Kuna mashetani za levels,they prevent people from going to another level, ametoka kwa Jamii maskini so hizo nguvu hazitamwacha tu hivyo,huyu mama anahitaji maombi yakuvunja madhabau
Mama, mbona usiuze plot moja ujenge kwa hiyo ingine, acha kufikiria mambo ya kwenda job country ingine. Alternatively, uza uweke business. Once bitten twice shy.
This woman needs an advisor, mwangi advice her na umsaidie kama inawezikana auze moja ajenge nayo ingine alafu afungue biashara ...ako lucky hakuoshwa mambo na shamba
True.. The best thing to do ni ungangane ubuy kaplot ujenge ukirudi unarudi kwako hata ukilala njaa hakuna mtu atajua au atakusumbua na rent. Am 35 also in gulf na sirudi kurent mimi
This lady can just do a small business, and start building slowly. You already have what many people are looking for. Someone advice her before the plots are gone.
Aki Mwangi avoid kuliza maswali mtu ameshakwambia, sometimes hukuwangi keen 😂nways am you number one fun.. Huyu akienda canada kitamramba,i wish she can come back Saudi juu ako na bahati mzuri sana ya kukutana na good families
55yrs na Bado unataka kuenda Canada 😮😮Btr uuze iyo shamba na iyo Doo ujenge Kwa shamba itabaki na ufungue biashara lakini Canada utapigwa mwosho kisawasawa
Wewe mama wacha kichwa ngumu kuzurura😂😂😂😂 Tena Canada 😂😂😂 Na hauja faulu😂😂😂. I have two friends that paid 500 000 and they never went, waliibiwa completely,kuoshwa kuoshwa
Kama ni AMG hiyo ni legit ,team strong 💪 hatuwezi regret kuja hii gulf aki ,mum hii mambo ya Canada ni scam hao ndio wezi wataiba pesa zako na mshide kesi kortini mpaka uchoke ,invest na hiyo pesa ,unajenga mos mos pale longonot mpaka umalize
Someone should advice this woman, she has made alot of mistakes, and is about ti make another... Mwangi saidia huyu mathe, hata hiyo shamba itauzwa bila yeye kujua ahangaike zaidi
For real uyu mama anafaaa kwanza kwenda check up she's not okay ..500k si aweke job awachane na story ya travel tena...mimi nijikute nikipatiana 500k eti ni kutravel na travel siwezi ata nadawa
SOMEONE HAS TO HELP THIS WOMAN.... HIYO ELFU 500 NI PESA MINGI NA VILE NAMUONA AKILI YAKE SIO MZURI.... NI MAMA MJINGA.... AUZE SHAMBA KIDOGO AWEKE MATAKO CHINI SASA AWEKE KAZI.... ATAHANGAIKA HIVI NA APOTEZE KILA KITU ABAKI HAPO AANZE KULIALIA AKIOMBA USAIDIZI..... AWACHE UCHINGA... AKIENDELEA HIVI ATAPOTEZA HATA CHENYE KIMEBAKI....
Ambia uyo madam aache kufikiria juu ya kuenda canada pesa yake itaenda yote bora auze ya malaa ajenge nyumba Naivaisha.Ataibiwa achunge sana akijue kulia tena.
+254759070291 you can reach her and get more info ..
Mwangi mwambie auze moja ajenge hio ingine ni mama Ako na bidii sana😢😢😢
Mwangi ambia huyu Mama awachane na Story za Canada, better auze moja ajenge na pesa ingine afanye biashara,atulie Kenya
Mwangi kindly advise our mother to go take loan Kwa bank na hiyo tittle d then ajenge kanyumba na pesa kidogo afungue biashara ijilipe. My thoughts
Nilikaa depotition 2months wee story za saudi wacha tu..nitaadika kitabu now im recovering my lose in iraq.so far so good mungu ni mwaminifu
😂😂😂Bila pesa Mzee akakuruka woooi Mungu wangu
May God order your steps mamaa,may He light all your ways 🙏. Pray, pray and pray for divine direction🥰
Mwangi ulisikiaje 😂 iyo mawazo ya Canada uyo mama awachane nayo auze ajenge balance afungue bizna alee watoi wake
Wooiye mungu asaidia huyu mama asiuze izo plot😢😢
She needs advice, twice na bado anataka aende tena , wisdom is power, may God give her wisdom.
