Ona MAJINI yanavyo Tesa Watu na Mapenzi SIR BINLADEN Afichua siri nzito

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 30

  • @bingoonlinetz
    @bingoonlinetz  3 года назад +3

    Kama kuna somo unataka kulijua kutoka kwa sir binladen acha comment yako hapo chini na BINGO ONLINE TZ tutakuletea na ili kumpata sir binladen mpigia simu 0679426148
    .
    LINK YA RUclips YA SIR BINLADEN
    ruclips.net/channel/UC5QELa40yMcx2CgwMnoQAWQ

    • @tonnynsabimana8401
      @tonnynsabimana8401 Год назад +1

      Swali langu nihili naweza fanya nini ili mtu mwenye kupooza mwili aweze kurudi kwenye aliake ya kawaida maana ninandugu yangu anamatatizo kama hayo yani anamda mrefu sana amepooza upande wachini yani upande wa miguu yani kuanzia kwenye kiuno kuteremka kwachini yani anateseka sana kbs naombeni msaada kutoka kwenu naweza nikafanyaje ili aweze kurudi kwenye aliake ya kawaida ??

    • @MohdTryson
      @MohdTryson 4 месяца назад

      Hii nzur saana

  • @jacobponga1540
    @jacobponga1540 2 года назад

    Masha Allah Sir binladen, Uko na kipaji bro toka Allah na akuzidishie kila wepesi

  • @hussenihassani4156
    @hussenihassani4156 4 месяца назад +2

    Assalamualaikum naombauniunge kwenye wasp

  • @tonnynsabimana8401
    @tonnynsabimana8401 Год назад +1

    Vip aliako doctor?mimi ninatatizo kubwa sana nina ndugu yangu anamda mrefu sana anateseka na ugonjwa waku pooza mwili yani amepooza upande wachini ila upande wajuu nimzima kbs yaani miguu yake aina nguvu kbs napiya kapooza naitaji msaada kutoka kwako naweza nikafanya nini ili aweze kurudi kwenye haliyake ya kawaida?ao naweza nikafanya nini please naomba unielekeze

  • @jumasaid3575
    @jumasaid3575 4 месяца назад

    Assallaam alkm tafadhali irudie namba ya simu

  • @abdallashehi2253
    @abdallashehi2253 2 года назад +1

    Sir binladen mimi ninatatizo kubwa na limenutesa miaka mingi sana.Kwanza kuna mwanamke hua nalala nae kwa ndoto kwa muda mrefu na mwisho alikuja mithili ya mbilikimo na hata kuniambia jina aitwa lucy na nikimtaka nmfate baharini.Pili nmepoteza kazi na kupoteza kila kitu nilichochuma na nuksi ya Ajali nyingi sana.Tatu nikikopesa silipwi hata awe mtu wangu wakaribu kiasi gani.Nmejaribu kila mbinu hata shirki lakini sijafanikiwa na hata sasa niko mwaka wa nane bila kazi na kila nifanyalo haliendelei katu.Nifanyej sababu hata ndoa imeharibika ama hakuna kwa sasa.Naomba usaidizi kaka.Mimi natokea mombasa kenya.

  • @laurarose1521
    @laurarose1521 3 года назад

    Njoo Kenya

  • @petterbugingo1517
    @petterbugingo1517 Год назад

    Kama nikwaajili yatiba namsaada kwa watanzaniawote mbona upokinyume na elimu unayotoa nlikutumia pesa hadileo cjapata dawa je ndobiashara unayoifanya

  • @petterbugingo1517
    @petterbugingo1517 Год назад

    Nikweli upokusaidia watu au kuwatapeli

  • @Tabumohamedi-tl6jk
    @Tabumohamedi-tl6jk 4 месяца назад

    sasa kama kuna mtu Analo Atafanyeje Ili Asije tena mana shoga Angu Anateseka kwa muda mrefu linamtesa sana hapendi wanaume kwa kufanya mapenzi basi ni kuongea tu sasa Atatoka vp?ili na yeye awe wakawaida kama wengine

  • @Zeinabrajab-hh3mw
    @Zeinabrajab-hh3mw 4 месяца назад

    Aslm alkm naomba uni add

  • @MwangazaBakari
    @MwangazaBakari 4 месяца назад

    Asalamm alaykum,mtabibu naomba namba yako nnamatatizo nahitaji msaada wako, nakuomba

  • @ibrahimshaban6939
    @ibrahimshaban6939 2 года назад

    Je naweza kumtoa jini mahaba Kama ninayo?

  • @shukuboy5959
    @shukuboy5959 2 года назад

    VP mm nnatatzo LA kbamia nataka ile dawa ya katan unielekeze

  • @hussenihassani4156
    @hussenihassani4156 4 месяца назад

    Niunge kwenye wasp

  • @estherbugegwanjibaka7059
    @estherbugegwanjibaka7059 Год назад

    Kuwa naandika namba Apana ku sema unaweza andika namba

  • @gasparrafael5500
    @gasparrafael5500 3 года назад

    Bin laden nakuon bn

  • @AminiKidume
    @AminiKidume 8 месяцев назад

    Sir samahan naomba uniunge kwenye Whatsapp

  • @abdallashehi2253
    @abdallashehi2253 2 года назад

    Na kama uko na nambari ya whatsapp tujulishe tueze kuwasiliana nawe tukiwa mbali.

  • @tactcem8678
    @tactcem8678 2 года назад

    Jee wewe unamuita jini???

  • @JimmyKazungu-oj5bs
    @JimmyKazungu-oj5bs 4 месяца назад

    Hukbo kaka Mimi natoka kenya naomba wasiliano plz nipee namba tuongee kaka