Busatiii,nawependa sana lakini shida mnaona twawafuatilia sana mmeanza kujaza movie mkituchanganya sasa,si House girl,si my mother,si my destiny, mimi hapa sasa sielewi gani ndo gani hadi imechangia kuchelewesha kwa vipindi sasa.Mbona msitumalizie moja halafu nyingine ifate??Ndo tuenjoy pia sisi.Mwengine mwenye anachanganywa kama mimi like sasa aah😂
Kendi mungu akusamehe sana yaani unafanya vitu vya ajabu sana ubadilike dada na mwenzio sonia kadogo lakni wembe. Masoza sikia ushauri wa kendi usipo sikia tutakuoteza kwa episode ingine
Acheni sifa hizo NI sifa mmeona tunatizama Sana movi3 zenu mnajifanya kucherewesha mnatutolea movie lenu la my mother kwa uzuri gani movie mbayaaaaaaa atuipendi alafu mnacherewa kutoa MTU utegemee masaa kibao mnaweka masaa Ayo mmezidi mi nishawatema mnaona sifaaaa watu wanavyosubiri mpaka mioyo inauma alafu mkitoa asubuhi apo tena mpaka Kesho ndio nini sasa
Hongereni kwa movie hii ya House girl ipo vizuri sanaa nimeipenda, ina mafundisho mazuri. Ingekuwa vzr mngeimalizia movie hii kwanza ndo mlete nyingine. 😊😊
Ila candy kumbe muda mwingine unakuaga na akili zako timamu kabisa😂😂sema unajitoaga ufahamu tu😂😂😂sema leo umeongea point sana kwa masozi chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉😂
Kilamba umenifurahisha sana,,umeonyesha ukali kwa Somoe hadi raha,,,,,na candy mdogo wangu hiyo roho angalia isije kuwa kweli unayo,,,,pole somoe kumpoteza mama ako,,,,,ila tu roho mbaya haijengi
Kend unaongeaga utopolo lakini Leo umeongea vitu vyamaana kumshauru masoz asitoe mimba au mna semaje wadau
Hvi kwelii hyo masoz na utu uzma huo anashawishka na sania kutoa ujauzito😂😂😂 masozi shikamoooo😂😂😂😂
@@ShufaaRashid-s9b uko mwishoni uja mskia katuma kuua mama ake na somoi
😅😅😅😅😅
Hata mimi leo kanisuprise kutoa ushauri wa maana km huu
@@Baitha-i3cmaajabu
Tulioona Leo candy kaongea point Kwa sania na masozi kuliko siku zote tujuane😂😂😂
Wanachelewesha sana mpaka tunafikia hatua tunasahau tumefikia epsode ya ngapi, tunaomba mtuwaishie kwa kweli kazi nzuri sana❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Busatiii,nawependa sana lakini shida mnaona twawafuatilia sana mmeanza kujaza movie mkituchanganya sasa,si House girl,si my mother,si my destiny, mimi hapa sasa sielewi gani ndo gani hadi imechangia kuchelewesha kwa vipindi sasa.Mbona msitumalizie moja halafu nyingine ifate??Ndo tuenjoy pia sisi.Mwengine mwenye anachanganywa kama mimi like sasa aah😂
Kabisa
Kweli kabisa
Wewe somoe huna roho ya ukatili ila umetumwa lakn usikubali kumfanyia zuu huo ubaya mbona zuuu hana roho mbaya
Mnachelewesha sana hii movie ama coz mmeona mashabiki ni wengi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kendi mungu akusamehe sana yaani unafanya vitu vya ajabu sana ubadilike dada na mwenzio sonia kadogo lakni wembe. Masoza sikia ushauri wa kendi usipo sikia tutakuoteza kwa episode ingine
