JINSI YA KUJIUNGA NA TIMU ZA VIJANA ZA AZAM FC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 131

  • @user-ec2ur3ut8e
    @user-ec2ur3ut8e 21 день назад

    Asanteeh kwa maelezo mazuri, Naitwa Faraja Davis nina uwezo wa kutumia miguu yote naomba utaratibu, Asanteeh

  • @AminaSultan-g5v
    @AminaSultan-g5v 16 дней назад

    Mwalim wangu mimi ni naitwa Omary Nina miaka 15 Nina kipaji cha kuchez a mpira wa miguu nina omba kujiunga na academy yenu ahsante

  • @AminaSultan-g5v
    @AminaSultan-g5v 16 дней назад

    Mwalim mimi naitwa Omary na kipaji cha kuchez mpira nafasi ya beki naishi urambo asante

  • @janethmasakia-yq1pf
    @janethmasakia-yq1pf 6 месяцев назад +2

    Habari walimu wangu wa mpira wa miguu ninaitwa Gerald Nina miaka12 ninaomba kujiunga na academy yenu ahsante

  • @jumaadison4229
    @jumaadison4229 4 дня назад

    Habar mwalimu Niko na mtoto wangu ana kipanji Sana cha mpira ila hatuko dar tuko mkona naomba msaada wa mtoto wangu kwa kumusaidia kipanji chake

  • @yuzarzifhazard9465
    @yuzarzifhazard9465 8 месяцев назад

    Mimi ni Hussein Mbaraka mahambi ninakipaji cha kucheza mpira katika nafasi tofauti ninamiaka 15 nasoma kidato cha kwanza shule ya sekondari kalimaji ninaomba msaada wa kujiunga nanyi katika program zenu kwakua kwetu kunashida kifedha ninaomba msaada wenu natumaini maombi yangu yatakubaliwa INSHAALLAH napatikana ARUSHA njiro mtaa wa egosengiu

  • @hermansasuri9743
    @hermansasuri9743 2 года назад +4

    Ni vizuri saana na mnafanya jambo jema saana sasa je vip kwa wale walioko mbali na Dare es salaam, wanapataje hizo nafasi.

  • @CatherineKisomba
    @CatherineKisomba 22 дня назад

    Habari mwalimu naitwa Catherine kisomba naishi mbezi beach mm napenda kcheza mpira na nafas ya kiungo

  • @meruworriorsfootballprojec9494
    @meruworriorsfootballprojec9494 Год назад +1

    big up , By meru warriors football project TANZANIA

  • @TillionsMon
    @TillionsMon 3 месяца назад

    Inapendeza sana wakuu,Mimi naitwa baba JOHN
    Mimi mwanangu anapenda mpira naa anakipaji hivyo nitamleta waalimu,Umri wake miaka 15,Asanteni
    Ila Kama hamtojali ninaomba namba zenu wakuu

  • @user-ev1bt4lj4w
    @user-ev1bt4lj4w Месяц назад

    Shikamoo mwalimu wangu wa mpira wa miguu ninaitwa ethan martin nina miaka 23 ninaomba kujiunga na academy yenu asante

    • @LenadiShini
      @LenadiShini 24 дня назад

      shikamoo.mwalim.wangu.wa.mpira.miguu.ninaitwa.karim.ramadhan.nina.miaka.16.ninaomba.kujiunga.na.akadem.yenu.asante

  • @HamisKapembe
    @HamisKapembe Месяц назад

    Mim mzazi wa said khamis kapembe nilikua naomba nafasi yakujiung katika a academy ya mpira wa miguu

  • @AminaSultan-g5v
    @AminaSultan-g5v 16 дней назад

    Naitwa Omary naishi urambo napenda mpira naomba kujiunga na academy yenu ila wazazi wangu Hawa a uwezo naomba mnisaidie

  • @AzizaHussein-wq8ql
    @AzizaHussein-wq8ql 6 месяцев назад +1

    Fei toto ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @YudaBaraka
    @YudaBaraka 2 дня назад

    Mwalimu naomba kujiunga

  • @NemenceTesha43k
    @NemenceTesha43k 4 месяца назад

    Kwa majina naitwa kelvin paul nina umri wa miaka 18 napenda sana kucheza mpira wa miguu naomben mnisaidie nina ndoto za kuwasaidia wengi kupitia kipaji changu naombeni sana mnisaidie

  • @EliaUtenga
    @EliaUtenga 19 дней назад

    Mwalimu mm naitwa elia utenga nina miaka 15 napenda xana mpila

  • @TillionsMon
    @TillionsMon 3 месяца назад

    MUNGU azidi kuichipusha AZAM ,Amiin.

