FALL IN LOVE | EP 7|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 279

  • @anthonynassoro9473
    @anthonynassoro9473 3 месяца назад +77

    Katka muvi uliyo cheza na ni bonge la muvi umefunika wengi ndugu yngu hii muvi kali hisia za juu kweli wew ni bonge la muigzaji wengne majna tu wew na hyo binti ni hatali kama umemkubli mwamba gonga like hpo tuzdi kumsampti

    • @Masoudsultan
      @Masoudsultan 3 месяца назад +4

      Asante sana boss

    • @Godfrey_lusekelo
      @Godfrey_lusekelo 3 месяца назад +1

      Kabisa

    • @djcardb
      @djcardb 3 месяца назад +1

      Nimelia walai maliam😢😢😢😢😢😢dah inatufunza ukipewa toa chamt

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 3 месяца назад +17

    Mbailam na Mariam munatufanyua kazi nzuli sana tuna penda sana❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JeanLunda-nv5fd
    @JeanLunda-nv5fd 3 месяца назад +3

    Uyu kaletwa tanzania kwajili ya kuigizatu uyo ni bonge la muigizaji, nawakubali Sana kutokea Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @khamisomary7428
    @khamisomary7428 3 месяца назад +13

    Chuma imekuwa yamoto sana, naona jama mikono inafata hapo 😂 sijui bhailam uko vyema kwenye mkono!!!

  • @leoncelaurent5644
    @leoncelaurent5644 3 месяца назад +7

    Kazi nzuri ila changamoto yang ni moja tu sauti ipo chini

  • @ronzevannyboychui1661
    @ronzevannyboychui1661 3 месяца назад +4

    Kitu kizuri kabisa jaman nawapongaza sana ❤❤❤ ila Jifunze kupandisha sauti hamsikiki vizuri naomba mupandishe sauti nzaindi hapo kwa kuwa sisi ndosapoti yenu nihayo kabisa Jifunze hilo tú nawapenda sana ❤ 🎉

  • @BlessMadempoz
    @BlessMadempoz 3 месяца назад +6

    Kazi nzuri sana ila saut ya video zenu hua iko chini sana

    • @mariaphilipo
      @mariaphilipo 3 месяца назад

      Kweli kabisa adi kuna kipindi niliachaga kuangalia sababu ya sauti yani unaona tu picha ila kinachoongelewa akisikiki

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 3 месяца назад +15

    Mapenzi shikamooo 😂😂😂 bt mariamu anaendana tu na bhailam

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi 3 месяца назад +9

    Bailam ujawai feli yani nakupenda bure mm nishabik wako kindak ndaki uwek movie ukakosa like comment yangu

  • @Marombe32
    @Marombe32 3 месяца назад +4

    Kazi ndjema ndugu yangu BHAILAM IN THE NEW GENERATION

  • @Godfrey_lusekelo
    @Godfrey_lusekelo 3 месяца назад +4

    Kaka bhailam hii move umeicheza haswaa mauwa yako utafika mbali sanaa

  • @Sharif-s6z
    @Sharif-s6z 3 месяца назад +4

    Kumeanz kuchangamka sas kazi nzuri team bhailam

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 3 месяца назад +3

    This the best of bhailam

  • @jumjeyone5066
    @jumjeyone5066 3 месяца назад +3

    Congratulations Bailam for 100k subscribers. We'll support as long as we can.

  • @salumuwembo-fo5rr365
    @salumuwembo-fo5rr365 3 месяца назад +3

    Bhailam Wewe ni mwigizaji ninayempenda zaidi napenda sana video zako kutoka Au Congo Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩😍😍😍😍👏👏🙏🙏💯💯

  • @SirAgonzaBringthon-od3pl
    @SirAgonzaBringthon-od3pl 3 месяца назад +3

    Jameeen naomba at like 5 bac

  • @BonithNimpagaritse-s4d
    @BonithNimpagaritse-s4d 3 месяца назад +7

    Eeee kweli nimeamini wakati mwingine marafiki wanaeza kugeuka wasaliti😢😢😢🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @merypaul4035
    @merypaul4035 3 месяца назад +2

    kazi sana kaka 🎉🎉

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 3 месяца назад +4

    ،😢😢😢😢 😭😭😭😭jamani watu mwe mnafunga milango mkiwa Dani inauma kuigiliwa ivo .muvi imenonga sana Asante sana