Huyu mama akue careful coz ataconiwa Kwanza hiyo title anapea watu itafanywa Ile kitu Kenya yetu ni ya wezi
Mzee alichezwa akawachiwa mtoto 😂😂😂
Woiiiiii hizo story za Canada wacha kabisa kitakuramba,,
Plz Mr mwangi we trust u just advice mummy afanya business na ajenge👏👏👏
Auze the expensive one ajenge hiyo ingine then start a small business.. I wish it's mine
Kuna mashetani za levels,they prevent people from going to another level, ametoka kwa Jamii maskini so hizo nguvu hazitamwacha tu hivyo,huyu mama anahitaji maombi yakuvunja madhabau
Mama, mbona usiuze plot moja ujenge kwa hiyo ingine, acha kufikiria mambo ya kwenda job country ingine. Alternatively, uza uweke business. Once bitten twice shy.
Please advice her asiuzee saii haki please please ayuko sawa uyu mama ako na a lot in her mind 😢😢😢😢😢
This woman needs an advisor, mwangi advice her na umsaidie kama inawezikana auze moja ajenge nayo ingine alafu afungue biashara ...ako lucky hakuoshwa mambo na shamba
Mwangi help this mom pliz
Mum is hard working, kuwa na plot hiyo ni investment kubwa maybe auze one plot ajenge and aanze biashara, mwangi mtafutie mtu ampe advice
If i was this woman,ningeenda gulf tena nijenge one of the plots
The reason I fear to kemboi juu ya my age ata ukirudi Kenya huwezi pata job na miaka over 45
True.. The best thing to do ni ungangane ubuy kaplot ujenge ukirudi unarudi kwako hata ukilala njaa hakuna mtu atajua au atakusumbua na rent. Am 35 also in gulf na sirudi kurent mimi
@@gracewambui5564 insallah jitahidi unaweza Bora ikae kwa contract usitoke inje
Si afanyiwe kamchango aky huyo mama ajengewe ..Ni mama anajipigania sana
Hakuna wewe ..auze moja ajenge ingine ..adaidiwe tu kupata mtu wakuinunua
This lady can just do a small business, and start building slowly. You already have what many people are looking for. Someone advice her before the plots are gone.
Rudi Saudi mama ujenge ata kama ni ya mabatikuliko kuuza
Ile kitu naeza kwambia be very keen and careful hio plot isiede because unaeza mtu aku confuse
Aki Mwangi avoid kuliza maswali mtu ameshakwambia, sometimes hukuwangi keen 😂nways am you number one fun..
Huyu akienda canada kitamramba,i wish she can come back Saudi juu ako na bahati mzuri sana ya kukutana na good families
At 55 yrs
@@rachealwanjiru2326 ghai ako that age,wee hapo Ni ngori wacha tu auze moja ajenge ingine
Four years ulikuwa umejaribu mama two plots Mungu akutumie wa kununua hio plot moja ujipange na hizo pesa
Huyu mama mjinga, si badala auze moja na ajenge moja na aishi na anze biashara,,
Imagine aty anataka kubuy job Canada 500000😮Ako confused element
Huyu mama anahuruja pesa zake anyhow 😢sasa canada alidaganywa na nani ni 500k ataibiwa ajiue cha ukweli
Is mwangi laughing with her or at her, am sorry am also😅😅😅
Be careful kuna mama mwingine alioshwa 600k ati ataenda London
Hio plot watu wawili wanaweza shikania wajenge rentals that's the only easiest way juu plot zimekuwa ngali sana
Chukua loans kwa bank na hio title
Mwambie arudi Saudi ajenge
Mzee wako alikulaani juu ya kichwa yako ngumu
I think according to this Mum deportation ni kuzuri kuliko cell Saudi juu wengi wako cell na huwa hawaregeshwi nyumbani
Si wauze hio plot wakurudishie pesa zako zile uliwapea haki once umepea watu pesa kurudisha ni shida
Canada kuna baridi sana kuliko saidi
55yrs na Bado unataka kuenda Canada 😮😮Btr uuze iyo shamba na iyo Doo ujenge Kwa shamba itabaki na ufungue biashara lakini Canada utapigwa mwosho kisawasawa
Kama ali buy na AMG campany bila shaka hio campany ni legit💯💯
Wewe mama wacha kichwa ngumu kuzurura😂😂😂😂 Tena Canada 😂😂😂 Na hauja faulu😂😂😂. I have two friends that paid 500 000 and they never went, waliibiwa completely,kuoshwa kuoshwa
Kama ni AMG hiyo ni legit ,team strong 💪 hatuwezi regret kuja hii gulf aki ,mum hii mambo ya Canada ni scam hao ndio wezi wataiba pesa zako na mshide kesi kortini mpaka uchoke ,invest na hiyo pesa ,unajenga mos mos pale longonot mpaka umalize
Ama arudi Saudi
Wakenya vichwa ngumu, unatoroka Na hauja kosewa?
