Комментарии •

  • @omarmasuke8610
    @omarmasuke8610 5 лет назад +35

    Leo wa kwanza na dua yangu InshaAllah iwe ya kwanza, ugua pole MWENYEZI MUNGU atakuafu

  • @fatimaf9890
    @fatimaf9890 5 лет назад +22

    Hapy birthday janjaro Mungu ata kuafu Ishallah

  • @damxon3013
    @damxon3013 5 лет назад +29

    Hbd dogo janja get well soon

  • @zaituniyasini2499
    @zaituniyasini2499 5 лет назад +6

    Happy birthday dogo janjaro pole sana Allah atakuponya innshaallah

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 5 лет назад +7

    Pole Cna Janjaro Mungu Nimwema Utapoma

  • @lemmyleonard3065
    @lemmyleonard3065 5 лет назад +2

    hbd janjaro, pia pole sana mwenyez mungu akuponye haraka amen.

  • @jimmysemboni129
    @jimmysemboni129 5 лет назад +5

    Happy birthday janjao inshaallah mwenyezi mungu atakuafu

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 лет назад +11

    Mturudie mungu jaman binadam tumekuwa kama ua vile muda wowote linanyauka pole sana

  • @fatmamuna3806
    @fatmamuna3806 5 лет назад +32

    Ukiachana usanii ww ni binadamu kama wengine kikubwaaa Allah akupe afya upone ila kwavile ww mtoto waki Islam maradhani ni ibada yanakuwekwa mja karibu na mola wako so mrudie mola wako huo niukumbusho anakukumbusha yadunia yasikuzidi.

  • @monicajulius905
    @monicajulius905 5 лет назад +4

    Pole Dogo Janja wangu,Mungu atakuponya

  • @othman4978
    @othman4978 5 лет назад +9

    Pole dogojanja ..mungu atakuafu
    ...ila wale wengne utawasikia toa basi iyo nyimbo ...maana siku hizi kila kitu imekuwa kiki

  • @skujuwahamad1702
    @skujuwahamad1702 5 лет назад

    Pole sana dogo !!!! Allah anakukumbuka na ww huna budi kumkumbuka kwa Ibada na kutubu kwani hujui mwisho wako utakuaje.

  • @rachelezekiel472
    @rachelezekiel472 5 лет назад +1

    Pole dogojanja,MUNGU atakuponya, heri ya kuzaliwa pia.

  • @daniell.damian4974
    @daniell.damian4974 5 лет назад +1

    quick recovery Janjaro, Mungu akupe maisha marefu. unazo sala zetu.

  • @missyabdull142
    @missyabdull142 5 лет назад +3

    HBD dogo janja pole sana Allah akupe aufueni ya haraka in shaa Allah

  • @margaretwangare4374
    @margaretwangare4374 5 лет назад +2

    Quick recovery may b anamuwaza Irene maskini🙏

  • @shiraann632
    @shiraann632 5 лет назад +5

    Dah afueni ya haraka ;Happy birthday to you.

  • @zulfaabdallah3217
    @zulfaabdallah3217 5 лет назад +5

    Pole sana Allah akupe afya na shufaa

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 5 лет назад +2

    Pole sana umeumwa kwl hali sio nzuri Mungu akuwekee wepesi

  • @ummamne2558
    @ummamne2558 5 лет назад +1

    Pole sana kaka janjaro ALLAH (S.W)akupe shifaa ya araka

  • @JohnmenaClassic
    @JohnmenaClassic 5 лет назад +2

    Blood pressure hiyo... Mapenzi haya ..

  • @zuhuramwalimushabani8836
    @zuhuramwalimushabani8836 5 лет назад +5

    Happy new age
    Get well soon

  • @annastephen2528
    @annastephen2528 5 лет назад +7

    pole sana mdogo wangu Mungu atakuponya cha msingi tumia dawa kama daktari alivyo kupa maelekezo mdogo wangu utapona

