UONGOZI WA SIMBA KUFANYA USAJILI WA KUFA MTU,MO MO DEWJI KAPANIA MSIMU UJAO,SASA KUSHUSHA MASHINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 46

  • @OfinAntaraus
    @OfinAntaraus 4 месяца назад +1

    Ntaipenda Simba katika kipindi choontee❤

  • @JosephLamau-yq1lx
    @JosephLamau-yq1lx 4 месяца назад

    Hongera sana Viongozi Wachezaji Mashabiki tuwe watulivu haya ni mapito tu wenye Simba Yao tusivunjike moyo kunamatumaini katika mti uliokatwa waweza kuchipuka Tena SIMBA nguvu mojaaaaaa ❤❤🎉

    • @clarencemeena1628
      @clarencemeena1628 4 месяца назад

      Kwa Try again na Mangungu sidhani kama Timu yetu itatoboa, Mimi nimeshawakatia tamaa, kwa viongozi waadilifu wakiona mambo yanaharibika huwa wanajiudhuru, lkn Hawa Wana lao jambo

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 4 месяца назад +1

    uongozi imara upo simba kuanguka ni sehemu ya mpira hizi kelele zikiwepo ziwaamshe viongozi ila visiturudishe nyuma, hayo mapinduzi tuyaone kweli

  • @KangaMaluguru
    @KangaMaluguru 4 месяца назад

    MAVI ongozi ya Simba mangungu,try again hovyooo

  • @kamuogo
    @kamuogo 4 месяца назад

    Tim ikiwa inafanya vibaya mnaikimbia mnamwachia msemaji tu na kocha

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 4 месяца назад

    Nyieee endeleeni kutupangaa but siku zamwiziii ni arobainiii ipO sikuu mtatoka nadarakaniii kwa vibokoooooo

  • @RajabIssa-h9o
    @RajabIssa-h9o 4 месяца назад +1

    achen mjungu nyie utopolo

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 4 месяца назад +1

    KAULI YA AIBU NDIO MAANA MNAITWA MBUMBUMBU UBINGWA WA MECHI 4?

  • @Is-haqMawata
    @Is-haqMawata 4 месяца назад

    Lkni ni matokeo ya viongozi waliopita hawa wameibomoa kwaiyo tunakazi kubwa sana mpaka kuifikia level Walioipambania waliopita kwamaana imeshuka sana maneno mengiiii hata matumaini kila nikitizama sioni

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 месяца назад

    HUO NI UONGO HADI TUONE MAANA NYIE HUWA MNASEMA HVYHVY VITENDO HANA

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 4 месяца назад

    WACHENI KUWABABAISHA WATU MO ALIFANYA KWAWAKATIWAKE PALIPOBAKI ANABABAISHATU PANAHAJA SASAAFUNGEVIRAGO KWANI SIMBA HAIJAMUINGIZIYA

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 4 месяца назад +1

    Ata mfanye je Yanga ni bingwa tena mwaka ujao ….

  • @saimonluoga5100
    @saimonluoga5100 4 месяца назад

    Matokeo Kwanzaa

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 4 месяца назад

    Mh kama mngewekaaa na kiapoo kua msimu ujaoo mkatuletea ujingaaa mjiuzuruu wotee na moo akiwemo ningewaamini maneno yenu but kama hamna viapoo basii hizo ni siasaaaaaaa tuh maana hiii mmeigeuza kuwa Tim ya siasaaaaa

  • @AtanasSimon
    @AtanasSimon 4 месяца назад

    Uongo mtupu viongoz wetu ovyoo

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 месяца назад

    Sitaki kusikia jina la try ageni

  • @Afam-ln5cv
    @Afam-ln5cv 4 месяца назад

    Waongo wote hao bosi na washiriki wake

  • @kamuogo
    @kamuogo 4 месяца назад

    Tusikilize tu sababu mdomo unaongea utekelezaji ndio jambo jingine wachezaji mnao tuletea ni wazee wanakua ni tofaut na malengo yenu

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 4 месяца назад

    Kila myaka inyeshe tuone panapo vuja Kila mwaka mnatudanganya achen uongo nyie tumewachoka

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 4 месяца назад +1

    KAMA KWA UCHAWI WA KUWASHA MOTO VIWANJANI AU KUMWAGA UNGA VIWANJAI

    • @LucianaJoachim
      @LucianaJoachim 4 месяца назад

      Wewe yanga athanasius sisi mbona nyie babu yenu mchawi wenu kazi ni kukaa bench kazi yake nini kutumwa uchawi na GSM anajifanya anauchungu na time kumbe anabeba majini ya timu

