Katka muvi uliyo cheza na ni bonge la muvi umefunika wengi ndugu yngu hii muvi kali hisia za juu kweli wew ni bonge la muigzaji wengne majna tu wew na hyo binti ni hatali kama umemkubli mwamba gonga like hpo tuzdi kumsampti
Kitu kizuri kabisa jaman nawapongaza sana ❤❤❤ ila Jifunze kupandisha sauti hamsikiki vizuri naomba mupandishe sauti nzaindi hapo kwa kuwa sisi ndosapoti yenu nihayo kabisa Jifunze hilo tú nawapenda sana ❤ 🎉
Jiheshimu basi like like nyoooo kwn unafikilia like ni chakula yaani vile mnakera kma kinyesi cha asubui mnashinda tu hpa mkuomba like kudadeki kuomba like tu ila kutoa advice yko hpa aaahhhh
Eeh bailamu unaniua na hiyo kinyasa unatongozea mariamu yaani mariamu amewakata wote wenye hela ila tu akapenda bailamu miiza makaa nawapenda sana dear
Hii sehemu mumekosea sana ya Mume kuridhia mke wake akalale na mwanamme mwengine kwa sababu ya matatizo....Kwa hakika mumeshindwa hapa kutatuwa tatizo kibinaadamu na kidini.
Katka muvi uliyo cheza na ni bonge la muvi umefunika wengi ndugu yngu hii muvi kali hisia za juu kweli wew ni bonge la muigzaji wengne majna tu wew na hyo binti ni hatali kama umemkubli mwamba gonga like hpo tuzdi kumsampti
Asante sana boss
Kabisa
Nimelia walai maliam😢😢😢😢😢😢dah inatufunza ukipewa toa chamt
Mbailam na Mariam munatufanyua kazi nzuli sana tuna penda sana❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Uyu kaletwa tanzania kwajili ya kuigizatu uyo ni bonge la muigizaji, nawakubali Sana kutokea Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Chuma imekuwa yamoto sana, naona jama mikono inafata hapo 😂 sijui bhailam uko vyema kwenye mkono!!!
Kazi nzuri ila changamoto yang ni moja tu sauti ipo chini
Kitu kizuri kabisa jaman nawapongaza sana ❤❤❤ ila Jifunze kupandisha sauti hamsikiki vizuri naomba mupandishe sauti nzaindi hapo kwa kuwa sisi ndosapoti yenu nihayo kabisa Jifunze hilo tú nawapenda sana ❤ 🎉
Kazi nzuri sana ila saut ya video zenu hua iko chini sana
Kweli kabisa adi kuna kipindi niliachaga kuangalia sababu ya sauti yani unaona tu picha ila kinachoongelewa akisikiki
Mapenzi shikamooo 😂😂😂 bt mariamu anaendana tu na bhailam
Aliendana na vai
𝑀𝑜𝑜𝑜
Bailam ujawai feli yani nakupenda bure mm nishabik wako kindak ndaki uwek movie ukakosa like comment yangu
Kazi ndjema ndugu yangu BHAILAM IN THE NEW GENERATION
Kaka bhailam hii move umeicheza haswaa mauwa yako utafika mbali sanaa
Kumeanz kuchangamka sas kazi nzuri team bhailam
This the best of bhailam
Congratulations Bailam for 100k subscribers. We'll support as long as we can.
Bhailam Wewe ni mwigizaji ninayempenda zaidi napenda sana video zako kutoka Au Congo Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩😍😍😍😍👏👏🙏🙏💯💯
Jameeen naomba at like 5 bac
Eeee kweli nimeamini wakati mwingine marafiki wanaeza kugeuka wasaliti😢😢😢🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
kazi sana kaka 🎉🎉
،😢😢😢😢 😭😭😭😭jamani watu mwe mnafunga milango mkiwa Dani inauma kuigiliwa ivo .muvi imenonga sana Asante sana
Hii ni aina ya maisha binadamu anayoyapitia,,Mungu tupe njia ya kutokea😢😢
Kweli kabisa😢
Wa kwanza kutoka🇲🇿 basi naombeni like japo tatu❤❤❤
Nakupa 🎉🎉 Yako hujawahi kufeli
Wa🇲🇿🇲🇿ushilikiano amna kabisa wana❤❤❤❤bahilam anaupiga mwingi
Nice jobu napia Hongera kwaku pata subscribe laki 1 mungu akujalie zaid na zaid
Kazi nzuri bro bhailam mariam big up sana 🎉
😢🎉🎉🎉🎉 bhailam yaann hii sijui nsemenini ningekua n uwezo wa kusubcribe kwa mara hata kumi hongeren 🎉🎉🎉
Pole sana mariam big up guys
Duuuuh imeniuma sana hii pole mariamu bailamu usimuache mariamu
Bhailam unajua pka unajua Tena ❤❤❤
Kweli nimejifunza unapo kua nashida inaweza Fanya ufanye jombo ambalo litakumiza roho Yako sana lakin hauna jinsi nawapenda bure watu wangu
Duuuu hiii Noma Sitaki Kuongea Kitu Nnachowambia Kwangu Nikuwapa Pole but Lovely by Bhailam team
Pongez kwa wahuska wote ❤❤
Mashallah team bhailam 🎉🎉🎉 kazi safi sanaa...daktari nakulombotov❤
Jamani sauti iko chini sana rekebisheni apo
Nani mwingne amefurahi kama mm kumuona nyuki
❤❤❤❤❤ nmefurah Sana
Sauti ipo chini jitahid kuongeza kidogo
Kazi nzuri sana bhailamu me niko kwenye channel yako kila mda so pga kazi ❤❤❤❤❤
Duhh Maryam wamemfanyia unyama kwl😢😢😢
Jamani cjawah pata like Leo hata tano
Jiheshimu basi like like nyoooo kwn unafikilia like ni chakula yaani vile mnakera kma kinyesi cha asubui mnashinda tu hpa mkuomba like kudadeki kuomba like tu ila kutoa advice yko hpa aaahhhh
Asante
@@MELVINBBY😂😂😂
Unataka like ngapi nikupee ❤
Wakwanza kutoka 🇺🇸 naomba like zangu
Genz 👊 hatuna mapenzi 🤣🤣 😂 pesa kwenda mbele s kua twapenda matatizo n kibaon 😢 nawapenda 🇸🇦🇰🇪❤️❤️
Wakwaza love Leo Ni mm naombeni like
Movie yenye hisia kazi nzuri 🔥🔥👏🏽👏🏽🤘🏽✅✅!!
