Yan mpoki tatizo tunalipata Oman miaka miwil utok ndan ndo unakuta mtu unatembea na bos Yan usipokua na subira unajikuta ushafanya ivyo dah kaka angu mpok bkb moja iyooo
Binafisi hata sijaona kama mnatetea wadada wa kazi ila mnasifia kwa sababu vijana wanaotoka nao wanapenda mteremko, lakini ni rahisi kuwadanganya kwa sababu most of them bado ni watoto na bado ni naive. Mnawatumia, mnawapa mimba na kuzikataa na wasiojielewa kabisa hata vihela wanavyolipwa wanawapa wanaume. Nimewahi kuwa na msichana kazi yake ilikuwa ni kutuma hela kwa mwanaume kisa kamwambia ntakuoa.
Kiukweli kuna wanawake wana wazuia wafanyakazi kila kitu hadi akisikia kuna mtu ataka kumchumbia atamtafuta huyo mchumba ili mwambie uongo kumharibia ndoa yake ndio asi mwachi nyumba yake
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kupunguza matiti, n.k Karibu ofisini,SMS/whatsap 0693_330284
Nyinyi muko n'a laana kweli yaani munaekewa chakula kwenye sahani munaôna si hivyo Bora mumwagiwe chini mbwa wakubwa. Kwanini muna wachukua kufanya kazî ndani kwenu hamuwaowi kabisa mukapumzika
Mpoki alichofanya ni kuelimisha watu lkn sidhani km anafanya kweli hivyo vitu kwenye majumba ya watu japo watu wanatabia hizo yeye alichofanya ni kifisha ujumbe😁😁😁
Sasa Ninyi mnaelimisha jamii au mnapotosha?! Mbona elimu mnayo?! Imewashindanini, kujijua kua Ninyi nikioo Cha jamii?! Jitafakarini, jueni mnayofanya mnaangaliwa nawengi. Sasa Kama hampimi maneno yakuongea hamjengi jamii mnabomoa maadili ktk jamii. Jitambueni, msifanyesifa kwenye tv.
Wapo sahihi wanaelimisha jamiii Kisheria mdada wa kazi km ana umri wa miaka 18 mwajiri unawajibika kumpa mahitaji yake yote ya binadamu ikiwemo faragha yaani umpe shm ya kuishi na mtu mpenzi wake
😁😄😃🤣🤣🤣🤣 The King of comedy in Tanzania
Unanidai mpoki🥰🌹🌹🌹👌
Mpoki umeongea point yaan wengine wanawafungia wafanyakaz kama vibubu vyapesa bwana😂😂
Hahaaaaaaa
Hahahahahahaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Mpoki balaa kweli. From 🇰🇪 sijapata mfano wako wallah 🥱
mupoke wallah mungu anakuwona unanicekesha😂😂😂😂😂😂
Mpoki kumbe wewe unachekesha hee story zako nzuri
Dada yangu huyu Mpoki ndio mtu noma kuliko Joti na Masanja 😅😅😅🤣kwenye Original Commed
Used to watch this guy on EATV 5 years ago. Good to see he has grown and so has his genuine sense of humour
Dah Mpoki Mshenzi Kinoma Unenikumbusha Mbali
Hatari kweli we mpoki 😂😂😂😂😂
MPOKI UNA PESA ZAKO NYINGI SANA KWENYE STAND UP COMEDY, NIVILE HAUPO SERIOUS SANA.
True akiwa serious km Joti atafika mbali
Haah eti ana angalia luku kama nyumba yake 🤣 🤣
Mpoki Mungu anakuona😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭mbavu zangu miyeeeer
Barikiwa babaa😂😂😂nmecheka yangu yote kakangu
Hahahahahaha Chizi Saana wewe Mpoki🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti nimezima sigara Mpoki 😂😂Swebe kafurahiiii
😂😂😂😂 najarbu viatu vya baba mwenyenyumba htl sana
Mpoki nakupenda saana 😂😂😂😂
Mpoki hayo yote nimeyafanya Dah 😆😆😆😄😂😂
☺😊😀😁😂😃😄👍👊👏 Mpoki umeongezeka siku za kuishi.
Dada wa kazi na Alamu kwenye simu maana ukichelewa boss anakuta hayupo
Mimi nimeiludia zaidi ya mara nyingi
Hivi huyu mpoki ni aina gani ya wadudu wako kwenye kichwa chake jamani? Mbavu zangu zimeumia
😂😂😂😂 kila nikimaliza interview hii nairudia 😂😂😂😂 tena mpoki umeuwa ila swebe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haki ya mungu uyu jamaa lazima akuchekeshe kama kucheka ni afya basi angalia mpoki tu.