This mom is wise
Nawadays kila mtu amekuwa agent kupata agency ama agent legit ni nomaaa...
Walai uyu atapigwa mwosho mumoja kisawasawa
Canada utalilia Choo wewe wengi wamedaganywa na agents be warned Mama 😢
Maraa kuna bisness poa ya ukulima wa nyanya si uende ulime
Wewe dada uza plot moja ujenge hiyo nyingine mambo ya Canada wachana nayo waizi ni wengi.
Canada ataoshwa aky
Pia mimi i don't save my money in bank..I buy properties..
Tuko wengi aki
Someone should advice this woman, she has made alot of mistakes, and is about ti make another... Mwangi saidia huyu mathe, hata hiyo shamba itauzwa bila yeye kujua ahangaike zaidi
Why can't she sell one plot and keep one.
AMG is a legit company
Huyu mum ako na depression, she needs help
Tamaa ya kukemboi
Uzuri ako na passport yake
Na kemboi wako na Doo one year two plots na niza AMG realters Satan is a liar he stole your dreams may God help you Mama
This lady needs Counselling first then see the way forward with her decision making if she wants to travel back or not or sell the lands or not.
Sad story after all that struggle na kupea Mzee shopping anakuruka bila kufikilia Mungu akupe nguvu ya kushinda tena
Mama Rudi Saudi ni 2 years utajenga usiuze plot
@55 ni hard
For real uyu mama anafaaa kwanza kwenda check up she's not okay ..500k si aweke job awachane na story ya travel tena...mimi nijikute nikipatiana 500k eti ni kutravel na travel siwezi ata nadawa
Haki huyu hayuko sawa kichwa.. Si hata hio 800k ajenge nyumba ya room moja na afuge kuku na mbuzi na kabiashara kidogo
@@gracewambui5564 lemme tell you mimi ata hii pesa ya commision nasikianga watu wanatowanga 150k nasikianga kupatiana natokwa na wazimu😂😂
Is this the person she is claiming to be????
SOMEONE HAS TO HELP THIS WOMAN.... HIYO ELFU 500 NI PESA MINGI NA VILE NAMUONA AKILI YAKE SIO MZURI.... NI MAMA MJINGA.... AUZE SHAMBA KIDOGO AWEKE MATAKO CHINI SASA AWEKE KAZI.... ATAHANGAIKA HIVI NA APOTEZE KILA KITU ABAKI HAPO AANZE KULIALIA AKIOMBA USAIDIZI..... AWACHE UCHINGA... AKIENDELEA HIVI ATAPOTEZA HATA CHENYE KIMEBAKI....
Mtu anaeza pata tittle deed kama hayuko kenyan na haja sign any documents? Just asking
Uwezi
Title deed ni wewe ndio sign.
Yes it's possible title yangu nilituma my son and my mum walipewa coz walikua na ID yangu
@marykamau4447 thanks sana
Kris unasema ati hujui AMG? Please ask Metha ya Kagoni.
Every body knows AMG
Ata mi sijui
Amg ni genuine
Mwangi ambia huyu Mama awachane na Story za Canada, better auze moja ajenge na pesa ingine afanye biashara,atulie Kenya
Ambia uyo madam aache kufikiria juu ya kuenda canada pesa yake itaenda yote bora auze ya malaa ajenge nyumba Naivaisha.Ataibiwa achunge sana akijue kulia tena.
Lizz kamunge ana mngonjea ataoshwa vilivyo.
I agree hata better arudi saudi tu