TANASHA DONNA: NAOGOPA SANA MUZIKI, WAPO WANAONISAIDIA AKIWEMO DIAMOND PLATNUMZ
HTML-код
- Опубликовано: 30 янв 2020
- #TANASHADONNA Anasema Kutengeneza EP, Mashabiki zake wasione Kama ni Mapema sana Kufanya Hivyo, ila Kazi ya Muziki Ameanza Miaka 3 Iliyopita na Mwaka Huu Ameamua Kuisimamia Rasmi
Hii ni Event Yake Kubwa ya kwanza Katika Maisha Yake, na Amekua na Wasiwasi sana, ila Anashukuru Kwa Kuwapata watu wenye Experience akiwemo #DIAMONDPLATNUMZ na Wanaompa Nguvu na akili zaidi nini afanye Katika sanaa Yake - Развлечения
Ka Tanasha ketu maksini hakana makuu wala majivuno,kenyewe ni kazuri balaa,big up SHEMELAA
Tanasha is a very humble lady!! Diamond u made the right choice!!
Yrron Norah kabisa ❤️❤️❤️
Uhuni na upuuzi mtupu
Woiye T there is no reason to hold on to a painful relationship. Body language shows real struggle in this relationship, I know with Diamond you get unbelievable exposure and gain many fans, But from my experience struggle love is so painful and draining nothing is worth it
I predicted right!!
Tanasha Donna from 254 we love you.. actually we love your humbleness..
Big up Dada tanasha pamoja na jack
Tanasha mwanangu utafika mbali babie nakuombeya wewe mond na hata team nzima ya wcb
wcb for life
Wow, Tanasha your English is perfect you m made mi proud taught Platnumz Too
She is cool,,, u gonna make it gal
Amazing woman.. I need another collabo with Mbosso
Verygood tanasha pamba mamy😍love u
Karibu saaana shem la taifa, its gud majirani wakishirikiani, big up
Nakupenda sana tanashaaaa😚
Tanasha enjoy as it last...one love💓💓💓💓
Wasafiiii
I love this girl
Congratulations Tanasha keep it up.
Nawapenda sana
She so humble though diamond bala
I like to call dem tanamond😂u real look good together mashallah.....u make it girl...👏👏👏
Vyenye swahl ya tanasha donnah iko very fantastic aiyeeeeer🔥🔥🔥🔥🔥
Wcb ni watu ambao wako humble sana kuanzia c.e.o wake ambaye ni simba mpaka wengine wote mpaka wapishi wa home naamini wako humble pia.god bless w.c.b.WCB FOR LIFE
Nairobi yetu wapi wakenya🇰🇪🇰🇪nipeni like hapa
Nipo
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥👏👏👏
Utaki like za Mombasa
Sote niwakenya Anna 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
Half london
Big up in-Tanasha
Wolper you look adorable wow😍😍😍
Wasafi Leo ad mmetupandisha ndege bigup Sana 🤣🤣🤣🤣
Dan Bryan damk
Hi am
Keep on diamond platinums, our blood we connect two country together
too come,mapooozooo everywhere,well am sure its me na uzee wangu.
Safiii mommy😍😍😍😍
Chaupole tanasha mungu akupee nguvu mtoto wetu
Tanashaa we love u from Mombasa Kenya 001 county
waaa natasha u will go far, u r humble na kila saa ukiongea matamani uonge zaidi mmm.....
Kazuri sana katoto tanasha
Chama letu ilo
Diamond n mnyamaaaa
Ngoma ya Mondy na Tanasha inatoka SAA ngp maana tuna-ham nayo hatari
Tanasha tu es belle ma cherie 😍😍😘😘🙏🏻🙏🏻
All the Best
Tanasha keep it up
Big up chama letuuu
Love♥️♥️♥️♥️
She's very beautiful lady🥰
Ongera
Tanasha ako sawa
Napendanga saana wolper
Mtoto wetu tanasha
Wale wa south Africa na Uganda tunacomment wapi 😥😥😄😄,shemeji karibu +254🇰🇪🇰🇪,the beautiful nation 🤗🤗
T.D.O 🔥🔥🔥
May God go ahead of you may your show be one of the best you are so humble..thankyou to wasafi 4 supporting you, big up to wolper sie is goergous 🥰
Juz waaaaau the best team ever💯💪💪💪💪
Half London!!!!!!,our Nairobi city
🔥🔥🔥
U deserve it Tanasha,u are soo calm.sending my love to you from tz
Am here for our girl 💙 Tanasha let's be clear plissss
Hiyo ndo Nairobi kenya jiji lililosonga
WaYaaaaaaaa
Simba baba lao tanasha mama lao
WHO IS HERE NOV 2020
tanasha penda sana mond penda sana mboso penda sana
Kipole Sana katanasha na kazuri. Mond kwa huyu mwanamke mashaallah umepata hataki makubwa pls sasa usimsikilize mama yako anaemtaka yeye huyu bint mashaallah ni kapole Sana. Nasema hivi ni kwa sababu dalili zimeshaanza kuonesha hatakiwi tanasha. Namwonea huruma Sana
Clearly, Diamond isn't feeling her vibe. So sad .
Daa mondi yn ww acha tuu jmn lkn unapenda Sana kuwapa wt sapoti
KAMA UNATAKA KULIMA NA JATU KITETO, KILINDI, KILOMBERO(MBINGU) NA MACHUNGWA KULE MUHEZA TANGA. SUBSCRIBE CHANELI HII UWE WA KWANZA KUJIFUNZA.
Our airport is so amazing 😘😍
WCB4Life!
