Ukiachana usanii ww ni binadamu kama wengine kikubwaaa Allah akupe afya upone ila kwavile ww mtoto waki Islam maradhani ni ibada yanakuwekwa mja karibu na mola wako so mrudie mola wako huo niukumbusho anakukumbusha yadunia yasikuzidi.
Pole saana janjaro ila jitahihidi kufanya uchunguzi wakina wa hicho kifua kwani kushindwa kupumua vizuri si dalili nzuri saana. Usilizike na kupata nafuu tu nenda mbele zaidi kuakikisha tatizo hill halirudirudi. mashabiki we are still loving you. Mungu akuponye
Chalii yetu kala ni mapenz usivunge temana na hayo mambo yasije kukupotezea target zako za maisha kumbuka unae mama na ndugu zako wakuwatumikia kimahit àji na mawazo kama ni mapenzi ..kweli hauna sababu ya kuumia hivyo mjuba kaza ndita fanya maamuzi ....
Pole mdogo wangu janjalo ulishawi kujichunguza kifua cha pumu alafu punguza kivuta vitu jamii sigara mtu yoyote anaye vuta sigar na bangi ata akipata homa kidogo lazima mbavu zibane na lazima atapumua kwa shida pole sana inshaallah mnyezi mungu atakuafu
patient needs rest leave him alone ..and pertaining his family is none of your business and they are one to make some decision internet cant make decision for them......... LET THEM BE>>>>>>>> Irene kama shabiki Yako Tuliza Joto amabalo limeingilia ndoa Yako.... before is too late... HBD janjanro n Quick recovery bro ... we are all humans.
Leo wa kwanza na dua yangu InshaAllah iwe ya kwanza, ugua pole MWENYEZI MUNGU atakuafu
Pole xana mdogo he2 c wote 2nakuombea
Hapy birthday janjaro Mungu ata kuafu Ishallah
Hbd dogo janja get well soon
Happy birthday dogo janjaro pole sana Allah atakuponya innshaallah
Pole Cna Janjaro Mungu Nimwema Utapoma
hbd janjaro, pia pole sana mwenyez mungu akuponye haraka amen.
Happy birthday janjao inshaallah mwenyezi mungu atakuafu
Mturudie mungu jaman binadam tumekuwa kama ua vile muda wowote linanyauka pole sana
Ukiachana usanii ww ni binadamu kama wengine kikubwaaa Allah akupe afya upone ila kwavile ww mtoto waki Islam maradhani ni ibada yanakuwekwa mja karibu na mola wako so mrudie mola wako huo niukumbusho anakukumbusha yadunia yasikuzidi.
Fatma Muna very true
Pole San San kaka❤️
umetish xan broh
Pole Dogo Janja wangu,Mungu atakuponya
Pole dogojanja ..mungu atakuafu
...ila wale wengne utawasikia toa basi iyo nyimbo ...maana siku hizi kila kitu imekuwa kiki
Pole sana dogo !!!! Allah anakukumbuka na ww huna budi kumkumbuka kwa Ibada na kutubu kwani hujui mwisho wako utakuaje.
Pole dogojanja,MUNGU atakuponya, heri ya kuzaliwa pia.
quick recovery Janjaro, Mungu akupe maisha marefu. unazo sala zetu.
HBD dogo janja pole sana Allah akupe aufueni ya haraka in shaa Allah
Quick recovery may b anamuwaza Irene maskini🙏
Dah afueni ya haraka ;Happy birthday to you.
Pole sana Allah akupe afya na shufaa
Pole sana umeumwa kwl hali sio nzuri Mungu akuwekee wepesi
Pole sana kaka janjaro ALLAH (S.W)akupe shifaa ya araka
Blood pressure hiyo... Mapenzi haya ..
Happy new age
Get well soon
pole sana mdogo wangu Mungu atakuponya cha msingi tumia dawa kama daktari alivyo kupa maelekezo mdogo wangu utapona
#pore San janjaro
Pole mdg angu.namsihi Mungu wa huruma upone haraka.we love u chalii wng
Hbd janjaro
Hbd dogo janja mungu atakufanyia wepesi utapona nazidi kukuombea dua
Mungu wa mbinguni atakuponya pole sana mdogo wangu
Mtangazajii, kumanyokooo,hunataaalamu,huyonimngojwaaa,mswalimengi,ya,ninii
pole sana janjaro mungu ni mwema atakuponya
Pole sana janjaro
Pole saana janjaro ila jitahihidi kufanya uchunguzi wakina wa hicho kifua kwani kushindwa kupumua vizuri si dalili nzuri saana. Usilizike na kupata nafuu tu nenda mbele zaidi kuakikisha tatizo hill halirudirudi. mashabiki we are still loving you. Mungu akuponye
poleee utapona
Yangsvs,sing da
Haki nyinyi mnao hoji wagonjwa mna roho ngumu yani mwenyewe pumzi hawezi but unaye tuu.Allah amsaidie ln shaa Allah.
Chalii yetu kala ni mapenz usivunge temana na hayo mambo yasije kukupotezea target zako za maisha kumbuka unae mama na ndugu zako wakuwatumikia kimahit àji na mawazo kama ni mapenzi ..kweli hauna sababu ya kuumia hivyo mjuba kaza ndita fanya maamuzi ....
@@ramspelo9287 Kabsaaaa hapa umesema.
pole sana mdogo angu yote yanapita tyu utakaa saw a mungu ni mwema
Na Mungu akuponye
Pole sana mdogo wangu.
