YESU KWETU NI RAFIKI | Tenzi | Instrumental music (made by JC Sambaa)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- " You are my friends if you do what I command you. " John 15:14
For Any Consultations and Proposals
email - jcsambaabeatmaker@gmail.com
Subscribe - Like - Comment - Share
#What_a_Friend_We_Have_in_Jesus
#Tenzi #Hymn_Instrumental
Yesu kwetu ni rafiki,
Hwamiwa haja pia;
Tukiomba kwa Babaye
Maombi asikia;
Lakini twajikosesha,
Twajitweka vibaya;
Kwamba tulimwomba Mungu
Dua angesikia.
Una dhiki na maonjo?
Una mashaka pia.
Haifai kufa moyo,
Dua atasikia
Hakuna mwingine mwema
Wa kutuhurumia;
Atujua tu dhaifu;
Maombi asikia.
Je, hunayo hata nguvu,
Huwezi kuendelea,
Ujapodharauliwa
Ujaporushwa pia,
Watu wange kudharau,
Wapendao dunia,
Hukwambata mikononi,
Dua atasikia.
Janet janet
Habar mtumishi,,,kazi yako ni nzuri sana lakini mbona mwanzoni mwa beats kuna maneno mengi ,,,,,,, unaonaje ukiachia beat Kama ilivyo bila maneno,,,Barikiwa
Shukran.
@@JCSambaaGospelBeats ubarikiwe kaka
Asante, karibu.
@@JCSambaaGospelBeats nashukur san