😂heeee leyo nimecheka sana yangu yote 😅sija wai ona Simon kibe akicheka 😀🥰in this way😆😆😂 he's ever very serious wow today is deferent nice 😀 uyu Muzee very funny story's 😁 😍🙆🏽🤦🏽🇬🇧✈️🇰🇪
The prisons (particularly men's) that I've visited over the years, I can tell you that there are no demon possessed prisoners in any Kenyan prison. Wueeeh! Jela sio mchezo. That's where most of them find GOD.
@peterwairegi450 mbona samweli alijitokeza wakati sauli alikwenda kushaliwa kwa mwanamke mganga. Mbona alijitokeza na kumzungumzia sauli. Hii yaonyesha kuna uhusiano kati ya huyo mungu na uganga ndio maana wakristo wamwita mganga wa waganga.
@@josengachi kwanza kabisa sauli alienda usiku kama amejificha uso ndio asionekane kwani ilikua ni dhambi kubwa sana na ambayo hukumu yake ilikuwa ni kupigwa mawe hadi kufa. Kwenda kwa madhabahu ya uchawi kulimletea picha iliyofanana na Samuel na wala sio Samuel. 1chronicles 10:13 Sauli alikufa kwa sababu ya kutafuta ushauri kwa waliokufa na pia aliondolewa kwenye utawala kwa hilo dhambi na mungu.
@@jacksonmutua1013majina sio issue but yeye mwenyewe amesema ametoka kitui, tharaka wenye ni wachawi wametoa ukambani na pasipo kuwa na ukabila wakamba Hadi Sahi baadhi Yao ni wachawi.
Sijui nacheka kwa nini😂😂
Mnaroga mpaka kanisa😂
Uchawi Ni tamu,nitajaribu nyumbani kuroga ruto😮😮
😂heeee leyo nimecheka sana yangu yote 😅sija wai ona Simon kibe akicheka 😀🥰in this way😆😆😂 he's ever very serious wow today is deferent nice 😀 uyu Muzee very funny story's 😁 😍🙆🏽🤦🏽🇬🇧✈️🇰🇪
that’s why it’s good to cleanse (by prayers ) a place before use cos at the dead if night this darkness is at work .
Watu wa diaspora, si tuchange tulipe huyu mchawi Sh.5 million aroge Ruto na Kimani Ichung'ua.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
@@b.3940 Sasa wewe mbona unaniua na kicheko..mbavu zimenikauka ajabu🤣🤣🤣🤣🤣
We need a part 2
Mungu nipee ufumilifu kwako
GOD HAS A REASON FOR EVERYTHING WE GO THROUGH IN THIS LIFE, POSSIBLY HUYU AKO NA WITO NA HAJUI JUU YA TAMAA YA VITU VYA KUISHA .
God brought him in prison to reform and turn to Him. He will be a great preacher in his generation for God's glory.
Anafaa kuachiliwa akuje aroge wenye wanashika na kuua GZ
Mfungwa hachagui jela...kumbe serikali hairogekangi😂😂😂😂😂
The prisons (particularly men's) that I've visited over the years, I can tell you that there are no demon possessed prisoners in any Kenyan prison. Wueeeh! Jela sio mchezo. That's where most of them find GOD.
Story ya Leo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@@stankirubi1182 Ndí we ingíarogire njanji andekererie😂😂😂
@@patrickndichu3905 we my friend ahingirwo kumia yr 2000 akafaa
@stankirubi1182 Arohurúka uhoro..
unashtuka aje😂😂😂😂ati " hee" hyyy" unafanya suspect akae mwenye dhambi 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 heeee he
unamkatiza sana, wacha atupee story ata akama ni one hour buana..
Ati heee!!!Simon kibe uyo karî ūu
Huyu si apelekewe urongi kwenye ako aturongee ruto 😂
We need more form this man
But hapa haikusaidia yeye yote ni bure
Thagicu si Meru county..kitui tena
yes.,..
Kindly aki Roga Ruto arap mashamba 😂
Shida ni amroge akiwa mlevi😂😂💔💔
🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂
Niko diaspora na ningependa kuongea na huyu mchawi nimpatie tender ya kuroga mtu ambaye aliniuzia shamba isiyo yake.
😂😂😂 Alianza na church
Kwani ulishikwa si ungefanya magic hakuna uchawi
Waganga na wachawi pia hufungwa kwani mbona hangeroga ule jaji alimfunga amwachie ..weird
huyu si afunguliwe aturogee Ali Mada Rex
Please make ur video's longer so that we get to hear the whole story
Funny ..nvr heard of mganga mlevi
Now imagine wenye aliroga akiwa mlevi😂😂
Mchawi😂😂😂😂 ajitoe kwa prison tuamini
Aliokoka
Aliokoka
Kwahiyo hata nguku wa nguli anaweza letwa huku
Huyu ndie mutharaka sasa 🤣🤣
@@jacksonmutua1013 but amesema ni Wakanesa.
