FESTO SANGA ALIAMSHA BUNGENI AMTAJA MAKONDA, ESTER MATIKO AINGILIA KATI "HUYO MTU ACHUKULIWE HATUA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 39

  • @moreenonesmo-jz2ws
    @moreenonesmo-jz2ws 7 месяцев назад

    Wachaguliwe KUSIMAMIA kura WALIOTELEKEZwa wakina Mama

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 7 месяцев назад +2

    Kama kweli hicho unacho ongea ni cha kweli ,mbona " unahema sana na kuhemea juu juu "du Tanzania yanguuu ! Nakupenda "

  • @user-fi9dh1wz1z
    @user-fi9dh1wz1z 7 месяцев назад +2

    Bwege

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 7 месяцев назад +2

    Huyu jamaa nimesikiza vizuri mengine ni sawa lakini kwenye uchaguzi bado kwenye hamjatibu tatizo bado uchaguzi utaibeba ccm, wakulugenzi hawapo lakini watasimamia waandamizi wa serikali hahaha hamna kituapo.

  • @freduallughano2301
    @freduallughano2301 7 месяцев назад

    Kwa haya yanayoendelea ccm wanafurahia kutokuwepo Mwl Nyerere.

  • @user-gt9zw9jk6w
    @user-gt9zw9jk6w 7 месяцев назад

    Hongera

  • @meshackmwalongo9798
    @meshackmwalongo9798 7 месяцев назад

    Umeanza vizuri unamaliza vibaya dunia hii.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 7 месяцев назад

    Msisahau maisha yetu watanzania ni magumu

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o 7 месяцев назад

    Nenda kenya tume haiteuliwi na Rais hata siku moja wewe usitufanye tulio nje ya mjengo hatujui kitu

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 7 месяцев назад +1

    wakurugenzi na maofisa wa selekali wana utofauti gani??? acheni kulipotosha bunge la wanainchi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 7 месяцев назад

      Kila Mkurugenzi ni Ofisa wa Serikali LAKINI sio kila Ofisa wa Serikali ni Mkurugenzi. Hivyo hata kwa Katiba iliyopo ni nzuri sana tatizo Katiba na Sheria zilizopo HAIHESHIMIWI, hata tupate kila kitu kipya ni kazi bure. Ni LAZIMA Mtendaji wa Tume ya Uchaguzi awe Mtanzania na kila Mtanzania ana chama anachokipenda lakini sheria na taratibu zifuatwe.

  • @alphoncejuma9652
    @alphoncejuma9652 7 месяцев назад +1

    Nyinyi subirini 2025 piga kelele tuu

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 7 месяцев назад

    Ilikuwaje Mgombea akatiwa kidole na katiwa kidole wapi?

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 7 месяцев назад +1

    YAANI WABUNGE MPELEKWE DUBAI MKAPEWE HELA ZA KUUZA BANDARI HALAFU MNAJIFANYA MNATUPENDA YAANI NYIE MACCM MMELAANIWA.

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 7 месяцев назад

    Kichaa ww

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 7 месяцев назад +1

    Huyu ni kichaaa

    • @sangajaffar7419
      @sangajaffar7419 7 месяцев назад

      Huyu mkinga anaongea nini??hiyo si tume huru bado ni watu wa serikali, inawezekana ana wazimu

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 7 месяцев назад

    Kichaaa

  • @leonardkivuyo3226
    @leonardkivuyo3226 7 месяцев назад +1

    Nyie ni mafala makonda katajwa wap hapo

  • @user-iv6pr8ze1x
    @user-iv6pr8ze1x 7 месяцев назад

    mbona mna hahasana kuhusu uchaguz?

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 7 месяцев назад

    inasikitisha kuwa wabunge wetu bado wanafumbia macho miswada hii mibovu.Suluhisho ni moja tu...tuwanyime kura mwaka 2025.Hata mmoja asirudi Bungeni.

