H BABA ATINGA KWENYE BANGO LA HARMONIZE,,,TAZAMA ALIVYO MCHANA HARMONIZE BAADA YA KUWEKA BANGO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #diamondplatnumz #hbaba #zuwena

Комментарии • 211

  • @achilva
    @achilva Год назад +11

    mimi nilisema h baba wakike mkabishaa 😢😂 hona sasa anavyo ongea vitu vya ovyo

  • @fainesuhakula9734
    @fainesuhakula9734 Год назад +3

    Namuunga mkono h baba kaongea pow sana

  • @OmarSaid-w1q
    @OmarSaid-w1q Год назад +1

    Huyu jamaa hana akili

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Год назад

    Tuache utani, kajala kamsaidia konde kuandika mashairi mazur ya mzk which is good amemtumia vzr k kapata hela, h baba nae si kachezea hela sana mbna ana mind mwenzk wao walichezea sana enz zKe

  • @priscamdee9186
    @priscamdee9186 Год назад +1

    Hamo aache sifa afanye mziki anapenda Sana sifa

  • @tvbrandao2530
    @tvbrandao2530 Год назад +1

    H Mama unanini?? Acha maneno la kipuzi

  • @hajamijohana
    @hajamijohana Год назад +1

    Cc tunataka mzik mzur hatuna shida na pesa huyu anafos ote tuwe mashoga km yeye ukitaka pesa nenda uarabun

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 Год назад +2

    Huyu ni shoga kwa kweli

  • @macnonjusticekayuni8272
    @macnonjusticekayuni8272 Год назад

    H Baba wewe nimkosaji.kwaihio hayo nimaneno ya mkosaji

  • @Manka-ub2uz
    @Manka-ub2uz Год назад

    Nadhan uyu H. Ni mkubwa kiumri kiangaika na iz stor Kila siku za udaku.. au ndo fashion Tz kwetu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Год назад

    Hawa marafiki sana na Harmonize

  • @omarsimba5775
    @omarsimba5775 Год назад

    Mu puuzi uyu single again ni music tuh

  • @macnonjusticekayuni8272
    @macnonjusticekayuni8272 Год назад

    Utakufa nanjaa zako.Mwachie Baba levo uchawa Mana wewe huna jipya mjini

  • @kakakuona57
    @kakakuona57 Год назад

    Acha ujinga wewe h baba,harmonize anapesa za kutisha,wewe huwezi shika hiyo pesa mpaka unakufa,.wewe una wivu

  • @philipokasanga7555
    @philipokasanga7555 Год назад +2

    H ni Kuma tuuuu mseeeengeeeee

  • @shyakafred5004
    @shyakafred5004 Год назад

    This guy is crazy for sure you have nothing rather than talking someone
    He is going to drop new music called single again

  • @kennix6457
    @kennix6457 Год назад +4

    Uyu mwehu Ako wapi na hanaga kitu.rudi uskumani ukalime

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 Год назад +11

    Ila h baba unazinguwa ujuwe 😂😂😂👍

  • @bukulutheboss5141
    @bukulutheboss5141 Год назад +3

    H baba ukapimwe akili ww kila mahojiano yako uwez kuacha kumuongelea konde mbona hata cku moja hujasema maendeleo yako hebuu jiongeze fanyaa maisha yako sasa achana na maisha ya wa2 nyoko ww tena natamani sn kuonana na ww ili nikwambie live

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Год назад +27

    Pamoja na mapungufu ya H Baba, lakini ametoa maoni yake vizuri. Sisi wapenzi wa Konde Boy anatuangusha amekalia wanawake na ushamba. Wenzetu Diamond anapasua anga kwa uwekezaji mkubwa.

