MALAYA MWENYE MIKOSI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #clamvevo

Комментарии • 207

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Год назад +23

    Walio mkubali MWANAJESHI GONGA like zako hapooooo.

  • @yussufoupaulo4940
    @yussufoupaulo4940 Год назад +19

    Nakubali sana yussuph kutoka Mozambique Estamos junto

  • @japhethelijah4252
    @japhethelijah4252 Год назад +3

    Yàaani ningekua mi ndo uyo afande uyu clam ningemwoja Ili nimjue vzr

  • @melabmoina322
    @melabmoina322 Год назад +7

    Clam nani kakulaan mapenzi wangu 🙆‍♀️🙆‍♀️🤣🤣🤣🤣🤣much love from KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @asiabuswelu8042
    @asiabuswelu8042 Год назад +14

    Huyu mama wa mwanajesh amenichekesha San 🥰😍

  • @MeyTaretoi2021
    @MeyTaretoi2021 Год назад +5

    Nawakubali sana wote ila wa kwanza ni huyu mdada anayeongea kisukuma 🤣🤣

  • @wambuievelynwaithira
    @wambuievelynwaithira Год назад +10

    Mashallah kazi nzuri

  • @fathiyaanwar4535
    @fathiyaanwar4535 Год назад +15

    Wakeñya tuko kama kwa like tuna gonga kama kawa.

  • @melkizedekiwiliam5533
    @melkizedekiwiliam5533 Год назад +2

    Nyie punguzeni vichekesho! Watu tunavinjika mbavu huku. Huuuuu ni utani tu! Pigeni kazi. Kazi mnaweza
    Hongereni sana.

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +9

    Huyu jamaa anafaa sana kuigiza serious

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Год назад +3

    😂😂😂😂😂et umalaya unanishinda😂😂😂😂

  • @leksonsanza5184
    @leksonsanza5184 Год назад +5

    Nakubali kazi zenu, kutoka burundi Bujumbura

  • @marthinethomas3020
    @marthinethomas3020 Год назад +9

    Done town kitambo mara paaap mjeda katimba 😂😂🔥🔥

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +10

    Yaani clam umekula nyumba mzima😂😂😂

  • @aysha9932
    @aysha9932 Год назад +9

    Clam akifumaniwa tu ety naend nymbn🤔😁

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 Год назад +10

    Hahaha 😂😂😂😂🤣😂😂 clam ww utanifanya roho itengane na mwili haki 🤣🤣🤣😂

  • @talktodad3726
    @talktodad3726 7 месяцев назад +1

    Jamn clam usinivunje mbavu zang daaah

  • @user-mg1pj5py4s
    @user-mg1pj5py4s 10 месяцев назад +2

    Sea siamini ninachokioona nachokiisikia kama naota okweli emola sielewi ,hii...

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 Год назад +5

    Eti clam nivue nguo au utakuja kunivua mwenyewe mbwa wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zamzammohamed4926
    @zamzammohamed4926 3 месяца назад

    Hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha wallai Clam Vevo umalaya upewe medal umeshinda mjukuu bibi mdada wa kazi🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️😂😂🤣🤣🤣🤣😅😅😅

  • @mwambuchiallanlee8060
    @mwambuchiallanlee8060 Год назад +1

    oy uyu jamaaa namkubl sana akiwa kichz uwa ndo nakubal sana

  • @talktodad3726
    @talktodad3726 7 месяцев назад +1

    Kaz nzur brother love so much

  • @kulwanchama4105
    @kulwanchama4105 Год назад +2

    Napenda san uo wimbo jmnnambien unaitwaj

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Год назад +2

    😂😂😂😂 Clam malaya

  • @Melinajohn330
    @Melinajohn330 Год назад +1

    We dada ukiigizaga Kama mama uwa napenda sijui jina lako nani

  • @simbabayeAbibu
    @simbabayeAbibu 5 месяцев назад +2

    Kama kawa nahikubali iyo nyoko bahati yako

  • @veredianavenance2901
    @veredianavenance2901 Год назад +2

    Wa bongo bwana na michezo yenu

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Год назад +5

    mpuuuzi sana clam😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @lenny8074
    @lenny8074 Год назад +1

    Ww chizi ak.kwani unataka kuziba kila shimo.

