🔥😭wife gave her pastor,Her husband's car logbook to prove to him how much she loved him😭🔥

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 янв 2024

Комментарии • 434

  • @kennedyotwori9056
    @kennedyotwori9056 6 месяцев назад +121

    Pastor wanakula kondoo tu bila kuogopa. Mimi staki maneno mingi nipewe likes nitulie

    • @Blessings236
      @Blessings236 6 месяцев назад +3

      Imefika mahali cwezi amini yoyote ila Mungu pekee

    • @maryatsiaya
      @maryatsiaya 6 месяцев назад +1

      Kondoo wenyewe ndio wanajipeleka kukulwo😅😅

    • @kennedyotwori9056
      @kennedyotwori9056 6 месяцев назад

      @@maryatsiaya nakuja kuogopa kuenda church

    • @maryatsiaya
      @maryatsiaya 6 месяцев назад

      @@kennedyotwori9056 Infact church ni wewe mwenyewe, Hilo ni jengo tu watu huenda ili wapate mafunzo kuhusu dini(religion).

    • @Zainab-ts4mj
      @Zainab-ts4mj 6 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @CatherineMutuku-hd9vv
    @CatherineMutuku-hd9vv 6 месяцев назад +23

    Huyu Bibi anavaa Kama kienyeji na mzee anakaa Minister 😂😂😂😂

    • @marymacharia9627
      @marymacharia9627 6 месяцев назад

      Lakini bado mzee ni mubaba sana kushinda mama.

    • @MargaretteQuite-me3xs
      @MargaretteQuite-me3xs 6 месяцев назад

      Ungesema mbaba

    • @davidngigi9843
      @davidngigi9843 6 месяцев назад

      Well put and that raises more questions than answers. Script?????????.

    • @patrickgitau9912
      @patrickgitau9912 6 месяцев назад

      😂😂wewe ngali iko garage kwani hu understand

    • @carolyewa4711
      @carolyewa4711 6 месяцев назад

      She is so young

  • @CatherineMumbua-ue5pn
    @CatherineMumbua-ue5pn 6 месяцев назад +45

    There is no way the pastor loves this lady !!!!!He just enjoys her husband's money and that's what he is interested in the rest ni bonus tu

  • @user-wh3fx3um9t
    @user-wh3fx3um9t 6 месяцев назад +7

    If I wasn't married, I wouldn't get married. The things social media is exposing are terrible. But our fathers had told us to never trust them

  • @tabbydiallo2
    @tabbydiallo2 6 месяцев назад +31

    Haki Pastors wameamua kuvunja ndoa kabisa😢

    • @marymutavi
      @marymutavi 6 месяцев назад +4

      wamama wenyewe ndio wambaya zaidi,mm siwezi tongoswa na pastor nanirudi hio kanisa,never😢😢😢😢

    • @annwanjiru8897
      @annwanjiru8897 6 месяцев назад

      😂😂😂

    • @carolyewa4711
      @carolyewa4711 6 месяцев назад

      Husband baba njenga likes girl students

    • @user-vv5so5ke7y
      @user-vv5so5ke7y 5 месяцев назад

      Namwita kwangu namrarua eti anataka kunirape mpaka hiyo church anaifunga

  • @joycemugwe207
    @joycemugwe207 6 месяцев назад +15

    Ngai so sad 😢😢😢 yaani mama God amekubariki na mwanaume kama uyu na ata huna shame kumu cheat its so painful inaniuma na sio mimi

  • @johnodegindege6056
    @johnodegindege6056 6 месяцев назад +13

    One lesson I have learnt in this episode is that both husband and wife need to grow up together in terms of knowledge because the two have distinctive reasonable differences. One would expect the reasoning capabilities of lecturer's wife to match that of husband. May be the lady is cheating because she feels out of place when she's with her husband.

