Комментарии •

  • @DM_15
    @DM_15 16 дней назад +2

    Mayele top score misiri

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 16 дней назад +1

    Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 16 дней назад +1

    Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂

  • @othmantv2654
    @othmantv2654 16 дней назад +3

    Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂

    • @GEORGERUTANGANTEVYI
      @GEORGERUTANGANTEVYI 16 дней назад

      ❤😊😊😊
      ❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤😂😂😂❤😂😂😂❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤😂❤❤❤❤😂😂❤❤😂😂❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤

    • @mtotowamanka
      @mtotowamanka 16 дней назад +1

      F

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re 16 дней назад

    Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂

  • @jamespeter5882
    @jamespeter5882 16 дней назад +1

    Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 15 дней назад

    Code nyepesi sana Fei totooooo

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud 16 дней назад +1

    Momo upo kama chawa wayangaa

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef 16 дней назад

    Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 16 дней назад

    Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?

  • @user-px6jj4tu7m
    @user-px6jj4tu7m 16 дней назад +2

    Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.

  • @zickdeus5497
    @zickdeus5497 16 дней назад

    Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 16 дней назад

    Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa

  • @msomiadam250
    @msomiadam250 16 дней назад

    Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 16 дней назад +1

    Simba hakuwahi kumihitaji

  • @invocavitykitaly2483
    @invocavitykitaly2483 16 дней назад

    1

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln 16 дней назад

    2

  • @AthumanAlly-zw9ni
    @AthumanAlly-zw9ni 16 дней назад

    Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 16 дней назад

    Feisal

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 16 дней назад

    Momo leo umeongeya kikubwa

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo 16 дней назад

    Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 16 дней назад

    Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 16 дней назад

      Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa

  • @SenoNorbertKiemena
    @SenoNorbertKiemena 16 дней назад +1

    Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie

    • @murshidyabdallah1356
      @murshidyabdallah1356 14 дней назад

      Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c 16 дней назад

    Fei huyo

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 16 дней назад

    Mbona sielewi

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 16 дней назад

    Belive me Fei anakuja Simba

  • @stn4873
    @stn4873 16 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 16 дней назад

    Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 16 дней назад

    Kwani mo na bakhresa nani bilionea?

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii 16 дней назад +1

      Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 15 дней назад

      @@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii 15 дней назад

      @@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla

    • @user-pb3ub3gl4q
      @user-pb3ub3gl4q 15 дней назад

      ​@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 14 дней назад

      @@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 15 дней назад

    Feitoto

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 16 дней назад +2

    Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa.
    Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk.
    Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu