Hata wewe ukifa, watakukumbuka kwa yale ulioyatenda. Muendelezaji angeamua kuacha kuviendeleza hasa kwenye katiba ya Tanzania. Rais anafanya anavyotaka
Marehemu hana chake, kufa Leo uone kama Kuna mtu ataongelea kuhusu wewe, mtu husahauliwa na mtoto wake aliyemzaa Na if kama rais aliepo madarakani pia hakusimamia project je ingelinalizia
shida sio tren ya umeme ina beba nini inaingiza shilingi ngapi ndege zimekuja hapa kubwa kwandogo hatuambiwi kwamba ndege zimetuonua kiuchumi kivipi nawapi tunaenda kimyaa inasubiri yanga au simba iwe na mechiu iwabebe
Mwijaku nimekukubali kuonyesha respect picha ya Magufuli 🙏
Alhaji, Bilionea DC Mwijaku kipenzi cha watanzania 🔥🔥😂😂
Mama hana deni , hahahhhaha
Watu wa maana kabisa pamoja na mama yao❤
Nawapenda Hawa vijana wamejua namna ya kuchapa pesa
Mkiona mnapambana kukuza uchumi wa inchi yenu, ndo mnakua mko kwenye mlengo wa kweli.
Mama anafanya kazi ma Rais wengine bahazi yao maneno mengi hakuna vitendo Angela sna mama yangu
Mitano tena
Magufuri kajenga anasifiwa mama kumamake uchawa bhana
😂😂😂
Hata wewe ukifa, watakukumbuka kwa yale ulioyatenda. Muendelezaji angeamua kuacha kuviendeleza hasa kwenye katiba ya Tanzania. Rais anafanya anavyotaka
Yaani mashoga hayo
Kweli majilani yunu atuna iyo miladi.
Magufuli projects heko anapewa mama
Kweli marehemu hana chake
Marehemu hana chake, kufa Leo uone kama Kuna mtu ataongelea kuhusu wewe, mtu husahauliwa na mtoto wake aliyemzaa
Na if kama rais aliepo madarakani pia hakusimamia project je ingelinalizia
kweli Tz wanafik sn~
Watu wa maana kabisa
Tanzania hawana deni jmn wako vizuri
haha. penda kusoma. hakuna nchi ya EA haina deni.
Nalo ni dongo kweli
😂😂😂😂 Baba levo na Mwijaku kama nawaona hivi wajukuu zangu watakavokuwa wanaangalia video zenu mwaka 2090
Huyo mama mlea wezi atoke huko
dongo kwa uganda😅😅
Baba levo amehamia crown mana kashika mike za crown
Kwa uchawa huu Tanzania itaendelea kutawaliwa na CCM hakuna
Hayati Magufuli na Mama Samia watakumbukwa.
Mwijaku umepooaaa😂😂😂
Hayo yoke ni JPM.
Eti jirani mwambieni huyo mwijaku asitutafute sisi wakenya hamtuwezi vita vyetu!!!!! Sai tuko busy na GenZ
😂😂😂❤❤❤🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Usishindane na mashoga bro,we are busy wit zakao
Nawaona hawa vijana kwenye
Tanzania walivyo wapuuzi wataamini hawana ndeni kweli😅😅
Wanamaanisha kwamba mama hana deni kwa kukamilisha mradi na sio deni la pesa
Kazi ya magu anasifiwa bibi wajuuku tunawazoom tu
Samia kafanya nini pumbavu ww,mshukuruni magufuli kawapa sgr na barabara ya juu ya kwanza,mama ana madeni mpaka tozo zawashinda
😂 kwahiyo aliyemalizia project ni magu au Samia. Hakuna rais ambae hajawahi kuwa na madeni, watch out
Kenya wenzenu wanatafuta haki zao nyie mnasifia vitu vya kijinga shame on you!
Kenya sio Tanzania
Waache waitafute wataipata wakiwa wamechoka sana au wamekufa sana yote yana wezekana hayo
Tuko busy tunaandamana kumpinga adui wa inch y KENYA ruto anataka kueka rahani KENYA AIRWAYS kwa miaka 30 ✈️
Mwenyezi Mungu ni mwema sana mtafanikiwa na malengo yenu yatatimia - Inshaallah🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Mlishauzwa tayari mnajipiga ngumu usoni tu hata aje nani Kenya mtamwona mbaya tu@@aminasittusaid3830
SASA MBONA HILO TOBO HALIZIBWI? AIBUUUUUU
🇹🇿🇹🇿🫡
Nchi IMEUZWA kila kona, mashoga nyie
#NONSENSE
Semeni watanzania atuna deni kwani analipa Hela Toka mfukoni mwake
shida sio tren ya umeme ina beba nini inaingiza shilingi ngapi ndege zimekuja hapa kubwa kwandogo hatuambiwi kwamba ndege zimetuonua kiuchumi kivipi nawapi tunaenda kimyaa inasubiri yanga au simba iwe na mechiu iwabebe
Ndege zinarahisisha usafili
Ikifikia deni latakikana kulipwa msije kulaumu serikali mbwa nyie😂
Mwanaume ambaye hana deni ndo boya. Marekani inadaiwa dollar trillion 32. Zihesanu kwa tsh
@@barrynzeyimana6270 U.S inadaiwa kumbe af nayo inaidai serikali😂. Patamu hpo! Flota.
Nalo ni dongo kweli