Mimi bila unafiki kwaroho safi namuombea Mungu ampumzishe ameshiba siku, apa duniani mateso tu, chamsingi Mungu amsaidie amalize mwendo salama aende mbinguni 🙏
Usikalili Wasifu Unasomwa muda wowote Hakuna Sheria iliyoidhinisha kuwa Wasifu usomwe siku ya msiba Tu na hata kimantiki haiko hivyo, Nenda Shule ukarudie kujifunza kuwa ni wakati gani Wasifu Unasomwa!?? na kama haufahamu Wasifu ni kama "Historia,Hadithi ama simulizi ya mtu furani hivyo inasomwa kutokana na wazfa aliokuwa nao Huyo muhusika "Pole Sana ila Natumai nimekupa Elimu kidogo😆
Punguza wasiwasi Zena Mheshimiwa Yuko salama kabisa Angefariki ,nafkili taarifa ungezipata Mapema. Tuzidi kumuombea Sana Kwa mungu Amponye Kwa kila maradhi Aliyokuwa nayo
Alituletea mitumba tulikua tunatembea makalionjee ametuletea magari akasema ruhusa alikua hana uchoyo ndani ya utawala wake alikua rais alowaletea watu tve simu lakini watu waliposhiba walianza kumtukana walisema anauza mahindi ikulu ndio fadhala ya msuwahili akishiba humtukana mtawala hata leo tumeyaona wamtukana mama baada ya kishi kwa amani
Is our hope fomer number soon after late julias kambarege Nyerere left power habd over to ally Hasan mwinyi sickness let god hill him as well ally Hasan mwinyi have been president on Tanzania national and rool national 10 years but we hope his life god protect him continue be good leader on wisdom as the former president repablic of tanzanian number r 2,
Nani amekuambia mwinyi anaumwa? Wewe ni msemaji wa familia?? Vimitandao uchwara hivi ndo mana havikuwi. Tafuta habari za maana km kina Millard Ayo na Global Tv, acha kutafuta viewers kwakunenea wengine mabaya
Sawa mtoa hukmu, naona umevaa cheo cha Allah? Waislm tunakosea kitu kikiwa rohoni mwako kibinadam ujue hakuna mkamilifu hem jichunguze ya kwako machache tu je huna dhambi ata moja? 😢 tusikosee kuongea tukasahau yetu binafsi
Mungu ampe afya njema tena mzee wetu,
Allah sw amfanyie wepesii apone na kama nisafari yake imefikaa basii Allah sw ampesafariyakherii na pepo ilio njema na sisi atupe mwisho mwemaa🤲🤲🤲🤲
Amin.. 🤝
Mwenye ezi mngu ampe shifaa ya haraka ajisikie vizuri Ameen
Amina na tuzidi kumuombea Sana
Si ukamatwe tu duuuh naamini MWENYEZI MUNGU mzee wangu bado tuko naye acheni hizo i pray for you my dear A. Mwinyi
allah apone harak mzee wetu amfanyie wepesi amuondolee maradhi aliyokuwa nayo . amiin
Amin.🤲
Yaa Allah mpe shifaa
Allah mefanye shifaa
Yu hai rais wetu kipenzi,hafi,Mungu anampenda sana,na afike miaka 120 kama nabii Musa.Wasukuma wanamwita nabii Msa.
Acha kumuombea ubaya wa ugonjwa Rais wetu mstaafu mzee Rukhsa.
Baba Mwinyi Mungu afanyie wepesi apone haraka tunakupenda sana Mwenyezi Mungu yuko naye
Mungu wa huruma atamponya mzee wetu
Ewemwenyezimungu mponyeshe mzewetu ally hasani mwinyi
Mimi bila unafiki kwaroho safi namuombea Mungu ampumzishe ameshiba siku, apa duniani mateso tu, chamsingi Mungu amsaidie amalize mwendo salama aende mbinguni 🙏
🙄😆
لعله طهور إن شاء الله اللهم اشف مرضاه
Hapo tayariiiiiiii..... no kuuliza
Allah atamfanyia wepesi inshallah
Amina
Mungu ampe afya
Mungu aenderee kumpigania
Mungu yupo inshaallah atapona babaetu
Allah amfanyie wepesi,
🤲
Huyu anayetangaza wala sio mTanzania. Ebu sikia anavyoitamka “Tanzania”
😆🤣
Lakini watu wa media aise munaharaka sa MTU hajafa bado mzima ila munakimbilia kutowa wasifu
Hata wewe ukitaka kufahamu ndiomana umeangalia mkuu🤣
Wamesidi vi mbele front wanawapa hofu wenanchi.tunamuombea awe salama.tunampenda mzee wetu Ruksa mwee.
Tayari
❤❤❤
👊👊
Pole Mkuu
Hivi nani kakupa ruhusa ya kutoa wasifu wa mtu aliye hai umesomea wapi taaluma ya habari?
