Hongera sana Viongozi Wachezaji Mashabiki tuwe watulivu haya ni mapito tu wenye Simba Yao tusivunjike moyo kunamatumaini katika mti uliokatwa waweza kuchipuka Tena SIMBA nguvu mojaaaaaa ❤❤🎉
Kwa Try again na Mangungu sidhani kama Timu yetu itatoboa, Mimi nimeshawakatia tamaa, kwa viongozi waadilifu wakiona mambo yanaharibika huwa wanajiudhuru, lkn Hawa Wana lao jambo
Lkni ni matokeo ya viongozi waliopita hawa wameibomoa kwaiyo tunakazi kubwa sana mpaka kuifikia level Walioipambania waliopita kwamaana imeshuka sana maneno mengiiii hata matumaini kila nikitizama sioni
Mh kama mngewekaaa na kiapoo kua msimu ujaoo mkatuletea ujingaaa mjiuzuruu wotee na moo akiwemo ningewaamini maneno yenu but kama hamna viapoo basii hizo ni siasaaaaaaa tuh maana hiii mmeigeuza kuwa Tim ya siasaaaaa
Wewe yanga athanasius sisi mbona nyie babu yenu mchawi wenu kazi ni kukaa bench kazi yake nini kutumwa uchawi na GSM anajifanya anauchungu na time kumbe anabeba majini ya timu
Hili nalo zombi kabisa.Anaongea nini hapo.hakuna la maana Simba naona njia nyeupeeee Kwa Yanga msimu ujao kama Viongozi ni Hawa Panya wanao kula pesa tuu bila mipango .jamani WanaSimba stukeni Hawa wamepangwa kuhujumu Kila Mipango ya Simba ili kuibeba Yanga Ma mbumbu hayoo.
TATIZO LA VIONGOZI WA SIMBA WANAWATAJA WACHEAJI BORA ILA KUWASAJILI NI KWA MAJINA CY VITENDO. YAKO WAPI NA MWAKAJANA MLISEMA MTASAJILI USAJILI WA NGUVU SASA YAKO WAPI? MNAWADANGANYA MASHABIKI. MANZOKI YUKO WAPI? ADEBAYO MLIMTAJA KUMBE HAMNA KITU. MAYELE MMEONGEA MWISHO WA CK HAMNA KITU
Oya kama ww ni kiongozi katika club yetu ya Simba SC na haujui mpira tafadhari tunaomba utupishe kabisa kwa upole tu ujiondoe, halafu na ww usiongee kitu ambacho haukijui, kama ni bilioni24 kwa mwaka mnashindwa nn kuvunja mikataba ya wachezaji wazuri?, Mnaishia tu kuokoteleza tu mtaani wachezaji waliokosa Raman halafu mnatudanganya et mmesajiri kwa hela nyingi kumbe mnatoa hela ndogo, kuongea tu mnajua ila utekelezaji sasa ni ndoto tu
Kwauongoz huu mbovu akuna kitu kama hicho mnatupanga tu lakn mkae mkijuwa kuwa msimu ujao mashbk tumejipanga vizr sana kunakiongoz atakufa msim ujao nawala sio mmoja kama amjajiuzuru na nyie nizamu yenu yakupoteza maisha atuwez kuwa tunakufa sisi mashbk nyie mnabak
Sawa sawa yaani wewe kaka umegusa moyo wangu hayo ndiyo maamuzi magumu ikishindikana risasi kuwapasuwa vichwa nataka kufahamiana na wewe naomba namba yako,
Ntaipenda Simba katika kipindi choontee❤
Hongera sana Viongozi Wachezaji Mashabiki tuwe watulivu haya ni mapito tu wenye Simba Yao tusivunjike moyo kunamatumaini katika mti uliokatwa waweza kuchipuka Tena SIMBA nguvu mojaaaaaa ❤❤🎉
Kwa Try again na Mangungu sidhani kama Timu yetu itatoboa, Mimi nimeshawakatia tamaa, kwa viongozi waadilifu wakiona mambo yanaharibika huwa wanajiudhuru, lkn Hawa Wana lao jambo
uongozi imara upo simba kuanguka ni sehemu ya mpira hizi kelele zikiwepo ziwaamshe viongozi ila visiturudishe nyuma, hayo mapinduzi tuyaone kweli
MAVI ongozi ya Simba mangungu,try again hovyooo
Tim ikiwa inafanya vibaya mnaikimbia mnamwachia msemaji tu na kocha
Nyieee endeleeni kutupangaa but siku zamwiziii ni arobainiii ipO sikuu mtatoka nadarakaniii kwa vibokoooooo
achen mjungu nyie utopolo
KAULI YA AIBU NDIO MAANA MNAITWA MBUMBUMBU UBINGWA WA MECHI 4?
