Mambo kama ULAYA! MWIJAKU awapiga Dongo majirani kisa TRENI za UMEME Bongo, Tazama UZURI wake, noma

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 54

  • @MgasaEmanoeli
    @MgasaEmanoeli 2 месяца назад +6

    Mwijaku nimekukubali kuonyesha respect picha ya Magufuli 🙏

  • @Esquire266
    @Esquire266 2 месяца назад +3

    Alhaji, Bilionea DC Mwijaku kipenzi cha watanzania 🔥🔥😂😂

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 месяца назад +1

    Mama hana deni , hahahhhaha

  • @kadito-kenya
    @kadito-kenya 2 месяца назад +3

    Watu wa maana kabisa pamoja na mama yao❤

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 2 месяца назад +3

    Nawapenda Hawa vijana wamejua namna ya kuchapa pesa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 2 месяца назад +3

    Mkiona mnapambana kukuza uchumi wa inchi yenu, ndo mnakua mko kwenye mlengo wa kweli.

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 2 месяца назад +4

    Mama anafanya kazi ma Rais wengine bahazi yao maneno mengi hakuna vitendo Angela sna mama yangu

  • @RaphaelJickson-t7u
    @RaphaelJickson-t7u 2 месяца назад +8

    Magufuri kajenga anasifiwa mama kumamake uchawa bhana

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 месяца назад

      😂😂😂

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 2 месяца назад +1

      Hata wewe ukifa, watakukumbuka kwa yale ulioyatenda. Muendelezaji angeamua kuacha kuviendeleza hasa kwenye katiba ya Tanzania. Rais anafanya anavyotaka

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 2 месяца назад

      Yaani mashoga hayo

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 2 месяца назад +1

    Kweli majilani yunu atuna iyo miladi.

  • @skteller5039
    @skteller5039 2 месяца назад +4

    Magufuli projects heko anapewa mama
    Kweli marehemu hana chake

    • @rashidalihamad7228
      @rashidalihamad7228 2 месяца назад +1

      Marehemu hana chake, kufa Leo uone kama Kuna mtu ataongelea kuhusu wewe, mtu husahauliwa na mtoto wake aliyemzaa
      Na if kama rais aliepo madarakani pia hakusimamia project je ingelinalizia

    • @aby.beka1630
      @aby.beka1630 2 месяца назад

      kweli Tz wanafik sn~

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 2 месяца назад

    Watu wa maana kabisa

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo 2 месяца назад +1

    Tanzania hawana deni jmn wako vizuri

    • @mwalimunyerere
      @mwalimunyerere 2 месяца назад

      haha. penda kusoma. hakuna nchi ya EA haina deni.

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 месяца назад +2

    Nalo ni dongo kweli

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 2 месяца назад

    😂😂😂😂 Baba levo na Mwijaku kama nawaona hivi wajukuu zangu watakavokuwa wanaangalia video zenu mwaka 2090

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 2 месяца назад

    Huyo mama mlea wezi atoke huko

  • @Moseskoome-l1t
    @Moseskoome-l1t 2 месяца назад +2

    dongo kwa uganda😅😅

  • @prospermbwambo2265
    @prospermbwambo2265 2 месяца назад

    Baba levo amehamia crown mana kashika mike za crown

  • @JumaSaid-g5u
    @JumaSaid-g5u 2 месяца назад

    Kwa uchawa huu Tanzania itaendelea kutawaliwa na CCM hakuna

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 2 месяца назад

    Hayati Magufuli na Mama Samia watakumbukwa.

  • @kalumunakadhim4686
    @kalumunakadhim4686 2 месяца назад

    Mwijaku umepooaaa😂😂😂

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 месяца назад

    Hayo yoke ni JPM.

