HUWEZI KUMUACHA CHAMA MBELE YA MUDATHIR YAHYA| MASHABIKI WA SIMBA WALIPIGA DUA MPIRA UISHE CHAMAZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 127

  • @yakoboyohana8811
    @yakoboyohana8811 11 месяцев назад +5

    Kwakweli bigup wasafi Tv msimlaumi Oscar kupinga kwake Kuna leta utamu wa kachumbali nzuri sana kiuchambuzi all in all Baba Levo juu sana

  • @RichardAmosnkonje-pq9oh
    @RichardAmosnkonje-pq9oh 9 месяцев назад +1

    Nimefulai sana kuona baba levo kamchekesha osca inamaana osca kakubari mziki wa baba levo

  • @FatumaRashidi-g4k
    @FatumaRashidi-g4k 9 месяцев назад +1

    nakukubali sana baba liv

  • @hanskalitus5583
    @hanskalitus5583 11 месяцев назад +6

    Daimond usimfukuze kazi baba leval

  • @RajabuYahya-yv1ob
    @RajabuYahya-yv1ob 9 месяцев назад

    Na kukubali b level ba ❤❤❤

  • @ShedulackJohn
    @ShedulackJohn 8 месяцев назад

    Hata mimi hat nife siwez kwushabikia simb baba rev namukubar san

  • @Mateomkudulu
    @Mateomkudulu 11 месяцев назад +5

    Baba levo sio mchambuz kwenye kipindi yupo km mshabiki cio mchambuz😢

    • @zarinatv2024
      @zarinatv2024 11 месяцев назад

      Ananogesha kipind me huwa namkubal

  • @suleimanrashid8238
    @suleimanrashid8238 11 месяцев назад +1

    Hapo kwenye kuchagua...
    Waafrika wa Tanzania wangemchagua Chama.
    Wazaungu wangemchagua Mudathir.
    Facts yake muliona robertinho sio chaguo lake chama....na ndio maana amefeli cha huko alipokwenda.

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway 11 месяцев назад +3

    Baba levo kiukweli mimi binafsi nakupenda ❤❤😂😂

    • @emilymgalah5685
      @emilymgalah5685 11 месяцев назад

      Unampenda kwasababu anaisema Simba vibaya ilimchania mkeka

  • @zombokoyassin-li8sd
    @zombokoyassin-li8sd 3 месяца назад

    Hiki kipindi safi sana sema baba levo kiboko

  • @CANARYMASENGULA
    @CANARYMASENGULA 9 месяцев назад

    Hapo baba levo uposahihi

  • @MussaKuhangaika
    @MussaKuhangaika 3 месяца назад

    Chama aondoke Simba Hana msada wowote

  • @jwisetv4833
    @jwisetv4833 11 месяцев назад +1

    Yaan B levo bana anachambua kishabiki sana lkn anachekesha tu

  • @bakarimbelwa2398
    @bakarimbelwa2398 11 месяцев назад +3

    Ila baba levo mtoeni kwenye hicho kipindi jamani!!!

    • @MROMMAH
      @MROMMAH 11 месяцев назад

      Aktok ba levo atoke na oscar......😂😂😂

    • @lucassusu-q1s
      @lucassusu-q1s 11 месяцев назад

      Kwa nini?

  • @thomaslunyenza3507
    @thomaslunyenza3507 11 месяцев назад +2

    Tunataka kuludisha mataji yote Tz na ubingwa tupite robo, ikiwezekana fainali na ubingwa. Simba wakubwa tunacheza kikubwa

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 9 месяцев назад

    Watangazaji wote Sina mda nao Nina mda na Baba Levo tu ananikoshaga sana❤

  • @ashaabdi4026
    @ashaabdi4026 Год назад +4

    oscar hataki simba iendelee

  • @PetroSiame-d9y
    @PetroSiame-d9y 9 месяцев назад

    Baba levo anachonga sana huyo haeleweki sio mshabiki huyo

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 11 месяцев назад +1

    Baba levo unamfanya oscar akimbie

  • @imanntunzwe6536
    @imanntunzwe6536 Год назад +6

    Ba level anajielewa sna anajitahid kuchambua wakati hajasomea hiyo status

  • @carolinemasonga163
    @carolinemasonga163 11 месяцев назад +1

    😅😅😅😅😅 mie hoi Oscar na Baba Levo kweli mnachangamsha kipindi.😅

  • @eddiemay547
    @eddiemay547 9 месяцев назад

    Nyinyi waandishi mtende haki si mseme ukweli si ushabiki tu simba ni timu kubwa africa mtake mstake

