Habari bro. Hongera kwa kazi nzuri! Mi nauliza kazi ya Truck Driver. Nina ndugu yangu ni mzoefu, hua anaendesha Tz kwenda Zambia, Congo na nchi zingine. Ahsante.
Mimi mwaka huu lazima niende Canada kufanya kazi Somo nimeshakuelewa nakujatuanzemipango march mwezi ujao ila galama zako nakutumia mwezi huu ili ujue Mimi sina longolongo na uswahili kama hao wanaosema unawadanganya wakati hata nchii jilani hajawai kwenda hata hapo kenya hawajawai kwenda hata paspot hawana
Kaka wengi walikuo huko Canada wanasema nyie mnafanya hizi kz waongo na nnatapeli watu wanasema huwezi kua tz ukatafuta kazi za canada linakuaje hii mkuu
wengi walioko huku kazi yao ni kuwaambia mtoe milion 12 ili akusaidie kwenda kule kwahiyo kupitia hiki ninachofanya wengi hawapendi maana wanaona nawaharibia biashara zao
Broo binafsi nakubal unachokifanya na Mungu azidi kukupa nguvu ya kutusaidia mawazo mazur ya mafanikio mana tushaibiwa san hela mpaka sasa ila kwako naona upo utofauti mkubwa kuliko wengine mda ukifika ntakuchek ili tuweke mipango sawa
Brother hebu tusaidie sisi wenye uhitaji aiseee maaana wakati mwingine huwa tuanshindwa tuanzie wapi na tuishie wapi! Agents wengi wamekuwa matapeli sana
Kaka kwema vp hali yako? samahani mm ni driver wa magari madogo na baazi makubwa ila naweza kufanya kazi zote ngumu ambazo sio za kusomea.alafu naitaji kujuwa gharama zote mpaka nafika Canada ni kiasi gani please naomba ushirikiano wako brother.
Nilikua nimekua na mdhamini wangu ili tuongee kuhusu iyo mipango alitaka umueleweshe vizuri yani mpaka sasa hatakitena najipambania mwenyewe ila bado sijakata tamaa nitafute kakangu mau nikutafute mdagani ili tuyajenge
❤kakanaomba,unijulishehizogharamaa
Hello my dear brother
Gharama kiasi gani
Vipihaliyako mboni namba yako kila nikisevu whatssap sikupati
❤shukurana sana bro Kwa kaz nzuri unazoendela kutoa mungu akubariki sana🙏🙏🙏
🙏
Asante sana bro,hope Mungu anaendelea kukupigania,mie nitakuja ofisini kuanzia wiki ya kesho!nitakujulisha nikiwa nakuja
Sawa
Kazi nzuri sana
🙏
kazi nzur endelea na unachokifanya nakukubali
🙏
Yeah
👍
Habari bro. Hongera kwa kazi nzuri! Mi nauliza kazi ya Truck Driver. Nina ndugu yangu ni mzoefu, hua anaendesha Tz kwenda Zambia, Congo na nchi zingine. Ahsante.
Mwambie anicheck whatsapp 0766048783
@@DennisMagessa Ahsante sana, nitamwambia.
Asante sana kaka
🙏
Ni shgp kunitengenezea hivyo vyote cv,cava letter na kufungua Job Account? Au job bank?
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Asante bro tutafanikiwa
🙏
Nice
🙏
Good job
Thanks
Nakubali
🙏
Mimi mwaka huu lazima niende Canada kufanya kazi
Somo nimeshakuelewa nakujatuanzemipango march mwezi ujao ila galama zako nakutumia mwezi huu ili ujue Mimi sina longolongo na uswahili kama hao wanaosema unawadanganya wakati hata nchii jilani hajawai kwenda hata hapo kenya hawajawai kwenda hata paspot hawana
🙏
Tunashkur san Kwa maelekez ni kutokea Burundi🇧🇮 tunakufuata
🙏🙏🙏
Asanteni sana,Endereya kutufahamisha mengi zaidi
🙏
Sasa mimi Email yangu wananiyambia sikuweka number ya simu,sivizuli kufungua email nyingine?