Busatiii mnaanzaa kuzinguaaa au kwa vileee mnaonaaa tunawafatiliaaaaa sanaaaaa ndo mnaanzaa kucheleweshaaaa movie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kabisa yaan
@@veronicahmomanyi wameonaa inafatiliwa sanaaaa
Unewachana mwanangu wanazingua
Wanasifa za kisengee
@@RoseSalvador-f6y hapo ndo wataanzaa kupotezaa mashabikiii mwanzonii ilikuaaa kwa skuu wanatoaaa vipandee 3 lkn saiviiiiiii hicho kitu hakipooo axaaa wajiandaeee kupotezaa mashabikiii
Wale tulokuwa tunaichungulia chungulia kila wakat 😂😂😂 tujuane hapa kwa like 🎉🎉🎉🎉🎉
Kama mm naweka bando kwa ajili ya house girl wanatuchelewesha had bando limeisha leo leo nimejiunga ndio wanarusha wanaanza kuboa
Mamb bby
😅😅
Oyooooo
@@MerryNgowi-kl5vg ucjar
Yan mnatucheleweshea bado mda mna ufupisha daaah asee mnakeraa sanaa hamjuw
Kwa kweli candy Leo umenifurahisha kwa nasaha ulo mpa da masozi 🥰🥰nakupenda bure 🎉🎉❤❤hongera sana❤
Acheni sifa hizo NI sifa mmeona tunatizama Sana movi3 zenu mnajifanya kucherewesha mnatutolea movie lenu la my mother kwa uzuri gani movie mbayaaaaaaa atuipendi alafu mnacherewa kutoa MTU utegemee masaa kibao mnaweka masaa Ayo mmezidi mi nishawatema mnaona sifaaaa watu wanavyosubiri mpaka mioyo inauma alafu mkitoa asubuhi apo tena mpaka Kesho ndio nini sasa
Hongereni kwa movie hii ya House girl ipo vizuri sanaa nimeipenda, ina mafundisho mazuri. Ingekuwa vzr mngeimalizia movie hii kwanza ndo mlete nyingine. 😊😊
Mungu awabariki wote mnaofatilia house girl
Mmeanza kuboa yn mnatucheleweshea movie sanaaa
RUclips naingiaga kwa ajili ya house girl lkn now mnazingua naingia nakuta holaa jamn angalieni msipotezemashabiki
Honger kendi kwa kumshaur mam masozi leo kendi kamponda sania🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana nawapenda bure watazamaji wenzangu na busati tv nawapenda bure wa mwisho 🤲🙏🤲🙏
Dada jambazi you are a round character 😮
Somoe pole imetufundisha jinsi yakufanya maamuzi bila kusukumwa na mtu zuu msamehe tu
Ila candy kumbe muda mwingine unakuaga na akili zako timamu kabisa😂😂sema unajitoaga ufahamu tu😂😂😂sema leo umeongea point sana kwa masozi chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏ako vizur
Honger San batul kwa ulovomjibu kendi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Somoye
Jaman mnao amin kend anaushaur mzur!! Gonga like hapo!! Toka movie inaanza leo ndo nmempenda kend kwa ushaur wa mimba lakn bado najua yeye n jambaz!!
Nmependa uzimiaji wa somoe , moja kwa moja Kwa kilamba mpumbavu mwenzangu....😂😂
Ukiangalia vizuri hii muvie utagundua SANIA ndiye gubu wa mambo yote wengine wanapelekwapelekwa tu😅😅😅.