  • @IsmailMatle-xz2ho
    @IsmailMatle-xz2ho 10 месяцев назад

    Simba ya mwaka jana ni nzuri kuliko hii ya mwk huu

  • @noahkamteketegondwe8331
    @noahkamteketegondwe8331 Год назад +1

    Tatizo Simba ya mwaka huu inaonekana nzuri kwa sababu iliifunga yang. Ila ukweli Simba Ni mbovu kuliko Simba zote

    • @Damarry-FX
      @Damarry-FX 11 месяцев назад

      Simba ni bora sana.

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 11 месяцев назад +3

    😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 Ba revo bhana usinivunje mbavu zangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @innocentjames4065
    @innocentjames4065 Год назад +1

    Baba Levo achana na burudani ngoja tukusanye Mataji kwanza burudani mwisho wa msimu kaka.Huyo huyo Simba mbovu kamnyanganya ngao Yanga anayesema ni Bora eboooo fa masialaa ninii

  • @Ezra-zk9og
    @Ezra-zk9og 11 месяцев назад +3

    Baba levo ni bonge la mchambuz

  • @MwinyiBwanga-i3l
    @MwinyiBwanga-i3l 11 месяцев назад +1

    Chama anavitu vyake na mudathir anavitu vyake inategemea mahitaji ya couch chama hakabi mudathir anakaba sana na anatembea sehemu kubwa ya uwanja chama hawezi Hilo chama anautulivu sana juu ya mshambuliaji na pasa mzuri sana hiyo ndo tofaut yao kwahiyo nini mahitaji ya cocha .kutokana na timu inayocheza nayo

  • @MussaMwansasu
    @MussaMwansasu 11 месяцев назад +1

    Oscar mashabiki wa Simba wanashikiana viboko kwa nn sasa

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 11 месяцев назад +3

    Waambie kweli ba revo Simba kwa Sasa wameisha😂😂😂😂😂

    • @onesmokabia
      @onesmokabia 11 месяцев назад

      Vp ndugu angu umeamkaje baada ya game ya Ihefu na Yanga kuisha jana

    • @AbuubakarMassoud-xr6lg
      @AbuubakarMassoud-xr6lg 11 месяцев назад

      Ndo mkome nyani fc

    • @emilymgalah5685
      @emilymgalah5685 11 месяцев назад

      Wameisha ndo maana wameshinda mechi tano mfululizo

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 11 месяцев назад +1

    Baba levo ndo anachangamsha kpnd

  • @charlesnyamiti3172
    @charlesnyamiti3172 11 месяцев назад

    Huyo baba Levo hana Sifa ya kuwepo hapo mnapomuweka, anadhalilisha sector ya habari, hana weledi, aende huko wasafi festival akabwabwaje upuuzi wake!

  • @wilfreardmulda
    @wilfreardmulda 9 месяцев назад

    waliofungwa magoli matano na Yanga wakutana hatimaye product 2_2

  • @MfaumeNdalika-xp5zo
    @MfaumeNdalika-xp5zo 11 месяцев назад +1

    Osca yupo sahihi Yanga ndio Waongoza kuisema simba

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw Год назад +4

    yaaani najisika furaha kuwa sikiliza

    • @davidarabiy3924
      @davidarabiy3924 11 месяцев назад

      Naitwa david arab ki ukweri baba revo unaongea ukwer kaka

  • @Bungejackson
    @Bungejackson 11 месяцев назад

    Baba levo mchambuzi wa ushabiki

  • @PaschalPaul-t3b
    @PaschalPaul-t3b 9 месяцев назад

    Yanga ni bola kuliko simba

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 9 месяцев назад

    Wee eee chama abaki huko huko

  • @blasiokasuga4009
    @blasiokasuga4009 9 месяцев назад

    Simba hawatabiliki

  • @lifetechnology7925
    @lifetechnology7925 11 месяцев назад +1

    Ayubu ni jina la kiebrania (Israel ) Job na kwa waislam (Arabs) ni Ayyub ambae kwao ni Nabii. Hivyo Ayubu ya kiswahili imetoka kwenye Ayyub ya Kiislam

