MA RASTA WALIVYOANDAMANA WAKISINDIKIZWA NA POLISI DAR ES SALAAM: MCL EXTRA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 46

  • @jacksommndellah7794
    @jacksommndellah7794 5 лет назад

    Raster respect for ever

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 5 лет назад +7

    Dunia hii kila MTU ana balaa lake hebu turudi kwa Allah lengo tumeletwa kumuabudu Allah pekee tu

    • @rasdaudi4199
      @rasdaudi4199 5 лет назад +5

      Ashrita Abdallah Mimi Na Mimi Huwa Hutukoment Jambo Lolote Kwenye Mambo Ya Dini Japo Mimi Na Mimi Sio Watu Wa Dini Na Amini Kila Mtu AnaUhuru Wa Kuuamini Ukweli Wake Huu Ni Ukweli Wetu Tunaomba Tuheshimiwe Kama Tunavyowaheshimu Tanzania Si Nchi Ya Watu Wa Dini Fulani Take Care

    • @manwoka4078
      @manwoka4078 5 лет назад +1

      Bado hujajielewa na hujaielewa historia yako hao mashekh wako walikuja karne ya 14 Afrika,kipindi hio Rasta yupo Afrika.

    • @kizafashionselepa141
      @kizafashionselepa141 5 лет назад

      Ras Daudi ila ukipotea njia mbona unauliza eet jaman nipite wap au njia gan kwahio unaweza ukauliza eeti jaman dini ni nyingi dini niipi ya kwl naimani utaambiwa kwl tz free kuambudu

    • @shammahlupon7945
      @shammahlupon7945 5 лет назад

      @@kizafashionselepa141 tubuni na kuacha dhambi Marcus Garvey is the lie Yesu ndio mfalme

    • @James-i6z5s
      @James-i6z5s 5 месяцев назад

      Ras Daud

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 5 лет назад +1

    Hii TV cio ya kusubscribe kbsa... Sasa milio ya simu ya Nokia inamaana gn na urasta hapo , ? Kila Ras akiongea misauti ya simu inaanza kelele

    • @mwafrikabarz4507
      @mwafrikabarz4507 7 месяцев назад

      Endelea kuwafuatilia na kuwasikiliza Mashoga wenzako acha KUINGIA Imani zisizo kuhusu

  • @thomasysanga2420
    @thomasysanga2420 5 лет назад +2

    Rasta rasta

  • @stephenmadembwe4784
    @stephenmadembwe4784 5 лет назад +3

    Interview chafu makelele mengi hata kinachoongelewa hakisikiki!
    Aiseee

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera2784 5 лет назад +3

    Rasta

  • @bintisalma1263
    @bintisalma1263 5 лет назад

    mtihani sana

  • @vinydany1759
    @vinydany1759 5 лет назад +2

    Tuache mawazo finyu nani kakuambia rasta lazima uvute bangi? Urasta ni ustaarabu wa maisha.

  • @ellyjohn3341
    @ellyjohn3341 5 лет назад

    Ingekuwa chadema hapo pangechafuka kwaa mabomu

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 5 лет назад

    Mitihani hii zana hizi twaona mengi mungu atunusuru duu

    • @rasdaudi4199
      @rasdaudi4199 5 лет назад +1

      Sharifa Abdullah RASTAFARI MBONA UPENDO HARAFU SI WACHACHE WIVU WANINI DUNIA TUNAPITA VIZURI KUWA MWEMA SIO KUJIFICHA KWENYE DINI ILA BILA MATENDO MEMA

    • @cmantz8837
      @cmantz8837 5 лет назад

      MWAMBI MARASITA HAWANA KES NDIYO MAANA HAWAJANYOLEWA

  • @shammahlupon7945
    @shammahlupon7945 5 лет назад

    Simba wa kabila la Yuda ni Yesu kristo

    • @rasdaudi4199
      @rasdaudi4199 5 лет назад

      Shammah Lupon Soma Ufunuo 5:5 Utataona Anapoongelewa Mwanasimba Anaonekana Na Mwanakondoo Yupo Jambo Nililojifunza Mimi Bila Kufundishwa Ni Upendo Wa Mungu Ukisoma Isaya 9:6 Hivyo Hivyo Mifano Ile Ile Jaribu Kutofautisha Na Kuelewa Mwanakondoo Mwana Wa Mungu Mwana Simba Mwana Wa Mtu Habari Za Mwa Wa Mtu Yesu Mwenyewe Alisema Jiweke Tayari Ndugu Ukweli Upo Wengi Wanafatamkumbo Nje Ya Hivyo Tuishi Kila Mtu Atalipwa Ujira Wake Amani Na Upendo Ndio Misingi Yetu

    • @shammahlupon7945
      @shammahlupon7945 5 лет назад

      @@rasdaudi4199 upendo haupo bila Jesus huyo Haile Serasie alikataa kuitwa simba wa kabila la Yuda wewe unamlazimishaje? Hiyo isaya 9:6 inamuongelea nani? Sio mfalme wa kidunia achana na politics come back to Mount Zion rasta

