HUWEZI KUMUACHA CHAMA MBELE YA MUDATHIR YAHYA| MASHABIKI WA SIMBA WALIPIGA DUA MPIRA UISHE CHAMAZI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kwakweli bigup wasafi Tv msimlaumi Oscar kupinga kwake Kuna leta utamu wa kachumbali nzuri sana kiuchambuzi all in all Baba Levo juu sana
Nimefulai sana kuona baba levo kamchekesha osca inamaana osca kakubari mziki wa baba levo
nakukubali sana baba liv
Daimond usimfukuze kazi baba leval
Na kukubali b level ba ❤❤❤
Hata mimi hat nife siwez kwushabikia simb baba rev namukubar san
Baba levo sio mchambuz kwenye kipindi yupo km mshabiki cio mchambuz😢
Ananogesha kipind me huwa namkubal
Hapo kwenye kuchagua...
Waafrika wa Tanzania wangemchagua Chama.
Wazaungu wangemchagua Mudathir.
Facts yake muliona robertinho sio chaguo lake chama....na ndio maana amefeli cha huko alipokwenda.
Baba levo kiukweli mimi binafsi nakupenda ❤❤😂😂
Unampenda kwasababu anaisema Simba vibaya ilimchania mkeka
Hiki kipindi safi sana sema baba levo kiboko
Hapo baba levo uposahihi
Chama aondoke Simba Hana msada wowote
Yaan B levo bana anachambua kishabiki sana lkn anachekesha tu
Ila baba levo mtoeni kwenye hicho kipindi jamani!!!
Aktok ba levo atoke na oscar......😂😂😂
Kwa nini?
Tunataka kuludisha mataji yote Tz na ubingwa tupite robo, ikiwezekana fainali na ubingwa. Simba wakubwa tunacheza kikubwa
Watangazaji wote Sina mda nao Nina mda na Baba Levo tu ananikoshaga sana❤
oscar hataki simba iendelee
Baba levo anachonga sana huyo haeleweki sio mshabiki huyo
Baba levo unamfanya oscar akimbie
Ba level anajielewa sna anajitahid kuchambua wakati hajasomea hiyo status
😂😂😂😂😂😂 unachekesha
Nan kasomea ?
😅😅😅😅😅 mie hoi Oscar na Baba Levo kweli mnachangamsha kipindi.😅
Nyinyi waandishi mtende haki si mseme ukweli si ushabiki tu simba ni timu kubwa africa mtake mstake
Simba ya mwaka jana ni nzuri kuliko hii ya mwk huu
Tatizo Simba ya mwaka huu inaonekana nzuri kwa sababu iliifunga yang. Ila ukweli Simba Ni mbovu kuliko Simba zote
Simba ni bora sana.
😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 Ba revo bhana usinivunje mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Baba Levo achana na burudani ngoja tukusanye Mataji kwanza burudani mwisho wa msimu kaka.Huyo huyo Simba mbovu kamnyanganya ngao Yanga anayesema ni Bora eboooo fa masialaa ninii
Baba levo ni bonge la mchambuz
Chama anavitu vyake na mudathir anavitu vyake inategemea mahitaji ya couch chama hakabi mudathir anakaba sana na anatembea sehemu kubwa ya uwanja chama hawezi Hilo chama anautulivu sana juu ya mshambuliaji na pasa mzuri sana hiyo ndo tofaut yao kwahiyo nini mahitaji ya cocha .kutokana na timu inayocheza nayo
Oscar mashabiki wa Simba wanashikiana viboko kwa nn sasa
Waambie kweli ba revo Simba kwa Sasa wameisha😂😂😂😂😂
Vp ndugu angu umeamkaje baada ya game ya Ihefu na Yanga kuisha jana
Ndo mkome nyani fc
Wameisha ndo maana wameshinda mechi tano mfululizo
Baba levo ndo anachangamsha kpnd
Huyo baba Levo hana Sifa ya kuwepo hapo mnapomuweka, anadhalilisha sector ya habari, hana weledi, aende huko wasafi festival akabwabwaje upuuzi wake!
waliofungwa magoli matano na Yanga wakutana hatimaye product 2_2
Osca yupo sahihi Yanga ndio Waongoza kuisema simba
yaaani najisika furaha kuwa sikiliza
Naitwa david arab ki ukweri baba revo unaongea ukwer kaka
Baba levo mchambuzi wa ushabiki
Yanga ni bola kuliko simba
Wee eee chama abaki huko huko
Simba hawatabiliki
Ayubu ni jina la kiebrania (Israel ) Job na kwa waislam (Arabs) ni Ayyub ambae kwao ni Nabii. Hivyo Ayubu ya kiswahili imetoka kwenye Ayyub ya Kiislam
Usilete habari za dini kwenye ushabiki wako. Ni nani aliyekuambia kuwa ayubu ni nabii.Kuwa makini ndg
Unauchi wew au shoga wew unatuletea mambo ya dini hapa
Naitwa muxa axumani kutoka kambya chui nayombea ximba uxhindi zidi yaprizoni kwamagoli tena mengi
mada uliijua au umecoment tuu@@hajisangu2489
hivi mnasikilizaga mada kweli au huwa mnacomment tuu🙂🙂mimi nilikuwa nawasaidia hapo studio kwani walikuwa hawajui Ayubu ni Jina la wapi hasa kwa asili....ndio nikawaelezea kuwa Ayubu ni jina la kiisrael na lipo potepote kwa wakristo na waislam na tena kwa waislam yupo nabii Ayubu na kwa wakristo kipo hadi kitabu cha Ayubu...sasa wewe sijui ni dini gani huenda hadi huyajui haya...ila nimeona nichukue muda kukupa elimu kidogo...mimi sipo kwenye hayo mambo yenu ya mpira wa Simba na Yanga..nilikuwa natoa elimu studio ili wasipotoshe watu.@@nyakatievents
Kumbe ni Chanel ya yanga?