    • @hajisangu2489
      @hajisangu2489 11 месяцев назад

      Usilete habari za dini kwenye ushabiki wako. Ni nani aliyekuambia kuwa ayubu ni nabii.Kuwa makini ndg

    • @nyakatievents
      @nyakatievents 11 месяцев назад

      Unauchi wew au shoga wew unatuletea mambo ya dini hapa

    • @musaaasuu6013
      @musaaasuu6013 11 месяцев назад

      Naitwa muxa axumani kutoka kambya chui nayombea ximba uxhindi zidi yaprizoni kwamagoli tena mengi

    • @lifetechnology7925
      @lifetechnology7925 11 месяцев назад

      mada uliijua au umecoment tuu@@hajisangu2489

    • @lifetechnology7925
      @lifetechnology7925 11 месяцев назад

      hivi mnasikilizaga mada kweli au huwa mnacomment tuu🙂🙂mimi nilikuwa nawasaidia hapo studio kwani walikuwa hawajui Ayubu ni Jina la wapi hasa kwa asili....ndio nikawaelezea kuwa Ayubu ni jina la kiisrael na lipo potepote kwa wakristo na waislam na tena kwa waislam yupo nabii Ayubu na kwa wakristo kipo hadi kitabu cha Ayubu...sasa wewe sijui ni dini gani huenda hadi huyajui haya...ila nimeona nichukue muda kukupa elimu kidogo...mimi sipo kwenye hayo mambo yenu ya mpira wa Simba na Yanga..nilikuwa natoa elimu studio ili wasipotoshe watu.@@nyakatievents

  • @gordanhaule3579
    @gordanhaule3579 Год назад +2

    Kumbe ni Chanel ya yanga?

  • @AnoriasKope-f3j
    @AnoriasKope-f3j 11 месяцев назад +1

    baba.revo.hapa.kweri.mmi.mshabiki.wa.simba.sijui..musimu. kama nitapona.mana.moyo.juzi..pupu..nateseka.najuta.kupenda.kunaumiza

  • @athumanitittor2056
    @athumanitittor2056 11 месяцев назад +1

    Tumepita Kwa mbinde sana pia kipa tunampendea langi

    • @emilymgalah5685
      @emilymgalah5685 11 месяцев назад +1

      Hata Al ahally mwaka Jana walipita kwa mbinde na kombe wakabeba

  • @hopemasanja2386
    @hopemasanja2386 9 месяцев назад

    Baba Levo na mpira wap na wapi

  • @EzzyEddy-il3ce
    @EzzyEddy-il3ce 11 месяцев назад +1

    Chama anauwezo wa kugawa mipira kama tanesco mpya😂😂😂😂😂😂ba levo mbwa wewe😂😂😂

  • @mpindafamily1496
    @mpindafamily1496 Год назад +1

    wachsmbuzi acheni uchonganishi kati ya mashabiki na wachezaji acheni izo

  • @michaelsumlekimengoru
    @michaelsumlekimengoru Год назад +2

    Oscar kumbe mchabiki wa Simba hapendi ukweli

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Год назад

      Shida sio kuwa mshabiki wa Simba Oscar ni mchambuzi anaye ujuwa mprira!nyie wengine ni mashabiki maandazi!sasa ww kwa akili yako unamsikiliza Baba levo na unaamini maneno yake anayo ropoka hata point hana na hana anachojuwa kuhusu mpira

    • @ramadhanomary-mh1bl
      @ramadhanomary-mh1bl 11 месяцев назад

      Oscar upo sahihi mashabiki wa ynga ndio wanaosema hvyo sio Simba na wale ambao wanajiita mashabiki wa Simba wasiojua nn maana y mpira yaan mamluki tuu wanavaa jezi za Simba kuwasidia ynga..