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 7 месяцев назад

    Lini tulitoa mapendekezo tulitoa??? Watumishi wa serikali ni walewale tu ,uchaguzi hautakuwa wa haki

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 7 месяцев назад

    Maoga kwa sababu yamezoea kuiba kura

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 7 месяцев назад

    Sasa haya mapendekezo ni ya watanzania au ya raisi? Kila kitu raisi, raisi… hii bunge ni dhaifu kweli.

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo 7 месяцев назад

    😅😅😅 kikubwa uzima

  • @samsonkichele3530
    @samsonkichele3530 7 месяцев назад

    Acha ushamba tunataka tume huru inayosema tuyaone,kwa maana uchaguzi unafanyika tunapoishi tunaona?.

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 7 месяцев назад

    Blue print approach

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 7 месяцев назад

    Uchaguzi Ukipenda Kusimamiwa Na Watu Wa Inje Amani Ya Nchi Itakuwa Inapepea Juu Juu Ikiwa Inatoa Machozi Kama Tuko Na Akili Ya Kujua Taifa Letu Kwanini Wengine Waje Kualibu

    • @Mchungaji883
      @Mchungaji883 7 месяцев назад

      Iundwe tume nje ya waajiriwa

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 7 месяцев назад

    nyie kila siku kumsifia raisi

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu3347 7 месяцев назад

    Rais emetoa njia tumfuate. Kauli za hivi hazifai ndio maana inatakiwa katiba mpya ambayo itafanya tuwe na taasisi imara ya urais na sio rais imara. Rais asiongoze nchi kwa anavyoona yeye ila does and donts za Rais ziwe katika taasisi ya urais na sio kwa mtu as individual. Nampongeza sana Rais samia kwa kukibali haya mabadiliko na ukuzaji wa democrasia anaoufanya Rais wetu. Lakini tujiulize haya mambo kwanini magufuli alikataa?? Jibu ni kwa sababu katiba yetu ya sasa inampa nguvu kubwa Rais (as individual person)badala ya nguvu hiyo iwe ni ya taasisi ya urais. Tumshukuru Mungu kwa Rais huyu ambae kwa asilimia kubwa sana ni mtu anayejibu kero za makundi mbalimbali katika nchi hii.God bless our SAMIA SULUHU HASSAN

  • @leonardkivuyo3226
    @leonardkivuyo3226 7 месяцев назад

    Mbn nilkuwa na waamin xana na nyie mmeanza kule taarifa za uwongo

  • @bonifacemuya2406
    @bonifacemuya2406 7 месяцев назад

    Ivi mnadhani kuna mbunge atampinga rais hilo msahau wabunge wamesharambishwa asari tume niwalewale mnapoteza ela zetu kuchukua posho mnajadili madudu tu hakuna de.krasia apo niunafiki tu unaendelea ivi mnadhani kukaa apo bungeni mnaakili sana mlipewa dhamana tena yashotikati sisi wananchi hatujawachagua pigeni soga chukueni posho muendeshe familia zenu atakae tukomboa sisi nimungu tu

  • @ntibashimadicksonmathiasna2915
    @ntibashimadicksonmathiasna2915 7 месяцев назад

    Chokoleti 😂😂😂

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 7 месяцев назад

    Wabunge wa mchongo wa magu bhan hata avae suti pumbavu kabisa akili zao kama vile wanasikilizwa na manyumbu tume huru na katiba mpya ndio majibu masifa ya kumsifia rais ndo zenu japo hakuna lolote la maana linafanyw na mnayemsifia

  • @EvarimAdrian-xl5jq
    @EvarimAdrian-xl5jq 7 месяцев назад

    Wee nawe hamna kitu mna kazi ya kisifiana tu huna lolote

  • @JosephKembe
    @JosephKembe 7 месяцев назад

    Ujinga Gani wakusimamia watumisho was serikali hivi hiyu ana hakiri

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 7 месяцев назад

    Wabunge wa mchongo wa magu bhan hata avae suti pumbavu kabisa akili zao kama vile wanasikilizwa na manyumbu tume huru na katiba mpya ndio majibu masifa ya kumsifia rais ndo zenu japo hakuna lolote la maana linafanyw na mnayemsifia