MWISHO WA WALE WALIOCHUKUA BARAKA YAKO - ( JEREMIAH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • MWISHO WA WALE WALIOCHUKUA BARAKA YAKO - ( JEREMIAH 51:34... )
    #SundayService #JesusWinnerMinistry #MwangazaTv
    SUNDAY SERVICE | JESUS WINNER MINISTRY - NAIROBI
    SMS 22914|22913
    Follow us on:
    ​INSTAGRAM @Mwangaza_tv
    / mwangazatvkenya
    FACEBOOK @Mwangazatv
    / ​​​
    TWITTER @Mwangaza_tv
    / @mwangaza_tv

Комментарии • 53

  • @hiramkiragu496
    @hiramkiragu496 8 месяцев назад +2

    Amen watapike baraka zetu sahii

  • @freddieg2847
    @freddieg2847 8 месяцев назад +2

    Amen kile walinifanyia hata wao watafanyiwa😇

  • @MillardMurangiri-fn5gd
    @MillardMurangiri-fn5gd 8 месяцев назад

    👋👋👋👋👋👋👋👏👏👏👏👏👏👏mm Niko na Imani MUNGU amesema🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mercymuraguri1252
    @mercymuraguri1252 8 месяцев назад

    Thanks Jesus winner

  • @Sherry-me
    @Sherry-me 8 месяцев назад

    Amina

  • @MillardMurangiri-fn5gd
    @MillardMurangiri-fn5gd 8 месяцев назад

    Yes GOD 🙏 Amen amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏.

  • @sherrienduati7651
    @sherrienduati7651 8 месяцев назад

    AMINA. Wakristo chochote chetu kilichukuliwa na maadui Mungu Anaenda Kuturejeshea. Kuna watu walichukua baraka zako na kile kilikuwa chetu kama vile Babuloni ilimeza. Hata ikiwa walimeza chochote walimeza mwaka huu watatapika kwa maana ni mwaka wa ufufuo.Wamefurahia kwa ajili ya baraka zetu lakini mwaka huu ni mwaka wetu wa kurudishiwa. Maadui zetu kile walitufanyia nao watafanyiwa hivyo hivyo. Sisi hatuna nguvu hatuna uwezo lakini siku ya leo ile kitendo walitutendea mwaka huu watatendewa. Kuna Mungu Anajua Kupigania walio Wake. Walijiinua wakasema wametushinda lakini leo Jehovah Mwenyewe Atatupigania. Mwaka huu si mwaka wetu wa kulia na kuteseka, tunainuka viwango vingine!

  • @sherrienduati7651
    @sherrienduati7651 8 месяцев назад

    AMINA. Wakristo mwaka huu kuna mahali tunaenda. Maadui wetu walikuwa wameweka ukuta, leo ukuta yao unaanguka. Ukianguka chukua baraka zako na uende. Wewe umeomba, umefunga na umeitana Jehovah Amesikia maombi yako na Amesema leo kuta zote zinaanguka. Ukuta ikianguka ni kuondoka katika ile shida tulikuwa nayo. Andika mahali, itatendeka hivi karibuni. Maadui wetu wanawekwa aibu. Tumeaibishwa miaka mingi na siku nyingi, vile walituaibishwa wataaibishwa. Kuta zao zikianguka aibu inaingia kwao. Maadui wetu wametuongea sana lakini huu mwaka wataona na hawatakula. Mbingu na dunia na chochote kilicho duniani kitashangilia na kuimba wimbo mpya. Huu mwaka hatutatoka mikono mitupu.

  • @jacklinekibandi1258
    @jacklinekibandi1258 8 месяцев назад +1

    Baraka zangu zinatapikwa before mwezi WA SITA...I will be back with a testimony

  • @MillardMurangiri-fn5gd
    @MillardMurangiri-fn5gd 8 месяцев назад +1

    Amen amen,chochote changu waliomeza changu, mwaka huu watairundisha Kwa jina YESU 🙏🙏🙏.

  • @stephnjesh563
    @stephnjesh563 8 месяцев назад +1

    Yes! God of Daniel will remember us.

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 8 месяцев назад

    Asante yesu Kwa uzima wako ambao umenifikisha siku ya leo

  • @peteroduor7264
    @peteroduor7264 8 месяцев назад

    Watatapika baraka zangu

  • @dorisriungu8092
    @dorisriungu8092 8 месяцев назад +1

    I connect my daughter and myself on this altar,,,they will cry ohh lord this powerful ,watching from thika

  • @tigitiblessed2986
    @tigitiblessed2986 8 месяцев назад

    WATAPIKE BARAKA ZETU WALIOMEZA

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 8 месяцев назад

    Hallelujah amina

  • @ruthwaithera2505
    @ruthwaithera2505 8 месяцев назад +1

    Amen I receive it nimeteseka na kufinyiliwa 15 years

  • @MillardMurangiri-fn5gd
    @MillardMurangiri-fn5gd 8 месяцев назад

    Wow wow 😂

  • @RachealWaweru-mn4ez
    @RachealWaweru-mn4ez 8 месяцев назад +1

    Amen watapike sasa

  • @annltendiritu8639
    @annltendiritu8639 8 месяцев назад +2

    I resived my blessings which my enemies taken. Tongether for my kids..this is my year