  • @ShabanMsanifu-ov2kg
    @ShabanMsanifu-ov2kg 11 месяцев назад +1

    Ww acha unafiki unaikumbuka yanga mwaka gani

  • @samsonelijah3897
    @samsonelijah3897 11 месяцев назад +3

    Osca yuko sahihi kabisa

  • @mhubirimtawa2383
    @mhubirimtawa2383 Год назад +1

    Ila mmenivunja mbavu jaman duh.

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 11 месяцев назад

    Kwa mm siwez kumuacha mudathir mudathir nikachukua chama. Mudathir anacheza michezo ya Aina zote uwanjan iwe kukaba iwe kushambulia, iwe ubabe iwe ustaarabu. Chama timu ikizidiwa kidogo tu huwa haonekan na kama ni mechi ya kibabe yy hawez

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 11 месяцев назад +1

    Oscar sasa unaanza kutoka kwenye uchambuzi unakua mshabiki.

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga6234 Год назад +1

    mpira wa pass haukuwapa simba mafanikio wamebadilika makusudi kutafuta kocha wa ushindi timu zote zinazocheza huo mchezo hakuna yenye mafanikio hasa africa wanaocheza mchezo wa nguvu

  • @dreamleague-uq2gx
    @dreamleague-uq2gx 11 месяцев назад +2

    Chama na muda ni vitu viwili tafauti kila mtu na majukumu yake

  • @mukrimpanga-gp7xo
    @mukrimpanga-gp7xo 10 месяцев назад

    Chama ynga hana nmba

  • @mggsatongima778
    @mggsatongima778 Год назад +2

    😂😂😂caf, inaangaliwa baada ya dk90🤔

    • @nichomwanga1946
      @nichomwanga1946 11 месяцев назад

      Hata biashara ya jezi imeshuka kulingana na matokeo ya simba uwanjani jezi zimekuwa nzito kuuzika

  • @eddiemay547
    @eddiemay547 9 месяцев назад

    We mjinga ww jitu kubwa halina akili eti simba munaamini si timu kubwa huna la kusema wandishi wa michongo

  • @ShabanMsanifu-ov2kg
    @ShabanMsanifu-ov2kg 11 месяцев назад +1

    Ww Oscar unasurambili hueleweki

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 11 месяцев назад

    Kwanini mnaongelea VITU VISIVYOWEZEKANA???

  • @zaitunimalessa-mx6hy
    @zaitunimalessa-mx6hy 11 месяцев назад +1

    Baba levo wewe shabiki wa yanga ndo maana unaiponda simba nikwambie kitu mwaka jana.yanga ilikua.ikicheza kama simba ya mwaka huu.nawalikua ubingwa nasimba ya mwaka jana ilikua kama yanga ya leo kwahiyo Acha kuwacheka.simba wakati mpira hutabiriki

  • @HabibaHussein-qs8oo
    @HabibaHussein-qs8oo 10 месяцев назад

    Baba lov chawa uyu

  • @burtonbrown5548
    @burtonbrown5548 9 месяцев назад

    mimi ni simba damu ushindi wetu ni tia maji tia maji

  • @ShabanMsanifu-ov2kg
    @ShabanMsanifu-ov2kg 11 месяцев назад +1

    Acha unafiki ww ww unaikumbuka yanga mwaka ngali

  • @dickngimba4333
    @dickngimba4333 11 месяцев назад

    😊😊😊😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉baba levo jinga tuu

  • @castrocastro9615
    @castrocastro9615 11 месяцев назад

    Baba levo kichwa kikubwa lkn poyoyo kabsa

  • @augustinemainde2730
    @augustinemainde2730 11 месяцев назад +1

    Simba walikua wameshika tamaa Muda wote hawana Ari ya kushindwa wapo wapo tu timu ya mtandao ni