  • @JullyMaira-if6kd
    @JullyMaira-if6kd 8 месяцев назад +2

    Naomben nimlete mwanangu naomben msaada wenu maana anakipaj kikubwa

  • @AthamanIssa
    @AthamanIssa Месяц назад

    Naitwa athumani issa niko mwanza nataka kujinga nanyie ila wazazi wangu awana uwezo naomba mnisaidie

  • @AishaSafia-iz9qb
    @AishaSafia-iz9qb Год назад +1

    Mi naitwa adan nime furahi nakupendezwa natim hiyo ya Azam fc naeza penda mtoto wangu ajiunge na Tim hiyo y a under 17 so naeza pata location vipi

  • @ElikanaEmanweli
    @ElikanaEmanweli 6 месяцев назад +1

    Ninakipaji champira Na baazi yawatu Wanasemaga kwe dog unakitu mguuni.. Ila nduguzang Sina Baba pia Nimekosea.. Sapoti.. Shule Nime ishia la 7 Nilikosa wakuniendeleza.. Nimemaliza 2020lasaba.. Ilakwasabu.. Nimekosea wakuniendeleza.. ndotoyangu Nataka iwe mpira

  • @jacksonernest-g4r
    @jacksonernest-g4r Месяц назад

    Nata man I kujiunga na academy Hi yo ya azam

  • @MussaSalehe-l7g
    @MussaSalehe-l7g День назад

    Ninaitwa piter japhet ninaomba kujiunga ili nitakua natoka nyubani nipo mbezi mwisho dar es salaam

  • @user-dp7tl5dx9j
    @user-dp7tl5dx9j 8 месяцев назад +1

    Nataka kujiunga happy assuming inakuaje

  • @SakhoJohn
    @SakhoJohn 3 месяца назад

    Ninaitwa deo msacky Nina miaka 17 naomba kujiunga na academy yenu ahsant naombeni mnisaidie

  • @user-ez3qj8tm2k
    @user-ez3qj8tm2k 6 месяцев назад

    Mimi naitwa Abubakar Amri naishi mbezi naweza kucheza kama kiungo lakini wazazi wangu hawana fedha za kutosha hivyo naomba msaada wa kujiunga nanyi tafadhali kwa masharti yoyote

  • @MayaraMssa
    @MayaraMssa 3 месяца назад

    Kama kutakuwa na Mambo mengine tujurishane ndugu zangun ntafuata utaratibu wote na nidham kwa sana

  • @_maseed
    @_maseed 2 года назад

    Eeeenshallahou taaalaaa...🙏🏻Mola azid kuipa nguvu taasis nzima ya #azambakhresa

  • @isahawolee
    @isahawolee 7 дней назад

    naomba vigezo nameme nije au namba zenu ahsante

  • @ImanWilliam
    @ImanWilliam 9 месяцев назад +1

    naomba kjiunga

  • @MayaraMssa
    @MayaraMssa 3 месяца назад

    Ntafurah Sana mkuu nisaidie mdogo wako

  • @user-pf7tb5og5d
    @user-pf7tb5og5d 8 месяцев назад +1

    nahitaji kumleta kijana wangu ajiunge na academy ya azam ili aendeleze kipaji chake cha mpira wa mguu U15 mnielekeze vizuli au mnitumie namba ili tuongee vzuli

  • @GoodnesHamis
    @GoodnesHamis 2 месяца назад

    Naitwa azz rajab nimchezaj mzuri pia nimewah kuchezea kwenye academy ko namba nafas

  • @MayaraMssa
    @MayaraMssa 3 месяца назад

    Jaman naombben nafasi ya kujiunga na azam academy umri naitwa Julius sospeter selema umri miaka 18