  • @shanawilliam3295
    @shanawilliam3295 5 лет назад +7

    Pole mdg angu.namsihi Mungu wa huruma upone haraka.we love u chalii wng

  • @istumaimilandu8739
    @istumaimilandu8739 2 года назад

    Hbd dogo janja mungu atakufanyia wepesi utapona nazidi kukuombea dua

  • @iluminatagervase3615
    @iluminatagervase3615 5 лет назад +7

    Mungu wa mbinguni atakuponya pole sana mdogo wangu

    • @asumanmoshi1642
      @asumanmoshi1642 5 лет назад

      Mtangazajii, kumanyokooo,hunataaalamu,huyonimngojwaaa,mswalimengi,ya,ninii

  • @scoviarenatus2466
    @scoviarenatus2466 5 лет назад +5

    pole sana janjaro mungu ni mwema atakuponya

  • @hellenmwayole8715
    @hellenmwayole8715 5 лет назад +15

    Pole saana janjaro ila jitahihidi kufanya uchunguzi wakina wa hicho kifua kwani kushindwa kupumua vizuri si dalili nzuri saana. Usilizike na kupata nafuu tu nenda mbele zaidi kuakikisha tatizo hill halirudirudi. mashabiki we are still loving you. Mungu akuponye

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 лет назад +8

    Haki nyinyi mnao hoji wagonjwa mna roho ngumu yani mwenyewe pumzi hawezi but unaye tuu.Allah amsaidie ln shaa Allah.

    • @ramspelo9287
      @ramspelo9287 5 лет назад +1

      Chalii yetu kala ni mapenz usivunge temana na hayo mambo yasije kukupotezea target zako za maisha kumbuka unae mama na ndugu zako wakuwatumikia kimahit àji na mawazo kama ni mapenzi ..kweli hauna sababu ya kuumia hivyo mjuba kaza ndita fanya maamuzi ....

    • @mwanahalimamwachili9679
      @mwanahalimamwachili9679 5 лет назад

      @@ramspelo9287 Kabsaaaa hapa umesema.

  • @johnstaniley5532
    @johnstaniley5532 5 лет назад +1

    pole sana mdogo angu yote yanapita tyu utakaa saw a mungu ni mwema

  • @zachariasaruni3066
    @zachariasaruni3066 5 лет назад +1

    Na Mungu akuponye

  • @rehemakhamishassan9940
    @rehemakhamishassan9940 5 лет назад +4

    Pole sana mdogo wangu.
    Tatizo ni pumu hiyo .
    kwa sisi wazenj ugonjwa kama huo tunaita pumu ila Allah atakuafu kaka

  • @congoboymbeyas2440
    @congoboymbeyas2440 5 лет назад +3

    Get well soon happy birthday

  • @suleimanali3716
    @suleimanali3716 5 лет назад +83

    Sikuizi bongo hata ukinya utahojiwa unajisikiaje mavi jinsi yanavyo toka

  • @beuntflyhusnakasy9320
    @beuntflyhusnakasy9320 5 лет назад +1

    Dah ndugu yang polee sanaa kaka angu molaa akufanyieee weps urud katk hali yko ya furahaa

  • @AbdulKarim-hc4tk
    @AbdulKarim-hc4tk 5 лет назад

    Pole sana dogo janja mungu akufanyiye wepesi upone halaka

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 5 лет назад +22

    Quick recovery inshallah

  • @mbarakbausi4903
    @mbarakbausi4903 5 лет назад +1

    SubhaAllah ww omba mungu uwe na uzima na afya wapiga hisabu ya birthday....

  • @opendoorspoutryfarm309
    @opendoorspoutryfarm309 5 лет назад +1

    Pole sana mdogo wangu mungu utapona

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 5 лет назад +1

    Pole sana Allah atakuafu amiin.

  • @seifsaha
    @seifsaha 5 лет назад

    Ugua pole dogo janja mung u pamoja naw inshallah utapoa kwa rehm za mungu

  • @elifurahamsuya435
    @elifurahamsuya435 5 лет назад +3

    pole utapona god is good

  • @zulufinirasheedy1843
    @zulufinirasheedy1843 5 лет назад

    Happy birthday dogo njanjaro pole san kwa kuumwa mungu atakupa afuweni ishaallah

    • @happypaulo2034
      @happypaulo2034 5 лет назад

      Yani co tabia nzr kumuoji mgonjwa jamani

  • @fatumasalim909
    @fatumasalim909 5 лет назад

    Pole sana mungu akupe afuen inshallah

  • @tritinitasehun5109
    @tritinitasehun5109 5 лет назад +1

    Get well soon paps and happy birthday to you

  • @beuntflyhusnakasy9320
    @beuntflyhusnakasy9320 5 лет назад

    Nakutak hbd🎁🎆🎆🎆🎆 njemaa mola akuzidishieee umri zaid ya hapo 🎉🎉🎉🎉🎉🎈🎈🎈

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 5 лет назад +2

    pole sana brother.

