Huyu jamaa nimesikiza vizuri mengine ni sawa lakini kwenye uchaguzi bado kwenye hamjatibu tatizo bado uchaguzi utaibeba ccm, wakulugenzi hawapo lakini watasimamia waandamizi wa serikali hahaha hamna kituapo.
Kila Mkurugenzi ni Ofisa wa Serikali LAKINI sio kila Ofisa wa Serikali ni Mkurugenzi. Hivyo hata kwa Katiba iliyopo ni nzuri sana tatizo Katiba na Sheria zilizopo HAIHESHIMIWI, hata tupate kila kitu kipya ni kazi bure. Ni LAZIMA Mtendaji wa Tume ya Uchaguzi awe Mtanzania na kila Mtanzania ana chama anachokipenda lakini sheria na taratibu zifuatwe.
Uchaguzi Ukipenda Kusimamiwa Na Watu Wa Inje Amani Ya Nchi Itakuwa Inapepea Juu Juu Ikiwa Inatoa Machozi Kama Tuko Na Akili Ya Kujua Taifa Letu Kwanini Wengine Waje Kualibu
Rais emetoa njia tumfuate. Kauli za hivi hazifai ndio maana inatakiwa katiba mpya ambayo itafanya tuwe na taasisi imara ya urais na sio rais imara. Rais asiongoze nchi kwa anavyoona yeye ila does and donts za Rais ziwe katika taasisi ya urais na sio kwa mtu as individual. Nampongeza sana Rais samia kwa kukibali haya mabadiliko na ukuzaji wa democrasia anaoufanya Rais wetu. Lakini tujiulize haya mambo kwanini magufuli alikataa?? Jibu ni kwa sababu katiba yetu ya sasa inampa nguvu kubwa Rais (as individual person)badala ya nguvu hiyo iwe ni ya taasisi ya urais. Tumshukuru Mungu kwa Rais huyu ambae kwa asilimia kubwa sana ni mtu anayejibu kero za makundi mbalimbali katika nchi hii.God bless our SAMIA SULUHU HASSAN
Ivi mnadhani kuna mbunge atampinga rais hilo msahau wabunge wamesharambishwa asari tume niwalewale mnapoteza ela zetu kuchukua posho mnajadili madudu tu hakuna de.krasia apo niunafiki tu unaendelea ivi mnadhani kukaa apo bungeni mnaakili sana mlipewa dhamana tena yashotikati sisi wananchi hatujawachagua pigeni soga chukueni posho muendeshe familia zenu atakae tukomboa sisi nimungu tu
Wabunge wa mchongo wa magu bhan hata avae suti pumbavu kabisa akili zao kama vile wanasikilizwa na manyumbu tume huru na katiba mpya ndio majibu masifa ya kumsifia rais ndo zenu japo hakuna lolote la maana linafanyw na mnayemsifia
Wabunge wa mchongo wa magu bhan hata avae suti pumbavu kabisa akili zao kama vile wanasikilizwa na manyumbu tume huru na katiba mpya ndio majibu masifa ya kumsifia rais ndo zenu japo hakuna lolote la maana linafanyw na mnayemsifia
Wachaguliwe KUSIMAMIA kura WALIOTELEKEZwa wakina Mama
Kama kweli hicho unacho ongea ni cha kweli ,mbona " unahema sana na kuhemea juu juu "du Tanzania yanguuu ! Nakupenda "
Hawa Majambazi Wa Nchi Mungu Atawaondoa Wote Wana Kulaaniwa.
Bwege
Huyu jamaa nimesikiza vizuri mengine ni sawa lakini kwenye uchaguzi bado kwenye hamjatibu tatizo bado uchaguzi utaibeba ccm, wakulugenzi hawapo lakini watasimamia waandamizi wa serikali hahaha hamna kituapo.
Kwa haya yanayoendelea ccm wanafurahia kutokuwepo Mwl Nyerere.
Hongera
Umeanza vizuri unamaliza vibaya dunia hii.
Msisahau maisha yetu watanzania ni magumu
Nenda kenya tume haiteuliwi na Rais hata siku moja wewe usitufanye tulio nje ya mjengo hatujui kitu
wakurugenzi na maofisa wa selekali wana utofauti gani??? acheni kulipotosha bunge la wanainchi
Kila Mkurugenzi ni Ofisa wa Serikali LAKINI sio kila Ofisa wa Serikali ni Mkurugenzi. Hivyo hata kwa Katiba iliyopo ni nzuri sana tatizo Katiba na Sheria zilizopo HAIHESHIMIWI, hata tupate kila kitu kipya ni kazi bure. Ni LAZIMA Mtendaji wa Tume ya Uchaguzi awe Mtanzania na kila Mtanzania ana chama anachokipenda lakini sheria na taratibu zifuatwe.