  • @MichaelShayo-rt1gm
    @MichaelShayo-rt1gm 2 месяца назад

    Kwa majina naitwa Michael novatus shayo mwalimu wa michezo wa mpira wa miguu na umri miaka 18 naomba nafasi ya kujiunga na academy sports yeni naombeni niweze kutimiza kipaji nicho nachoo

    • @MichaelShayo-rt1gm
      @MichaelShayo-rt1gm 2 месяца назад

      Mwalimu wa michezo wa Azam academy naomba msaada wenu

  • @HashimuShaban
    @HashimuShaban Месяц назад

    Naitwa barak Shaban nina mika 18 ninaomb kujiunga kweny timu yenu

  • @JUMANUHU-do8ll
    @JUMANUHU-do8ll 4 месяца назад

    Shkamokni kocha me naitwa juma nuhu na miaka 15 nilikuw Naomba kujiunga na academy yen nakipaj asante

  • @PatriceYuda-vy1rg
    @PatriceYuda-vy1rg 10 месяцев назад

    Kwa majina naitwa Patrice yuda natokea mkoani manyara kwa sasa nipo mlandizi natamani sana kujiunga Na academ naomba maelekezo samahani kwa usumbufu

    • @BethodyBogias
      @BethodyBogias 10 месяцев назад

      Kuhusu maombi ya academy umepata mwelekeo gani Hadi kufkia saizi?

  • @user-si2ih9pu7u
    @user-si2ih9pu7u 10 месяцев назад +1

    Nilikuwa naomba naamba

  • @RonginoKitalika
    @RonginoKitalika 3 месяца назад

    Mtoto anajiungaje

  • @user-ww7tz2ke2l
    @user-ww7tz2ke2l 6 месяцев назад

    Mimi ni mzazi wa maliki ramadhani naomba nafasi yakujiunga katika academy ya Azam fc

  • @elishabomba9063
    @elishabomba9063 7 месяцев назад

    Naombeni munisikiye jamani minipo

  • @user-eq4uy8vg9v
    @user-eq4uy8vg9v 5 месяцев назад

    Habari mwalimu Nina mwanangu anaitwa kasim anaumri was miaka 12 anakipaji kikubwa Cha mpira was miguu naomba ajiunge na academy yenu

  • @ZainaMshana-gn9is
    @ZainaMshana-gn9is 3 месяца назад

    Naomba namba nipo mkoani Nina kijana wangu nahitaji kumleta

  • @WazalendoMeneja
    @WazalendoMeneja 11 дней назад

    Kwema

  • @MshoshaCharles
    @MshoshaCharles Месяц назад

    Kuanzia umli gan

  • @user-wq8kw3hm5n
    @user-wq8kw3hm5n 7 месяцев назад

    Kwa majina naitwa jumma nuhu na kaa mkoa wa manyar na miaka 15 na kipaji Cha kucheza mpir nilikuwa na omba number mama anataka kunileta uko na kipaji San Cha mpira was miguuu