baba.revo.hapa.kweri.mmi.mshabiki.wa.simba.sijui..musimu. kama nitapona.mana.moyo.juzi..pupu..nateseka.najuta.kupenda.kunaumiza
Hamia yanga mkaonane na ihefu
Tumepita Kwa mbinde sana pia kipa tunampendea langi
Hata Al ahally mwaka Jana walipita kwa mbinde na kombe wakabeba
Baba Levo na mpira wap na wapi
Chama anauwezo wa kugawa mipira kama tanesco mpya😂😂😂😂😂😂ba levo mbwa wewe😂😂😂
wachsmbuzi acheni uchonganishi kati ya mashabiki na wachezaji acheni izo
Oscar kumbe mchabiki wa Simba hapendi ukweli
Shida sio kuwa mshabiki wa Simba Oscar ni mchambuzi anaye ujuwa mprira!nyie wengine ni mashabiki maandazi!sasa ww kwa akili yako unamsikiliza Baba levo na unaamini maneno yake anayo ropoka hata point hana na hana anachojuwa kuhusu mpira
Oscar upo sahihi mashabiki wa ynga ndio wanaosema hvyo sio Simba na wale ambao wanajiita mashabiki wa Simba wasiojua nn maana y mpira yaan mamluki tuu wanavaa jezi za Simba kuwasidia ynga..
Ww acha unafiki unaikumbuka yanga mwaka gani
Osca yuko sahihi kabisa
Ila mmenivunja mbavu jaman duh.
Kwa mm siwez kumuacha mudathir mudathir nikachukua chama. Mudathir anacheza michezo ya Aina zote uwanjan iwe kukaba iwe kushambulia, iwe ubabe iwe ustaarabu. Chama timu ikizidiwa kidogo tu huwa haonekan na kama ni mechi ya kibabe yy hawez
Oscar sasa unaanza kutoka kwenye uchambuzi unakua mshabiki.
mpira wa pass haukuwapa simba mafanikio wamebadilika makusudi kutafuta kocha wa ushindi timu zote zinazocheza huo mchezo hakuna yenye mafanikio hasa africa wanaocheza mchezo wa nguvu
Uhakikaa
Chama na muda ni vitu viwili tafauti kila mtu na majukumu yake
Chama ynga hana nmba
😂😂😂caf, inaangaliwa baada ya dk90🤔
Hata biashara ya jezi imeshuka kulingana na matokeo ya simba uwanjani jezi zimekuwa nzito kuuzika
We mjinga ww jitu kubwa halina akili eti simba munaamini si timu kubwa huna la kusema wandishi wa michongo
Ww Oscar unasurambili hueleweki
Kwanini mnaongelea VITU VISIVYOWEZEKANA???
Baba levo wewe shabiki wa yanga ndo maana unaiponda simba nikwambie kitu mwaka jana.yanga ilikua.ikicheza kama simba ya mwaka huu.nawalikua ubingwa nasimba ya mwaka jana ilikua kama yanga ya leo kwahiyo Acha kuwacheka.simba wakati mpira hutabiriki
Baba lov chawa uyu
mimi ni simba damu ushindi wetu ni tia maji tia maji
Acha unafiki ww ww unaikumbuka yanga mwaka ngali
Andika vzr ww
😊😊😊😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉baba levo jinga tuu
Baba levo kichwa kikubwa lkn poyoyo kabsa
Simba walikua wameshika tamaa Muda wote hawana Ari ya kushindwa wapo wapo tu timu ya mtandao ni
Na ndio maana wanaongoza league kwakuwa ni wamtandaoni
Kwakweli tu kocha anatwalibia timu hadi siku hizi sivai hata jezi naogopa kuzomewa
Huo ni ushamba wako tu team inashinda kila mechi huvai jersey utazomewa. Uzomewe kwakuongoza league au
Mkitaka muendelee kua juu kwenye uchambuzi toeni huyu chawa wa mondi
Alioweka dloo kawin
Atali nanusu
oscar una kitu utafika mbali😅😅
Baba levo hamna kitu
😂😂😂😂😂kwanza nani kawaruhusu hawa wasafi wachambue mpira😂😂😂
Mijinga hii Wala haijui chochote kuhusu mpira
Tatzo hapo oscar anauelewa mkubwa ila hao wengne loosers tu kwan hawakumbuki kocha alisema hataki mpira wa pasi nyingi
Hahaha 😂😂😂 baba levu kichaa
Washabiki wa mchongo
Chawa anataka nn
Simba watarejea2 kwenye pafomas yao
Big chawa 😂😂😂
u
shida ni benchi la ufundi ni bovu simba
Mbovu wewe benchi bovu halipati matokeo
Bench bovu lipo Chelsea
@@emilymgalah5685sawa 🤣🤣🤣🤣
Hii studio ni chombo cha habari cha shirika kampuni au ni cha club
Babarevo chizi
Oscar unatakiwa kukubal mzik wa yanga..hata kocha wa El merekh alikir yanga inacheza mpira wa ulaya.simba wameshuka kiwango
Al merikh nayo team? iliyo pigwa tatu hapo kwa mkapa?
Simba inaangalia caf 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ety baada ya kushinda anaingaliaaa caf
😂😂😂😂❤❤❤😢
Eeeee bhan
Chama hana nafasi kwqa kasi ya yanga walionayo
Baba levo wefala
namkubali baba levo
Yaan baba levo huwa nampenda jaman😊😊❤❤
Baba levo oska tunamjua Shabiki wa simba
Na shoga baba levo mnamjuaje
Baba levo hamn kituu😂😂😂