EXCLUSIVE: WASIFU WA ALLI HASSAN MWINYI "MAISHA YAPO HATARINI HOSPITALI "KUFA KUPONA DUA ZETU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #dullysantz #santzmedia #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #millardayo #simulizinasauti #history #wasafimedia

Комментарии • 84

  • @pelagiashayo2410
    @pelagiashayo2410 7 месяцев назад +5

    Mungu ampe afya njema tena mzee wetu,

  • @TahilaRamadhan-hz3pd
    @TahilaRamadhan-hz3pd 7 месяцев назад +6

    Allah sw amfanyie wepesii apone na kama nisafari yake imefikaa basii Allah sw ampesafariyakherii na pepo ilio njema na sisi atupe mwisho mwemaa🤲🤲🤲🤲

  • @amirimohamed8013
    @amirimohamed8013 7 месяцев назад +3

    Mwenye ezi mngu ampe shifaa ya haraka ajisikie vizuri Ameen

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Amina na tuzidi kumuombea Sana

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 7 месяцев назад +2

    Si ukamatwe tu duuuh naamini MWENYEZI MUNGU mzee wangu bado tuko naye acheni hizo i pray for you my dear A. Mwinyi

  • @sumbaally2616
    @sumbaally2616 7 месяцев назад +3

    allah apone harak mzee wetu amfanyie wepesi amuondolee maradhi aliyokuwa nayo . amiin

  • @saidakomba
    @saidakomba 7 месяцев назад +5

    Yaa Allah mpe shifaa

  • @MariamKitabas
    @MariamKitabas 7 месяцев назад +1

    Allah mefanye shifaa

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 7 месяцев назад +1

    Yu hai rais wetu kipenzi,hafi,Mungu anampenda sana,na afike miaka 120 kama nabii Musa.Wasukuma wanamwita nabii Msa.

  • @raymondonyona.2736
    @raymondonyona.2736 7 месяцев назад +1

    Acha kumuombea ubaya wa ugonjwa Rais wetu mstaafu mzee Rukhsa.

  • @robosia2915
    @robosia2915 7 месяцев назад +1

    Baba Mwinyi Mungu afanyie wepesi apone haraka tunakupenda sana Mwenyezi Mungu yuko naye

  • @NuruNyanja-kz1qr
    @NuruNyanja-kz1qr 7 месяцев назад +1

    Mungu wa huruma atamponya mzee wetu

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 7 месяцев назад +2

    Ewemwenyezimungu mponyeshe mzewetu ally hasani mwinyi

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 7 месяцев назад +4

    Mimi bila unafiki kwaroho safi namuombea Mungu ampumzishe ameshiba siku, apa duniani mateso tu, chamsingi Mungu amsaidie amalize mwendo salama aende mbinguni 🙏

  • @AbdallahKifundo-t5e
    @AbdallahKifundo-t5e 7 месяцев назад +1

    لعله طهور إن شاء الله اللهم اشف مرضاه

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 7 месяцев назад +3

    Hapo tayariiiiiiii..... no kuuliza

  • @SuleymaniallyAbdallah
    @SuleymaniallyAbdallah 7 месяцев назад +2

    Allah atamfanyia wepesi inshallah

  • @SamsonNkanga-j1u
    @SamsonNkanga-j1u 7 месяцев назад +1

    Mungu ampe afya

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg 7 месяцев назад +1

    Mungu aenderee kumpigania

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 7 месяцев назад +1

    Mungu yupo inshaallah atapona babaetu

  • @HamisMberwa
    @HamisMberwa 7 месяцев назад +2

    Allah amfanyie wepesi,

  • @candidamuhanika8328
    @candidamuhanika8328 7 месяцев назад +1

    Huyu anayetangaza wala sio mTanzania. Ebu sikia anavyoitamka “Tanzania”

  • @michaelmwamanda8418
    @michaelmwamanda8418 7 месяцев назад +4

    Lakini watu wa media aise munaharaka sa MTU hajafa bado mzima ila munakimbilia kutowa wasifu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Hata wewe ukitaka kufahamu ndiomana umeangalia mkuu🤣

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 7 месяцев назад +1

      Wamesidi vi mbele front wanawapa hofu wenanchi.tunamuombea awe salama.tunampenda mzee wetu Ruksa mwee.

    • @zenadaudzena2849
      @zenadaudzena2849 7 месяцев назад

      Tayari

  • @Shebbylaizer
    @Shebbylaizer 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @JittaSeme-t4w
    @JittaSeme-t4w 7 месяцев назад +1

    Pole Mkuu

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 7 месяцев назад +2

    Hivi nani kakupa ruhusa ya kutoa wasifu wa mtu aliye hai umesomea wapi taaluma ya habari?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Usikalili Wasifu Unasomwa muda wowote Hakuna Sheria iliyoidhinisha kuwa Wasifu usomwe siku ya msiba Tu na hata kimantiki haiko hivyo, Nenda Shule ukarudie kujifunza kuwa ni wakati gani Wasifu Unasomwa!?? na kama haufahamu Wasifu ni kama "Historia,Hadithi ama simulizi ya mtu furani hivyo inasomwa kutokana na wazfa aliokuwa nao Huyo muhusika "Pole Sana ila Natumai nimekupa Elimu kidogo😆

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 7 месяцев назад +1

    Makala za uongo na ziso uchunguzi Mangapwani wilaya ya magharibi kazaliwa Zanzibar kivure ndo nini acha upuuzi kutuharibi mb.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Lete yakwako Tujifunze 🥱

  • @mayazamzam7274
    @mayazamzam7274 7 месяцев назад +1

    Hatarini siyo hatalini kiswahili lugha yetu kama hukijui nyamaza

  • @ضيفهمحمد-ل2ي
    @ضيفهمحمد-ل2ي 7 месяцев назад +1

    Mungu atamsaidia inashallah

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 7 месяцев назад +2

    Hafi maana nyie watu wa media mungu anawaona

  • @Werema3760
    @Werema3760 7 месяцев назад +2

    Mmmmh. Kumbe kigogo mkweli.