  • @elishabomba9063
    @elishabomba9063 7 месяцев назад

    Habali mimi nina uwezo wa kucheza pila naomba muni saidie ninamyaka 17

  • @ChrissShani
    @ChrissShani 4 месяца назад

    Hi coach mm chriss emmanuel naomba kujiunga na sports acadomy ya azam

  • @user-rd9hl1df9v
    @user-rd9hl1df9v 10 месяцев назад +1

    Natamani Kuna nipen maelekezo

  • @FabianNghwani
    @FabianNghwani 4 месяца назад

    Mm nina itwa festo naomba kujiunga na academy yenu

  • @elifurahachuri9917
    @elifurahachuri9917 Год назад +1

    Nahitaji kujiunga na azam under 17 naomba maelezo zaidi kuhusu kategori hiyo,

  • @lilianmakula2399
    @lilianmakula2399 11 месяцев назад +1

    Ntapataje namba zenu mwanangu ajiunge

  • @ogaoga2385
    @ogaoga2385 Год назад

    Naitwa good luck naomba kujiunga na academy yak inafanya vizur sana

  • @user-et3kf9yg9e
    @user-et3kf9yg9e 6 месяцев назад

    Mimi Ezra naomba kujiunga na academy Naomba namba ya wsp

  • @KasimAli-fn1zh
    @KasimAli-fn1zh Год назад

    Vp sis ambao tupo katika wilaya ya lushota na tuna vipaj mnatusaidiaje

  • @user-pq8pu5vs3z
    @user-pq8pu5vs3z 7 месяцев назад

    Azam njoon kigoma🎉tutafanikiw mm Agustihno sokola nippo kigoma mwanga

    • @user-pq8pu5vs3z
      @user-pq8pu5vs3z 7 месяцев назад

      Mm no Agustihno sokola nippo kigoma mwanga mtaa wa shaurimoyo

  • @hermansasuri9743
    @hermansasuri9743 2 года назад +1

    Mimi ninapenda saana mpira na mwanangu natamani asome huku akicheza mpira lakini niko Geita nafanyaje ili kumuweka mtoto hapo

  • @user-eq4uy8vg9v
    @user-eq4uy8vg9v 5 месяцев назад

    naomba mwanangu kassim ahmad ajiunge

  • @user-yb6nh9fd8z
    @user-yb6nh9fd8z 10 месяцев назад

    Naomba unisaidie mwanangu aje azam mwakani nitafanyaje uder 15

  • @jacksonernest-g4r
    @jacksonernest-g4r Месяц назад

    Napataje nafasi ya kuja

  • @YussufYussuf-pu1ie
    @YussufYussuf-pu1ie 6 месяцев назад

    Naitw haji soud haji maaruf dube ninawaomb sn ten san naomb nafas na mm ya kujiunga na academ ya azam nin kipj il ttz sn mtu tu ilo nd ttz naomb mung akupen iman muwez kunitaft familia yang ni maskin san na ninandot ya mpir il kuitoa familia yang nakuomben san muwez kunisaidia jaman nakuomben sana natekemea mutanisapot kwa hl asanten

  • @user-ek4sn3ib2m
    @user-ek4sn3ib2m 7 месяцев назад

    Mtoto wang anahitaj kujiunga na academy ya azam nawapataje

    • @FrankRichard-qn9id
      @FrankRichard-qn9id 6 месяцев назад

      Hallo,Nina mtoto wangu anapenda sana kujiunga nanyi Niko tabora je mna shule hapohapo nimlete na vp gharama na mahitaj mengine

  • @PatriceYuda-vy1rg
    @PatriceYuda-vy1rg 10 месяцев назад

    Naomba maelekezo jumamosi nataka nije nikuanzia SAA ngapi mnaanza

  • @neemarehani5941
    @neemarehani5941 7 месяцев назад +1

    nataka nijiunge

  • @johnhosea6389
    @johnhosea6389 2 года назад +1

    Karibuni kwa mechi

  • @user-mf5pn4ee4n
    @user-mf5pn4ee4n 8 месяцев назад

    Habali mkuu mm naitwa twalibu ni mkazi wa dar ningependa kujiunga na academy yenu nina miaka 17 boss nawaomben jaman ninamaisha yatabu sn mkuu

  • @user-fj4np4oe5c
    @user-fj4np4oe5c 7 месяцев назад

    Habari

  • @user-rc9ih9hg2w
    @user-rc9ih9hg2w 6 месяцев назад

    Nahitaji kujiunga na academy

  • @user-rm3mq9jj4h
    @user-rm3mq9jj4h 7 месяцев назад

    nina miaka 15 toninahitaji kujiunga nahitaji namba zenu

  • @jacksondalushi3865
    @jacksondalushi3865 2 года назад

    Ninavijana wangu wanapenda mpira sana tupo Mwanza

  • @user-et3kf9yg9e
    @user-et3kf9yg9e 6 месяцев назад

    Naomba kujiunga na academy

  • @elishabomba9063
    @elishabomba9063 7 месяцев назад

    Nipo tayali kuona jinsi kipaji changu kinapo kuwa

  • @EMANUELASSENGA
    @EMANUELASSENGA 6 месяцев назад +1

    MY name is emanueli need tojoin with Azam academy, i have talent number 3,6 and 8