Lkni ni matokeo ya viongozi waliopita hawa wameibomoa kwaiyo tunakazi kubwa sana mpaka kuifikia level Walioipambania waliopita kwamaana imeshuka sana maneno mengiiii hata matumaini kila nikitizama sioni
HUO NI UONGO HADI TUONE MAANA NYIE HUWA MNASEMA HVYHVY VITENDO HANA
WACHENI KUWABABAISHA WATU MO ALIFANYA KWAWAKATIWAKE PALIPOBAKI ANABABAISHATU PANAHAJA SASAAFUNGEVIRAGO KWANI SIMBA HAIJAMUINGIZIYA
Ata mfanye je Yanga ni bingwa tena mwaka ujao ….
Matokeo Kwanzaa
Mh kama mngewekaaa na kiapoo kua msimu ujaoo mkatuletea ujingaaa mjiuzuruu wotee na moo akiwemo ningewaamini maneno yenu but kama hamna viapoo basii hizo ni siasaaaaaaa tuh maana hiii mmeigeuza kuwa Tim ya siasaaaaa
Uongo mtupu viongoz wetu ovyoo
Sitaki kusikia jina la try ageni
Waongo wote hao bosi na washiriki wake
Tusikilize tu sababu mdomo unaongea utekelezaji ndio jambo jingine wachezaji mnao tuletea ni wazee wanakua ni tofaut na malengo yenu
Kila myaka inyeshe tuone panapo vuja Kila mwaka mnatudanganya achen uongo nyie tumewachoka
KAMA KWA UCHAWI WA KUWASHA MOTO VIWANJANI AU KUMWAGA UNGA VIWANJAI
Wewe yanga athanasius sisi mbona nyie babu yenu mchawi wenu kazi ni kukaa bench kazi yake nini kutumwa uchawi na GSM anajifanya anauchungu na time kumbe anabeba majini ya timu
Ufala na ujinga tumeuchoka pelekeni wa wake zenu
Safi sana fukuza ungozi mbovu
Poa tu Kwa kutupanga lakn Wana Simba mpaka tuone,Simba nguvu moja
Hatumtaki mangungu na try ageni
Viongoz tuambiane tuchange maana mmh inatuuma mno kugombania nafac ya tatu kwer jaman
Hili nalo zombi kabisa.Anaongea nini hapo.hakuna la maana Simba naona njia nyeupeeee Kwa Yanga msimu ujao kama Viongozi ni Hawa Panya wanao kula pesa tuu bila mipango .jamani WanaSimba stukeni Hawa wamepangwa kuhujumu Kila Mipango ya Simba ili kuibeba Yanga Ma mbumbu hayoo.
TATIZO LA VIONGOZI WA SIMBA WANAWATAJA WACHEAJI BORA ILA KUWASAJILI NI KWA MAJINA CY VITENDO. YAKO WAPI NA MWAKAJANA MLISEMA MTASAJILI USAJILI WA NGUVU SASA YAKO WAPI? MNAWADANGANYA MASHABIKI. MANZOKI YUKO WAPI? ADEBAYO MLIMTAJA KUMBE HAMNA KITU. MAYELE MMEONGEA MWISHO WA CK HAMNA KITU
Sasa kama nyie ni mabingwa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania maana yake team mnayo! Sasa huo usajili wa kufa mtu wa nini? 😂😂😂
Oya kama ww ni kiongozi katika club yetu ya Simba SC na haujui mpira tafadhari tunaomba utupishe kabisa kwa upole tu ujiondoe, halafu na ww usiongee kitu ambacho haukijui, kama ni bilioni24 kwa mwaka mnashindwa nn kuvunja mikataba ya wachezaji wazuri?, Mnaishia tu kuokoteleza tu mtaani wachezaji waliokosa Raman halafu mnatudanganya et mmesajiri kwa hela nyingi kumbe mnatoa hela ndogo, kuongea tu mnajua ila utekelezaji sasa ni ndoto tu
NYIE KWA KUJAZANA UJINGA HAMJAMBO!
Muhammed mo family.
Siasa hizo
siasa
Kwauongoz huu mbovu akuna kitu kama hicho mnatupanga tu lakn mkae mkijuwa kuwa msimu ujao mashbk tumejipanga vizr sana kunakiongoz atakufa msim ujao nawala sio mmoja kama amjajiuzuru na nyie nizamu yenu yakupoteza maisha atuwez kuwa tunakufa sisi mashbk nyie mnabak
Sawa sawa yaani wewe kaka umegusa moyo wangu hayo ndiyo maamuzi magumu ikishindikana risasi kuwapasuwa vichwa nataka kufahamiana na wewe naomba namba yako,
Eti kombe kubwa ni muungano, lilikuwa kwenye malengo yenu?.
Mmefuliaaaaa makolo nyie
😂😂😂😂😂 eti wao ni mabingwa wa Muungano 😅😅😅 kubwa kuliko ubingwa wa ligi 😅😅😅😅😅
Hatutaki maneno uongo mtupu kama mmeshindwa kaeni pembeni wengene waongoze acha mbwe mbwe
Kiongozi mpira hauhutaji kujinadi jukwaan vitedo shekhe
Tatizo mmeshatuona simba wajinga fanyeni2 polojo zenu ila tunajua uongozi hatna
Wewe paka unaongea nini