Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mabingwa watetezi, Yanga SC wametinga nusu fainali ya #CRDBBankFederationCup kwa kuibutua Tabora United mabao 3-0 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya Yanga yametoka kwa Stephane Aziz ki dakika ya 35, Kennedy Musonda dakika ya 66 na Joseph Guede dakika ya 82.
Wa kumi na sita nipeni like zangu Sasa mbele nyuma mwiko😂
Guede ashakua moto❤🎉
Aziziki ni fund sana huyu jamaaaa
Uyu Guedee Ana kitu atafik mbaliii🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀
Magori ya Azizi k ni pambe 👌👌
Yanga oyeeeee,,, simba ni watoto wadogo,,,hii ngoma hawaiwezi❤❤❤❤
Safi sana
Good work Wananchi
Gwende juuu, juuu sana🇹🇿🌻🌻
Jamani Guede tusamahe tulisema wametuletea galasha 🤣🤣🤣
Yangaaaa bingwa
Lakini jamani guede anajua kufunga jamaa ni noma
Hongera wananchi Kwa mchezo mzuri
Usipokuja na gadi na miradi ilimradi....😅jumla nitaigawa idadi iwee wastani 🎉yanga hatari
Hii Mechi Angekua Simba Angekula 3😂😂😂
Uyu guede kwa kumalizaga machi mungu ambariki sana
A Aziziki ni fundi wakuona mbali
Wakwanza Kam kaw wananchi
Tabora mlipanda kwa janjaa janjaa acha mpate mlicho stahilii
Alhamdulillah jmn vip makolo kuhusu psccome mmetoka apo mmekimbilia kwa red card ila nyie bhn nilisikia uchungu alipofanyiwa faulo paccome nikasema Mungu wangu awa wanataka kumuumiza tena ila mwamba ako fiti
Ila pacome hii game kacheza Kwa woga sanaa😅
Ila Pacome ni mtu mmoja hatari sana sijawahi kuona hapa Tanzania.
Young Africans SC , hatariiiiiiii motoooooooo
Kiii moto wakuotea mbali
wapili leo like zangu bc km unaamini yanga ni bingwa wa hii michuano pia🇹🇿🇹🇿
Naitwa samusoni eriass azzk nifundi2 kusema kweri
kuandika tu ujui sas mpira utaweza kuchambua
@@Tino-outfit23 🤣🤣🤣🤣
Guede nimeanza kumwelewa
Forward hatuna wananchi
If you love yanga press your like here❤❤❤
Mi simba lakin kwa hii yanga rangi nyekundundu ufisadi mwingi acha wawatese mashabiki harisi
Yanga acha itupe laha jaman
MashaAllah
Tushamsahau "manywele" manywele ya kichwani hatuna haja nae hhhhhhhh🤣🤣🤣🤣 saiv tuna gwede. Yanga bingwa
Asanteni wazee wa Yanga kufika ktk uwanja baada ya kushiba pilau na jezi mpya mkaingia chamanzi na KUFANYA YENU 😂😂😂😂
Pacome wetu karejeaaa
This is Yanga 🗿🗿🗿🗿
2:10
Kibabage wakati mwingine badala ya kutoa assist apige moja kwa moja golini kuliko kupoteza muda. Awe haraka tu na kidogo kuongeza ukatiri
Mashabiki kidogo😢
nimepend hiy ya guede
Daima mbele nyuma mwiko
Mzize huwa anakunywa uji tu au? dogo hana malengo kabisa ,anacheza ili mradi,sijui hajifunzi kitu kwa hawa wafungaji waleo !!?
Mnaboa azamu utuonyeshe vizuri.jamani mbona ivyo
jamani mzize ana shida sehemu
Aenda akasomewe azinguliwe sio bure
Nilijua kuwa yanga bado inaendlea kunyanyasa
Nzengel kama mbape tu mule mule
Yanga nibola
Ni kweli, hadi nyie tuliwapa bahasha tukawapiga nje ndani
Tabira kipa mnae, kaokoa magori mengi kweli
KIPIA ni Diara na yule wa kosti unioni aisee
@@errydeo8865 kweli, lakini wa Tabora nimemuheshimu, asinge kuwa mzuri jana ingekuwa magiri sita, amejitahidi
❤
Mzize ni mchezaji mzuri shida yake ni kutoona gori lilipo
Mchezo upo poa sana
Kumbe zile 5-1 na 2-1 mlipewa bahasha na wazee wa bahasha?.
Kolokwinyoooo ww
Kichwa tenge
naomba mamba ya pakome zuzwa
🎉
💚💐💚💛💛🙏🏿
Who is NEXT? Nani anakuja tumshone.
MASHUJAAA
JUMAPILI
Jumapili raha tena
@@muddymuzungu4357 huyo chipsi tu hana ushujaa wowote
Utopolo wazee wa bahasha
Makolo mmebaki kujinyonga tu
Sawa nyie 😂si wazee makelele fc lialia fc mangungu fc na Shimba waliwapa bahasha wakala 5-1 tukawapa tena bahasha wakala 2-1 bahasha uendelee😂😂😂😂
7 tuliwapa bahasha
Ww ulie sema bahasha nd unajua ata Jana namungo tuliwapa bahasha wasifungwe
Makolo nao niwazee wakupokea bahasha
Which this country?
TANZANIA
YANGA countr🎉
Ndo nn sasa
Hadi hku 😢
Tulia tabora ushonwe
❤
,😂
𝑺𝒉𝒐𝒘 𝒌𝒂𝒍
😂😂😂😂ila Mzinze atakuwa anashida ki mawazo sio bure mbn kijana anaonekana mdogo lkn anacheza kizeee😂😂
Yani uyu mtoto ck hizi kanitoka rohoni we acha tu😢
Dah cjui huyu kjn nn kinamsmbua toka mech ya mamelody pale dar es salaam ad Leo amekosa utulivu umakin kila siku unapungua bech la ufund limsaidie kjn tunamuitaj lkn mh...
Ligi ya Tanzania imeharibiwa na Utopolo. Subiri muone mwakani tusipoporomoka mpaka 20.
Unafirir.. sio bure
😂😂😂😂😂 nguruwe FC bhana sasa hasira za namungo unaleta kwa wananchi?
Dunduka linateseka, ni la kuvunda halina ubani!
Haya mambo hayataki hasira za Nguruwe
Watoto wa jangwani wazee wa jangwani..tunataka professional football kwa maslahi ya wachezaji sio kocha,wengine tushacheza mpira,mpira kuna baadhi ya wanangu wachezaji wananielewa ,mpira kama vita..
Wachawi wa ligi kuu TZ ( Tanzania Premier League) wakamatwa na Polisi jijini Dar es salaam.
Ushindi wa Yanga leo hautaibomoa Simba, bali utaendelea kuijenga Simba.
Yanga ni wachawi. Uchunguzi wa kisheria bado unaendelea.
Ukweli ni kuwa, sisi watanzania hatutaukubali ushindi wa Yanga kwa mwaka huu wa tatu mfululizi, kutumia uchawi ili kushinda ligi kuu ya Tanzanzania.
Simba Sc Tanzania is the winner
Huna akili nzuri kapime kansa ya ubongo
@@ramadhanrobin-st6hhumeniwai n chiz uyu😂😂😂
Huyu kuchanganyikiwa au vp😂
Kama shangingi huyu
Hujitambui wew kwa hiyo nyie mlochukua mara nne mlilogaaa eeeee?????
ppppppppppppppp😢
💚💛🦾
Tabora safu ya ulinzi inaudhaif saana kipa wenu ni mzur
🎉