🔴LIVE: GB64 AWAPA MAKAVU YANGA USAJILI WA CHAMA|GSM HANA UWEZO WA KUMSAJILI CHAMA|ATOA SABABU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2024
  • #livestreaming #jobe #jezimpya #mayele #hafiz #manara #pyramid #buza #dabi #derby #mamelodi #luismiquissone #yanga #mkude #leo #simba #mwananchi #jezimpya #mandonga #simbasc #skudu #lilepo #Yangasc #ngoma #mayele #simbaday #derby #barnaba #wasafibet #Mletemzungu #azamfc #chama #no6 #mtibwasugar #namungo #dabi #derby #job #dickson #kibabage #kariakoo #kiama #namungo #wydadathleticclub #riversunited #medeama #mkapastadium #mkapa #azamfc #tff #alahly #benjaminmkapa #marumogallant #inonga #onana #musonda #mahop #simbaday #okrah #yangaday #gamondi #mkwakwani #tanga #skudu #almerrikh #kramo #ihefu #afl #mbwaduke #sankara #msuva #karabaka #diamondplatnumz #mwijaku #moloko #dullamakabila #taifastars stars #crbelouizdad
    The Official RUclips Channel Account J&R Mtita From Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA)
    Booking : jrmtitatv@gmail.com
    Contact : +255 747 384 250
  • СпортСпорт

Комментарии • 25

  • @nuhu-sanda
    @nuhu-sanda 7 дней назад +1

    G 64 usije kugeuka kauliyako au umekua muoga Kwa kua ulipelekwa lokapu kua mkweli

  • @rashidmohamedmalale4794
    @rashidmohamedmalale4794 7 дней назад

    Kuleta wachezaji sio tatizo taztzo je wataingia na mfumo WA kocha mgunda,maana msije mkasema usajli mbovu ,amkawii kususia timu

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 6 дней назад

    Yaani makelele meengi halafu hata hajui kinachoendelea kwenye timu yake😅

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 3 дня назад

    Sio uyotu mbaka ww unaweza kusajiliwa GSM ainamaneno lnatumia pesa tu namtasematu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 8 дней назад

    Sajili siyo kuanza kuleta mambo ya kila mchezaji mnayemsajili ni kwa ajili ya Yanga,mtaendelea kupotea.

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b 7 дней назад

    Ili uwa linalopoka tu alijui mpira lilisema yanga aiwezi kuingia robo fainali ya ligi ya mabingwa naikaingia la ovyo

  • @KondoMhando
    @KondoMhando 6 дней назад

    G64 akili ya lupango aliko pelekwa, haija mtoka. Yaani Chama hawezi akanunuliwa na GSM! Kweli kichwa chake kimejaa Moshi wa lupango

  • @officialbablee225
    @officialbablee225 5 дней назад

    Naona gb 64 ushakuwa chawa wa mo

  • @newtonjames1295
    @newtonjames1295 8 дней назад

    Huyu wakujiita GB64 english broken alafu ni mwalimu.sasa kaenda mbali zaidi eti thank you ya kireno anasema cabrigado badala ya obrigado na kwakumuaga mtu kwa kireno awasemi cabrigado ndio nini sasa

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 7 дней назад +1

    Hujui kingereza hafu unaendelea kuropoka. Huyo chama ndo mdudu gani?? Anathamani gani ambayo hawezi kununuliwa? Eti kiboko cha AZIZI KI? haya tutaona mwaka msilete Domo.

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 7 дней назад

    Mwisho wa msimu unaanza kuwataja hao wanaokuja kuwa wabaya

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 8 дней назад

    Hizo clip zenu mzitunze

  • @dismanManota
    @dismanManota 7 дней назад

    Ww nawewe sio mtu wankukusikiliza ngoja uwaaminishe

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 5 дней назад

    Huyu tangia awekwe jela kavurugwa masikini ya Mungu! Kizu ngu hajui,mpira hajui,kelele tu! CHAMA dhamani yake ishashuka zamani! Yanga tuna namba kumi watatu wa nguvu! Chama akienda Yanga,ni Uyanga na usimba,we dont NEED Chama ! Mo ndo shida ya simba, NOBODY else! Club gani duniani inadhaminiwa na MUHINDI!??

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 7 дней назад

    Gb kitumbua

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615 7 дней назад

    Ulishindwa kununua simu tu

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 7 дней назад

    Huyu Huwa anamihemuko

  • @msemakweli...
    @msemakweli... 6 дней назад

    Sasa hivi anawasifia eti we flani humjui? ligi ikianza anamsakama mangungu kwamba wamesajiri wachezaji wabovu. Utopolo wa mo dewji aka UTOMO hawana dira, hawana mipango, hawana timu, hawana viongozi na hawana mashabiki wenye akili timamu. Mbona tajiri kijana...mwaka wa 20 sasa tajiri wa utomo bado tu kijana🤣🤣🤣🤣

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 8 дней назад

    Tunza kauli.

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 7 дней назад

    Beki wa kuvuta jezi

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 7 дней назад

    Kwani na nyie GSM kawadhamini?? mbona mmekula goli 7 msimu huu?

    • @jabirkombo5483
      @jabirkombo5483 6 дней назад

      Ww mpka uwanunue wachezaji hamna chengine zaid kijana

  • @fatumahassan8425
    @fatumahassan8425 7 дней назад

    Wewe kingereza umeona diri wewe ushatombwa kwa kingereza kenge wewe

  • @user-so1iu4vd2v
    @user-so1iu4vd2v 7 дней назад

    wewe mtu unae ibomoa team yako kwa mikono yako mwenyewe

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 8 дней назад

    Porku yupi🤣🤣🤣🤣 eti Fei