha uendelee😂😂😂😂

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 месяца назад

      7 tuliwapa bahasha

    • @VictorBugobola
      @VictorBugobola 4 месяца назад

      Ww ulie sema bahasha nd unajua ata Jana namungo tuliwapa bahasha wasifungwe

    • @saleheathumani1009
      @saleheathumani1009 4 месяца назад

      Makolo nao niwazee wakupokea bahasha

  • @ErickJeremiah-ry4pw
    @ErickJeremiah-ry4pw 4 месяца назад

    Which this country?

  • @Sparosmilebae
    @Sparosmilebae 4 месяца назад +2

    Tulia tabora ushonwe

  • @maalimshafii8912
    @maalimshafii8912 4 месяца назад

    𝑺𝒉𝒐𝒘 𝒌𝒂𝒍

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂ila Mzinze atakuwa anashida ki mawazo sio bure mbn kijana anaonekana mdogo lkn anacheza kizeee😂😂

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 4 месяца назад +1

      Yani uyu mtoto ck hizi kanitoka rohoni we acha tu😢

    • @VictorBugobola
      @VictorBugobola 4 месяца назад

      Dah cjui huyu kjn nn kinamsmbua toka mech ya mamelody pale dar es salaam ad Leo amekosa utulivu umakin kila siku unapungua bech la ufund limsaidie kjn tunamuitaj lkn mh...

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 4 месяца назад +1

    Ligi ya Tanzania imeharibiwa na Utopolo. Subiri muone mwakani tusipoporomoka mpaka 20.

    • @athumanijuma3085
      @athumanijuma3085 4 месяца назад

      Unafirir.. sio bure

    • @stevenemwakasimba-pt8er
      @stevenemwakasimba-pt8er 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂 nguruwe FC bhana sasa hasira za namungo unaleta kwa wananchi?

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 4 месяца назад

      Dunduka linateseka, ni la kuvunda halina ubani!

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 4 месяца назад

      Haya mambo hayataki hasira za Nguruwe

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 4 месяца назад +1

    Watoto wa jangwani wazee wa jangwani..tunataka professional football kwa maslahi ya wachezaji sio kocha,wengine tushacheza mpira,mpira kuna baadhi ya wanangu wachezaji wananielewa ,mpira kama vita..

  • @EmanuelMuna-w2q
    @EmanuelMuna-w2q 4 месяца назад +2

    Wachawi wa ligi kuu TZ ( Tanzania Premier League) wakamatwa na Polisi jijini Dar es salaam.
    Ushindi wa Yanga leo hautaibomoa Simba, bali utaendelea kuijenga Simba.
    Yanga ni wachawi. Uchunguzi wa kisheria bado unaendelea.
    Ukweli ni kuwa, sisi watanzania hatutaukubali ushindi wa Yanga kwa mwaka huu wa tatu mfululizi, kutumia uchawi ili kushinda ligi kuu ya Tanzanzania.
    Simba Sc Tanzania is the winner

    • @ramadhanrobin-st6hh
      @ramadhanrobin-st6hh 4 месяца назад

      Huna akili nzuri kapime kansa ya ubongo

    • @Neema-c9h
      @Neema-c9h 4 месяца назад

      ​@@ramadhanrobin-st6hhumeniwai n chiz uyu😂😂😂

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 4 месяца назад +1

      Huyu kuchanganyikiwa au vp😂

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 4 месяца назад

      Kama shangingi huyu

    • @magrethyeremia2279
      @magrethyeremia2279 4 месяца назад

      Hujitambui wew kwa hiyo nyie mlochukua mara nne mlilogaaa eeeee?????

  • @JamesModeste
    @JamesModeste 4 месяца назад

    ppppppppppppppp😢

  • @IbrahimMohamed-c3c
    @IbrahimMohamed-c3c 4 месяца назад

    💚💛🦾

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 4 месяца назад +1

    Tabora safu ya ulinzi inaudhaif saana kipa wenu ni mzur

  • @NashackNashack-nc5ni
    @NashackNashack-nc5ni 4 месяца назад

    🎉