Tatizo ni pumu hiyo .
kwa sisi wazenj ugonjwa kama huo tunaita pumu ila Allah atakuafu kaka
naomba upone mwanangu
Get well soon happy birthday
Sikuizi bongo hata ukinya utahojiwa unajisikiaje mavi jinsi yanavyo toka
Ahahahahahah ahahaha nimecheka
Suleiman jmn
Suleiman jmn
😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Dah ndugu yang polee sanaa kaka angu molaa akufanyieee weps urud katk hali yko ya furahaa
Pole sana dogo janja mungu akufanyiye wepesi upone halaka
Quick recovery inshallah
pole janjalo utapona
Pole allah akujaalie upoe soon inshaallah
@@zainabmohd6524 pole sana ila angalia sana atakuua
SubhaAllah ww omba mungu uwe na uzima na afya wapiga hisabu ya birthday....
Pole sana mdogo wangu mungu utapona
Pole sana Allah atakuafu amiin.
Ugua pole dogo janja mung u pamoja naw inshallah utapoa kwa rehm za mungu
pole utapona god is good
Happy birthday dogo njanjaro pole san kwa kuumwa mungu atakupa afuweni ishaallah
Yani co tabia nzr kumuoji mgonjwa jamani
Pole sana mungu akupe afuen inshallah
Get well soon paps and happy birthday to you
Nakutak hbd🎁🎆🎆🎆🎆 njemaa mola akuzidishieee umri zaid ya hapo 🎉🎉🎉🎉🎉🎈🎈🎈
pole sana brother.
pole sana mungu atakuafu
Mwenyezi mungu akuponye haraka, hbd janjaro
pole Janjaro Mungu akuponye
Pole mdogo wangu janjalo ulishawi kujichunguza kifua cha pumu alafu punguza kivuta vitu jamii sigara mtu yoyote anaye vuta sigar na bangi ata akipata homa kidogo lazima mbavu zibane na lazima atapumua kwa shida pole sana inshaallah mnyezi mungu atakuafu
pokesana dogo Mungu Akuepushe Nashetani Anaeitaka damuyako
Mungu yupo pamoja nawewe
HBD janjarooo,zaid mungu akujarie uzima afya itakua ok soon
Pole. Mungu akutangulie
Pole sana janjaroo Allah akufanyie wepesi uweze kupona
mm huwa Nina presha nahuwa nalazwa ikipanda hizo dalili nipresha punguza mawazo kabisa utajiuwa bure puuza mambo
waandishi wa habari bana, kila kitu kwenu ni fursa, mngesubiria japo atoke hospital basi, teh teh teh
Pole sana dogo mwenyezimungu akupe nafuu inshaallah
Pole sanaa mwenyezimungu atakuafuin shaa Allah
🎂🍫🍬🍾🎉🎈🎊 Happy birthday dogo janja .
Pole dogo langu😭mungu atakuponya
Polee my Inshaallah Allah atakufanyia wepesii Inshaallah
Chaliii maushauri kibao umepewa kama vip sanuka mkali kabla haijawa mbaya
pole sana mungu yuko pamoja nawe
jamani nakuona kama mwanangu pole sana epuka mawazo maisha ni mafupi kuugua kupo ila angalie usiwe sababu ya kuugua kwako Mungu akuponye dogo
Mungu akuponye dogo
Wish u a very quick recovery
Pole sana shemela wetu Allah akuponye inshallah #janjalo
Get well soon mr
Wewe ulivyo kua unamuoa mama yako ulikua unafikiria nini mwanangu sio nemonia ni presha hyo kama ndikumana
Pole sana Janjaro utapona2.
pole chali yangu
Happy birthday and i wish al the best in ur life
Get well byb janjaro
Poe sana kaka
Pole sana Allah atakufanyia shifaah
Get well soon dogo janja
Get well soon my young brother
pole sana my janjaro mungu atakusaidia utapona
utapona janjaro mungu nimwema
Pole dogo janja inshallah mungu atakuafu🙏
Pole mwaya mungu atakusaidia utapona
shilawadu mmezidi!!! hadi mgonjwa mnamfata hospital..Mungu anawaona..ngekuw me wallah ngemvunja MTU!!!!
Pole mdogo angu nilikuambia mimi dogo
patient needs rest leave him alone ..and pertaining his family is none of your business and they are one to make some decision internet cant make decision for them......... LET THEM BE>>>>>>>> Irene kama shabiki Yako Tuliza Joto amabalo limeingilia ndoa Yako.... before is too late...
HBD janjanro n Quick recovery bro ... we are all humans.
Mungu atakuponya. Hbd to you
Jaman mi huwaga cwaelewi waandixhi wa habari, cjuwi kwann mtu anaumwa na drip juu bado abahojiwa ndo nini.,kuwen na huruma
Kheri njema ya kuzaliwa, utapona kwa uwezo wa Allah inshallah
pole san bro mung atakusaidia
Pole sana mungu atafanya wepes
In shaa Allah uwezo wake Mola utakuwa sawa....
ila bro umemfanyia interview kwa muda mrefu, that's not that much good! wakati mwingine usifanye hivyo kwa wengine
Daniel L. Damian pole my kaka
Pole Kaka janjaro utapoa in sha Allah
Inshallah Allah atakuafu
pole mdg wetu janjaro mungu atakuafu
Get well soon #JANJARO
God blessing you
Pole sana
sorry mutoto,acana na Irène, utakufa
Pole.sana maradh ni moja ya changamoto dunian utapona dogo njanja
pole sn utaponi kwa uezo allah isnhaa Allah
Bdy best janjaro
Hbd janjaro mungu akusaidie upone jaman inshallah
Pole sana janjaro na happy birthday pia
Pole Broo utakuwa xawa tyuy