Комментарии •

  • @rahmakarama4771
    @rahmakarama4771 Год назад

    Mashallah mwanangu M.Mungu akuhifadhi kwa kila kitu Amin unayosema ni sawa

  • @shamyathman9198
    @shamyathman9198 Год назад

    حفظك المولى

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Год назад

    Mashaallah maneno mazuri

  • @mousirally03
    @mousirally03 2 года назад +2

    Wallah sheikh umenena jambo la msingi sana..Allah akulipe kheri inshaallah

  • @shamyathman9198
    @shamyathman9198 Год назад

    الله يحفظك

  • @mahdy011
    @mahdy011 3 года назад +1

    Barakallah fiik, umefanya vizuri sheikh Samir kukemea takataka. ...

  • @islamforurope2340
    @islamforurope2340 2 года назад +1

    MAULIDI HAYAHUDHURIWI NA MALAIKA WEE SUFI ACHA NJAA

  • @abdallahmkomboz2679
    @abdallahmkomboz2679 2 года назад +2

    Allah akuhifadhi shekh Sameer!!

  • @mansoortotta2045
    @mansoortotta2045 2 года назад

    Laailaha illlallah.

  • @imamibnhajar3586
    @imamibnhajar3586 3 года назад +1

    Mashallah...sheikh sameer..Allah akuhifadhi

  • @husseinabdallah7475
    @husseinabdallah7475 3 года назад +1

    جزاك الله خير الجزاء

  • @kuambianakassimu4993
    @kuambianakassimu4993 3 года назад +1

    Shukran sana umesema kwel

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 2 года назад +1

    Hizo takataka zinakuja,kwa sababu mtume na masahaba hawakulifanya hili kwa kujua

  • @bunamay1000
    @bunamay1000 3 года назад

    Baarakallah fiikum

  • @leilakombo7263
    @leilakombo7263 3 года назад

    Shukran ustadh

  • @mussaabdallah8290
    @mussaabdallah8290 2 года назад +1

    Takataka ni hizo ambazo mnazizusha katika dini yetu

  • @aljumaamadrassahtv4335
    @aljumaamadrassahtv4335 2 года назад

    Hakika

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 2 года назад

    Kwani kuna ulazima gani,kutengeneza ibada, tusiyoelekezwa na Allah na mtume wake?,hamuona ya kwamba mnamkaribisha shetani???,mnaijua hatama ya jambo hili?,litaleta nini mwisho wake?pendeni mtakavyopenda,lakini mujuwe sisi binadamu ni dhaifu,Mtukufu aliyetuumba,anayajua tusiyoyajua,na hakuna dalili kutoka kwa Allah na mtume wake,hili liwe ibada,hata wengine ifikie kutengeneza hasama na uadui kwa waumini wa Allah,sababu ya kutolikubali hili.

    • @muhidinn5648
      @muhidinn5648 2 года назад

      Je! Mihadhara na makongamano Mtume ameamrisha ?

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 2 года назад

      @@muhidinn5648 Mihadhara na makongamano si ibaada maalumu katika dini,ambayo ni lazima kwa saa,siku,mwezi,imeamrishwa ifanywe na itimizwe katika,ibada katika dini ni lile lililolekezwa kutoka kwa Allah subhana wataalla,na sunna za mtume Muhammad swallalahu alayh wasalamu,na ukitupa usahihi ya hilo la maulidi,kwamba limetokea huko,basi itajuzu kuanzia sasa ,kufanya maulidi ndani ya msikiti wa madina na Makka,na hilo ndilo linalopelekea saud Arabia kutengenezewa urongo,fitna na chuki,ya kwamba wao mayahudi nakadhalika.
      Kila anoyataka maulidi na aendelee nayo,lakini huko huko,wala msithubutu kuyapeleka kwenye misikiti mitakatifu,hilo mlifahamu,Wigo wenu kwa manasara/wakristo,kuiga krismasi haupo,wala haukuwepo katika uislamu,ati Bidaa nzuri.Subhanallahu,Alhamdulillah,Allahu Akbar.