    • @emilymgalah5685
      @emilymgalah5685 11 месяцев назад

      Na ndio maana wanaongoza league kwakuwa ni wamtandaoni

  • @nichomwanga1946
    @nichomwanga1946 11 месяцев назад +1

    Kwakweli tu kocha anatwalibia timu hadi siku hizi sivai hata jezi naogopa kuzomewa

    • @emilymgalah5685
      @emilymgalah5685 11 месяцев назад

      Huo ni ushamba wako tu team inashinda kila mechi huvai jersey utazomewa. Uzomewe kwakuongoza league au

  • @saidally316
    @saidally316 11 месяцев назад +1

    Mkitaka muendelee kua juu kwenye uchambuzi toeni huyu chawa wa mondi

  • @godfreykovaga3454
    @godfreykovaga3454 11 месяцев назад +1

    Alioweka dloo kawin

  • @athumanitittor2056
    @athumanitittor2056 11 месяцев назад +1

    Atali nanusu

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani3295 11 месяцев назад

    oscar una kitu utafika mbali😅😅

  • @mikidadymohammedy7603
    @mikidadymohammedy7603 11 месяцев назад

    Baba levo hamna kitu

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂kwanza nani kawaruhusu hawa wasafi wachambue mpira😂😂😂

    • @emilymgalah5685
      @emilymgalah5685 11 месяцев назад

      Mijinga hii Wala haijui chochote kuhusu mpira

  • @AbuubakarMassoud-xr6lg
    @AbuubakarMassoud-xr6lg 11 месяцев назад

    Tatzo hapo oscar anauelewa mkubwa ila hao wengne loosers tu kwan hawakumbuki kocha alisema hataki mpira wa pasi nyingi

  • @msurimtenukila6745
    @msurimtenukila6745 11 месяцев назад +1

    Hahaha 😂😂😂 baba levu kichaa

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Год назад +1

    Washabiki wa mchongo

  • @hopemasanja2386
    @hopemasanja2386 9 месяцев назад

    Chawa anataka nn

  • @ochiengVicton
    @ochiengVicton 11 месяцев назад

    Simba watarejea2 kwenye pafomas yao

  • @kulwangomale3630
    @kulwangomale3630 11 месяцев назад +1

    Big chawa 😂😂😂

  • @AHMADICHAMBUA-bk3iy
    @AHMADICHAMBUA-bk3iy 9 месяцев назад

    u

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 11 месяцев назад +1

    shida ni benchi la ufundi ni bovu simba

  • @damianichayo895
    @damianichayo895 11 месяцев назад

    Hii studio ni chombo cha habari cha shirika kampuni au ni cha club

  • @stevenwimbe3113
    @stevenwimbe3113 11 месяцев назад

    Babarevo chizi

  • @LewisSolomon-vz8je
    @LewisSolomon-vz8je 11 месяцев назад +1

    Oscar unatakiwa kukubal mzik wa yanga..hata kocha wa El merekh alikir yanga inacheza mpira wa ulaya.simba wameshuka kiwango

  • @maxezeaguttu7821
    @maxezeaguttu7821 11 месяцев назад +2

    Simba inaangalia caf 😂😂😂😂😂

  • @WilliamEzekiel-hv9li
    @WilliamEzekiel-hv9li Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ety baada ya kushinda anaingaliaaa caf

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 2 месяца назад

    😂😂😂😂❤❤❤😢

  • @maxiellmillian
    @maxiellmillian Год назад +1

    Eeeee bhan

  • @burtonbrown5548
    @burtonbrown5548 9 месяцев назад

    Chama hana nafasi kwqa kasi ya yanga walionayo

  • @AdolfKambona
    @AdolfKambona 10 месяцев назад

    Baba levo wefala

  • @LeahDamas-n1t
    @LeahDamas-n1t 9 месяцев назад +1

    namkubali baba levo

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 11 месяцев назад +3

    Yaan baba levo huwa nampenda jaman😊😊❤❤

  • @MussafidQMussafidQ
    @MussafidQMussafidQ 11 месяцев назад +2

    Baba levo oska tunamjua Shabiki wa simba

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani3295 11 месяцев назад

    Baba levo hamn kituu😂😂😂