  • @bithibithi5756
    @bithibithi5756 6 месяцев назад +17

    Huyu mathy n kiwete na anacheat Tu aky Mungu si unipee mmoja na nitakuwa mwaminifu kwake😂

    • @susanwambui132
      @susanwambui132 6 месяцев назад

      😀

    • @bithibithi5756
      @bithibithi5756 6 месяцев назад

      @@isaacwahinya9300 ghai🥺🥺🥺🥺

    • @roxana309
      @roxana309 6 месяцев назад

      @bithibithi5756 na vile ako na bwana mzuri mwenye anampenda akiwa hivo na bado hatosheki

    • @marymacharia9627
      @marymacharia9627 6 месяцев назад +2

      Stop calling her that name,you dont know what she lacks in the marriage.Angekuwa ni bwana anacheat,ungesupport na useme anatoka nje ya ndoa coz bibi ni kiwete.Every person has reasons for cheating.Despite being the way she is,she has also feelings.

    • @HappeningInKenya
      @HappeningInKenya 6 месяцев назад

      @@marymacharia9627 habari yako malaya

  • @kezzkezz88
    @kezzkezz88 6 месяцев назад +5

    There are still good men in Kenya🎉

  • @josephnjoroge5649
    @josephnjoroge5649 6 месяцев назад +11

    NACADA should ban the term beb in relationships 😂😂

  • @emem8940
    @emem8940 6 месяцев назад +19

    How can this woman be a lecturer's wife?very unkept and yet husband is loyal

    • @kikiandnana2126
      @kikiandnana2126 6 месяцев назад

      Hakii

    • @jamesbongeorge4731
      @jamesbongeorge4731 6 месяцев назад

      @emem,listen how he met her...Will answer this

    • @florencewangetha9281
      @florencewangetha9281 6 месяцев назад

      The same question am asking!! She doesn't have respect to herself.

    • @chimpak03
      @chimpak03 6 месяцев назад

      Haki.... Hakai kabisaaa

    • @nonamenoname7420
      @nonamenoname7420 6 месяцев назад

      ​@jamesbongeorge4731 that's true, hence his loyalty and faithfulness to his wife.

  • @Sunshine_Amy
    @Sunshine_Amy 6 месяцев назад +20

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwenye aliniroga... May you never see peace.... Am struggling while others got good miperfect,micaring, miloving 😅😅😅😅😅name them all.... Logbook 😢😢😢mungu wa Israeli shuka

    • @maggieshi690
      @maggieshi690 6 месяцев назад +1

      Ski tulirogwa pamoja mi loving yetu ikaoa waganga😂😂😂

    • @Sunshine_Amy
      @Sunshine_Amy 6 месяцев назад

      @@maggieshi690 😂😂😂😂😂huyo mrogi....afufuke ...we can't continue suffering 🤣🤣🤣🤣

  • @wambumwash8510
    @wambumwash8510 6 месяцев назад +8

    Mama hajielewi. Sorry to say, with her disability she should have been grateful to God to her a husband and moreso a faithful husband.

    • @thatguycmk7548
      @thatguycmk7548 3 месяца назад

      disabled people don't have a different mode of life.. this is wrong

  • @sarahngatia6723
    @sarahngatia6723 6 месяцев назад +6

    Heerrrr!! heeerrr!!! This is very sad indeed ..the way i saw this lady she already has a challenge physically and yet the pastor saw this is the one in the whole church he could take advantage of? 😂😂😂😂 Kweli God sees alot!

  • @deborahsusan136
    @deborahsusan136 6 месяцев назад +5

    We need a followup Thanks Samaritan for exposing this jezebel anapeana ata ngari ya mzee she can even plan to kill this man

  • @Chebokoria
    @Chebokoria 6 месяцев назад +3

    Samaritan you are doing a good job.kudos👍

  • @annetytenge293
    @annetytenge293 6 месяцев назад +11

    Mimi bwana akivaa smart pia nakaa gud gud. Lakini Saşa huyu mwanamke sijui amevaa aje💔 as you make your husband smart make sure your you are smart first😊

    • @joycekungu4557
      @joycekungu4557 6 месяцев назад +1

      Anataka kuoneshana vile hasaidiwi hata kitambaa ya kichwa unaona inakaa aje mpaka anaonekana akiwa mzee kuliko mbaba

    • @patrickgitau9912
      @patrickgitau9912 6 месяцев назад +2

      😂😂hapa ni kama mzee ni mp na bibi ni wa nyumba kumi 🤔 mafuta na maji.