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 7 месяцев назад +1

    Mbona Kisha fariki tuwekeni wazi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Punguza wasiwasi Zena Mheshimiwa Yuko salama kabisa Angefariki ,nafkili taarifa ungezipata Mapema. Tuzidi kumuombea Sana Kwa mungu Amponye Kwa kila maradhi Aliyokuwa nayo

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 7 месяцев назад +1

    Pole sana

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia 7 месяцев назад +1

    Kuna Rais mwaka Jana alisema wazuri hawafi alikuwa nani kweli??

  • @nabilnassur707
    @nabilnassur707 7 месяцев назад +1

    Ameen yaraby

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 7 месяцев назад +1

    Sasa mtu akiumwa nani kawambia kusoma wasifu wake ukweli nyie mna mambo ya ajabu mungu amponye mzee wa watu

  • @beautymushi6164
    @beautymushi6164 7 месяцев назад +1

    Mungu atamponya tu acheni uchuro

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 7 месяцев назад +2

    Alituletea mitumba tulikua tunatembea makalionjee ametuletea magari akasema ruhusa alikua hana uchoyo ndani ya utawala wake alikua rais alowaletea watu tve simu lakini watu waliposhiba walianza kumtukana walisema anauza mahindi ikulu ndio fadhala ya msuwahili akishiba humtukana mtawala hata leo tumeyaona wamtukana mama baada ya kishi kwa amani

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Tunafurahi kwa kutupa Wasifu wake Kwa ufupi Mdau wetu

  • @makamehasnuu6660
    @makamehasnuu6660 7 месяцев назад +1

    Amin

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 7 месяцев назад +1

    Is our hope fomer number soon after late julias kambarege Nyerere left power habd over to ally Hasan mwinyi sickness let god hill him as well ally Hasan mwinyi have been president on Tanzania national and rool national 10 years but we hope his life god protect him continue be good leader on wisdom as the former president repablic of tanzanian number r 2,

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 7 месяцев назад +1

    Mungu me muda tunampenda mzee ruksa.
    Sitasahau aliposema mpira wetu unachezwa na vichwa vya wendawazimu😂😂

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 7 месяцев назад +2

    Huna adabu mchawi wee

  • @collinsulomi1008
    @collinsulomi1008 7 месяцев назад +1

    Nani amekuambia mwinyi anaumwa? Wewe ni msemaji wa familia?? Vimitandao uchwara hivi ndo mana havikuwi.
    Tafuta habari za maana km kina Millard Ayo na Global Tv, acha kutafuta viewers kwakunenea wengine mabaya

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Ungesikiliza ama kufuatilia Kwa umakini Natumai usingeweka comment kama hii, 😆 pole Sana

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 7 месяцев назад +1

    Corona hyo nautuzima mungu amnusuru 🙏

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 7 месяцев назад +1

    Sasa wasifu wa Nini kwani wakati uli Huwa wa kumsomea mtu wasifu wake? Acheni mambo hayo.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Ukiifuatilia channel hii haijatoa Wasifu wa mtu mmoja Bali wapo watu wengi humu wametolewa Wasifu ,SASA je wamekufa !!?

  • @AlfarouqIslamic
    @AlfarouqIslamic 7 месяцев назад +1

    Huoni hata aibu kutangaza uzushi,huna adabu mjinga wewe.

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 7 месяцев назад +1

    Wee muandishi huna hekma za kuandika upo upo tuu

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 7 месяцев назад +1

    Imekuwaje huko

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 7 месяцев назад +2

    Dhalimu mkubwa huyo

    • @murattywamuratty9778
      @murattywamuratty9778 7 месяцев назад

      Sawa mtoa hukmu, naona umevaa cheo cha Allah? Waislm tunakosea kitu kikiwa rohoni mwako kibinadam ujue hakuna mkamilifu hem jichunguze ya kwako machache tu je huna dhambi ata moja? 😢 tusikosee kuongea tukasahau yetu binafsi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 месяцев назад +1

    Kwani kafaaa? .wewe nfo familia? Ucha ujingaa wewe.

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 7 месяцев назад +1

    Mh uwo wosifu nini leo

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Ni Hadithi Tu Ambayo Unatakiwa wewe kuifahamu Tatu

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 7 месяцев назад +3

    Allaah Ampe Shifaah ssihha wa Afyah , Mzee Ali Hassan Mwinyi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Tumeombe Apate Auheni "Huwenda mungu akapokea dua zetu

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban6246 7 месяцев назад +1

    Acheni Mambo yenu ya kijinga mtatoaje wasifu Kwan amekufa au

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Usikalili Wasifu sio mpaka mtu Afe Hata wewe Unaweza ukatolewa Wasifu na watu wakajifunza kupitia Maisha yako

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 7 месяцев назад +1

    Mbona wosia Mapema hivi

  • @BandaNchasi
    @BandaNchasi 7 месяцев назад +1

    Good