  • @AdulKiga
    @AdulKiga 4 месяца назад

    Ufala na ujinga tumeuchoka pelekeni wa wake zenu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 месяца назад

    Safi sana fukuza ungozi mbovu

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 4 месяца назад

    Poa tu Kwa kutupanga lakn Wana Simba mpaka tuone,Simba nguvu moja

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 месяца назад

    Hatumtaki mangungu na try ageni

  • @AtanasSimon
    @AtanasSimon 4 месяца назад

    Viongoz tuambiane tuchange maana mmh inatuuma mno kugombania nafac ya tatu kwer jaman

  • @AnthonyGabriel-ou7wz
    @AnthonyGabriel-ou7wz 4 месяца назад

    Hili nalo zombi kabisa.Anaongea nini hapo.hakuna la maana Simba naona njia nyeupeeee Kwa Yanga msimu ujao kama Viongozi ni Hawa Panya wanao kula pesa tuu bila mipango .jamani WanaSimba stukeni Hawa wamepangwa kuhujumu Kila Mipango ya Simba ili kuibeba Yanga Ma mbumbu hayoo.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 месяца назад

    TATIZO LA VIONGOZI WA SIMBA WANAWATAJA WACHEAJI BORA ILA KUWASAJILI NI KWA MAJINA CY VITENDO. YAKO WAPI NA MWAKAJANA MLISEMA MTASAJILI USAJILI WA NGUVU SASA YAKO WAPI? MNAWADANGANYA MASHABIKI. MANZOKI YUKO WAPI? ADEBAYO MLIMTAJA KUMBE HAMNA KITU. MAYELE MMEONGEA MWISHO WA CK HAMNA KITU

  • @captainmligotv3478
    @captainmligotv3478 4 месяца назад

    Sasa kama nyie ni mabingwa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania maana yake team mnayo! Sasa huo usajili wa kufa mtu wa nini? 😂😂😂

  • @JustuceRuhembe
    @JustuceRuhembe 4 месяца назад

    Oya kama ww ni kiongozi katika club yetu ya Simba SC na haujui mpira tafadhari tunaomba utupishe kabisa kwa upole tu ujiondoe, halafu na ww usiongee kitu ambacho haukijui, kama ni bilioni24 kwa mwaka mnashindwa nn kuvunja mikataba ya wachezaji wazuri?, Mnaishia tu kuokoteleza tu mtaani wachezaji waliokosa Raman halafu mnatudanganya et mmesajiri kwa hela nyingi kumbe mnatoa hela ndogo, kuongea tu mnajua ila utekelezaji sasa ni ndoto tu

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 4 месяца назад

    NYIE KWA KUJAZANA UJINGA HAMJAMBO!

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 месяца назад

    Muhammed mo family.

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 месяца назад

    Siasa hizo

  • @azruntravel4306
    @azruntravel4306 4 месяца назад

    siasa

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 4 месяца назад +2

    Kwauongoz huu mbovu akuna kitu kama hicho mnatupanga tu lakn mkae mkijuwa kuwa msimu ujao mashbk tumejipanga vizr sana kunakiongoz atakufa msim ujao nawala sio mmoja kama amjajiuzuru na nyie nizamu yenu yakupoteza maisha atuwez kuwa tunakufa sisi mashbk nyie mnabak

    • @LucianaJoachim
      @LucianaJoachim 4 месяца назад

      Sawa sawa yaani wewe kaka umegusa moyo wangu hayo ndiyo maamuzi magumu ikishindikana risasi kuwapasuwa vichwa nataka kufahamiana na wewe naomba namba yako,

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 месяца назад

    Eti kombe kubwa ni muungano, lilikuwa kwenye malengo yenu?.

  • @UshetuhcAfya-jm6oz
    @UshetuhcAfya-jm6oz 4 месяца назад

    Mmefuliaaaaa makolo nyie

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂 eti wao ni mabingwa wa Muungano 😅😅😅 kubwa kuliko ubingwa wa ligi 😅😅😅😅😅

  • @DullahNyoni-cr2fu
    @DullahNyoni-cr2fu 4 месяца назад

    Hatutaki maneno uongo mtupu kama mmeshindwa kaeni pembeni wengene waongoze acha mbwe mbwe

  • @PhilipoFabian
    @PhilipoFabian 4 месяца назад

    Kiongozi mpira hauhutaji kujinadi jukwaan vitedo shekhe

  • @PhilipoFabian
    @PhilipoFabian 4 месяца назад

    Tatizo mmeshatuona simba wajinga fanyeni2 polojo zenu ila tunajua uongozi hatna

  • @saimonluoga5100
    @saimonluoga5100 4 месяца назад

    Wewe paka unaongea nini