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 2 месяца назад +2

    Eti jirani mwambieni huyo mwijaku asitutafute sisi wakenya hamtuwezi vita vyetu!!!!! Sai tuko busy na GenZ

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 2 месяца назад

      😂😂😂❤❤❤🇰🇪🇹🇿🇹🇿

    • @khamissalim5160
      @khamissalim5160 2 месяца назад

      Usishindane na mashoga bro,we are busy wit zakao

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 2 месяца назад

    Nawaona hawa vijana kwenye

  • @Moseskoome-l1t
    @Moseskoome-l1t 2 месяца назад +1

    Tanzania walivyo wapuuzi wataamini hawana ndeni kweli😅😅

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 2 месяца назад

      Wanamaanisha kwamba mama hana deni kwa kukamilisha mradi na sio deni la pesa

  • @Entertainmen_tv2024
    @Entertainmen_tv2024 2 месяца назад

    Kazi ya magu anasifiwa bibi wajuuku tunawazoom tu

  • @khamissalim5160
    @khamissalim5160 2 месяца назад

    Samia kafanya nini pumbavu ww,mshukuruni magufuli kawapa sgr na barabara ya juu ya kwanza,mama ana madeni mpaka tozo zawashinda

    • @rashidalihamad7228
      @rashidalihamad7228 2 месяца назад +1

      😂 kwahiyo aliyemalizia project ni magu au Samia. Hakuna rais ambae hajawahi kuwa na madeni, watch out

  • @RoseeyRoseey
    @RoseeyRoseey 2 месяца назад +1

    Kenya wenzenu wanatafuta haki zao nyie mnasifia vitu vya kijinga shame on you!

    • @rashidalihamad7228
      @rashidalihamad7228 2 месяца назад +1

      Kenya sio Tanzania

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 месяца назад +1

      Waache waitafute wataipata wakiwa wamechoka sana au wamekufa sana yote yana wezekana hayo

  • @HAMSOOMAR-q9i
    @HAMSOOMAR-q9i 2 месяца назад +1

    Tuko busy tunaandamana kumpinga adui wa inch y KENYA ruto anataka kueka rahani KENYA AIRWAYS kwa miaka 30 ✈️

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 2 месяца назад +1

      Mwenyezi Mungu ni mwema sana mtafanikiwa na malengo yenu yatatimia - Inshaallah🤲🤲🤲🙏🙏🙏

    • @mustafakimalio9129
      @mustafakimalio9129 2 месяца назад

      Mlishauzwa tayari mnajipiga ngumu usoni tu hata aje nani Kenya mtamwona mbaya tu​@@aminasittusaid3830

  • @CrissManda
    @CrissManda 2 месяца назад

    SASA MBONA HILO TOBO HALIZIBWI? AIBUUUUUU

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 2 месяца назад +1

    🇹🇿🇹🇿🫡

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 месяца назад

    Nchi IMEUZWA kila kona, mashoga nyie

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 месяца назад

    #NONSENSE

  • @RaphaelJickson-t7u
    @RaphaelJickson-t7u 2 месяца назад

    Semeni watanzania atuna deni kwani analipa Hela Toka mfukoni mwake

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 2 месяца назад

    shida sio tren ya umeme ina beba nini inaingiza shilingi ngapi ndege zimekuja hapa kubwa kwandogo hatuambiwi kwamba ndege zimetuonua kiuchumi kivipi nawapi tunaenda kimyaa inasubiri yanga au simba iwe na mechiu iwabebe

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 2 месяца назад

    Ikifikia deni latakikana kulipwa msije kulaumu serikali mbwa nyie😂

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 2 месяца назад

      Mwanaume ambaye hana deni ndo boya. Marekani inadaiwa dollar trillion 32. Zihesanu kwa tsh

    • @salimjumaa8180
      @salimjumaa8180 2 месяца назад

      @@barrynzeyimana6270 U.S inadaiwa kumbe af nayo inaidai serikali😂. Patamu hpo! Flota.

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 месяца назад +1

    Nalo ni dongo kweli