    • @joycekungu4557
      @joycekungu4557 6 месяцев назад +1

      @@patrickgitau9912 true hawa match hata kidogo ama mzee ni MP na mama ni mlevi

    • @gladysmwendwa
      @gladysmwendwa 6 месяцев назад

      Hawa ni wale wanaume hujifanyia vitu...haikosi yye labda hupeleka manguo laundry juu hataki kuacha mama coz huyu Mzee anakaa WA class but Bibi ako tu na udanda kama hata shule hakumaliza.

  • @ericmaina9896
    @ericmaina9896 6 месяцев назад +13

    Huyu mwanamke amesikia joto kukiwa na baridi kusikia messages sitasomoa.

    • @rosengetha6289
      @rosengetha6289 Месяц назад

      Wacha zako, amepatwa na steam ki ngafula

  • @paskolinenjuguna1924
    @paskolinenjuguna1924 6 месяцев назад +2

    I’m a woman but tunakosa heshima sana the husband is a gentleman God bless you

  • @Nothwest
    @Nothwest 6 месяцев назад +17

    I wise Man for once 👏🏿👏🏿who talks like an Adult 🤎

  • @lucybernard5555
    @lucybernard5555 6 месяцев назад +4

    Aki watu hupata wapi wanaume wazuri hivi sisi tulikosea wapi jameni

  • @charlesmtuapaul8099
    @charlesmtuapaul8099 6 месяцев назад +4

    "Hapa niko na five thousand mama".five thousand unaeza fanyia nini mama?. little did she know was the end of everything 😢😢😢

  • @jamesbongeorge4731
    @jamesbongeorge4731 6 месяцев назад +7

    Looking back 22 years ago,a teacher impregnating a firm 3 student,marrying her and never to go back to school.
    Q1. What moral authority will he have to school the kids of the same woman whom he destroyed her life,how will he discipline them when they start misbehaving at Hugh school?.
    Q2.will he one day sit back and say ( I destroyed life of someone's daughter) and ask for forgiveness from her and her parents?..no matter how long it takes It bites back

  • @elishatotolela3843
    @elishatotolela3843 6 месяцев назад +1

    I like that man kuzaidia watoto wa extended family mungu akupee nguvu

  • @BobMjoki-pl5dv
    @BobMjoki-pl5dv 6 месяцев назад +9

    The way the Mama Jenga staring at the ground when she speaks, as if her network of lies and deceit is connected to South Africa..

  • @catenjoroge8158
    @catenjoroge8158 6 месяцев назад +77

    Samaritan ask on my behalf before logbook what else did she give him let me know 😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @carolinemutio247
    @carolinemutio247 6 месяцев назад +6

    Huyu mwanamke ni sambuli gani,,,,huyu ni kama yule madam wa comrades flavour mwenye alipeana plot ya bwana yake to the soo called pastor,,nowadays akuna pastor

  • @gathoninjenga442
    @gathoninjenga442 6 месяцев назад +3

    Immorality does not know disability and there is no need to focus on her disability but on her unfaithfulness. Let the Pastor take over all the responsibilities.

    • @stevenmutumbu2860
      @stevenmutumbu2860 6 месяцев назад

      Nenderoragira nyamu ici no ndionaga fata qa lolty test ya andu akuru a Marika ma Mami na fafa ata kama ni pesa zinatafutwa

  • @wacerahchege8
    @wacerahchege8 6 месяцев назад +2

    I think before one offers president Ruto an advice, should start at own homes, and in local community. From, Rich, poor, young, old no one seems to have fear of God. 👌.

