Tazama umahari wa upigaji tarumbeta wa Askofu Dkt. Msafiri Mbilu
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akiongoza kikundi cha Tarumbeta cha KKKT-DKMS katika Ibada ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa UEM uliofanyika KKKT-Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Kanisa Kuu la Azania Front, 22/03/ 2023.
Good example bishop, pure leader.Godblessing you too. AMEN
Nashukuru Mungu kwa ajili hii
Hongereni sana ⛪ KKKt dayosisi ya kaskazini 😂😂😂