Wolper uzuri wote umeisha ushazeeka, umekua maid wa tanasha na diamond🤣🤣🤣
Diamond pesa ndio wanawake wanakupenda lkn huna uzuri wowote
Mymuna Mymuna, ni vizuri iliwe na wanawake
Mymuna Mymuna, mbona?
@@mymunamymuna4807 we choko kikubwa mwanaume ni nyota na sio sura, unaeza ukawa mzur na madem ukakosa
Kama unamkubali simbaaa gonga like
diamond is a living curse to humanity
Bi mdada kaza utafika unapo patamani.
Konde boy # Dingi lao🔥🔥🔥🔥
Tom boy wolper
Mmependeza kinyama aiseee nineipenda sana hiyo
Viswahili vipo hapa balaa kweli wadhani n wimbo kumbe nkuzungumza
2020 cheka upite 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣
PopSlots
Install, Open & Complete Level 18 within 7 Days of Downloading to unlock this content.
Uyu dada na hareyn yn wp pc kinoma Yan hawa na wapenda sn
Clash Royale Quiz
Complete the entire quiz (20 questions)
Atii nn asiniachee no zote tatuu zajaaa kwa what's down cyo up 😂😂😂😂😂😂😂😂🙏😀nimeshibaaa kwa herenii
jaman huyu jack minywelee🤣🤣🤣🤣
Achia wabongo kiswahili jameni,,
Let her be silly
Tanasha mama Lao🇰🇪🇰🇪
Welpa nakupenda burrrrre 💕 🇫🇮 🇫🇮 🇫🇮
Syo welpa n Wolper bro 🙈🙈🙈🙈
Moreen Michael 😁😁😁😂🤒
@@michelinemapendo6652 🤣🤣🤣🤣🤣
Mama lao Heri use Nairobi uvae nyuo za kuheshimika Kwa hiyo weather.😂😂😂
wolpa ufundi mangongo kwishney kawa msukuma toroli
😂😂😂😂😂 lakini kimekaa poa
Inasaundi gudi😂
🤣🤣🤣
Tanasha aemi amebana tumbo
Wolper na manguo yake hovyoo na huo mnywele Kama kapania, Tanasha kwakweli kazuri, simple. Uwoya sijui ndo kazeeka hata sielewi.
WATU HAWAWEZI FANANA NATASHA NI NATASHA NA WOLPER NI WOLPER AMA WEWE WAFANANA NA NATASHA???
mbona wivu
IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO. hata Kama watu hawafanani lkn speed yako ya muonekano punguza, yani punguza speed, like kupania,complicated life yaani mavazi tu ylionesha kapania, na mnywele huo, wabongo akiwemo wolper ajitahidi kuwa normal kwenye maswala mazima ya mavazi. She is complecator woman. Mgauni wa blue +mnguo wa orange kwa nyuma Kama kabeba fenesi 😎.
Pia *Sijazungumzia kufanana kwa wolper na tanasha. Msg inaeleweka kwenye alama ya kituo (.) au koma(,) katika sentensi inakuonyesha vzr. So Elewa kupitia alama hizo.
Nguo ya jack its unique 🥰 but hilo wig hata bure sivai,tanasha nahic mgongo kama umepinda,ni nguo yko au utembeaji wako..kama umejipinda.ila my fav couple ❤❤mond & tanasha
Azza Mahamdu tanasha anamwili wa kizee ila she's pretty. Ila body mbaya.
@@RynlizzyTheBoss me pia nilikua najiuliza nikaambiwa ana mwili wa kizee😣
Hahaha mwili wa kizee lkn face ya kitoto.mungu hakupi vyote.utaringa
Wewe Wolper jamani hizo nguo zako kheeeeee😂😂😂😂😂
Yan tanasha ndo mwanamke wa mond mdada yupo smart kazuri hakana mbwembwe kapole chibu usiyumbe mke mwema ndo uyo
Bado uko
Sisi USA 🇺🇸 hatulali dada tunatizama kilakitu na koumba
Akianza kupiga nyimbo za kiswahili atapenya, lakini hizi lugha anatumia...sorry dear utapoteza fans.most of us we love to sing along with our stars.Inatufanya tujisikie wewe ni wetu, We feel you as our own, Music is a feelings let feel it Tanasa...anyway ukiendeleza hizo lugha utabaki pekee yako dada..kwanza peya kwenye anga za muziki then ukipata jina you can add your spices ,ila kwa sasa we want to support you but you are singing alone...you are alone .no one will tell u this but that is the fact..you sing alone dear.
diamond kaka usimuache tanasha ni wife material wallah then mshauri wolper iyo mijivaz minywele dah
😂😂😂😂😂Uuuwi jamani khaaa wewe jack wew ndo style gani hii yakutuvalia uo mshati tu jamani mmmh imenibidi nicheke tu mana wabongo sasaivi km ulaya tu
Height level
WCB 4 LIFE 🔥🔥🔥
Shika huyo mondy finyia chini kabisa mdada 254
Kazuri dah
Romie Jones sijaona akisalmikq
Lol kenya reppin that English no joke I think tanasha n khaligragh should link up for a song that joint would be flames they both got good English p.s I'm entitled to my opinion so don't come for me with none that bullsh**t
Nani anasubiri tanasha aongee kama mimi....nyie wengine muongee kesho kama wolpa😂😂😂😂
Jacquelin Osmond xo cool
Nooo
sasa umuache na huyo wew ? kazuri ka Tanasha.
Nakumbuka Tanasha alisema ataongeza matako awe na kishepu.....bado nasubiri😂
I'm sure here diamond is like babe I will not attend your Ep lounge due to my evil family so I he had to create some fake emergency that needed his attention back home,
Poor tanasha this is what made you more nervous as in what the fuck could they do this to me but gal watch them God is not sleeping he will slap them back continue praying