    • @georgewilson3022
      @georgewilson3022 Год назад +2

      We sio timu konde bn

    • @Lundege_Hips
      @Lundege_Hips Год назад

      Ukweli hubak kua ukweli ingawa unauma

    • @seifujuma243
      @seifujuma243 Год назад +1

      Fact👏👏👏

    • @brunokimaro1053
      @brunokimaro1053 Год назад

      @@georgewilson3022 Timu ya kishamba

    • @amosicommedy6917
      @amosicommedy6917 Год назад

      We kondoo kweli kila mtu anafanya kazi kwa malengo ya kupata anachokipenda diamond anapenda magari na mademu kondo anapenda kumoka na mademu hawawezi kufanana

  • @georgewilson3022
    @georgewilson3022 Год назад +1

    Kuwa makini babu wa wakiume bora urudi mwanza ukalime lkn izo ishu zakuwasifia wAnaume wenzio sio kweli bn

  • @barakasteven5379
    @barakasteven5379 Год назад +2

    😏😏😏😏ww unazo zkibongo izo wezio akina baba lev n mwijaku wanavuka mipaka ww up ndani humu humu kashakuona D auna akili

  • @michaelsimkonda6945
    @michaelsimkonda6945 Год назад +3

    Usipende kumftaliaa mwenzako na wewe fanya uhiti Kama yeye usimpangieee maishaaa we so munguuu chokooo we 🖕🖕🖕🖕

  • @khalmudodoma6271
    @khalmudodoma6271 Год назад +3

    Kwa wewe utaishi na ujinga wa kusifia watu na kuponda watu hadi lini boss hebu pambana na hali yako wew toka magetoni ukatafute maisha

  • @maureenmariera1426
    @maureenmariera1426 Год назад +9

    H dangote sema yote 🔥🔥

  • @josephnkango1905
    @josephnkango1905 Год назад +4

    Kubwa jinga hili ndevu nyingi akili Moja

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 Год назад +6

    Ajilinganishe yeye na Harmonize , Harmonize is still young Hbaba anamonea uwivu

  • @Barakaemanuel
    @Barakaemanuel Год назад +2

    chawa kam chawa mkee mdogo wa mondi

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Год назад +3

    Wasukuma bhana wataacha lini ushamba

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Год назад +1

    Hyu sio msukuma ojiii.Atakuwa msukuma wakuja.huyu.Wsukuma wenyewe nipole niwastaarabu hawana mdomo uswaili wahyu.bwana nitosha kujua simsukuma halisi.Hna anachofanya zaidi umbea kusifia wanaume wenzio tu.Wasukuma wahivi hawapo

  • @jindamjukuu8440
    @jindamjukuu8440 Год назад +1

    H.baba akumoja zungumzia utajir wako sio wa diamond kila sku atakufila mkinduni hap unye mavi ya kijani doh inawangusha wasukuma msukima gani ww uko Kama dada zuena

  • @RamaMakau
    @RamaMakau 7 месяцев назад +1

    ww h baba unakili kweli unakiliwa harmoneze lakiyako kabs leo unamzinichi buroo daah

  • @altaphonebypassofficial
    @altaphonebypassofficial Год назад +13

    tatizo la uyu jama ni geugeu mda mchache utamuona king 👑 music kuweni makini mjinga mmoja uyu

  • @chazypantony7133
    @chazypantony7133 Год назад +6

    Hajui maana ya Sanaa...huyu hbaba

  • @aminaibrahim3409
    @aminaibrahim3409 Год назад +1

    Bro acha kumuongelea vibaya mtu ambao anawez kukulisha wewe na family yako 4m 1 to 30

  • @papy9075
    @papy9075 Год назад +7

    This is more than childless

  • @Donney814
    @Donney814 Год назад +4

    Wew Wacha kuwa kimada miaka Yako ni mingi na unaoengea kama mtoto nayetaka kutambaaa

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone Год назад +1

    Unatukela saaana wekila interview mpka umuongeree diamond hivi sujiongelee ata wewe