  • @estherkinyanjui9293
    @estherkinyanjui9293 6 месяцев назад +5

    I like the way Samaritan huchukua the microphone 😂😂😂

  • @liankim987
    @liankim987 6 месяцев назад +5

    Even while talking to her husband she can't look at him

  • @gerrytushh
    @gerrytushh 6 месяцев назад +9

    Mama Njenga: "Hangariya mbiyo mbiyo"👀🤭 So cheating happens at all ages?🤔👀

  • @pmblessed.5580
    @pmblessed.5580 6 месяцев назад +20

    After fearing women, fear them again

  • @beatricenekesa-wg5yd
    @beatricenekesa-wg5yd 6 месяцев назад +7

    Can you imagine this age of woman

  • @leonkimathi1985
    @leonkimathi1985 6 месяцев назад +10

    STOP PROBING PEOPLE ABOUT THE NUMBER OF CHILDREN THEY SHOULD HAVE SAMARITAN!..ITS BAD MANNERS TO ASK PEOPLE WHY THEY HAVE ONLY ONE CHILD..NKT

    • @emperor-staugustus8059
      @emperor-staugustus8059 6 месяцев назад

      We have to know, if it's family planning, we others may also pick leaf and not produce numerous children we will fail to feed or pay school fees

    • @leonkimathi1985
      @leonkimathi1985 6 месяцев назад +1

      @@emperor-staugustus8059 what if it's a couple that have secondary infertility??..are they supposed to start discussing with Sama that they have medical issues preventing them from getting another child?..do you know how painful such matters are??

    • @blackybronze
      @blackybronze 6 месяцев назад +1

      Sama likes asking tat sana yet,he is married na tujaona watoto wake,it's shameful

  • @susanwambui132
    @susanwambui132 6 месяцев назад +12

    Sarah the worst question to ask a couple it's about kids. Wengine ni kukosa and it hurts kukujibu

    • @susanwambui132
      @susanwambui132 6 месяцев назад

      Samaritan

    • @fridahndungenzaumi6591
      @fridahndungenzaumi6591 6 месяцев назад

      Very true

    • @leonkimathi1985
      @leonkimathi1985 6 месяцев назад +2

      I complained about this last week but apparently he doesn't care.

    • @susanwambui132
      @susanwambui132 6 месяцев назад +3

      It's very wrong. Hope he has kids himself

    • @roxana309
      @roxana309 6 месяцев назад +1

      @susanwambui132 hana niliona Mahali bibi yake akisema she has struggled to get a kid for four years

  • @harrietajiambo229
    @harrietajiambo229 6 месяцев назад +1

    Kikuyu mko na akili ya kutafuta pesa bali yakupeana vinembe na mikia 😂😂😂😂 Kenya mzima ninewapatia heshima weeeh hawa watu wengi wao ni moto wa kuotea mbali

  • @jfjkfk6599
    @jfjkfk6599 6 месяцев назад +3

    Huyu mama kuna uwezekano hajafika 40 yrs.Nikujiwekanisha

  • @user-pw8hp2dm7k
    @user-pw8hp2dm7k 6 месяцев назад +1

    Ooooh my God 😮😮😮😮😮Mimi tu pekee ndiye nimebaki Kwa hii Kenya only the "faith lady" 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kareg1222
    @kareg1222 6 месяцев назад +6

    Hata hajihurumiii na huwo uwete wake, wooiiye God of men

  • @AnnNyambura-xt8sj
    @AnnNyambura-xt8sj 6 месяцев назад +7

    Single mothers hooooiiiii🙏Welcome mama

    • @saumu7760
      @saumu7760 6 месяцев назад +1

      Navenye anakaa mama Mzee aki

    • @stevenmutumbu2860
      @stevenmutumbu2860 6 месяцев назад

      Mwacindire cheating Championships na 2024 muthiete ona mbere wanawake hawachezi Round hii😂😂😂

  • @chemutaijaneth568
    @chemutaijaneth568 6 месяцев назад +4

    Hawa hawamatch kabisa the guy is smart n decent,mama anakaa chokora😂😂

  • @dr.nickngala7937
    @dr.nickngala7937 6 месяцев назад +2

    Disability isn't inability pastor anajua iyo

  • @annwanjiru8897
    @annwanjiru8897 6 месяцев назад +12

    😂😂😂amukeni kumekucha single mothers tunaogezeka aki 😢😢😢😢

    • @MercyIndasi
      @MercyIndasi 6 месяцев назад +1

      😅😅😅😅😅

    • @MosesOuma-lk2bo
      @MosesOuma-lk2bo 6 месяцев назад +1

      Well to the sacco of the single mothers 🤣🤣🤣🤣

    • @mercymumbi2510
      @mercymumbi2510 6 месяцев назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @annwanjiru8897
      @annwanjiru8897 6 месяцев назад

