UMUHIMU WA DUA | SIRI YA SURAT NASR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh Bila Shaka Munaendelea Vizuri, Tuendelee Kupata Faida Katika Siri Ya Surah Fupi Yenye Siri Kubwa

Комментарии • 17

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah8018 Год назад +2

    Shukran jazeerah barallahu fiikii ya akhii

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 Год назад +3

    Maash Allah jazakallah kheir, Allah akuhifadhi

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 11 месяцев назад

    Alhamndulillah.

  • @zubaidazu6221
    @zubaidazu6221 Год назад +3

    Shukrani sana Allah akulipe kheri

    • @Shafaakallwahhu
      @Shafaakallwahhu  Год назад

      Shukran

    • @mwembaabubakar1476
      @mwembaabubakar1476 Год назад

      Tunashukuru.tupo pamoja nawe .Endelea kutupa faida/fadhila za sura hizi.
      Bila kusahau utufunze namna /nyakati/idadi ya namna ya kufanya nyiradi na kuomba Dua kwa haja mbalimbali.

  • @Shafaakallwahhu
    @Shafaakallwahhu  Год назад +6

    DUA YENYEWE NI HII
    *الحمد لله رب العالمين والصلاة والسلام على رسول الله صلى الله عليه وسلم، اللهم يا ودود يا ودود، ياذالعرش المجيد ،يا فعال لما يريد، أسألك باءسمك العظيم الاعظم ،الذي ملأ أركان عرشك، وبقدرتك التي قدرت بها على جميع خلكك، يا غياث المستغثين، يا غياث المستغثين، يا غياث المستغثين، اغثنا يا الله ،اغثنا يا الله، اغثنا يا الله، وصلى الله على سيدنا محمد وعلى آله وأصحابه وسلم*Tafsiri:
    -Sifa njema zake M/MUNGU mlezi wa ulimwengu wote,
    -Na Rehema na Amani zile juu ya mtume MUHAMMAD ,(SAW)
    -Ewe M/MUNGU
    -Ewe Rafiki!
    -Ewe Rafiki,
    -Ewe mwenye kiti kitukufu cha enzi,
    -Ewe mwenye kufanya unalotaka
    -Nakuomba kwa jina lako kuu lililotukuka
    -Ambao lililojaza nguzo za Arshi yako,
    -Na kwa uwezo wako umewashinda viumbe wako wote
    -Ewe msaidizi wa watafutao msaada!
    -Ewe msaidizi wa watafutao msaada!
    -Ewe msaidizi wa watafutao msaada!
    -Tusaidie Ewe MUNGU
    -Tusaidie Ewe MUNGU
    -Tusaidie Ewe MUNGU
    -Na Rehema za MUNGU na Amani ziwe juu ya mtume MUHAMMAD na jamaa zake na sabaha zake.

  • @zubaidazu6221
    @zubaidazu6221 Год назад +1

    Shukrani pia kwa dua

  • @shadyasalum1212
    @shadyasalum1212 Год назад +1

    Mashallah Allah akulipe ujira mwema

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 Год назад +1

    Subhana Llah Mwenyezi Mungu mkubwa swali langu wapi kasema mtume tusoma mara 300 nauliza sio napinga nataka kujua Wa Jazaak Allahu Kheiran.

    • @ramlarubama9570
      @ramlarubama9570 Год назад

      Namba ndio Uislamu,kila mtu ana fani yake,ukisoma kwa nia ya kujifunza utajua.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Год назад

      Allah amesisitiza sana kwa wenye kutafakkar! Nakila mmoja na utafakari wake, mm kwakweli hata mtu anambie soma mara elf km hakuna ushahidi wa Qur-an na hadithi basi nitasoma kwa mujibu niwezavyo sieki hesabu au nitasoma kwa idadi ya witr. Innamal a'mal binniyyat na vile vile Allah anaangalia QUALITY (taqwa na usomaji mzuri wenye makhraj nzuri na kufuata hukmu) na sio QUANTITY(Hakuna taqwa, unasoma mbio mbio km unafukuzwa hakuna hukmu hakuna makhraji nzur ilimradi umalize ulizoambiwa).

    • @Shafaakallwahhu
      @Shafaakallwahhu  Год назад

      kwani ndugu yangu vyote alivyosema na kufikisha mtume unavijua!

    • @gulynzowa7026
      @gulynzowa7026 Год назад

      Mimi ni shahidi mkubwa wa maajabu ya surah hii nimeisoma kila siku mara 100 na ilinipa msaada mkubwa sana wa kunifungulia kheri....Ahsante sana Sheikh Rajabu Mwenyezi Mungu akujaalie kheri na afya njema uzidi kutupa elimi ya dini.

  • @abinandrimana7150
    @abinandrimana7150 Год назад

    asalaam aleykum sheikh unaweza kutuandikia Dua ? hongera kwa somo zuri