  • @RamaMakau
    @RamaMakau 7 месяцев назад +1

    😂😂 h baba bado ujasema ww mbakaseme t bad asa

  • @sulaimanalhabsi2355
    @sulaimanalhabsi2355 Год назад +4

    Huyo h Baba wivu Hana lolote

    • @leonardmwayeya13
      @leonardmwayeya13 Год назад

      H baba namshangaaga sana nyadundo anararamika wasf warimzurum wakati anachukuriwa arikua Hana hata kumi mbovu rakini akiwa wasifi naakiwa namausiano na worpa nasema arimpa mtaji wa mirioni 30 akamnunuria gari Ra mirioni 15 acha ndogondogo hao wasafi wazurumaji hizuhera zakuhonga karibu mirioni 50 jamani tuache ujinga wakipumbavu nyadundo ubongo unasherki

  • @mapozijamaldo5387
    @mapozijamaldo5387 Год назад +2

    Mpumbavu huo H baba

  • @maikolazaro7871
    @maikolazaro7871 Год назад +4

    Ukitaka kufilisika bas shindana na diamond 💎 utauponza

  • @sharifuhassan1718
    @sharifuhassan1718 Год назад +1

    Chawa basi tu hacha haroboke tu hapata ugali 😁😁😁

  • @felisterbaraka6152
    @felisterbaraka6152 Год назад +1

    Huyu na mbwa ni sawa tu wote wanamtumikia boss na sio mungu

  • @alexisbiringanine1100
    @alexisbiringanine1100 Год назад +1

    Hbaba ataolewa kwa diamond punguza shobo bro

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Год назад +4

    Yani hamo hamuwezi mkwepa lazima mtasema Tu pumbavu zenu🤣

  • @dominicknondo7681
    @dominicknondo7681 Год назад +1

    Himba Bana umechoka kwanini leta manyimbo H bb

  • @johncharles323
    @johncharles323 Год назад +2

    Ama kweli Hawa machawa ndo maana sugu akaaema hawa sio chawa ni kupe wewe h bb una nini achana na hamo huna maana yoyote mjinga tu ,

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Год назад +2

    Wewe h baba hujielewi unakaa kuzungumzia mambo ya yatu kama demu

  • @lastkilowoko9926
    @lastkilowoko9926 Год назад +1

    Huyu n mama mara anamdai sijui hamjui takataka uyu

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 Год назад +1

    Hivi huyu ana kipi anacho kifanya hapa mjini? Yaani mtu kucha kutwa kuwangelea wanaume wenzio!
    Kwa kweli ni aibu kubwa sana.

  • @luckyangela7148
    @luckyangela7148 Год назад +1

    Utakalia ya harmo...ya kwako yanaganda kubwa jinga wew huna haya

  • @africangiantphotography1451
    @africangiantphotography1451 Год назад +1

    Wew mwenyewe unalipi pumbavu zako

  • @shamsimayange2349
    @shamsimayange2349 Год назад +5

    Fanya maisha yako wewe puuzi hauna life yoyote yakumzidi harmonize kwanza jiulize namnagani unavyomsema lakini yeyekimya ameshakuona puuzi baba ulioshindwa na maishayako eti garimoja watu hatuwezi lingana katika maisha kilammoja yupokatika life ya maisha yake jiongeleewewe maishayako puuzi wewe jinga kubwa

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Год назад +2

    Huyu Mwamba hajielewi.😂😂

  • @ramamasudi2270
    @ramamasudi2270 Год назад +1

    Konde boy kakutowa ushamba wewe

  • @emiliankomba7344
    @emiliankomba7344 Год назад +1

    We h baba mda wote unamuongelea harmonizetu

  • @neemabayaneemabaya4633
    @neemabayaneemabaya4633 Год назад +1

    We mbona hstukuoni Kwa mondy

  • @patrickndumba7855
    @patrickndumba7855 Год назад +6

    Konde ni fala sana alijifunza kiki kwa Diamond Platnumz ila sasa yeye anafikili kilakitu ni kiki....rofa !!!

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Год назад +1

    H mama tafuta mume uolewe fala kenge

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Год назад +5

    Tunapowambia harmonize akili yake haiko sawa mtuelewe.