  • @janethmdollo5268
    @janethmdollo5268 Год назад +2

    Mnazalilisha jeshi

  • @nashmirihamisi2417
    @nashmirihamisi2417 Год назад +2

    Clam vua nguo bwana 🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

  • @peterobote3036
    @peterobote3036 Год назад +1

    Anza kuact movie sasa pamoja na Shaddo na bonge, mnaweza

  • @ElikanaNchimani
    @ElikanaNchimani Год назад +1

    Mjeda kamnyoshe clam anazingua ila kwa mama kakunyosha bas muite baba

  • @ateleteleecibalungumwenelo1423
    @ateleteleecibalungumwenelo1423 Год назад +1

    Ukweli nihuyu tanzania usharati nikama tu kusalimiyana shikamoo marahab etc...

  • @dariuskasitu4083
    @dariuskasitu4083 Год назад +7

    Daaaha Ila huyu clam et naenda nyumbani 🤣🤣🤣

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 Год назад +1

    Ahaaa! Ahaaa,!
    Naenda nyumban 🤣🤣🤣

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Год назад +1

    Ntumbafi nitakupiga Kofi! Ungempiga tu

  • @Halimamaere
    @Halimamaere Год назад +7

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Clam wee fala kweri umefumaniwa alfu unasema mke wako tena!!😂😂😂😂😂😂😂kazi ya umalaya itakuponza

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner9233 Год назад +4

    Msenge Sana ,Leo umeuponza 😄😄😄

  • @melkizedekiwiliam5533
    @melkizedekiwiliam5533 Год назад +3

    Binafsi nimewakubali. Pia yule binti wa shule wakat anafokewa alivyoingia mlangoni kwa mtetemo amenivunja mbavu.

  • @clichytraveller8099
    @clichytraveller8099 Год назад +4

    😂😂😂😂 Naitwa clam malaya

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Год назад +5

    Napenda ki lugha cha huyo mama

  • @uwezomrpose8594
    @uwezomrpose8594 Год назад +1

    Uyu mwanafunzi namupenda hadi namuota nawezapenda niwe naongeya naye clam

  • @muniracheusi9955
    @muniracheusi9955 Год назад +2

    Naenda Nyumbani 😂😂😂

  • @Dasmaila
    @Dasmaila Год назад +1

    Jina la mwenye wimbo asee ngoma kalii nahitaj kumjua jina

  • @givenmlowe9177
    @givenmlowe9177 Год назад +2

    Clam unahatariii sana mjinga ww

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp Год назад +1

    Namkubali huyu mama kwa kuongea kiluga kweli kweli

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 Год назад +4

    Familia nzima anakula😃😃😃

  • @danielkaizer7296
    @danielkaizer7296 Год назад +8

    Clam bhn!! 🤣🤣🤣 Sema nn?! Much love from Domitory huku👍👍👍

  • @elikanagerevas8394
    @elikanagerevas8394 Год назад +1

    Kazizuli

  • @abdallaali5467
    @abdallaali5467 Год назад +1

    Da huyu mjeda ana huruma

  • @hevizymatho7853
    @hevizymatho7853 5 месяцев назад

    Kazi nzuri

  • @clichytraveller8099
    @clichytraveller8099 Год назад +4

    Huyu mamaake mjeda nampenda mwenzenu

  • @jay-bshujaboyofficie3201
    @jay-bshujaboyofficie3201 Год назад +3

    Dah mikosi 🥺😳😳😳🔥🇨🇩

  • @braker052
    @braker052 Год назад +1

    Vua kabsa

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 Год назад +5

    sema kimeumana 🤣🤣🤣

  • @KQGmedia
    @KQGmedia 7 дней назад

    Kali sana

  • @alphamwafumbila3453
    @alphamwafumbila3453 Год назад +2

    Umetisha bro 👊🇹🇿 and

  • @Halimamaere
    @Halimamaere Год назад +6

    Ila clam wewe adi shosho nae unamtaka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kirapadiherbalstv9953
    @kirapadiherbalstv9953 8 месяцев назад +1

    Kim bhana😅😅

  • @leksonsanza5184
    @leksonsanza5184 Год назад +1

    Napenda sana unacho kinya Clem

  • @bluechawa3492
    @bluechawa3492 Год назад +4

    Ety naitwa clam malaya 😂😂😂

  • @deckyempress9984
    @deckyempress9984 Год назад +2

    Naitwa clam malaya......🤣🤣🤣🤣umalaya utanitoka puani

  • @UASHARATIWATIKTOK
    @UASHARATIWATIKTOK Год назад +2

    Huyu dada anaeigiza mama simpend anaharibu

  • @Sambigmondy6558
    @Sambigmondy6558 Год назад +3

    Kibingwa 🔥🔥🔥

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign 4 месяца назад

    Je vous suit dépuis le Congo RDC précisément à Kinshasa 🇨🇩.