  • @omanoman4182
    @omanoman4182 5 лет назад +3

    pole sana mungu atakuafu

  • @maryhermsen9924
    @maryhermsen9924 5 лет назад

    Mwenyezi mungu akuponye haraka, hbd janjaro

  • @jehovajonas2865
    @jehovajonas2865 5 лет назад

    pole Janjaro Mungu akuponye

  • @halimaramadhani4143
    @halimaramadhani4143 5 лет назад

    Pole mdogo wangu janjalo ulishawi kujichunguza kifua cha pumu alafu punguza kivuta vitu jamii sigara mtu yoyote anaye vuta sigar na bangi ata akipata homa kidogo lazima mbavu zibane na lazima atapumua kwa shida pole sana inshaallah mnyezi mungu atakuafu

  • @ktheboyka2ku255
    @ktheboyka2ku255 5 лет назад

    pokesana dogo Mungu Akuepushe Nashetani Anaeitaka damuyako

  • @benikotitus969
    @benikotitus969 5 лет назад +1

    Mungu yupo pamoja nawewe

  • @handromedia5611
    @handromedia5611 5 лет назад

    HBD janjarooo,zaid mungu akujarie uzima afya itakua ok soon

  • @angelanather9640
    @angelanather9640 5 лет назад

    Pole. Mungu akutangulie

  • @husseiniddi9359
    @husseiniddi9359 5 лет назад

    Pole sana janjaroo Allah akufanyie wepesi uweze kupona

    • @mamishoruyange6367
      @mamishoruyange6367 5 лет назад

      mm huwa Nina presha nahuwa nalazwa ikipanda hizo dalili nipresha punguza mawazo kabisa utajiuwa bure puuza mambo

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 5 лет назад

    waandishi wa habari bana, kila kitu kwenu ni fursa, mngesubiria japo atoke hospital basi, teh teh teh

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 5 лет назад

    Pole sana dogo mwenyezimungu akupe nafuu inshaallah

  • @latifahussein9536
    @latifahussein9536 5 лет назад

    Pole sanaa mwenyezimungu atakuafuin shaa Allah

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 5 лет назад

    🎂🍫🍬🍾🎉🎈🎊 Happy birthday dogo janja .

  • @zennahwangare3952
    @zennahwangare3952 5 лет назад +2

    Pole dogo langu😭mungu atakuponya

  • @fatmamasoud6243
    @fatmamasoud6243 5 лет назад +9

    Polee my Inshaallah Allah atakufanyia wepesii Inshaallah

  • @kelvinmbise6055
    @kelvinmbise6055 5 лет назад +1

    Chaliii maushauri kibao umepewa kama vip sanuka mkali kabla haijawa mbaya

  • @yusuphikaku6728
    @yusuphikaku6728 5 лет назад

    pole sana mungu yuko pamoja nawe

  • @jacklinekimaro302
    @jacklinekimaro302 5 лет назад

    jamani nakuona kama mwanangu pole sana epuka mawazo maisha ni mafupi kuugua kupo ila angalie usiwe sababu ya kuugua kwako Mungu akuponye dogo

  • @dianajames1663
    @dianajames1663 5 лет назад

    Mungu akuponye dogo

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 5 лет назад +1

    Wish u a very quick recovery

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 5 лет назад

    Pole sana shemela wetu Allah akuponye inshallah #janjalo

  • @MiraclesHimself
    @MiraclesHimself 5 лет назад +2

    Get well soon mr

  • @zachariasaruni3066
    @zachariasaruni3066 5 лет назад +2

    Wewe ulivyo kua unamuoa mama yako ulikua unafikiria nini mwanangu sio nemonia ni presha hyo kama ndikumana

  • @diamondplatnumznewsajm2053
    @diamondplatnumznewsajm2053 5 лет назад +4

    Pole sana Janjaro utapona2.