@@NIMFASHADieudonne-cy1fx fungua ingiene
Thanks
🤜
🙏
Kaka wengi walikuo huko Canada wanasema nyie mnafanya hizi kz waongo na nnatapeli watu wanasema huwezi kua tz ukatafuta kazi za canada linakuaje hii mkuu
wengi walioko huku kazi yao ni kuwaambia mtoe milion 12 ili akusaidie kwenda kule kwahiyo kupitia hiki ninachofanya wengi hawapendi maana wanaona nawaharibia biashara zao
@@DennisMagessa good
Nakufatilia Sanaa broo toka apa chuga mimi nipo tayari ata gharama nitembee tubadili upepo nakupata vipi
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Shi ngapi hizo gharama
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Broo binafsi nakubal unachokifanya na Mungu azidi kukupa nguvu ya kutusaidia mawazo mazur ya mafanikio mana tushaibiwa san hela mpaka sasa ila kwako naona upo utofauti mkubwa kuliko wengine mda ukifika ntakuchek ili tuweke mipango sawa
🙏
Tumeenda sawa had ulipoishia mkuu
🙏
Brother hebu tusaidie sisi wenye uhitaji aiseee maaana wakati mwingine huwa tuanshindwa tuanzie wapi na tuishie wapi! Agents wengi wamekuwa matapeli sana
Nicheck WhatsApp 0766048783
Kaka kwema vp hali yako? samahani mm ni driver wa magari madogo na baazi makubwa ila naweza kufanya kazi zote ngumu ambazo sio za kusomea.alafu naitaji kujuwa gharama zote mpaka nafika Canada ni kiasi gani please naomba ushirikiano wako brother.
Nicheck whatsapp 0766048783
Iyo premium job bank ghalam yake n shingp?
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Very boss
👍
Ki ukweli mimi naona yuko sahihi kwa sehem ukimfutiria vizuri utagundua ukweli kikubwa ni kujifunza pasipo kukata tamaa
🙏
Hii kitu nimeipenda sana ila ndugu zangu hawataki kutoka nje, bado ni washamba mno
ha ha ha watatoka tu wape muda
Good job kaka
🙏
Kaka Asante nime fanikiwa kufungua nasubiri maerezo mengine😂
Hongera sana
2:53 kaka nisaidie nimeishaliwa sana pesa zangu shida yangu kazi naomba msaada wako nimeishachoka kaka
Nicheck whatsapp 0766048783
Nataman sana kufanya kazi Canada
Fanya maombi ya kazi Boss wangu utapata tu kazi
Tupo pamoja kaka
🙏
Kaka mamb vp mm natak kwenda kufunguwa acaunt ya kuomba kazi canada ila sijuw nisem vp nikenda kule benk
Nicheck WhatsApp tafdhari 0766048783
Bro unaweza kwenda canada na ukawa hujuwi luha
Kaka naomba msaada nami nasaka kazi inje ya nchi
Nicheck WhatsApp tafadhari 0766048783
Nimefungua leo kaka sasa nimehenda mpak mwisho
Hongera
Unaeza henda UK kama ujasoma,, kuliza tu
Unaweza Boss wangu
Thak you for your good replay
🙏
Hlw
Hello
Endelea kutujuza kaka binafs Mimi nakuunga mkono
🙏
Tuko pamoja kaka
Nicheck WhatsApp 0766048783
Kaka tupo wote
🙏🙏🙏
Kaka hii ya job Bank mbona ukiweka email inakataa
Utakua unakosea au hujajiunga bado
brother hakuna kazi ambayo unaweza kufanya km huna cv huku canada kwan
Cv ni lazima, na Cv ni wasifa wako sio elimu kama watu wengi wanavyojua
mm naitaji
Pia kaka wanasema mishahara unayoweka ni uongo
Mimi sipangi mishahara boss wangu naonyesha mishahara iliyoandika kampuni so labda hizo kampuni ndio zinadanganya.
Sidhani kwasababu huwa anatuonyesha mipangalio ya malipo
Ishallah 🙏
🙏
Achana na hao wewe tupe vitu kaka
🙏
Dqmbana mkuu tutafanikiwa
🙏
Nilikua nimekua na mdhamini wangu ili tuongee kuhusu iyo mipango alitaka umueleweshe vizuri yani mpaka sasa hatakitena najipambania mwenyewe ila bado sijakata tamaa nitafute kakangu mau nikutafute mdagani ili tuyajenge
Nicheck WhatsApp 0766048783
Unatumia jina gani Instagram
@@mylulu4762 Dennis Magessa au safiri na Dennis
Pamoja
Nicheck WhatsApp 0766048783
Tuko wote
🙏
Kazi nzuri sana
🙏
Kazi nzuri kk mungu akubaliki
🙏
Tuko pamoja kaka
🙏
Asanteni kaka