Nimeipenda iyi Season kutoka 🇨🇩🇨🇩💯💯
Much love from Uganda❤❤l❤
Eeh bailamu unaniua na hiyo kinyasa unatongozea mariamu yaani mariamu amewakata wote wenye hela ila tu akapenda bailamu miiza makaa nawapenda sana dear
Eeeeh nyuki ulianzalini tabia hiyo
Wallah iyinayo ni tu munch Léo naaamini rafikiyako ndio aduwi Yako pole Sana naom😢😢😢
Naipenda sana Kazi yako bhailam
Kunakitu nimejifunza sana 🙏 🙏🙏🙏
Katika pitepite zangu za episode 7 nkaonana na mr nyuki nakupenda bure nyuki na usitutupe hivo
@@clariszawadi2010 haya mwaya siwatupi
Dah bhailamu wew ni bonge na mkalii
God Job🎉😂
Mimi ni your big fan from 🇰🇪 kazi nzuri
Mm ndo wa kwanza naombeni likes ❤❤❤❤
Duuuu kali ya mwaka❤😢
Mauajiii yanafataa apoo usikubalii kaka uwaa wtee aaah izooo dhalau
Kwa kweli
Heee mtihnii
Nimefurahi kumuona nyuki 🎉
Onger sna Bhailam kwakupata 100k😂❤🎉
❤❤❤❤waaaaahhh too bad km wanaume wanafanya wa2 hivyo
Nani amependq hii history 😢😢❤
Hapa nikumoto wachatuone kama naomi kitaeleweka lakini siamini kapiza❤❤❤❤
Much love wale wa TANGA TUJUANE KWA LIKE❤❤❤
Ndo uzuri huo
Bhailam hii movie imekuja kumbaba wat San, kwa hui maisha usingagane mapenzi tafuta pesa kwaz
𝗛𝗼𝗻𝗴𝗲𝗿𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗺𝘇𝗲𝗲 𝗯𝗮𝗯𝗮 𝗻𝗮𝗸𝘂𝗯𝗮𝗹𝗶 𝘀𝗮𝗻𝗮🔥🔥🔥
Nikweli mariam anikua na shida ila siyo kwakuchukua hela za watu hivyo pabila kuwapa mzigo ona sasa kinacho tokea kosa la nani
Jmn tunaisbir ep ya 8
😭😭😭😭kwanini lakini wambake.......Ila for sure mnaupig mwing Sana mpk mnafany nitaman kuchez movie nanyi
Duuuh imeniuma sana hii pole mariamu😢😢
Good job Bhailam and others characters❤❤❤❤❤❤
😢😢inamafunzo lakini weee kubakwa mbele ya boyfriend wako hatar na nusu
😢😢😢😢 jamani nyuki adi nimetokwa na machozi 😢😢😢
Djaman apo kazi ya bailam Sasa tuangalie komba ya mwisho inauma sana Kbsa
Umeisha shindia dem af unafanyiw ushenzi uyo
Naikubali sana hii muv naomba like hata 2 tu
Ila wanahume wengeni hawata huona ufalime wa Mungu
Mnabana sauti sana inakuwa ndg
Nyuki huyo
Nice
Ongera sana Bahilam. Hiii episode imenitowa machozi.
Nimeamini binadamu wana roho mbaya sana
Sauti sauti sauti Bailam ongezeni sauti
Nyuki bhana Sasa ulishindwa kumsaidia rafiki Yako bure mpaka umchukue mke wake
Mandevu umeyatimbaa bhailam ni simba anakujaa kukuua ww😂 😂
😭😭 daaa! Maliamu pole Yan move hii imebeba maisha yangu 😭
😢pol sana ni huzuni 😢😢
Ep 8 tunangoja
Sijapenda kwakweli😢😢😢😢😢😢
Brother unajua Sana 👊👊 tunasubir ya 8
Asante sana
Movie Nzuri saana ❤❤
Nyuki Nyuki Nyuki nakupenda buree❤❤ nmefurahi sana kukuona much love from kenya
Huyu jamaa m'bunifu hata ameshinda yule wa manyoka
Clamvevo 😂😂😂
Bhailam✨️🙏👍
Hii sehemu mumekosea sana ya Mume kuridhia mke wake akalale na mwanamme mwengine kwa sababu ya matatizo....Kwa hakika mumeshindwa hapa kutatuwa tatizo kibinaadamu na kidini.
Kazi nzur bhailam
Wakwanza jmn ❤❤❤❤❤
😢😢😢😢ohooo masikini Mariam pole sana bhailamu lazima alipize nauhakika atawaua wote nyie washenzi mlio mbaka Mariam 😢
Bhailam 🎉🎉🎉🎉🎉
Ni like kumuona nyuki🎉🎉🎉🎉🎉
Maaamaeeee bonge la move ili hapa🔥🔥🔥