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 8 месяцев назад +1

    Maadui zangu waliomeza chochote kilicho changu watakitapika kwa jina la yesu

  • @charitymburu3344
    @charitymburu3344 8 месяцев назад +1

    Amen watapike watotowangu na haraka zangu

  • @sherrienduati7651
    @sherrienduati7651 8 месяцев назад

    AMINA. Watu waliharibu Maisha yetu tukakaa kama watu wamerogwa. Walikausha, mito yetu ya baraka na ya kuinuliwa. Leo Babuloni inakauka na ikikauka mito yetu na bahari yetu inajaa maji. Waliokuroga na Waliotuaani mahali walikausha mito ya baraka inajaa. Kwa maadui inakauka. Maadui wetu wakijaribu kupigana nasi Mungu Atawanywesha mpaka wapepepsuke, walale usingizi na wasiamke tena. Maadui wakilala na sisi tuinuke. Wakati watalala Maisha yetu ilikuwa imelala itainuka. Maadui watashushwa chini kama kondoo ndume anapoelekea kuchinjwa. Ushuhuda inakuja. Kuanzia leo muujiza unatendeka. Maadui walikuja kwetu wakanyakua baraka zetu, siku ya leo chochote kilimezwa kitatapikwa na kikitapikwa ni kunyakua.

  • @TrizahMuriuki
    @TrizahMuriuki 8 месяцев назад

    Lazima pia wao watafanyiwa hivyo walinifanyiya

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 8 месяцев назад

    Napokea miujiza ya bwana

  • @SabinaMuiruri-or7eq
    @SabinaMuiruri-or7eq 8 месяцев назад

    Watatapika ndoa yangu leo

  • @JaneMueniKonzaCity
    @JaneMueniKonzaCity 8 месяцев назад

    1st Sunday of 2024 JESUS is going to wipe away all my shame.

  • @SabinaMuiruri-or7eq
    @SabinaMuiruri-or7eq 8 месяцев назад

    Jehova ananipigania

  • @infomosealex7662
    @infomosealex7662 8 месяцев назад

    Amina mileleee

  • @MillardMurangiri-fn5gd
    @MillardMurangiri-fn5gd 8 месяцев назад

    JESUS JESUS JESUS 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ruthwaithera2505
    @ruthwaithera2505 8 месяцев назад +1

    Amen I receive it

  • @freddieg2847
    @freddieg2847 8 месяцев назад

    Amen Glory Be to GOD.

  • @SusanNabifo-hg5zc
    @SusanNabifo-hg5zc 8 месяцев назад

    🙏🙏thanks our daddy

  • @gggaaa9141
    @gggaaa9141 8 месяцев назад

    Glory to God 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eunicewambuimwangi7265
    @eunicewambuimwangi7265 8 месяцев назад

    It's our time

  • @marynjoroge1949
    @marynjoroge1949 8 месяцев назад

    Amen Amen Amen

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 8 месяцев назад

    Amina nimwaka wangu

  • @cynthiaadhiambo7653
    @cynthiaadhiambo7653 8 месяцев назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @SabinaMuiruri-or7eq
    @SabinaMuiruri-or7eq 8 месяцев назад

    Ooo yes

  • @busenasalome9857
    @busenasalome9857 8 месяцев назад

    Amen

  • @EuniceNdiritu-j4t
    @EuniceNdiritu-j4t 8 месяцев назад

    Amen

  • @ruthwaithera2505
    @ruthwaithera2505 8 месяцев назад

    Amen

  • @ruthkithinji6612
    @ruthkithinji6612 8 месяцев назад

    Amen

  • @SabinaMuiruri-or7eq
    @SabinaMuiruri-or7eq 8 месяцев назад

    Amen

  • @SabinaMuiruri-or7eq
    @SabinaMuiruri-or7eq 8 месяцев назад

    Amen

  • @catherinewanjiru3441
    @catherinewanjiru3441 8 месяцев назад

    Amen

  • @gracekaruana3070
    @gracekaruana3070 8 месяцев назад

    Amen

  • @lucyberyl7482
    @lucyberyl7482 8 месяцев назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @ZakayoSegerger
    @ZakayoSegerger 8 месяцев назад +1

    God is great

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 8 месяцев назад

    Amina watumishi wa mungu mubarikiwe

  • @tigitiblessed2986
    @tigitiblessed2986 8 месяцев назад

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 8 месяцев назад

    Amina👏👏👏👏👏

  • @Asty-l4w
    @Asty-l4w 8 месяцев назад

    Amen. Thank you Lord.