  • @monalisaemmanuel5276
    @monalisaemmanuel5276 Год назад +3

    😂😂 naenda nyumbani 🤥🤣🤣🤣🤣

  • @finiaskalist747
    @finiaskalist747 Год назад +1

    Toto jinga hili eti naitwa clam malaya😆😆😆😆🙌

  • @japhethelijah4252
    @japhethelijah4252 Год назад +1

    Aseeeeeeee apo lazima ubooo ufe ganzi

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 Год назад +6

    Clam leo umepatikan kwr🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🙏

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 Год назад +4

    Clam malaya😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-eu4ke2kr4n
    @user-eu4ke2kr4n Год назад +2

    Clam Vevo me plaît beaucoup ❤❤

  • @Kwambo442
    @Kwambo442 Год назад +4

    Naitwa Clam Malaya

  • @mrfashion907
    @mrfashion907 Год назад +2

    😂😂😂😂 nimecheka had bas

  • @emmamsigiri6460
    @emmamsigiri6460 Год назад +1

    Nakubal xana clam

  • @user-do3wo2bn2z
    @user-do3wo2bn2z 7 месяцев назад +1

    Clam é mau juro 😂🤣😂🤣😂🤣😂🇲🇿

  • @shabanipande5379
    @shabanipande5379 Год назад +2

    Sijawahi kumuona mchekeshaji Kama clam

  • @user-zi3ze3fc2x
    @user-zi3ze3fc2x 8 месяцев назад

    Nawakubali sanaa❤❤

  • @LeahDzimba
    @LeahDzimba 6 дней назад

    😂 utapelekwa migingo haya

  • @masikarachael9324
    @masikarachael9324 Год назад +4

    Guys you are too funny ♥️♥️

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣mam wa mwanajeshi🤣🤣😂😂😂

  • @noeliddi82
    @noeliddi82 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi nzuriiii

  • @fatumahassani690
    @fatumahassani690 Год назад +1

    Mm naona uvuwe two mwenyewe

  • @tiffahbby3697
    @tiffahbby3697 9 месяцев назад +1

    Naitwa clam Malaya😂😂😂😂😂😂

  • @odilofaraja924
    @odilofaraja924 Год назад +3

    🤔🤔🤔 mi naenda nyumbani 🤣🤣🤣🤣

  • @gustavengumba8480
    @gustavengumba8480 Год назад +1

    Jamani clam mukali sana

  • @naomindagile1412
    @naomindagile1412 Год назад +1

    🤣🤣🤣naendaa nyumbani hahahah

  • @isihakarajabu2549
    @isihakarajabu2549 Год назад

    Aisee Mimi naomba nijuwe au nifahamu msanii jina la huyu mwenye wimbo huu

  • @Halimamaere
    @Halimamaere Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂clam malaya leo kapatikana

  • @WOLFTHEKINGOG
    @WOLFTHEKINGOG 2 месяца назад +1

    ❤❤

  • @Maxwellmatias451
    @Maxwellmatias451 Год назад +2

    Clam Iam also a comedian and I would like to know the app that u uses for editing

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 Год назад +1

    Nilikuwa nauliza nivue nguo au utakuja kunivua mwenyew

  • @simonmuli7565
    @simonmuli7565 Год назад

    Mbwa ýy clam

  • @meshackasanga9567
    @meshackasanga9567 Год назад +3

    Sana clam pande 🇲🇼

  • @sesajuma5114
    @sesajuma5114 Год назад +1

    Abizokolo bhane

  • @user-co2ed6dj6p
    @user-co2ed6dj6p 9 месяцев назад +1

    Ongera ya clam na vai

  • @lindauma982
    @lindauma982 Год назад +1

    Ati clam malaya surely mtaja niuwa nyinyi

  • @dororoclaude8483
    @dororoclaude8483 Год назад

    Sisi unatuchanganya na hiyo luga kweli

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 9 месяцев назад +1

    Naijua iyoo

  • @Dantaata
    @Dantaata Год назад

    kweli huyu Malaya ana mikosi😃😃😃