#live
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Aminaa Mtumishi wa Mungu
Muchungaj mungu azidkkpa normally iliuendelee kufanya kaz yamungu
Nimesikiliza mafundisho yako yamenisaidia sana Nikamwambia mdogo wangu asikilize lakini kibaya aelewi kiswahili
Amina mtumishi Wa bwana sema tupone na kujua ukweli
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Ubarikiwe mtumish ujembe mzr
Uzidi kutenda haki ya Mungu.
Ubarikiwe sana Mungu akulinde mtumishi wa Mungu utuhombeye nasisi tuone mbigu
Asante Yesu
Apostor mwingira yoyote atakayekunywa kikombe cha babu atakufa
PROMOVER TV mbarikiwe wana wa Mungu
Amen 🙏. Mungu akubariki sana Mchungaji na aendelee kukupa nguvu ili uendelee kueneza injili kwa Jina la yesu
Barikiwa mno, usichoke kusema ukweli na Mungu azidi kukupa nguvu na uweza , pia uishi miaka mingi,ili watu wasio okoka wazidi kumtafuta Mungu, Mungu anatupenda sana na ndio maana anawatumia watu kama wewe ili tumkimbie shetani, asie sikia shauli zake, lakini mwisho wa siku asije sema hakusikia, barikiwa mno baba!
Mungu akiwapa Kibali njoeni na Uganda.Bwana Yesu awabariki
Nampenda Yesu
Nampenda Yesu jamani aliyenifia
Ameeeeeeen haijalishi kwa Jina La Yesu. Pastor Katekela Barikiwa. Jacktan Barikiwa sana. Audax Barikiwa sana. Nimebarikiwa sana
Mchungaji nimeona.ndoto mtoto wangu amepingwa risasi tumboni.maana yake Nini? Naomba unijibu baba mch.
AMINA AMINA
Amen, amen ubarikiwe sanaaa ❤
Amen mtumishi wa Mungu
Amina
Ameeeeeeeeen
Hallelujah. Mutumishi wa Mungu, Nimekufwata toka ukonga niko na wewe hapo ulipo kwa ajili ya utukufu wa Mungu.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen Amen Amen YESU YESU YESU YESU anaweza yote
SITAKUSAHAU WEWE MUUNBA WANGU. MCHUNGAJI KATEKEYA MUNGU AKUBARIKI SAAAANA.
Ubarikiwe sana
Mtumishi ubarikiwe ,,lini unarudi geita tuje huko ibadani
Nikoapa marekani lakini nakufuata kwakupataneno la mungu wetu
Aamen nami nipo kwenye mkutano nafurahia ingawaje Niko tbr,ubarikiwe
Asante kwa ujumbe usually unaningusa napenda nionanenawewe mtumishi ilijanga yamahisha yangu linanitesasana kwamudamurefu baba nipokeahiyomesage yangu needs ya yesu
Ameen