  • @johnfilbert5915
    @johnfilbert5915 3 месяца назад +9

    Hii ni aina ya maisha binadamu anayoyapitia,,Mungu tupe njia ya kutokea😢😢

  • @RadaiAmuza-xi4wv
    @RadaiAmuza-xi4wv 3 месяца назад +16

    Wa kwanza kutoka🇲🇿 basi naombeni like japo tatu❤❤❤

  • @MwanaidMchomvu
    @MwanaidMchomvu 3 месяца назад +4

    Nakupa 🎉🎉 Yako hujawahi kufeli

  • @MrsmasandunjeMrsmasandunje
    @MrsmasandunjeMrsmasandunje 3 месяца назад +5

    Wa🇲🇿🇲🇿ushilikiano amna kabisa wana❤❤❤❤bahilam anaupiga mwingi

  • @JustineSilukala-io3nd
    @JustineSilukala-io3nd 3 месяца назад +3

    Nice jobu napia Hongera kwaku pata subscribe laki 1 mungu akujalie zaid na zaid

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 3 месяца назад +2

    Kazi nzuri bro bhailam mariam big up sana 🎉

  • @BintyRama-b1r
    @BintyRama-b1r 3 месяца назад +3

    😢🎉🎉🎉🎉 bhailam yaann hii sijui nsemenini ningekua n uwezo wa kusubcribe kwa mara hata kumi hongeren 🎉🎉🎉

  • @Zulpher-d1x
    @Zulpher-d1x 3 месяца назад +1

    Pole sana mariam big up guys

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 3 месяца назад +5

    Duuuuh imeniuma sana hii pole mariamu bailamu usimuache mariamu

  • @mwanalimasaid2368
    @mwanalimasaid2368 3 месяца назад +4

    Bhailam unajua pka unajua Tena ❤❤❤

  • @ronyalkh
    @ronyalkh 3 месяца назад +5

    Kweli nimejifunza unapo kua nashida inaweza Fanya ufanye jombo ambalo litakumiza roho Yako sana lakin hauna jinsi nawapenda bure watu wangu

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 3 месяца назад +6

    Duuuu hiii Noma Sitaki Kuongea Kitu Nnachowambia Kwangu Nikuwapa Pole but Lovely by Bhailam team

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 3 месяца назад +3

    Pongez kwa wahuska wote ❤❤

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +1

    Mashallah team bhailam 🎉🎉🎉 kazi safi sanaa...daktari nakulombotov❤

  • @philemonongoro7464
    @philemonongoro7464 3 месяца назад +3

    Jamani sauti iko chini sana rekebisheni apo

  • @QueenJane-x3m
    @QueenJane-x3m 3 месяца назад +12

    Nani mwingne amefurahi kama mm kumuona nyuki

  • @zaynabshaaban-jh8zu
    @zaynabshaaban-jh8zu 3 месяца назад +5

    Sauti ipo chini jitahid kuongeza kidogo

  • @SelemaniIddy-nc1n
    @SelemaniIddy-nc1n 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana bhailamu me niko kwenye channel yako kila mda so pga kazi ❤❤❤❤❤

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 3 месяца назад +4

    Duhh Maryam wamemfanyia unyama kwl😢😢😢

  • @alexluvanga2228
    @alexluvanga2228 3 месяца назад +30

    Jamani cjawah pata like Leo hata tano

    • @MELVINBBY
      @MELVINBBY 3 месяца назад

      Jiheshimu basi like like nyoooo kwn unafikilia like ni chakula yaani vile mnakera kma kinyesi cha asubui mnashinda tu hpa mkuomba like kudadeki kuomba like tu ila kutoa advice yko hpa aaahhhh

    • @alexluvanga2228
      @alexluvanga2228 3 месяца назад

      Asante

    • @crazykea2032
      @crazykea2032 3 месяца назад

      ​@@MELVINBBY😂😂😂

    • @JamaliNdwata
      @JamaliNdwata 3 месяца назад

      Unataka like ngapi nikupee ❤

  • @PeninaKashindi
    @PeninaKashindi 3 месяца назад +6

    Wakwanza kutoka 🇺🇸 naomba like zangu

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 месяца назад +4

    Genz 👊 hatuna mapenzi 🤣🤣 😂 pesa kwenda mbele s kua twapenda matatizo n kibaon 😢 nawapenda 🇸🇦🇰🇪❤️❤️

  • @muhamadmachude
    @muhamadmachude 3 месяца назад +5

    Wakwaza love Leo Ni mm naombeni like

  • @vincentgeorge178
    @vincentgeorge178 3 месяца назад +1

    Movie yenye hisia kazi nzuri 🔥🔥👏🏽👏🏽🤘🏽✅✅!!