  • @RamaMakau
    @RamaMakau 7 месяцев назад +1

    h baba unaa🎉kili ww kabis

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 Год назад +1

    H mama acha uchawa wakijinga bro kawalee wanao

  • @Fahadi2023
    @Fahadi2023 Год назад +3

    PTV mnazngua saana kwann mna like kwenye comment za negative tu kwamb wengne hatujachangia chochote,hatujaview au😂😂

  • @dynamorewolfu
    @dynamorewolfu Год назад +1

    we shoga2 utaolewa KEI wewe

  • @tvbrandao2530
    @tvbrandao2530 Год назад +2

    Harmonize tem dinheiro.

  • @edenipaschalsembuli8683
    @edenipaschalsembuli8683 Год назад +1

    Anatafuta mwanaume amuowe uyo

  • @josefomoises9521
    @josefomoises9521 Год назад +1

    We make kweli, kazi chobo TU jipange kivyako

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад

    Hv swali langu,,tangu utoke kwa harmonise lin mwenzio aliwah kukuongelea??hujishtukii??khaa we kaka muogope Allah kuna kesho,,hzi pesa na mengne tutayaacha hapahapa dunian,,najua chuki zko zote ni utafutaj,,lkn hv unajua kuwa kuna kesho??binafs nakuona tahila tu

  • @geegee2211
    @geegee2211 Год назад

    Kila siku Harmonize. Huwezi kupumua bila kutaja. Mambo ya wazazi wake hayakuhusu. Mbona hauzungumzii Mzee Abdul aliyemlea Domo? Wewe mziki wako umekufikisha wapi?

  • @mtemikana6714
    @mtemikana6714 Год назад +3

    Konde gang for life

  • @fabianhamis1668
    @fabianhamis1668 Год назад

    H.Baba,. Mbona sikuelewi unapiga2 makerere ambayo hayana maana. Labda me niulize swali niki2 gan ambacho anashindana na Daimond. Ko m2 kila anacho kifanya anashindana2 na huyo mzee misifaaa, ila ww inatakiwa ukapimwe akir zako.

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Год назад

    Harmonize anakohoakohoaaa sana kwenye nyimbo lakini hazi hit africa nzima album nzima anakohoa mpaka collabo za wasanii wenzake anakohoa lakini hazii hit africa nzima nyimbo ila Kizz Daniel anakohoa mara moja tu intro introduction nyimbo inahit africa nzima nyimbo moja kikohozi kimoja tu cough(odo) Kizz Daniel

  • @jumaomari1185
    @jumaomari1185 Год назад

    Hivi huyu H baba Yuko sawa kweli? Huyu c ndio alikuwa anamponda diamond!!!!! duuuuuh aiseeeeh kweli tafuta pesa

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 Год назад

    Harmonize mida mingine anazingua kwani ukiachana na demu lazima ujitangaze mmakonde unazingua wamakonde huku ni wajanja sana hawana pigo za kuzingatia mapenzi wapo binz na uzalishaji pia ni wapo wakalimu hizo pigo unaharibu kabila lao kulia lia na ngono kila siku toa nyimbo baki to baki

  • @mapettcokenya
    @mapettcokenya Год назад +4

    Mwamba ni kiboko 😂😂😂😂akiwa na hela anafukuza wengine

  • @enockmumberewanzukula9785
    @enockmumberewanzukula9785 Год назад +11

    Uyu mutu na muchukia sana

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Год назад +4

    Wewe mtoto wa watu tushakujua

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 Год назад +1

    Unafanana ngedele

  • @desolz3809
    @desolz3809 Год назад +2

    Kafilwe na mondi huko

  • @allyzegele1373
    @allyzegele1373 Год назад +1

    H. MAMA tumekuchoka, sema auwezi kumshusha HARMONIZE mwenzako yuko mbali sana kimziki. Wewe kila siku kumsema tu, akukusaidii kitu.