@patrickndichu3905 what you have to understand watharaka hii kabila ya kindiki wako between Meru - kamba
@jacksonmutua1013 Musikize tena.
I knew that Ngaikaranga. I preached to him in 2004
Hakukuroga?
Ai ,si uwapatiange time wajiongee Dio pia sisi tushike , hii nusu nusu sio tamu
We kama ndani
At least alipatana na Yesu gerezani
We need pt² please
Mganga akajiunga na mganga wa waganga akaanza kukula kichwa cha yesu miguu, matumbo na kadamu kweli wakristo ni warogi.
Imeandikwa usijaribu kwenda kutafuta ushauri kwa waganga na mizimu kwani watainajisi nafsi yako. Mungu anachukia watafutao ushauri kwa waliokufa.
@peterwairegi450 mbona samweli alijitokeza wakati sauli alikwenda kushaliwa kwa mwanamke mganga. Mbona alijitokeza na kumzungumzia sauli. Hii yaonyesha kuna uhusiano kati ya huyo mungu na uganga ndio maana wakristo wamwita mganga wa waganga.
@@josengachi kwanza kabisa sauli alienda usiku kama amejificha uso ndio asionekane kwani ilikua ni dhambi kubwa sana na ambayo hukumu yake ilikuwa ni kupigwa mawe hadi kufa. Kwenda kwa madhabahu ya uchawi kulimletea picha iliyofanana na Samuel na wala sio Samuel. 1chronicles 10:13 Sauli alikufa kwa sababu ya kutafuta ushauri kwa waliokufa na pia aliondolewa kwenye utawala kwa hilo dhambi na mungu.
Dini zote ni upuuzi
@@mburumugure8496 kweli kabisa ni uchafu mtupu
Uyu anafaa afanyiwe exclusive interview
Kube wangaga ni sure mbaya hivo
We're all wonderfully and fearfully made nobody's ugly
😅😅😅
Wee kibe wacha tuskize story....
Si uroge mapolice wakufe utoke
😂😂😂 walai
Hana apparatus za kuroga huko 😅😅😅
😂😂😅
Wacha maneno mingi nani.sema tu ulirape mtoto.
Weh
Aki iyo story ni tamuuuu
Your interviewing skills are inpits, rekebisha
Ooh Jesus 😂 Kibe... why are you interested to know details of witchcraft
Shetani ashindwe in JESUS name😮
😂😅 After prison atakua paster ndiye utakua unapelekea tithe Na saadaka.😂ujue Kenya not a joke.
😂😂@@ThirdBorn-b9c
😅😅😅😅😅
Yani wakamba na uchawi nkama trade
Huyu ni mutharaka kwani ujasikia majina yake
Uchawi uko everywhere in the world
Hakuna kikamba Kama io ,nugu
@@jacksonmutua1013majina sio issue but yeye mwenyewe amesema ametoka kitui, tharaka wenye ni wachawi wametoa ukambani na pasipo kuwa na ukabila wakamba Hadi Sahi baadhi Yao ni wachawi.
Don’t be stupid! Huyu ni Mmeru!
😂😂😂😂😅
na mganga hangejiokoa asiende jela 😅😅😅😅😅
They only lie
Sio MUGANGA ni MUCHAWI
Mganga na Mchawi ni watu wawili tofauti.
Yeye anaongea anachokijua sio kuambiwa.
@@patrickndichu3905Pliz elezea mganga ni nani na mchawi ni nani.
Huyu kwani ni mganga mwaibare
Part 2 please
Huyu hakuna haja atoke
Yesu atamtoa na hakuna atakayemzuilia.
Umeroga watu wangapi haswa
Acha akae kae huko kiasi
😅kwani ametoboa siri za kwenyu.
Part 2
weeh!! huyu naye ako na mambo
part two
😂😂
Simon huja ngonja tunjue urogi ya shamba ilienda anje
Huyu atatoka arudie uchawi yawaah
Season 2 kibe
Story za jaba tu
Mrogi
Ata ua face anakaa mchawi
Stop interruptions, wacha tusikie story
Alafu mshide mkiulizana bona wanawake wanachinjwa na wanaume
Mjinga kabisa ati alijaribu kuroga kanisa
He's lying
True
You are acting like a bully let the man tell his story .poor interving skills
Kojoa ulale. Kibe ako sawa. Inataka kujua kurogana?
😂😂😂@@ThriveThought
Kunia ulale wewe... Kibe ako sawa
Kwani wewe ni mganga mwenzake
Enda uka nyambie na huko utoe kisirani na ujinga hapa
😅😅😅
Mrogi