  • @OrVaboy
    @OrVaboy 3 месяца назад +3

    Nimeipenda iyi Season kutoka 🇨🇩🇨🇩💯💯

  • @ShammieSaleem
    @ShammieSaleem 3 месяца назад +2

    Much love from Uganda❤❤l❤

  • @RaelAmunga
    @RaelAmunga 3 месяца назад +4

    Eeh bailamu unaniua na hiyo kinyasa unatongozea mariamu yaani mariamu amewakata wote wenye hela ila tu akapenda bailamu miiza makaa nawapenda sana dear

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 3 месяца назад +3

    Eeeeh nyuki ulianzalini tabia hiyo

  • @VioletteManirakiza-jf2rk
    @VioletteManirakiza-jf2rk 3 месяца назад +4

    Wallah iyinayo ni tu munch Léo naaamini rafikiyako ndio aduwi Yako pole Sana naom😢😢😢

  • @stacyiak2023
    @stacyiak2023 3 месяца назад +2

    Naipenda sana Kazi yako bhailam

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha 3 месяца назад +1

    Kunakitu nimejifunza sana 🙏 🙏🙏🙏

  • @clariszawadi2010
    @clariszawadi2010 3 месяца назад +3

    Katika pitepite zangu za episode 7 nkaonana na mr nyuki nakupenda bure nyuki na usitutupe hivo

    • @nyukiempiretz
      @nyukiempiretz 3 месяца назад

      @@clariszawadi2010 haya mwaya siwatupi

  • @HIDAYAKAMPAKASA
    @HIDAYAKAMPAKASA 3 месяца назад +2

    Dah bhailamu wew ni bonge na mkalii

  • @Ismajaygoat
    @Ismajaygoat 3 месяца назад +2

    God Job🎉😂

  • @abelaunga1171
    @abelaunga1171 3 месяца назад +1

    Mimi ni your big fan from 🇰🇪 kazi nzuri

  • @MohamedHassan-ji8it
    @MohamedHassan-ji8it 3 месяца назад +3

    Mm ndo wa kwanza naombeni likes ❤❤❤❤

  • @FurahaKulapha
    @FurahaKulapha 3 месяца назад +3

    Duuuu kali ya mwaka❤😢

  • @ministerchristopherjohn7781
    @ministerchristopherjohn7781 3 месяца назад +4

    Mauajiii yanafataa apoo usikubalii kaka uwaa wtee aaah izooo dhalau

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 3 месяца назад +3

    Heee mtihnii

  • @MamyLily-f2i
    @MamyLily-f2i 3 месяца назад +1

    Nimefurahi kumuona nyuki 🎉

  • @AmaniNkurunziza
    @AmaniNkurunziza 3 месяца назад +8

    Onger sna Bhailam kwakupata 100k😂❤🎉

  • @LylahMrombo
    @LylahMrombo 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤waaaaahhh too bad km wanaume wanafanya wa2 hivyo

  • @AminaMusa-v9h
    @AminaMusa-v9h 3 месяца назад +2

    Nani amependq hii history 😢😢❤

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 3 месяца назад +1

    Hapa nikumoto wachatuone kama naomi kitaeleweka lakini siamini kapiza❤❤❤❤

  • @LizyMaher
    @LizyMaher 2 месяца назад

    Much love wale wa TANGA TUJUANE KWA LIKE❤❤❤

  • @BoniphasThomas-f2j
    @BoniphasThomas-f2j 3 месяца назад +3

    Ndo uzuri huo

  • @AntonyThuranira-zi1vj
    @AntonyThuranira-zi1vj 3 месяца назад +2

    Bhailam hii movie imekuja kumbaba wat San, kwa hui maisha usingagane mapenzi tafuta pesa kwaz

  • @JumaDezombie-cn3yu
    @JumaDezombie-cn3yu 3 месяца назад +4

    𝗛𝗼𝗻𝗴𝗲𝗿𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗺𝘇𝗲𝗲 𝗯𝗮𝗯𝗮 𝗻𝗮𝗸𝘂𝗯𝗮𝗹𝗶 𝘀𝗮𝗻𝗮🔥🔥🔥

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 3 месяца назад +4

    Nikweli mariam anikua na shida ila siyo kwakuchukua hela za watu hivyo pabila kuwapa mzigo ona sasa kinacho tokea kosa la nani

  • @gulleid
    @gulleid 3 месяца назад +2

    Jmn tunaisbir ep ya 8

  • @RahelMzunda
    @RahelMzunda 3 месяца назад +1

    😭😭😭😭kwanini lakini wambake.......Ila for sure mnaupig mwing Sana mpk mnafany nitaman kuchez movie nanyi