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 5 лет назад

    Maandamano ya watanzania ni kama kicheko kwetu sisi wakenya sababu ni ya watu wasiozidi 30

    • @calvinmaimu7032
      @calvinmaimu7032 5 лет назад

      Mlichokifanya cyo kibaya hongereni ila interview mbovu kelele nyingi

  • @rasdaudi4199
    @rasdaudi4199 5 лет назад +2

    DA WATU WASIO RASTA WANATUCHUKULIA VIPI NDIO MAANA SOMETIMES NDUGU TUNATABIKA SANA WATU WANATUWEKEA UGUMU SANA WEMA WAO UKO WAPI HII DUNIA HURU KILA MTU ATALIPWA UJIRA WAKE WEMA WETU HAUFANANISHWI TATIZO KUWA TU RAS

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo564 5 лет назад

    Rasta apewe umwalimu mkuu jamani wanafunzi wote watavuta bangi mpaka wa chekechea,eti Rasta hovyoooo angekuwa Bob Marley hizi comment zetu asingejibu hata moja sasa nyinyi mnatujibisha nahisi hata nyama mnakula nyie sio bure

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 5 лет назад +1

    Si wangesema siku ya wavuta bange tu

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 5 лет назад

    Jitahidini kuludia Mungu mnapotea

  • @hammylove1268
    @hammylove1268 5 лет назад

    Mbna amuandaman kumuabudu mungu jinga kabisa

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626 5 лет назад

    Niujinga ulioganda kupitia bangi

    • @thomasysanga2420
      @thomasysanga2420 5 лет назад

      Acha izo ww

    • @iddyamri2629
      @iddyamri2629 5 лет назад +1

      Mkuranga c najema sabato chanel Ni uelewa finyu ndugu yangu juu ya asili yako!Unadhihaki kilicho chako unathamini cha kuletewa na wageni " mkataa kwao ni mtumwa"

    • @rasdaudi4199
      @rasdaudi4199 5 лет назад +2

      haijalishi Tupo Pazuri Tumetoka mbali Pole Yao Waliowageni Na Upendo Wa RASTAFARI na Tunashukuru Wanao Tupenda MaJirani Zao Sisi Watu Wa Amani

    • @manwoka4078
      @manwoka4078 5 лет назад

      Hio unaiita bangi ni uponyaji wa mataifa,mbona mchicha mnakula wakati huo unaiponda kaya wakati aliekuumba wewe ndie alieumba na huo mche wa konde.acha utumwa wa kiakili kufuata tamaduni za wakoloni

    • @ototek8037
      @ototek8037 5 лет назад +3

      Mungu akusamehe..kabla warabu hawajaja tulikuwa hatuna uislam na kabla ya wazungu tuliluwa hatuna ukristo, tulikuwa tunaabusu mibuyu mawe makubwa na majoka makubwa na Mungu alitusikia. Mzunzgu alikuwa anasabab zke za kuondoa ushahidi wa historia yetu na kuupeleka german ili watu kama nyie mbaki na makanisa na miskiti kwa manufaa kwa kutunza history yao milele

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 5 лет назад

    Wasiojielewa hao wanafata mkumbo to . Asili ya rasta hayo ni majoka ya mwanamke leo patra alikuwa anamajoka muundo kama rasta na huyo haile salas ni masonic mkubwa . Pumbavu nyie hizo ni mila za kishetani muafrika kama unataka kuweka nywele basi ni Afro to . Sio rasta

    • @cosmamarandu4063
      @cosmamarandu4063 5 лет назад +2

      Braza kasome vizuri historia ya haile sellas ndo utajuaa sio kila rasta ni mvuta bangi

    • @cmantz8837
      @cmantz8837 5 лет назад

      Huyo hana hakili anajua rasta niwahuna rait watu wote tungelikuwa na imani ya rasta aman ingetawara. rasta nijamii pekee isiyopenda fujo.acha nimpe mfano rahisi ukienda lumande kidogo lazima unyolewe hebu tafakali kwa nini rasta ananywele kichwa miaka 20 hata 30 jua nikwamba rasita hana tabia za ajabu. KWAHIYO NDUNGU BADILIKA

    • @magrethpaul2212
      @magrethpaul2212 4 года назад

      tunacho angali Matendo Maan kama nilivyo hata maknisa misi kitin pia viongozi wapo massonci
      napia nikuto kujua Selassie alikuwa ni mfalme Kisha nabii tatizo wengine hawajui husema yeye ni Mungu sio jaman yeye alikuwa ni nabii pia mfalme narastar sio mpaka afute bagi au kuweka dredy hapana

    • @lindaemily981
      @lindaemily981 3 года назад

      The world is full of information .. go and read more abt rastafarian and livity