Kama kuna somo unataka kulijua kutoka kwa sir binladen acha comment yako hapo chini na BINGO ONLINE TZ tutakuletea na ili kumpata sir binladen mpigia simu 0679426148 . LINK YA RUclips YA SIR BINLADEN ruclips.net/channel/UC5QELa40yMcx2CgwMnoQAWQ
Swali langu nihili naweza fanya nini ili mtu mwenye kupooza mwili aweze kurudi kwenye aliake ya kawaida maana ninandugu yangu anamatatizo kama hayo yani anamda mrefu sana amepooza upande wachini yani upande wa miguu yani kuanzia kwenye kiuno kuteremka kwachini yani anateseka sana kbs naombeni msaada kutoka kwenu naweza nikafanyaje ili aweze kurudi kwenye aliake ya kawaida ??
Vip aliako doctor?mimi ninatatizo kubwa sana nina ndugu yangu anamda mrefu sana anateseka na ugonjwa waku pooza mwili yani amepooza upande wachini ila upande wajuu nimzima kbs yaani miguu yake aina nguvu kbs napiya kapooza naitaji msaada kutoka kwako naweza nikafanya nini ili aweze kurudi kwenye haliyake ya kawaida?ao naweza nikafanya nini please naomba unielekeze
Sir binladen mimi ninatatizo kubwa na limenutesa miaka mingi sana.Kwanza kuna mwanamke hua nalala nae kwa ndoto kwa muda mrefu na mwisho alikuja mithili ya mbilikimo na hata kuniambia jina aitwa lucy na nikimtaka nmfate baharini.Pili nmepoteza kazi na kupoteza kila kitu nilichochuma na nuksi ya Ajali nyingi sana.Tatu nikikopesa silipwi hata awe mtu wangu wakaribu kiasi gani.Nmejaribu kila mbinu hata shirki lakini sijafanikiwa na hata sasa niko mwaka wa nane bila kazi na kila nifanyalo haliendelei katu.Nifanyej sababu hata ndoa imeharibika ama hakuna kwa sasa.Naomba usaidizi kaka.Mimi natokea mombasa kenya.
sasa kama kuna mtu Analo Atafanyeje Ili Asije tena mana shoga Angu Anateseka kwa muda mrefu linamtesa sana hapendi wanaume kwa kufanya mapenzi basi ni kuongea tu sasa Atatoka vp?ili na yeye awe wakawaida kama wengine
Kama kuna somo unataka kulijua kutoka kwa sir binladen acha comment yako hapo chini na BINGO ONLINE TZ tutakuletea na ili kumpata sir binladen mpigia simu 0679426148
.
LINK YA RUclips YA SIR BINLADEN
ruclips.net/channel/UC5QELa40yMcx2CgwMnoQAWQ
Swali langu nihili naweza fanya nini ili mtu mwenye kupooza mwili aweze kurudi kwenye aliake ya kawaida maana ninandugu yangu anamatatizo kama hayo yani anamda mrefu sana amepooza upande wachini yani upande wa miguu yani kuanzia kwenye kiuno kuteremka kwachini yani anateseka sana kbs naombeni msaada kutoka kwenu naweza nikafanyaje ili aweze kurudi kwenye aliake ya kawaida ??
Hii nzur saana
Masha Allah Sir binladen, Uko na kipaji bro toka Allah na akuzidishie kila wepesi
Assalamualaikum naombauniunge kwenye wasp
Vip aliako doctor?mimi ninatatizo kubwa sana nina ndugu yangu anamda mrefu sana anateseka na ugonjwa waku pooza mwili yani amepooza upande wachini ila upande wajuu nimzima kbs yaani miguu yake aina nguvu kbs napiya kapooza naitaji msaada kutoka kwako naweza nikafanya nini ili aweze kurudi kwenye haliyake ya kawaida?ao naweza nikafanya nini please naomba unielekeze
Assallaam alkm tafadhali irudie namba ya simu
Sir binladen mimi ninatatizo kubwa na limenutesa miaka mingi sana.Kwanza kuna mwanamke hua nalala nae kwa ndoto kwa muda mrefu na mwisho alikuja mithili ya mbilikimo na hata kuniambia jina aitwa lucy na nikimtaka nmfate baharini.Pili nmepoteza kazi na kupoteza kila kitu nilichochuma na nuksi ya Ajali nyingi sana.Tatu nikikopesa silipwi hata awe mtu wangu wakaribu kiasi gani.Nmejaribu kila mbinu hata shirki lakini sijafanikiwa na hata sasa niko mwaka wa nane bila kazi na kila nifanyalo haliendelei katu.Nifanyej sababu hata ndoa imeharibika ama hakuna kwa sasa.Naomba usaidizi kaka.Mimi natokea mombasa kenya.
Je wahitaji msaada??.mpokee YESU KRISTO tatizo lako ni dogo sanaa
Jini mahaba huyoo
Pole sana
Njoo Kenya
Kama nikwaajili yatiba namsaada kwa watanzaniawote mbona upokinyume na elimu unayotoa nlikutumia pesa hadileo cjapata dawa je ndobiashara unayoifanya
Nikweli upokusaidia watu au kuwatapeli
sasa kama kuna mtu Analo Atafanyeje Ili Asije tena mana shoga Angu Anateseka kwa muda mrefu linamtesa sana hapendi wanaume kwa kufanya mapenzi basi ni kuongea tu sasa Atatoka vp?ili na yeye awe wakawaida kama wengine
Aslm alkm naomba uni add
Asalamm alaykum,mtabibu naomba namba yako nnamatatizo nahitaji msaada wako, nakuomba
Je naweza kumtoa jini mahaba Kama ninayo?
VP mm nnatatzo LA kbamia nataka ile dawa ya katan unielekeze
Nielekeze dawa ya kukuza uume ila ya katan
Niunge kwenye wasp
Kuwa naandika namba Apana ku sema unaweza andika namba
Bin laden nakuon bn
Sir samahan naomba uniunge kwenye Whatsapp
Na kama uko na nambari ya whatsapp tujulishe tueze kuwasiliana nawe tukiwa mbali.
Jee wewe unamuita jini???
Hukbo kaka Mimi natoka kenya naomba wasiliano plz nipee namba tuongee kaka