SOKA KIJIWENI: Tumba Sued wa Ruvu Shooting ataja 'mchawi' goli walilofungwa na Feitoto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 15

  • @shaabanrajabu1945
    @shaabanrajabu1945 4 года назад

    Nakubali wanangu wa Vinyasi namuona Suma mzee wa kubet

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 6 лет назад +1

    Fred Cosmas Lewis "Balloteli" anajua Sana basi tu

  • @sniperboy7098
    @sniperboy7098 4 года назад

    Kaka kaongeya ukweli tatizo viongoz wetu wanajali pesa

  • @jacobmwalusamba4478
    @jacobmwalusamba4478 6 лет назад +1

    Huyo cosmas ana vitu mpe muda aongee

  • @ottoneville5455
    @ottoneville5455 6 лет назад

    Mkubwa dod kipindi kizuri.’ Tatizo unachukua muda mrefu ku uploads
    But nakupa 10/10 bruh..!piga kazi

  • @johnmwakalebela8850
    @johnmwakalebela8850 6 лет назад

    COSMAS UNANIKOSHA AISEE,UNAONGEA POA SANA..HUUMI NENO,NEXT TIME DODI TUNAMUOMBA BOBAN

  • @abubakarmohd1650
    @abubakarmohd1650 5 лет назад

    Katika vipindi vyote vya soka kijiweni ichi kizuri kuliko vyote

  • @oswardbalilemwa2844
    @oswardbalilemwa2844 6 лет назад +1

    Dah jamaaa anaongea ukwer mtupu

  • @keyakeya8911
    @keyakeya8911 6 лет назад

    Duuu huyo alosema labda wachezaji wote wafe na viongozi hapo nimekaa balaa

  • @ginnimoreno6239
    @ginnimoreno6239 6 лет назад +1

    mdudukiwii

  • @ammaarrajabu3394
    @ammaarrajabu3394 6 лет назад +1

    ndiokilichomtokea kakolanya kwakudai hakiyake

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 5 лет назад

    Mtangazaji unaongea sana kuliko wachezaji ..... Wape nafasi tuwasikir