Kwani kuna ulazima gani,kutengeneza ibada, tusiyoelekezwa na Allah na mtume wake?,hamuona ya kwamba mnamkaribisha shetani???,mnaijua hatama ya jambo hili?,litaleta nini mwisho wake?pendeni mtakavyopenda,lakini mujuwe sisi binadamu ni dhaifu,Mtukufu aliyetuumba,anayajua tusiyoyajua,na hakuna dalili kutoka kwa Allah na mtume wake,hili liwe ibada,hata wengine ifikie kutengeneza hasama na uadui kwa waumini wa Allah,sababu ya kutolikubali hili.
@@muhidinn5648 Mihadhara na makongamano si ibaada maalumu katika dini,ambayo ni lazima kwa saa,siku,mwezi,imeamrishwa ifanywe na itimizwe katika,ibada katika dini ni lile lililolekezwa kutoka kwa Allah subhana wataalla,na sunna za mtume Muhammad swallalahu alayh wasalamu,na ukitupa usahihi ya hilo la maulidi,kwamba limetokea huko,basi itajuzu kuanzia sasa ,kufanya maulidi ndani ya msikiti wa madina na Makka,na hilo ndilo linalopelekea saud Arabia kutengenezewa urongo,fitna na chuki,ya kwamba wao mayahudi nakadhalika. Kila anoyataka maulidi na aendelee nayo,lakini huko huko,wala msithubutu kuyapeleka kwenye misikiti mitakatifu,hilo mlifahamu,Wigo wenu kwa manasara/wakristo,kuiga krismasi haupo,wala haukuwepo katika uislamu,ati Bidaa nzuri.Subhanallahu,Alhamdulillah,Allahu Akbar.
Mashallah mwanangu M.Mungu akuhifadhi kwa kila kitu Amin unayosema ni sawa
حفظك المولى
Mashaallah maneno mazuri
Wallah sheikh umenena jambo la msingi sana..Allah akulipe kheri inshaallah
الله يحفظك
Barakallah fiik, umefanya vizuri sheikh Samir kukemea takataka. ...
MAULIDI HAYAHUDHURIWI NA MALAIKA WEE SUFI ACHA NJAA
Allah akuhifadhi shekh Sameer!!
Laailaha illlallah.
Mashallah...sheikh sameer..Allah akuhifadhi
جزاك الله خير الجزاء
Shukran sana umesema kwel
Hizo takataka zinakuja,kwa sababu mtume na masahaba hawakulifanya hili kwa kujua
Baarakallah fiikum
Shukran ustadh
Takataka ni hizo ambazo mnazizusha katika dini yetu
Yenu na nani?
Hakika
Kwani kuna ulazima gani,kutengeneza ibada, tusiyoelekezwa na Allah na mtume wake?,hamuona ya kwamba mnamkaribisha shetani???,mnaijua hatama ya jambo hili?,litaleta nini mwisho wake?pendeni mtakavyopenda,lakini mujuwe sisi binadamu ni dhaifu,Mtukufu aliyetuumba,anayajua tusiyoyajua,na hakuna dalili kutoka kwa Allah na mtume wake,hili liwe ibada,hata wengine ifikie kutengeneza hasama na uadui kwa waumini wa Allah,sababu ya kutolikubali hili.
Je! Mihadhara na makongamano Mtume ameamrisha ?
@@muhidinn5648 Mihadhara na makongamano si ibaada maalumu katika dini,ambayo ni lazima kwa saa,siku,mwezi,imeamrishwa ifanywe na itimizwe katika,ibada katika dini ni lile lililolekezwa kutoka kwa Allah subhana wataalla,na sunna za mtume Muhammad swallalahu alayh wasalamu,na ukitupa usahihi ya hilo la maulidi,kwamba limetokea huko,basi itajuzu kuanzia sasa ,kufanya maulidi ndani ya msikiti wa madina na Makka,na hilo ndilo linalopelekea saud Arabia kutengenezewa urongo,fitna na chuki,ya kwamba wao mayahudi nakadhalika.
Kila anoyataka maulidi na aendelee nayo,lakini huko huko,wala msithubutu kuyapeleka kwenye misikiti mitakatifu,hilo mlifahamu,Wigo wenu kwa manasara/wakristo,kuiga krismasi haupo,wala haukuwepo katika uislamu,ati Bidaa nzuri.Subhanallahu,Alhamdulillah,Allahu Akbar.