SERIKALI YAJENGA SHULE ZA SEKONDARI ZA WASICHANA ZA MASOMO YA SAYANSI MIKOA YOTE YA TANZANIA BARA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 июл 2024
  • Mpango wa ujenzi wa shule hizi ni maagizo ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyoagiza kujengwa shule za sekondari za wasichana za mikoa za masomo ya sayansi ambapo kiasi cha shilingi bilioni 106.6 kimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu.

Комментарии •