😂😂😂Walai tena
Bora samoe umejitoa candy mbaka saizi ajui anataka nn inauma sana unapambana kwa ajiri ya mama yako mwisho wa siku anakuacha 😢😢
So cand kamtum mtu akamuue mama yake
Nd kwanz leo nimuone candy kaongea cha maana masozi masozi masozi nakuita mara tatu
😂😂😂😂😂😂 Mie nampenda 😂😂 chapombe😊
Leo tunawaambia ukwelii mnacheleweshaa ,yaan huku my mother ,huku nafsi ,huku penz la house girl mututoleage kwa wakati
Ghaiii, mara nalia juu ya batuli,, mara sania anaongezana mpka Kwa mganga,,waaaa,, but wapi likes jamani from 🇰🇪🇰🇪
Kuwanziya pak muri anza kazi ya hous girl episod 1 seson 1 nawafatikiya kufikish pak ivi alakini nawon ivi muna anza kutulingiy sijuwi nini mutwambiy basi tatizo tujuw musiludiy kutufanyi ayo ❤😂😂🎉🎉
Wanaanza kutuchelewesha tutawaacha
Kutenda kosa sio kosa kurudia kosa ndio kosa😢msameni somoe na kilamba hawe mke wake pia😊
Awe make wake na kilamba ako nabibi wake😅😅
Mwenye ana penda bibi zuu mukono juu😂🎉🎉🎉
🖐️
🤚🖐️
Candy mwisho wa movie ataishiya pabaya kabisa ma problem ni mengi kwake
Jaman BUSAT mbona hivyo Kila mda tunachungulia lkn Bado jitahidin mrushe japo 2 basi SI mwaona inaishia pazur aaah. Waotia mkazo iwe hivi tujuane🎉🎉🎉🎉😂
Tunazielewa changamoto za kazi lakin this time is too much ama n kwa vile BATULI yuko kwenye movie na n noksi,,,,,!!!
Pole somoye kwa msiba kendi amwhamia kwa mam ako pole Yan kendi Ana roho Hana utofaut na shetami
Shda nini mambo yamebadilika tofauti na mwanzo mnachelewesha mno ila nawakubaliii
Kazi zote munafany mimi iyi hous girl ndo imenifurahish san ten imenifundish kiwukwer siku mutasem kam hous girl ime fik kwamwisho nita umiya san 😂🎉
Yani masuzi kubwa jinga kweli yani ywakubali ushauri wa sania😂😂😂😊😊😊
Mimi tangu nianze kufatilia mjawai nipa ata likes jamani
Tukupe like movie ni Yako Acha ushamba
MKWE EP 01 👇👇
ruclips.net/video/vMfNaiDFQMc/видео.htmlsi=ZSVMzqT6IBadQK5D
Mmeshaanza Kutuchanganya sasa. Malizeni kwanza HOUSE GIRL
Safi sana Batuli@Somoe kwa kumkatali Candy,ila pole pia kwa yaliokukuta😢
Busati TV Mbona Mwatunyamazia Sana Kimya Kweli Kama Kuna Tatizo Bs Tuambieni Nasi Tujue. Hila Ongereni Sana Kwa Movie Zenu
Busati mtanatuchosha kwanini kama kunatatizo co mnatujulisha kulikomnanyamaza kimya hatujui lolote co powa hivo....
Batuli mwisho wawubaya niayibu zoo, kayi nyinyi nuwatu wema mumusame mudili nakendi nasania ❤❤❤❤
Mungu hamtupi mja wake, kend sikuyako moja tuu mm ntakuroga mwenyew mbwa wewe roho mbaya kama hautakufa kenge ww😂😂😂
Sania mpumzishe uyo mganga au ksa ulilala nae ND mana unapenda kupeleka kwato zakoo
Lkn somoe leo action ya pale unazimia nimeipenda
Mnazingua jaman au mpo kwnye my mother basi malizenu moja Kwanza mshika mawili moja humponyoka house girl naona inawaponyoka
Nazingua sana mkiwa na matatizo toeni taarifa kwa mashabiki zenu tuwe tunajuwa km munashida 🎉🎉🎉😢
Much love from Kenya ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😮😮😮😢😢😢
Tunanuna lakin kakitok kamuv tunaangalia jmn busati msitufanyie hivy😮😮
Kilamba umenifurahisha sana,,umeonyesha ukali kwa Somoe hadi raha,,,,,na candy mdogo wangu hiyo roho angalia isije kuwa kweli unayo,,,,pole somoe kumpoteza mama ako,,,,,ila tu roho mbaya haijengi
Busati mnazingua sas tunasubil mbk hamu inaishA kweli haki jmn
Siku hizi matutoa utamu wahi Hase girl kabisa munachelewesha sana malizeni hi ndio muende Kwa my mother
Mmeanza kuzingua kama vipi malizeni movie ila nimecheka sana kuzimia kwa somoe🤣🤣🤣🤣
Mmeanza kuzingua..mnachelewesha kurusha movi🎉🎉🎉🎉🎉
Leo nayo candy ashatumia akili zake jamani❤❤🎉🎉
Kendy leo umeongea maneno yabusara cn kumuambia masozi hila masosi mbumbumbu kichwani hamna.x2 hila kendy mwisho kaniudhi kumuuwa mama wa somoe
Nice movie ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Toeni movie moja acheni sifa house girl na my mother inatosha hizo zingine za nini sasa kama sio sifa
Mmeanza maringo nyie Busati tutawaachia kimovie chenu mkiangalie wenyewe
Kwel mnazingua kinoma yote Kwa sababu tumekuwa wafutiliaji wazur
Kumbukumbu zina haribu utamu wa hii movie
Busatii mnatuzingua sasa bhn .