      ​@@MosesOuma-lk2bosingle mum tuko sawa 😂😂

    • @judygichia5495
      @judygichia5495 6 месяцев назад

      😂😂😂

  • @peternguata5560
    @peternguata5560 6 месяцев назад +5

    The way she was not able to face the camera it tells a lot

    • @pamelaednah5781
      @pamelaednah5781 6 месяцев назад

      Body language speaks louder than words

    • @pamelaednah5781
      @pamelaednah5781 6 месяцев назад

      Body language speaks louder than words

  • @maryetisi4897
    @maryetisi4897 6 месяцев назад +2

    Sama you never disapoint even the criples uko hapo nayo nayo😆😆😆😆😆😆🧐🧐

  • @samuelkabachi1105
    @samuelkabachi1105 6 месяцев назад +12

    wonders will never end...good series

  • @waulicenterprises6941
    @waulicenterprises6941 6 месяцев назад +11

    Beb was just chilling 😅😂😂😂

  • @janetwangari440
    @janetwangari440 6 месяцев назад +5

    Huyu mzee niwa kurandaranda pia ni venye hamkukagua simu yake vizuri😢😅

    • @masterkim198
      @masterkim198 6 месяцев назад +2

      Haikosi pia wewe unacheat,mnajuana kwa vilemba!
      U need to be sanitized

    • @lukasnjogu1379
      @lukasnjogu1379 6 месяцев назад +1

      Kwani huwa mnarandaranda na yy

    • @highlyfavoured6789
      @highlyfavoured6789 6 месяцев назад

      That is an interesting observation and conclusion given you don’t know the man, neither have you checked his phone 🙄🙄

    • @roxana309
      @roxana309 6 месяцев назад

      But Sama anakuaga very keen Kwa kuangalia simu

    • @stevenmutumbu2860
      @stevenmutumbu2860 6 месяцев назад

      ​@@masterkim198😂😂😂

  • @rahabkaranja
    @rahabkaranja 6 месяцев назад +1

    Comparing mama Njenga na Pastor hapa kuna shida kubwa she look like a maid pastor weka bibi kama bibi ya mchuganji

    • @roxana309
      @roxana309 6 месяцев назад

      Mtu anapewa hadi logbook ya gari si nikumaanisha anapewa kila kitu yeye ndio anajiweka Ka gunia

  • @mercymumbi2510
    @mercymumbi2510 6 месяцев назад +5

    I love this🎉🎉🎉🎉🎉

  • @otienopaul8068
    @otienopaul8068 6 месяцев назад +6

    Co-parenting till death no marriage 😊

  • @nafulabetty4437
    @nafulabetty4437 5 месяцев назад

    Pado unaeza ita mtu babe hata akiwa mzee, any age needs love

  • @maryk1388
    @maryk1388 6 месяцев назад +2

    Shame to the married women who are cheating.

  • @beatricekihiu3909
    @beatricekihiu3909 6 месяцев назад +1

    Sama please spare this age....let loyalty be for crisis age my opinion though

  • @janewaithes5183
    @janewaithes5183 6 месяцев назад +1

    Huyu mama hata sura Hana aki,waa!

