Yohana 8:31-32 [31] Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli. [32] tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru
Isaya 53:5 [5] Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
Ubarikiwe mtumishi kwa kutupa furaha usiku huu🇲🇿 Mozambique msumbiji
Amen mtakatifu yesu.damu yako yanitosha🎉milele
I love you man of God im fully blessed with Jesus in you
Sina tumain zaidi ya Yesu😭😭😭
Barikiwaaa saaanaa mtumishi wa Mungu 🙏
Ndiye Mwamba ni salama
Ila damu yake yesu.. unaweza yote🙏🙏
Daaah aisee niseme nini Sasa 🙏🙏🙏🙏
Amen amen 🙏🏾 Mungu azidi wainua
My God 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Amen 🙏
Asante yesu
Amen amen
❤❤❤❤
❤
Yohana 8:31-32
[31] Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli.
[32] tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru
Isaya 53:5
[5] Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu,
Alichubuliwa kwa maovu yetu;
Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake,
Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
His blood is our hope and safety.
Wakolosai 2:14
[14] akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwepo tena, akaigongomea msalabani.
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏
Wakolosai 2:14
[14] akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwepo tena, akaigongomea msalabani.