Niliwah kuwaza Hilo somoe hawez muuwa zuu, Na wanaoamini da masoz kitamkuta kitu mimba haitatoka tujuane hapa🎉🎉🎉🎉
Honger Busat tv
Haya mi wa kwanza Leo ngoja nione
Ila kendiii mapenz yatakuuuaa😅😅
Naomba hukitowa hio mimba hufaa mufuu
Ww hapo tumepgwa watu wanazimiaga hvy, Batuli
Mmeanza kutuchosha jaman mbona mnakaa kimy utapoteza mashabiki
Waambie kabisa
Wale walinielewa comment niliosema namuona batuli atakavyo msaliti kend mnipe like zangu
❤❤❤
Hajamsaliti Ila kajifunza kutokana na makosa
Nice one
Adi mm sjapenda walai mnakawia
Nakushukuru san batuli kukataa mpango wa candy😂😂
Wapili leo achen masihara team hamamu oman,Qatar,Saudi,dubai,Iraq, nawaombea murud nyumban salam 🎉🎉
Amen
Amen 🙏
Amen
Ameen yarabi
Kwa kweli tunashukuru sanaaaaaa ira munadukawiza paka presha zinamuka
Cjawahi kucoment ila hilo anguko la batuli limeniacha hoi😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Busati tv , nawaombeya Barak za mungu
Arakini nataka kujua hii ni episode 18 or 17
Somoy unapat malip mabaya kabsa nakudagaywa na kediy
Niwakwaza ku toka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Naomba like ata 10
🎉
🎉
Asante somoe kwa maamuzi mazuri
Next plz ❤❤❤❤❤
Batuli umecheza vizuri hapo kwa kuomba msamaha hadi nalia kabisa umeningusa kabisa😢😢😢💔 waah lkn candy atafaulu kumua batuli
Na mm jamn naomba like japo moja t🎉
Candy nahio migu yako yamtege utakuja ujutie sikuyako yipowesu biri
Yaan kilamba nakupenda Sana kwenye ep. Nispokuona si enjoy ❤❤❤
❤❤❤❤❤
Nimerud tena yani mnachelewa kisha mda mnapunguza 😮😮😮😢 😡🙄😕😏
Tulisubiri jaman🙌❤
Congratulations for good work 👏
Nzuri sanaa kinachofataaaa
Mnatuweka sana ....hadi inaboooo😢😢😢
Weeeee kali hii sana kia naenbavu na weee kazi ipo kweli eti weeee 😮😮😮😮😮
Kazinizuri sana mungu awahinuwe juzahid
Cendicks na sonia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣mpumbavu mwenzangu unanimaliza
Happy birthday 🎉🎉🥳🥳 mpambavu mwenzetu uwe na maisha marefu
Nimefurahi Sana yaani zuri angekua siangalii Tena.
Nampongeza kendi kwa jambo moja tu amekuwa na akili kwa kuwashauli masozi na sania wasitoe mimba hapa nimemuona wa wamaana sana au munasemaje jamn