Usikalili Wasifu Unasomwa muda wowote Hakuna Sheria iliyoidhinisha kuwa Wasifu usomwe siku ya msiba Tu na hata kimantiki haiko hivyo, Nenda Shule ukarudie kujifunza kuwa ni wakati gani Wasifu Unasomwa!?? na kama haufahamu Wasifu ni kama "Historia,Hadithi ama simulizi ya mtu furani hivyo inasomwa kutokana na wazfa aliokuwa nao Huyo muhusika "Pole Sana ila Natumai nimekupa Elimu kidogo😆
Makala za uongo na ziso uchunguzi Mangapwani wilaya ya magharibi kazaliwa Zanzibar kivure ndo nini acha upuuzi kutuharibi mb.
Lete yakwako Tujifunze 🥱
Hatarini siyo hatalini kiswahili lugha yetu kama hukijui nyamaza
Mungu atamsaidia inashallah
Hafi maana nyie watu wa media mungu anawaona
🤣
Mmmmh. Kumbe kigogo mkweli.
Mbona Kisha fariki tuwekeni wazi
Punguza wasiwasi Zena Mheshimiwa Yuko salama kabisa Angefariki ,nafkili taarifa ungezipata Mapema. Tuzidi kumuombea Sana Kwa mungu Amponye Kwa kila maradhi Aliyokuwa nayo
Pole sana
🤲🤝
Kuna Rais mwaka Jana alisema wazuri hawafi alikuwa nani kweli??
Ameen yaraby
🤲🤲
Sasa mtu akiumwa nani kawambia kusoma wasifu wake ukweli nyie mna mambo ya ajabu mungu amponye mzee wa watu
Mungu atamponya tu acheni uchuro
Alituletea mitumba tulikua tunatembea makalionjee ametuletea magari akasema ruhusa alikua hana uchoyo ndani ya utawala wake alikua rais alowaletea watu tve simu lakini watu waliposhiba walianza kumtukana walisema anauza mahindi ikulu ndio fadhala ya msuwahili akishiba humtukana mtawala hata leo tumeyaona wamtukana mama baada ya kishi kwa amani
Tunafurahi kwa kutupa Wasifu wake Kwa ufupi Mdau wetu
Amin
Is our hope fomer number soon after late julias kambarege Nyerere left power habd over to ally Hasan mwinyi sickness let god hill him as well ally Hasan mwinyi have been president on Tanzania national and rool national 10 years but we hope his life god protect him continue be good leader on wisdom as the former president repablic of tanzanian number r 2,
Mungu me muda tunampenda mzee ruksa.
Sitasahau aliposema mpira wetu unachezwa na vichwa vya wendawazimu😂😂
🤣🤣🤣
Huna adabu mchawi wee
Nani amekuambia mwinyi anaumwa? Wewe ni msemaji wa familia?? Vimitandao uchwara hivi ndo mana havikuwi.
Tafuta habari za maana km kina Millard Ayo na Global Tv, acha kutafuta viewers kwakunenea wengine mabaya
Ungesikiliza ama kufuatilia Kwa umakini Natumai usingeweka comment kama hii, 😆 pole Sana
Corona hyo nautuzima mungu amnusuru 🙏
🙄
Sasa wasifu wa Nini kwani wakati uli Huwa wa kumsomea mtu wasifu wake? Acheni mambo hayo.
Ukiifuatilia channel hii haijatoa Wasifu wa mtu mmoja Bali wapo watu wengi humu wametolewa Wasifu ,SASA je wamekufa !!?
Huoni hata aibu kutangaza uzushi,huna adabu mjinga wewe.
Wee muandishi huna hekma za kuandika upo upo tuu
Imekuwaje huko
Kwema Tu
Dhalimu mkubwa huyo
Sawa mtoa hukmu, naona umevaa cheo cha Allah? Waislm tunakosea kitu kikiwa rohoni mwako kibinadam ujue hakuna mkamilifu hem jichunguze ya kwako machache tu je huna dhambi ata moja? 😢 tusikosee kuongea tukasahau yetu binafsi
Kwani kafaaa? .wewe nfo familia? Ucha ujingaa wewe.
Mh uwo wosifu nini leo
Ni Hadithi Tu Ambayo Unatakiwa wewe kuifahamu Tatu
Allaah Ampe Shifaah ssihha wa Afyah , Mzee Ali Hassan Mwinyi
Tumeombe Apate Auheni "Huwenda mungu akapokea dua zetu
Acheni Mambo yenu ya kijinga mtatoaje wasifu Kwan amekufa au
Usikalili Wasifu sio mpaka mtu Afe Hata wewe Unaweza ukatolewa Wasifu na watu wakajifunza kupitia Maisha yako
Mbona wosia Mapema hivi
Good