    • @sharon4416
      @sharon4416 6 месяцев назад

      😂😂😂😂jaaaaneee 😂😂🙆umeamua kutoingia mbinguni😂😂😂😂

  • @FanichyNaxhipae
    @FanichyNaxhipae 6 месяцев назад +2

    This woman resembles mamito

  • @maryetisi4897
    @maryetisi4897 6 месяцев назад

    Mm njenga
    Kwa jina la Baba endelea kuomba 🤸🤸🤸🤸🤸

  • @maryetisi4897
    @maryetisi4897 6 месяцев назад +4

    😂😂😂😂😂😂Nawesa Sagaaaa Sana

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko9113 6 месяцев назад +7

    Mr. Smaritan you are a destroyer.Your bombing even the hard rocks.😂😂

  • @user-xw1bd2ho6t
    @user-xw1bd2ho6t 6 месяцев назад +1

    Ngai fafa🙆🙆🙆🤭🤭

  • @janetwangari440
    @janetwangari440 6 месяцев назад +3

    Hadi huyu shosh anaexpress love kwa pasy weeh 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @CatherineMutuku-hd9vv
      @CatherineMutuku-hd9vv 6 месяцев назад

      Hata hakai bibinya huyu mzee

    • @roxana309
      @roxana309 6 месяцев назад

      @janerwangari440 hata niliexpect Mzee ndio anamcheat haki ukimwangalia vile ako

  • @user-ch8nc9fw2e
    @user-ch8nc9fw2e 6 месяцев назад

    Sasa huyu mama naye anakaa wa kucheat !!si ajihurumie kidogo

  • @AidahSquad
    @AidahSquad 6 месяцев назад

    c vizuri kusoma message mama Njenga😅😅😅😅 utaniua

  • @amoskipkorir824
    @amoskipkorir824 6 месяцев назад +2

    Kiboko iwake

  • @GraceMwai-gm8kj
    @GraceMwai-gm8kj 6 месяцев назад +1

    Ukiona mtu anainama sana akiongea he or she is thy most lier

  • @joycewanjiru6945
    @joycewanjiru6945 6 месяцев назад +2

    Enyewe disability is not inability😂😂😂😂😂happy new year Samaritan ,hii umeweza pole kwa fafa njenga😅

  • @kezzybett1142
    @kezzybett1142 6 месяцев назад

    Shame on you
    Mamako pia ni takataka?
    Anyway
    Whatever we say is a reflection of our hearts
    Out of the abundance of the heart, the mout speaketh

  • @sulekhaabdul468
    @sulekhaabdul468 6 месяцев назад

    Looh mama una haya hata kwa Umri huu loh ana macho makavu

  • @CharityWachira-zw9cf
    @CharityWachira-zw9cf 6 месяцев назад +1

    Huyu Mzee anakaa kama amekomaa.

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 6 месяцев назад

    Yani tulifunga mwaka n mapasta kuumizwa n kuchitiwa....kumbe ilikua pia tutafungua mwaka....n hao pia..!? Watumushi wa mungu wanaumizwa xna😢

  • @ultipet9216
    @ultipet9216 6 месяцев назад

    The mzee that thought by marrying a limping lady, he will be spared kukuliwa bibi but wapi, mafisi kumbe hatambui

  • @paulinearumi3373
    @paulinearumi3373 6 месяцев назад

    Malaysia mama umepata bwana mwaminifu sasa na wewe bure sana baba huyo bibi atakua

  • @stellahmbinya9857
    @stellahmbinya9857 6 месяцев назад

    Samaritan hii mwaka ni fire

  • @lennylee9130
    @lennylee9130 6 месяцев назад

    Apo Kwa goja goja goja 😂😂😂 si vizuri kusoma message was chilling

  • @maryetisi4897
    @maryetisi4897 6 месяцев назад +4

    SAMA 🖐️HAPPY NEW YEAR🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MilkahOrenge
    @MilkahOrenge 4 месяца назад

    Mbona mtu akiwa married anapendwa but akiwa single ata waaa ssssss hakuna 😂😂😂

  • @deekiki1924
    @deekiki1924 6 месяцев назад

    My comment is for the bysikeli guy wa plate na sufuria radio. Kenya nchi yetu 😂😂😂😂

