JINSI YA KUPIKA MIKATE LAINI KWA NJIA RAHISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Jinsi ya kupika mikate nyumbani (bread rolls)
    Mahitaji
    -Unga 800g
    -Sukari vijiko vikubwa 4
    -Chumvi robotatu ya kijiko kikubwa
    -Mayai 2.5
    -Maziwa ya unga vijiko vikubwa 3
    -Maji vuguvugu 250 ml
    -Siagi kijiko kikubwa 1 kilichojaa hadi kilima
    -Hamira ya chenga kijiko kikubwa 1.5 (kimoja na nusu) au fresh yeast kidonge kimoja kama iliyoweka kwenye video.
    -Nusu yai la kupaka juu ya mikate
    Kama unga wako unahitaji maji mengi basi unaweza kuongeza maji vuguvugu kidogo.
    Oka kwenye moto wa 165c kwa dakika 20
    Moto uwe juu na chini

Комментарии • 98

  • @judithfimbo3743
    @judithfimbo3743 6 месяцев назад +10

    Nakushukuru kwa video yako hii. Nimefuata recipe yako na nimechoma mikate imetoka vizuri mno. Tena mimi nimetumia airfryer sina oven.

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад +2

      Whaaao, asante sana kwa mrejesho. Sikujua kama unaweza choma mikate kwenye airfryer. Ntajaribu pia🙏

    • @LucyJohn-g8h
      @LucyJohn-g8h 6 месяцев назад

      Unga kiasi gani

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@LucyJohn-g8h vipimo na mahitaji yote vimo kwenye sehemu ya maelezo. Soma hapo utaona. Shukrani 🙏

    • @shemusanduwayo5768
      @shemusanduwayo5768 5 месяцев назад

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 6 месяцев назад +2

    Mashaallah Allah akubarik habibtiy mikate mazuri ya sifa

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      Allahuma amiin habibty. Asante sana♥️

  • @HadijaHadifaa
    @HadijaHadifaa 3 месяца назад

    Nzuriii mashaaallaah ✨😍😍 dadaaa❤

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  3 месяца назад

      @@HadijaHadifaa Asante sana

  • @zabibumussa-nb7is
    @zabibumussa-nb7is 5 месяцев назад

    Masha Allah nimizuri sana asante

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  5 месяцев назад

      @@zabibumussa-nb7is karibu sana❤️

  • @mapishinarose2415
    @mapishinarose2415 6 месяцев назад +1

    Una recipe nzuri na rahisi

  • @meowzna
    @meowzna 6 месяцев назад

    Mashaallah Yummy😋🎉🎉

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@meowzna asante mpenzi🙏

  • @Mummyummymillions
    @Mummyummymillions 6 месяцев назад

    Masha'Allah 😋😋😋😋 nice

  • @azizaal-amri3577
    @azizaal-amri3577 4 месяца назад

    Mashallah ♥️

  • @AishaHamis-r7x
    @AishaHamis-r7x 6 месяцев назад

    Maa shaa Allah pambee ❤❤

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      Asante mpendwa🙏

  • @Zainab-id2si
    @Zainab-id2si 3 месяца назад

    Mashallah mikate mizur jmn

  • @kawilimlimuka8005
    @kawilimlimuka8005 28 дней назад

    Asante dearest

  • @ngyukuabwe4221
    @ngyukuabwe4221 5 месяцев назад

    Nashukulu sana kwakuuliza kupiga mkate amin

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  5 месяцев назад

      Shukrani sana 🙏

  • @maryamzworld3
    @maryamzworld3 6 месяцев назад

    Tamu sana na laini. 😄🍞

  • @AnosiataChaula
    @AnosiataChaula 3 месяца назад

    Mizuri sana,shida yangu mm napika lakini mikate Ile ya pembeni haiivi vizur

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  3 месяца назад

      @@AnosiataChaula Inaelekea moto upo kati tu pembeni hakuna. Kama ni oven basi itakuwa haina moto huko kusikoiva. Kama mkaa ukipalilia hakikisha makaa ya moto wamesambaa kwa usawa kwenye mfuniko wote unaofunukia. Na chini pia hivyohivyo

  • @estreliabarasa5412
    @estreliabarasa5412 6 месяцев назад

    Excellent

  • @AmirGhafoor-bk2le
    @AmirGhafoor-bk2le 6 месяцев назад

    Wallahykm sallam mashallah sister

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@AmirGhafoor-bk2le 🙏🙏🙏

  • @claudiamathiw865
    @claudiamathiw865 6 месяцев назад

    Mungu akubariki Sana

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@claudiamathiw865 Amiin 🤲. Asante sana

  • @MaryamRashid-zd6gl
    @MaryamRashid-zd6gl 6 месяцев назад

    MashAllah ❤

  • @Kid_Africa
    @Kid_Africa 6 месяцев назад

    Ahsante sana mamy

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@Kid_Africa shukrani sana 🙏

  • @SalamaRajabu-c6h
    @SalamaRajabu-c6h 6 месяцев назад

    Mashaallah

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@SalamaRajabu-c6h 🙏🙏♥️

  • @KendrickJohn-f6d
    @KendrickJohn-f6d 5 месяцев назад

    Hongera nampenda kujifunza kwako mimi

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  5 месяцев назад

      @@KendrickJohn-f6d Asante sana ndugu yangu🙏

  • @dominamabebe6691
    @dominamabebe6691 6 месяцев назад

    Nitajaribu

  • @hawahamisihamisi6038
    @hawahamisihamisi6038 6 месяцев назад

    MAASHALLAH

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@hawahamisihamisi6038 ♥️♥️🙏

  • @uwinezamaggycrara4381
    @uwinezamaggycrara4381 6 месяцев назад

    Waoooo nac

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@uwinezamaggycrara4381 Thank you🙏

  • @AshuraJuma-z7v
    @AshuraJuma-z7v 2 месяца назад

    Ok my

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @sadiahafalu5264
    @sadiahafalu5264 6 месяцев назад

    New sub

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@sadiahafalu5264 Shukrani na karibu sana ♥️

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 6 месяцев назад

    MaashaAllah. Mikate mizuri. Kiswahili chako km mzanzibari

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@jarsjam8894 Asante sana. Miye kwetu Tanganyika. Nimezaliwa na kukulia pwani ya bara.