  • @MathayoJuma-dy9pj
    @MathayoJuma-dy9pj Год назад

    Naitwa mathayo nipo mwanza napanda sana kucheza mpira mawezaje iupata maelekezo ya kufka huko ama kujiunga tafadhari

  • @halimasalum8894
    @halimasalum8894 Год назад

    Ishaallah

  • @user-ps9zv8he3k
    @user-ps9zv8he3k Год назад +1

    Nawezakupanaba

  • @SuleimanMrisho
    @SuleimanMrisho 5 месяцев назад

    Namb ya sim nilikuw naomb

  • @saidyiddy8512
    @saidyiddy8512 Год назад

    napataje nafasi ya kuleta vijana wangu napenda sana awe hapo azam

  • @user-wb4cx8jh9w
    @user-wb4cx8jh9w Год назад

    Naitaji kujiunga na academy naomba sana

  • @PatriceYuda-vy1rg
    @PatriceYuda-vy1rg 10 месяцев назад

    Naomba maelekezo

  • @samachampion7268
    @samachampion7268 2 года назад +1

    Free session jumamosi inaanza sangapi?

    • @galaxyboe5762
      @galaxyboe5762 2 года назад

      Free session jumamosi inaanza na kuisha saangapi?

  • @sahimameir1099
    @sahimameir1099 2 года назад +1

    Mimi nina kipaji nafanyaje

  • @ABASSAGHA-zk3nu
    @ABASSAGHA-zk3nu Год назад

    Ni mfano wa kuigwa kw timu nyingine azm fc bizaa bora timu boraaa

  • @laizerstephen4927
    @laizerstephen4927 8 месяцев назад

    Naomb kujiunga tim ya azam under 17

  • @zamdadedela297
    @zamdadedela297 Год назад +1

    Naomben mnielekeze namba ya kujiunga

    • @zamdadedela297
      @zamdadedela297 Год назад

      Naomben mnielekeze namba zenu Ili nimlete mwanangu

    • @zamdadedela297
      @zamdadedela297 Год назад

      Naomben mnielekeze namba zenu Ili nimlete mwanangu

  • @obedeliza2475
    @obedeliza2475 Год назад

    Nina mtoto wangu ana Lilia nimlete azam nipen maelekezo

  • @AlachuFamily-bh6sg
    @AlachuFamily-bh6sg Год назад

    Mm lakson ruga naomba nafasi apo

  • @AminaAthumani-yf5qz
    @AminaAthumani-yf5qz Месяц назад

    Mtu akitaka kujiunga atua gani afate

  • @user-gb9gs1dd5w
    @user-gb9gs1dd5w 7 месяцев назад

    Nataka kujiung naakadem yenu

  • @zamdadedela297
    @zamdadedela297 Год назад

    Ninawezaje kupata namba zenu Ili nimlete mwanangu hapi

  • @feristeranthony-ec3qs
    @feristeranthony-ec3qs Год назад

    Mwaka huu trial link?

  • @neemakumbuaeli2168
    @neemakumbuaeli2168 7 месяцев назад

    Wa mikoani inakuwaje

  • @KasimAli-fn1zh
    @KasimAli-fn1zh Год назад

    Katika wilaya ya lushoto mkoa watanga ipo timu inayo itwa mbugusi f.c inavipaji vya kutosha mnatusaidiaje hawa vijana Ili waweze kutimiza ndoto zao

  • @sijalimwampenza4786
    @sijalimwampenza4786 2 года назад

    Mtoto wangu anataka kujiunga na azam yawatoto nipen maelekezo

  • @user-et3kf9yg9e
    @user-et3kf9yg9e 6 месяцев назад

    Mimi kijana mwenye umli wa miaka kumi na Saba nilikuwa naomba kujiunga na academy naomba namba yenu Au ya wsp

  • @ImanWilliam
    @ImanWilliam 9 месяцев назад

    naomba namba zenu

    • @SangaSefania
      @SangaSefania 9 месяцев назад

      Naitwa frans naomba kujiunga na kituo chenu

  • @cashmoneytz2759
    @cashmoneytz2759 2 года назад

    Hakika mtafka mbali

  • @user-gb9gs1dd5w
    @user-gb9gs1dd5w 7 месяцев назад

    Naomb namba zenu