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 5 лет назад

    Happy birthday and i wish al the best in ur life

  • @suzanjoseph714
    @suzanjoseph714 5 лет назад +5

    Get well byb janjaro

  • @latifhabintibrahim3304
    @latifhabintibrahim3304 5 лет назад

    Poe sana kaka

  • @zuhuramwalimushabani8836
    @zuhuramwalimushabani8836 5 лет назад +3

    Pole sana Allah atakufanyia shifaah

  • @gboytzmullow3852
    @gboytzmullow3852 5 лет назад +1

    Get well soon my young brother

  • @anajozey8621
    @anajozey8621 5 лет назад

    pole sana my janjaro mungu atakusaidia utapona

  • @luciaisaac2066
    @luciaisaac2066 5 лет назад

    utapona janjaro mungu nimwema

  • @omaryhajji2629
    @omaryhajji2629 5 лет назад

    Pole dogo janja inshallah mungu atakuafu🙏

  • @fatmaevance6325
    @fatmaevance6325 5 лет назад

    Pole mwaya mungu atakusaidia utapona

  • @hildaromani8241
    @hildaromani8241 5 лет назад

    shilawadu mmezidi!!! hadi mgonjwa mnamfata hospital..Mungu anawaona..ngekuw me wallah ngemvunja MTU!!!!

  • @dorcaskihiyo3594
    @dorcaskihiyo3594 5 лет назад

    Pole mdogo angu nilikuambia mimi dogo

  • @MARY-bt1zm
    @MARY-bt1zm 5 лет назад

    patient needs rest leave him alone ..and pertaining his family is none of your business and they are one to make some decision internet cant make decision for them......... LET THEM BE>>>>>>>> Irene kama shabiki Yako Tuliza Joto amabalo limeingilia ndoa Yako.... before is too late...
    HBD janjanro n Quick recovery bro ... we are all humans.

  • @jacklinemuloki5419
    @jacklinemuloki5419 5 лет назад

    Mungu atakuponya. Hbd to you

  • @bethsebaerick4728
    @bethsebaerick4728 5 лет назад +1

    Jaman mi huwaga cwaelewi waandixhi wa habari, cjuwi kwann mtu anaumwa na drip juu bado abahojiwa ndo nini.,kuwen na huruma

  • @W.i.s.d.o
    @W.i.s.d.o 5 лет назад

    Kheri njema ya kuzaliwa, utapona kwa uwezo wa Allah inshallah

  • @saumuawadhi8032
    @saumuawadhi8032 5 лет назад +1

    pole san bro mung atakusaidia

  • @zuberysaidyjnryusuph4044
    @zuberysaidyjnryusuph4044 5 лет назад

    Pole sana mungu atafanya wepes

  • @aishavogelmann6735
    @aishavogelmann6735 5 лет назад

    In shaa Allah uwezo wake Mola utakuwa sawa....

  • @daniell.damian4974
    @daniell.damian4974 5 лет назад +8

    ila bro umemfanyia interview kwa muda mrefu, that's not that much good! wakati mwingine usifanye hivyo kwa wengine

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 лет назад +5

    Pole Kaka janjaro utapoa in sha Allah

  • @saidfabiano9588
    @saidfabiano9588 5 лет назад +2

    Get well soon #JANJARO

  • @MatirioOfficial
    @MatirioOfficial 5 лет назад

    God blessing you

  • @suleimanali3716
    @suleimanali3716 5 лет назад +1

    Pole sana

  • @nizigamajeanne-chantal9532
    @nizigamajeanne-chantal9532 5 лет назад +1

    sorry mutoto,acana na Irène, utakufa

  • @asiamwarabu7510
    @asiamwarabu7510 5 лет назад

    Pole.sana maradh ni moja ya changamoto dunian utapona dogo njanja

  • @fatumaramadhani9845
    @fatumaramadhani9845 5 лет назад

    pole sn utaponi kwa uezo allah isnhaa Allah

  • @dizzahmgunda9841
    @dizzahmgunda9841 5 лет назад +2

    Bdy best janjaro

    • @samsonomary2691
      @samsonomary2691 5 лет назад

      Hbd janjaro mungu akusaidie upone jaman inshallah

  • @jayrosjjr4926
    @jayrosjjr4926 5 лет назад

    Pole sana janjaro na happy birthday pia

  • @kalash_tz9390
    @kalash_tz9390 5 лет назад

    Pole Broo utakuwa xawa tyuy