  • @janewaithes5183
    @janewaithes5183 6 месяцев назад

    Angalia mwenye ku cheat na who she's cheating,

  • @kennedyotwori9056
    @kennedyotwori9056 6 месяцев назад

    Mum kimekuramba leo. Unaenda church kutumiwa 😅😅

  • @maureenkalunda5930
    @maureenkalunda5930 6 месяцев назад +1

    mama hadi anakaa amezeeka sana kuliko mzee

  • @sulekhaabdul468
    @sulekhaabdul468 6 месяцев назад

    Mashavu yaa juu yamemshuka we mama sijuwi huo uso utaweka wapi 😡😡😡😡

  • @mingotubesteve
    @mingotubesteve 6 месяцев назад +1

    Hii vilemba watoe

  • @leahwanjiku5466
    @leahwanjiku5466 6 месяцев назад +1

    Hii Kenya sijui ni nani hachit aki

  • @freshiadavida5141
    @freshiadavida5141 6 месяцев назад

    This couple are not marching at all

  • @shiksjustin
    @shiksjustin 6 месяцев назад

    Beb ame pewa log book ya beb😂😂😂😂

  • @dianamayega874
    @dianamayega874 6 месяцев назад

    Mbona mama anaogopa shually

  • @AnnMuthoni-rk7fq
    @AnnMuthoni-rk7fq 6 месяцев назад

    Hawa pastor now wamezidi wamama wacheni ujinga fungukeni macho

  • @selinamusita4450
    @selinamusita4450 6 месяцев назад +5

    True love 😋😋

  • @gentrinemukosero-zk6wc
    @gentrinemukosero-zk6wc 6 месяцев назад

    Tena this year nikama Ni sisi ndio tutashinda hiki kikombe tena🙆

  • @marynyaga4911
    @marynyaga4911 6 месяцев назад +12

    What’s happening with husbands and wives? And to be precise what’s happening with marriages? And what happened to marriage vows “ until death do us apart “. It’s sickening to see how people are destroying themselves due to immorality and cheap sex.
    People should highly think of respecting their bodies as the temple of God.

    • @ericgathii1387
      @ericgathii1387 6 месяцев назад

      Who is to be blamed now. You are loyal to ua partner, who is cheating on you and u r now aware of it

    • @marynyaga4911
      @marynyaga4911 6 месяцев назад +1

      Those who take marriage vows and disregard them. And anyone not taking marriage seriously as it should be. Marriage is a holy institution and it should be kept as such.
      If you are not prepared to keep it holy and maintain faithfulness to each other. Do not do it.

    • @stevenmutumbu2860
      @stevenmutumbu2860 6 месяцев назад

      ​@@marynyaga4911Ne mairio ma GMO

  • @rosewambui9834
    @rosewambui9834 6 месяцев назад

    But they don't lime
    Hubby so smart but wife is being regretted or abandoned by pastor

  • @monicanderitu7378
    @monicanderitu7378 6 месяцев назад

    Married 22years with one child anyway reke hinjío ni makwa,,,,wajamani mm nikiskia eti lete hii mic nguvu inaisha nikingonjea habari za hivi punde...... weuh love is blind

  • @BigYouth_Tv
    @BigYouth_Tv 6 месяцев назад

    Even at this age bado watu wanarusha roho....hii ni maajabu.😂😂😂

  • @user-eb4qb9om3e
    @user-eb4qb9om3e 6 месяцев назад

    Aki mpaka huyu mama ako na kamzee surely mimi siwezi amini aki na mzee ako sawa kabisa

  • @perisngima7279
    @perisngima7279 6 месяцев назад

    Ati mhubiri ni Corinthians..😂😂😂huyu mama wacha tu

  • @user-ie3lw9eb6p
    @user-ie3lw9eb6p 6 месяцев назад

    Wachiye wafanye maisha yao na wewe ubaki na maisha yako

  • @beatricemuchina755
    @beatricemuchina755 6 месяцев назад

    Sama m soo lonely that man is my type.

  • @MmM-dl9yl
    @MmM-dl9yl 6 месяцев назад

    Brother wachana na wazee from 50yrs tafuta watu wa miaka 40. 30yrs huyu mzee amekupenda the way you look na unamcheza

  • @mutisojohn5809
    @mutisojohn5809 6 месяцев назад

    Hii family inakaa kuhurumiwa lakini naye Samaritan hanaga huruma. 💔 Aksante