Nyinyi subirini 2025 piga kelele tuu
Ilikuwaje Mgombea akatiwa kidole na katiwa kidole wapi?
YAANI WABUNGE MPELEKWE DUBAI MKAPEWE HELA ZA KUUZA BANDARI HALAFU MNAJIFANYA MNATUPENDA YAANI NYIE MACCM MMELAANIWA.
Kichaa ww
Huyu ni kichaaa
Huyu mkinga anaongea nini??hiyo si tume huru bado ni watu wa serikali, inawezekana ana wazimu
Kichaaa
Nyie ni mafala makonda katajwa wap hapo
mbona mna hahasana kuhusu uchaguz?
inasikitisha kuwa wabunge wetu bado wanafumbia macho miswada hii mibovu.Suluhisho ni moja tu...tuwanyime kura mwaka 2025.Hata mmoja asirudi Bungeni.
Lini tulitoa mapendekezo tulitoa??? Watumishi wa serikali ni walewale tu ,uchaguzi hautakuwa wa haki
Maoga kwa sababu yamezoea kuiba kura
Sasa haya mapendekezo ni ya watanzania au ya raisi? Kila kitu raisi, raisi… hii bunge ni dhaifu kweli.
😅😅😅 kikubwa uzima
Acha ushamba tunataka tume huru inayosema tuyaone,kwa maana uchaguzi unafanyika tunapoishi tunaona?.
Blue print approach
Uchaguzi Ukipenda Kusimamiwa Na Watu Wa Inje Amani Ya Nchi Itakuwa Inapepea Juu Juu Ikiwa Inatoa Machozi Kama Tuko Na Akili Ya Kujua Taifa Letu Kwanini Wengine Waje Kualibu
Iundwe tume nje ya waajiriwa
nyie kila siku kumsifia raisi
Rais emetoa njia tumfuate. Kauli za hivi hazifai ndio maana inatakiwa katiba mpya ambayo itafanya tuwe na taasisi imara ya urais na sio rais imara. Rais asiongoze nchi kwa anavyoona yeye ila does and donts za Rais ziwe katika taasisi ya urais na sio kwa mtu as individual. Nampongeza sana Rais samia kwa kukibali haya mabadiliko na ukuzaji wa democrasia anaoufanya Rais wetu. Lakini tujiulize haya mambo kwanini magufuli alikataa?? Jibu ni kwa sababu katiba yetu ya sasa inampa nguvu kubwa Rais (as individual person)badala ya nguvu hiyo iwe ni ya taasisi ya urais. Tumshukuru Mungu kwa Rais huyu ambae kwa asilimia kubwa sana ni mtu anayejibu kero za makundi mbalimbali katika nchi hii.God bless our SAMIA SULUHU HASSAN
Mbn nilkuwa na waamin xana na nyie mmeanza kule taarifa za uwongo
Ivi mnadhani kuna mbunge atampinga rais hilo msahau wabunge wamesharambishwa asari tume niwalewale mnapoteza ela zetu kuchukua posho mnajadili madudu tu hakuna de.krasia apo niunafiki tu unaendelea ivi mnadhani kukaa apo bungeni mnaakili sana mlipewa dhamana tena yashotikati sisi wananchi hatujawachagua pigeni soga chukueni posho muendeshe familia zenu atakae tukomboa sisi nimungu tu
Chokoleti 😂😂😂
Wabunge wa mchongo wa magu bhan hata avae suti pumbavu kabisa akili zao kama vile wanasikilizwa na manyumbu tume huru na katiba mpya ndio majibu masifa ya kumsifia rais ndo zenu japo hakuna lolote la maana linafanyw na mnayemsifia
Wee nawe hamna kitu mna kazi ya kisifiana tu huna lolote
Ujinga Gani wakusimamia watumisho was serikali hivi hiyu ana hakiri
Wabunge wa mchongo wa magu bhan hata avae suti pumbavu kabisa akili zao kama vile wanasikilizwa na manyumbu tume huru na katiba mpya ndio majibu masifa ya kumsifia rais ndo zenu japo hakuna lolote la maana linafanyw na mnayemsifia