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe3753 3 месяца назад +2

    Duuuh imeniuma sana hii pole mariamu😢😢

  • @StevenJames-z2l
    @StevenJames-z2l 3 месяца назад

    Good job Bhailam and others characters❤❤❤❤❤❤

  • @eunice1808
    @eunice1808 3 месяца назад +3

    😢😢inamafunzo lakini weee kubakwa mbele ya boyfriend wako hatar na nusu

  • @NoorEesa
    @NoorEesa 3 месяца назад +3

    😢😢😢😢 jamani nyuki adi nimetokwa na machozi 😢😢😢

  • @IssaBengine
    @IssaBengine 3 месяца назад

    Djaman apo kazi ya bailam Sasa tuangalie komba ya mwisho inauma sana Kbsa
    Umeisha shindia dem af unafanyiw ushenzi uyo

  • @SelemaniMalandi
    @SelemaniMalandi 3 месяца назад +1

    Naikubali sana hii muv naomba like hata 2 tu

  • @sadikabdallah8061
    @sadikabdallah8061 3 месяца назад +1

    Ila wanahume wengeni hawata huona ufalime wa Mungu

  • @Hasmay-t2i
    @Hasmay-t2i 3 месяца назад +1

    Mnabana sauti sana inakuwa ndg

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +4

    Nyuki huyo

  • @Msomal47
    @Msomal47 3 месяца назад +2

    Nice

  • @atanasiomitudo4566
    @atanasiomitudo4566 2 месяца назад

    Ongera sana Bahilam. Hiii episode imenitowa machozi.

  • @emmanuel-jl5td
    @emmanuel-jl5td 3 месяца назад +2

    Nimeamini binadamu wana roho mbaya sana

  • @shigangakelvin1
    @shigangakelvin1 3 месяца назад +1

    Sauti sauti sauti Bailam ongezeni sauti

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 3 месяца назад +1

    Nyuki bhana Sasa ulishindwa kumsaidia rafiki Yako bure mpaka umchukue mke wake

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 3 месяца назад +1

    Mandevu umeyatimbaa bhailam ni simba anakujaa kukuua ww😂 😂

  • @sarahdanny-k5k
    @sarahdanny-k5k 3 месяца назад +4

    😭😭 daaa! Maliamu pole Yan move hii imebeba maisha yangu 😭

  • @ESTHERSILVIA-pj3dn
    @ESTHERSILVIA-pj3dn 3 месяца назад +1

    Ep 8 tunangoja

  • @SelinaKadzo-q2u
    @SelinaKadzo-q2u 3 месяца назад +2

    Sijapenda kwakweli😢😢😢😢😢😢

  • @kismartyog7376
    @kismartyog7376 3 месяца назад +1

    Brother unajua Sana 👊👊 tunasubir ya 8

  • @nekodaaime
    @nekodaaime 3 месяца назад

    Movie Nzuri saana ❤❤

  • @MercyKahindi-go2nr
    @MercyKahindi-go2nr 2 месяца назад

    Nyuki Nyuki Nyuki nakupenda buree❤❤ nmefurahi sana kukuona much love from kenya

  • @OscarDzombo
    @OscarDzombo 3 месяца назад +2

    Huyu jamaa m'bunifu hata ameshinda yule wa manyoka

  • @eliyasijackson2851
    @eliyasijackson2851 3 месяца назад +1

    Bhailam✨️🙏👍

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini 3 месяца назад

    Hii sehemu mumekosea sana ya Mume kuridhia mke wake akalale na mwanamme mwengine kwa sababu ya matatizo....Kwa hakika mumeshindwa hapa kutatuwa tatizo kibinaadamu na kidini.

  • @fatumamwangoka4010
    @fatumamwangoka4010 3 месяца назад

    Kazi nzur bhailam

  • @LovenessJames-j9o
    @LovenessJames-j9o 3 месяца назад +2

    Wakwanza jmn ❤❤❤❤❤

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 3 месяца назад

    😢😢😢😢ohooo masikini Mariam pole sana bhailamu lazima alipize nauhakika atawaua wote nyie washenzi mlio mbaka Mariam 😢

  • @JACKMIPAMBA
    @JACKMIPAMBA 3 месяца назад +1

    Bhailam 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AmisseBuraimoCanamo
    @AmisseBuraimoCanamo 3 месяца назад

    Ni like kumuona nyuki🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Allybomeza
    @Allybomeza 3 месяца назад

    Maaamaeeee bonge la move ili hapa🔥🔥🔥