😂😂😂😂🤣nakumbuka zangu huko mbez mwisho😂😂😂😂
Mpok hii comedy au siriasi
😂 😂😂😂😂😂 aki nimecheka sana
Mpok falaa kwel heheheh
Mpoki hiyoo kwelii kabisaa kinamadam wenginewanajiona wao ndiowatu wanataka madada wave uniform tu unafungiwa hatadukanitu huendi siyohakii
Hii interview 🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpoki we ni Hatari Sana
Sofiaaaaaaaa leo 🤣😂🤣😂🤣🤣🤣🤣
Yan mpoki tatizo tunalipata Oman miaka miwil utok ndan ndo unakuta mtu unatembea na bos Yan usipokua na subira unajikuta ushafanya ivyo dah kaka angu mpok bkb moja iyooo
Oman Huko tunajua mnaenda kuliwa tuu
Mmmh
Mpoki hatar😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Daaah mpokii
Hapo umexema bro👏👏👏👏
Mpoke umempa ukweli huyu dada nimefurahi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏. Kweli
Mpoki nakukubali sanaaaaaaaa
Umesomeka.safiii
Hii point msiifanyie mchezo , nyinyi mwenye wadada wakaz, ushaur mzur ✍️
Mpoki kasema kweli
@@mwajumaabeidy8137 Sana dadaangu maana pia nibinaadam, anahak pia
Wallahi nimecheka mpoki bhana
Mpoki pusi wewe iringa ndokunadada wakazi mmmh
Kweli mpoki is the King of comedy in bongo
Jamni mpok laaaah nomrcheka mpk làaah ata mm mdada wa kaz
tujuanee jmn
Binafisi hata sijaona kama mnatetea wadada wa kazi ila mnasifia kwa sababu vijana wanaotoka nao wanapenda mteremko, lakini ni rahisi kuwadanganya kwa sababu most of them bado ni watoto na bado ni naive. Mnawatumia, mnawapa mimba na kuzikataa na wasiojielewa kabisa hata vihela wanavyolipwa wanawapa wanaume. Nimewahi kuwa na msichana kazi yake ilikuwa ni kutuma hela kwa mwanaume kisa kamwambia ntakuoa.
Hii hii hatar
Kwel
Kuku wa kisasa 😆😆😆😆Mbavu zangu mm haki
Wapewe ruhusa ya kwenda out wao binadam pia jamani
Mpoki ndio michezo yke😀😀😀😀 Ww Umejuaje kama kipot kinawekw kwenye maziw
Daaaaaaaah 🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂
Nakukubali san
Mwamba Yuko siriasii huyuu nakubalii yaani ni Mimi huyo na wdada wa kazii
Mnapotosha jamii serikali Kama inawaona basi iwaone na kuwaelekeza ikiwa mpo sawa iwapongeze
🙄👈🤣🤣🤣🤣🤣umenimaliza duhh
Figure don't lie😂😂😂😂😂😂😂
Nasha ngaa kwanni hawawaruhusi kutoka.. ila watto wao kutwa wako nje
Mm nafanya kazi za ndani mwaka wa tatu huu sjawahi kutoka
@@lucydaniel9254 kwann usitoke jmni Kwan ww ni mfungwa
Nimechoka sna
Waaaaa 😂😂😂😂😂
Ahahah swebe santana "NUNDA. mbeya hapo alipowekwa dinah kacheka uyo mmmmh
Dah yani we we nitumachi
Mpoki fara kwer mbavu zang mie
Jamani 😂😂😂
Chezea toto la kihaya wew
Nakuaminia mpoki msema ukweli ni mpenzi wa mungu
Hataree
😃😃😃😃😃😃😃
Kiukweli kuna wanawake wana wazuia wafanyakazi kila kitu hadi akisikia kuna mtu ataka kumchumbia atamtafuta huyo mchumba ili mwambie uongo kumharibia ndoa yake ndio asi mwachi nyumba yake
Huyu jamaaa bang ase😀😀😀
,mpoki jamani 🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpoki bhana
Hii kweli uhondo
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kupunguza matiti, n.k
Karibu ofisini,SMS/whatsap 0693_330284
Mimi nataka kuongeza matiti
Wawoooo Asante
Dah umenikumbusha mbali sana kitambo icho
Haaahaaaaa hii interview kali sana sana
Et!! Wee unachezewa mwaka wa 10 huu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Demu kamaindi ujue
Jaman unaondoka na viatu vya baba mwenye nyumba looo
Eti dada wa kazi niamkie ww
Hahahaha tupooooo
Waliofalahia 😄😄😄😄
Kuna Raha Yake Bwana😂😂
Duh umeinkumbusha mbali sana
Ndo hapo sasa
Mhhhhhhhh
Hahahahahahahaaaa!! Jamani
Ila kweli aisee
Nyinyi muko n'a laana kweli yaani munaekewa chakula kwenye sahani munaôna si hivyo Bora mumwagiwe chini mbwa wakubwa. Kwanini muna wachukua kufanya kazî ndani kwenu hamuwaowi kabisa mukapumzika
Usichukulie serous Just comedy
@@gabrielbahat9107 ah ok
Jinga kabisa 😹🙌
Kiukweli dada wa kazi hatari mi nimepiga mpaka nikaowa na tunawatoto
YANI MPOKI WW UMENIVUNJA MBAVUUUUU
Stupidity mpoki huna heshima na hata sasa utakuwa unawala Tania mbaya sana hivo
Mpoki alichofanya ni kuelimisha watu lkn sidhani km anafanya kweli hivyo vitu kwenye majumba ya watu japo watu wanatabia hizo yeye alichofanya ni kifisha ujumbe😁😁😁
Oyooooooooooo
Ahahahahah
sofia leo niweye
Walai mpoki chizi 😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpoki nimekuelewa😂😂😂
Sasa Ninyi mnaelimisha jamii au mnapotosha?! Mbona elimu mnayo?! Imewashindanini, kujijua kua Ninyi nikioo Cha jamii?! Jitafakarini, jueni mnayofanya mnaangaliwa nawengi. Sasa Kama hampimi maneno yakuongea hamjengi jamii mnabomoa maadili ktk jamii. Jitambueni, msifanyesifa kwenye tv.
Wapo sahihi wanaelimisha jamiii
Kisheria mdada wa kazi km ana umri wa miaka 18 mwajiri unawajibika kumpa mahitaji yake yote ya binadamu ikiwemo faragha yaani umpe shm ya kuishi na mtu mpenzi wake
Nimecheka jamani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾mpoki
Mpoki ww umenishinda tabia
mpoki duu wee hatar