  • @sadiahafalu5264
    @sadiahafalu5264 6 месяцев назад

    Masha Allah recipe zko zote

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@sadiahafalu5264 asante sana🙏

    • @Paulin-u3r
      @Paulin-u3r Месяц назад

      Hi​@@Mapishi_TV

  • @AnusiataNgonyani
    @AnusiataNgonyani 5 месяцев назад

    Nitajaribu jamana

  • @razalintamusimwa1191
    @razalintamusimwa1191 6 месяцев назад

    Mikate mitamu mama hongera kwa kutupa mafuzo ya kupika mkate

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@razalintamusimwa1191 Asante sana na karibu sana🙏

  • @khadegaseed1413
    @khadegaseed1413 3 месяца назад +1

    Sorry hebu tuwone iyo hamira y kidoge pllz

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  3 месяца назад +1

      Uko mji gani wewe? Naweza kukufahamisha maana kuiona hadi nirekodi video

    • @khadegaseed1413
      @khadegaseed1413 3 месяца назад

      @Mapishi_TV tz

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  Месяц назад

      Hii miye nanunua maduka ya mtaani huku Ujerumani. Ntairekodi niiweke

    • @BaharElshouq
      @BaharElshouq Месяц назад

      Naomba nione iohamira yakodoge​@@Mapishi_TV

  • @Ilaria2002
    @Ilaria2002 7 дней назад

    Assalam alaykum sina maziwa ya unga naweza kutumia maziwa ya maji?

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  7 дней назад

      @@Ilaria2002 waalaykum salaam. Ndio unaweza yanafaa

  • @Paulin-u3r
    @Paulin-u3r Месяц назад

    Hi

  • @MariaMagele
    @MariaMagele 6 месяцев назад +1

    Mimi huwa sifati vipimo sjui kwakua sifanyi ya biashara

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      Hayo ndo mapishi yetu. Tunakisia tu na chakula kinatoka vizuri. Siku hizi ndo watu wanataka sana vipimo vya kila kitu. Mapishi ya vipimo sana sana ni mambo ya nchi za magharibi.

  • @WittyGody-e1z
    @WittyGody-e1z 5 месяцев назад

    Samahn naomba kujua Kam nabek kwenye oven moto inakuwa juu na chin au ??

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  5 месяцев назад

      @@WittyGody-e1z Moto ni juu na chini kwa pamoja

  • @BlandinaPius
    @BlandinaPius 6 месяцев назад

    Asente kwavideo yako

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@BlandinaPius Shukrani sana

  • @SmilingMonarchButterfly-kh4ve
    @SmilingMonarchButterfly-kh4ve 6 месяцев назад

    Je ni lazima kuweka hiyo karatasi chini wakati wa kuoka mkate?
    Halafu sijui inaitwaje hiyo karatasi..

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад +1

      Inaitwa baking paper. Si lazima. Unaweza kupaka mafuta chombo chako kisha ukaweza mikate yako. Inatosha

  • @Kulw-h1u
    @Kulw-h1u 6 месяцев назад

    Unga kiasi gani

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      Vipimo vyote vimetajwa kwenye video na pia vimeandikwa sehemu ya maelezo. Tazama vizuri utaviona. 🙏

  • @taqiyyamwijage3324
    @taqiyyamwijage3324 5 месяцев назад

    Kama Sina oven?

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  5 месяцев назад

      Unaweza kuoka na mkaa. Chini unaweka mkaa kidogo juu unapalia.

  • @asilabdisalan6396
    @asilabdisalan6396 6 месяцев назад

    Kama huna maziwa ya unga waeza pika na maziwa ya pakiti

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      Kabisa. Unaweza tumia ya pakiti.

  • @mapishinarose2415
    @mapishinarose2415 6 месяцев назад

    Unga gram 800 ni sawa na vikombe vingapi

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад +1

      Vikombe mpendwa huwa vinanisumbua sivijui vizuri maana wengine wanasema kikombe 1 ni 250g wengine 200 wengine 180. Ndo maana natumia kg. Gram 800 ni unga nusu na robo na nyongeza kiduchu.

    • @mapishinarose2415
      @mapishinarose2415 6 месяцев назад +1

      @@Mapishi_TV okey ntajaribu mpishi mwenzangu 😍

    • @judithfimbo3743
      @judithfimbo3743 6 месяцев назад

      Inaweza kua vikombe vitatu.

    • @judithfimbo3743
      @judithfimbo3743 6 месяцев назад +1

      Mwanzo nilijua maji ya moto yanaua hamira kumbe sio kweli. Nitajaribu hii recipe. 👍

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад +1

      @@judithfimbo3743 Fanya maji vuguvugu. Yanasaidia kufanya hamira iumuke haraka. Yasiwe moto sana

  • @AnnaHanna-f2n
    @AnnaHanna-f2n 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @FanniFani-h4m
    @FanniFani-h4m 4 месяца назад

    ❤❤

  • @SmilingMonarchButterfly-kh4ve
    @SmilingMonarchButterfly-kh4ve 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @beatriceoduor445
    @beatriceoduor445 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV  6 месяцев назад

      @@beatriceoduor445 🙏🙏