Wizi wa shilingi 450 M magerezani
HTML-код
- Опубликовано: 11 окт 2024
- Jamaa mmoja anyefanya kazi ya usafi katika idara ya magereza ameshtakiwa kwa kupokea Ksh.257 M kupitia kampuni saba tofauti zinazohusishwa na kusambaza bidhaa hewa katika idara hiyo. Eric Kipkirui Mutai amesajiliwa kama mkurugenzi wa kampuni hizo zilizopewa kandarasi za kusambaza bidhaa katika magereza kadhaa jijini Nairobi.
Wueeh! Kenya yetu tutaishi vipi kama maendeleo hakuna na mabillioni yaingia kwa wafisadi.
Zakayo Muna sema wenyewe tano tena
Walai wakale ni wezi period as my grandfather used to say
😂😂😂😂 true.
Hao ndio deep state bro 😂
That's only a dog, please give us the owner....we are not stupid at all.
Serikali saidia ......kuleni kabisa....ipo siku yaja
Kenya is for rich....we the poor are the ones suffering
7 cars😱 at this point we are making corruption a sport
Yeah kenya is almost failed state😢
God help us 😢
Wat do u expect na hawa watu ,😮😮 am not shocked
this thievery needs to stop.
Mimi nikiona mkalenjin kwa mlango yangu naita GSU juu awa ata suruali yako ya ndani watakutoa wakafiche !!
Kushinda nyinyi wakikuyu wezi sugu
KIPKERUI.... MUTAI... MAGEREZA... LO. LO. LO... HII NCHI... LO, LO, LO...
I wonder
Eeeeiii wakale buana😮
Wezi wandogo
Jesus
Eti kipkirui?
Give us the big fish the rutos the chirchir
Hawaongelei ufisadi uliokita mizizi wanaopatikana kesi zanyamaziwa hivyo hivyo tunaelekea wapi jamani
Ruto projects
mnarecycle news😒😒😒