  • @salumusquare8149
    @salumusquare8149 Год назад

    Ww kuma unanini ww na ww mtangazaji Kuma tu huna lolote kuma wote nyie wanafiki kwan mtu kuweka au kuandika single nyie mumeelewaje Kuma nyie

  • @saidmussa6052
    @saidmussa6052 Год назад

    H baba we msenge uwezikuongea bila kumtaja harmonize we matako kwer au Simba anakufila🖕🖕

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Год назад +6

    H baba kweli maneno yako

  • @shabaningogo-cj1nc
    @shabaningogo-cj1nc Год назад

    Moshi aujawah mwacha mtu salama afu wasimseme hbb kua anamsema harmo mbona harmo nae mda wote ana mtajataja diamondi harmo kasha fulia anatapa tapa

  • @agustinoagustino4008
    @agustinoagustino4008 Год назад +1

    Apo njaa Kali

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 Год назад +1

    Kubwa jinga

  • @issufomuchamomuchamo4676
    @issufomuchamomuchamo4676 Год назад +2

    Wewe ni mjinga mmoja

  • @mananzizaabdul2689
    @mananzizaabdul2689 Год назад +1

    H mama..uyo ninjaa inamsumbuw katafute ajira wew..bado unamwili wakufanya kazi...acha uchawa utaingizwa kijiti kwenye matako..

    • @cosmascastory9193
      @cosmascastory9193 Год назад

      Ndo michezo yako nini kuingiziwa kijiti hahaha maana warabu wapemba hujuana kwa vilemba

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад

    Tunajua una chuki nà harmonise hvyo hta ukiongea ukwel me ntaona pumba tu kwendaaa

  • @mohdnasser894
    @mohdnasser894 Год назад

    H fara niliwaza utahadisia utajiri wako sasa unazungumzia utajiri wa mume wako daimond

  • @abedymeja1688
    @abedymeja1688 Год назад +6

    Ni Kweli

  • @aminanur353
    @aminanur353 Год назад +3

    Yaani hatahaya huna Loooo

  • @amurimatabika6407
    @amurimatabika6407 Год назад

    H baba ni chawa mukubwa ,tena ahujielewi ,bifulako wewe n'a diamond ulishaka imaliza?ulishaka tembeya ushi ,watoto wadogo wanakutumikisha kama imbwa.

  • @shomydeking22
    @shomydeking22 Год назад +3

    Izo bangi za kila muda lzma pesa amalize 2🙌😂🤣.... Nipeni like zngu jamani

  • @mbwanakhamis9634
    @mbwanakhamis9634 Год назад

    N ww uko n nn kma siushoga kumuomgea mwanaume mwenzko, wkt mm pia n msanii... 🖕

  • @lulually5209
    @lulually5209 Год назад +1

    Hili jamaa litaacha lini kumzungumzia harmo

  • @kakakuona57
    @kakakuona57 Год назад

    Sinta angalia Tena clip ya h baba huna la maana,ulikuwa unapigwa na mwanamke

  • @marianakabambo2737
    @marianakabambo2737 Год назад +1

    Hivi H,baba ni msukuma kweli hakuna wasukuma wa hifo umri afya yake hafanani na maneno yake,Kila siku homonize huoni aibu acha kuendekeza njaa,unatia aibu wasukuma,

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад

      Jibu hoja jamaa anazungumza ukweli usikimbilie matusi hana bays analozungumza

  • @shamsimayange2349
    @shamsimayange2349 Год назад +1

    H.baba asijitie anajitoa ufahamu harmonize ndiokamleata mjini alishapotea ndiomaana hafwatiliwi kwenye midia jinga hiyo

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Год назад

      Hbaba nenda kavue samaki ni mzee sanaaaa aibu tupu unatuharibia sifa wasukuma nyau wewe

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад

      @@margarethpolepole7438 Anaongea maneno ya hekima na busara siku hizi. Maneno hayo ungemwambia wakati ule akiwa upande mwingine .