Wizi wa shilingi 450 M magerezani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 окт 2024
  • Jamaa mmoja anyefanya kazi ya usafi katika idara ya magereza ameshtakiwa kwa kupokea Ksh.257 M kupitia kampuni saba tofauti zinazohusishwa na kusambaza bidhaa hewa katika idara hiyo. Eric Kipkirui Mutai amesajiliwa kama mkurugenzi wa kampuni hizo zilizopewa kandarasi za kusambaza bidhaa katika magereza kadhaa jijini Nairobi.

Комментарии • 26

  • @JohnMwalali
    @JohnMwalali 2 месяца назад +11

    Wueeh! Kenya yetu tutaishi vipi kama maendeleo hakuna na mabillioni yaingia kwa wafisadi.

    • @aishasaidi1784
      @aishasaidi1784 2 месяца назад

      Zakayo Muna sema wenyewe tano tena

  • @georgengethe7280
    @georgengethe7280 2 месяца назад +21

    Walai wakale ni wezi period as my grandfather used to say

    • @y.o.l.o1098
      @y.o.l.o1098 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂 true.

    • @vumbisnap
      @vumbisnap 2 месяца назад

      Hao ndio deep state bro 😂

  • @georgesalano5771
    @georgesalano5771 2 месяца назад +12

    That's only a dog, please give us the owner....we are not stupid at all.

  • @danwandu2904
    @danwandu2904 2 месяца назад

    Serikali saidia ......kuleni kabisa....ipo siku yaja

  • @issahassan6697
    @issahassan6697 2 месяца назад +2

    Kenya is for rich....we the poor are the ones suffering

  • @brianmuli1833
    @brianmuli1833 2 месяца назад +1

    7 cars😱 at this point we are making corruption a sport

  • @AlvoJosh-fx7dn
    @AlvoJosh-fx7dn 2 месяца назад +6

    Yeah kenya is almost failed state😢

    • @jaytee4576
      @jaytee4576 2 месяца назад

      God help us 😢

  • @winsomeloosesome586
    @winsomeloosesome586 2 месяца назад

    Wat do u expect na hawa watu ,😮😮 am not shocked

  • @mauriceshilabula4574
    @mauriceshilabula4574 2 месяца назад +5

    this thievery needs to stop.

  • @rosemarymungai2415
    @rosemarymungai2415 2 месяца назад +2

    Mimi nikiona mkalenjin kwa mlango yangu naita GSU juu awa ata suruali yako ya ndani watakutoa wakafiche !!

    • @JoanJe
      @JoanJe 2 месяца назад

      Kushinda nyinyi wakikuyu wezi sugu

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 2 месяца назад +4

    KIPKERUI.... MUTAI... MAGEREZA... LO. LO. LO... HII NCHI... LO, LO, LO...

  • @ericmuthui6549
    @ericmuthui6549 2 месяца назад

    Eeeeiii wakale buana😮

  • @jameskimani6850
    @jameskimani6850 2 месяца назад +2

    Wezi wandogo

  • @topreviews5812
    @topreviews5812 2 месяца назад +2

    Jesus

  • @mercymulwa8917
    @mercymulwa8917 2 месяца назад

    Eti kipkirui?

  • @winsomeloosesome586
    @winsomeloosesome586 2 месяца назад

    Give us the big fish the rutos the chirchir

  • @elnorahmjomb1896
    @elnorahmjomb1896 2 месяца назад

    Hawaongelei ufisadi uliokita mizizi wanaopatikana kesi zanyamaziwa hivyo hivyo tunaelekea wapi jamani

  • @silviamwaura1570
    @silviamwaura1570 2 месяца назад

    Ruto projects

  • @bryomuch
    @bryomuch 2 месяца назад

    mnarecycle news😒😒😒