YESU KWETU NI RAFIKI | Tenzi | Instrumental music (made by JC Sambaa)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • " You are my friends if you do what I command you. " John 15:14
    For Any Consultations and Proposals
    email - jcsambaabeatmaker@gmail.com
    Subscribe - Like - Comment - Share
    #What_a_Friend_We_Have_in_Jesus
    #Tenzi #Hymn_Instrumental

Комментарии • 7

  • @NewtonMudaki
    @NewtonMudaki 2 года назад +4

    Yesu kwetu ni rafiki,
    Hwamiwa haja pia;
    Tukiomba kwa Babaye
    Maombi asikia;
    Lakini twajikosesha,
    Twajitweka vibaya;
    Kwamba tulimwomba Mungu
    Dua angesikia.
    Una dhiki na maonjo?
    Una mashaka pia.
    Haifai kufa moyo,
    Dua atasikia
    Hakuna mwingine mwema
    Wa kutuhurumia;
    Atujua tu dhaifu;
    Maombi asikia.
    Je, hunayo hata nguvu,
    Huwezi kuendelea,
    Ujapodharauliwa
    Ujaporushwa pia,
    Watu wange kudharau,
    Wapendao dunia,
    Hukwambata mikononi,
    Dua atasikia.

  • @OMARDUMEGIDEONI
    @OMARDUMEGIDEONI 7 месяцев назад

    Janet janet

  • @janethkavishee6951
    @janethkavishee6951 4 года назад +2

    Habar mtumishi,,,kazi yako ni nzuri sana lakini mbona mwanzoni mwa beats kuna maneno mengi ,,,,,,, unaonaje ukiachia beat Kama ilivyo bila maneno,,,Barikiwa