Naitwa NEEMA Nmepokea muujiza asaiv maombi yaleo nmeomba kupewa watoto wangu kirais baada ya maombi ya jion kuisha nkapgiwa cm nkafate watoto wangu asante mungu wa mathabahu ya inuka uangaze
Naomba uniombe mm na mchunba wangu kurwa tuoane mwaka unao kuja na mungu atubarik tuwe naaman naupendo katika familia yetu atupe nauzao wenye baraka naaman afu mtumishi naomba utuombee mim namchumbaangu mungu atupenye changamoto tulionayo kila tukiwa wote naomba niombee me niko moshi naitwa jacklini
Najiunganisha na madhabahu ya arise and shine na kwamba nikapokee uponyaji wa maradhi yote katika mwili wangu kwa jina la Yesu,iwe ni uchawi au mapepo nayakemea kwa jina la Yesu yakashindwe na nisimame tena katika afya njema kwa jina la Yesu amina
Naitwa Faustine peter np Zanzibar naishkur madhabahu ya inuka uangaze long live mwamposa na naomba umuombee mdogo wangu ridia Hamis ambaye yp saiv mhimbili anayesumbuliwa na mguu tangu mwaka jana aweze kupona na kuendelea na masomo yake shukran mwamposa msaidie mdogo wangu
Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine miezi miwili walionitapeli mdantaoni mungu kaseme nao nataka kurudishiwa kila kitu changu nilichotapeliw kwa damu ya yesu
Kwa imani pamoja na kanisa lako takatifu Mungu naomba umbariki baba yangu na afunguliwe katika mateso makali anayoyapitia sasahiv , kwa kumponya mkono wake wa kulia . Amina
naomba nipokea upako wa kufunga ndoa na yohana eziraeli makerere ambaye tayari Mwenyez Mungu ametujalie nko na ujauzito wake tupatie upendo tusikilizane kwa Kila hatua amina Niko tayari kupokea upako
Naomba mungu anijalie niolewe na mchumbaangu kurwa na atupe familia yenyeamani na baraka na kumcha mungu atupe na uzao wenye baraka na tuwe na furaha sikuzote amen
Najiunganisha namadhabahu ya mwamposa Mungu mtenda miujiza aniguse nataka kujenga nyumba Mungu alio watendea wengine anitendee namimi naamini Mungu atanisaidia Amina napokea Kwa jina la yesu
Ee mungu mwenyenzi naomba kupitia mazabahu hii yamtumishi wako boniphas mwamposa ikamkumbushe mume wangu yakwamba anamke namtoto aweze kutukumbuka Kila siku naweze kututafuta Ili tuweze kuidumisha ndoa yetu ee mungu mwenyenzi naomba kupitia mazabahu hii baba kamguse mume wangu wandoa tupe upatanisho wandoa yetu baba
Eee mungu mwenyezi naomba unirudishie mahusiano yangu yawe na amani na upendo ktk yangu mm na hussen ramadhan Omar leo utuondoshee Yale yote yanayo tusumbuwa Ameen🙏🙏
Mungu nimukubwa kweli nimeamini kabisa mungu ninaitaji mungu wangu kwanzia tarehe iyi ya leo nibebe mimba yamapanja wawili mungu nanitalisukuru jina lako
Eee mung kwakupitia mahabahu hii naiombea familia yangu iponye iondokane na pepo la kurudisha nyuma maisha yang na ninaomba kwa mung mme wangu aponywe na aebushe na dhuruba baya linalomfanya acaminike kwa watu na kuletewa roho ya umaskin na madeni amina
Naowada ni godifuly masumbuko samwely tobias masumbuko mabili twagalale kubagola adulofu adulofu james josam sitefano sosipita masumbuko kusangwa na wanaonidaini eliki petulo mungu nitendee kama unavyo watendea wengine
Namuombea mwanangu daud anaumwa alipimwa moyo wake una tundu ee mwenyeze MUNGU naomba kwa uwezo atakapoenda kutibiwa mhimbi apone kabisa nafunga rolo ya maradhi katka kizazi changu kwa jina la yesu amen🙏
Amini tu hata Kwa maombi atapona,pole wangu alikua na tundu niliandikiwa India muda kidogo ila huyo dactar aliniambia mama usiogope uki muinamia Mungu ata pona ninavo kuambia Alisha pona kabisa Sasa ni kijana
Neste momento estou de joelhos a ver os live,este ano quero todas as maldades queimar hoje quero casar, ter filhos e no meu trabalho tudo dê certo como vinha acontecendo com coisas boas em nome de Jesus Cristo 🤲🏻
Amina eemtumishi wa mungu mponye namdogo wangu afunguliwe vifungo alivyo fungwa apate mtoto nakuomba mtumishi wa mungu temberea na songea kwani wachawi Wana daiana nyama laivu Kama maandazi tuna hitaji upako wako songea
Naomba kubet na kushinda pesa zaidi ya million 20 watu washangae utajir wangu pia nitatoa fungu la 10 Naiman mungu atanitendea Amina ninaiman nitapokea
Kupitia madhabau hii naomba mungu amfungue mzazi mwenzangu kanikatia mawasiliano kaniachia watoto agunguliwe akumbukw familia tena apate uhamisho ahamie dar
namshukuru mungu ndoa yangu mungu ametetea ilikua nashida mume wang alikua hataki kuniona hata lakin maji ya upako yamefanya ndoa yang iwe na amani na mume wangu ananipenda namshukur mungu sana
Pasteur. Nahandika kutokea Kinshasa Drc. 1. Nina upungufu.wa kuona, usikunao mchana. Mungu aniponue, nione vizuri. 2. Ugonjwa wa pression.arterielle unanisumbua. Mungu aniponye. 3. Nimeondolewa kuvkazi bila sababu. Mungu anifunguliye milango ya kazi nipate ingine. 4. Natafuta visa ya kusafiri kwenda marekani. Mungu anisaidie, nipate visa na nisafiri. 5. Nilifiwa na mke. Nimepata marekani mke mwengine,awe amechanguliwa kwangu na Mungu. Msamahani kwa swahili yangu ya Congo Drc. Jacques
Mungu wa madhabahui hiii ya arise naomba Nuru katika maisha yanguu amani ya Moyo wanguu,,naomb uniponye. Afya yangu,,naomb ubariki kazii ya mikono ya Kaka yangu,,naamini unatenda
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu mwamposa samahani naomba unisaidie babu yangu ni mgonjwa sana ila tumeenda hospitali wamesema ugonjwa hawaoni nisaidie baba angu tupo Dodoma Chamwino kijiji mlebe please
Ee mungu naomba unifungulie milango yangu ya biashara mifugo yangu imekwisha kufa yote nimebaki ziro ,naomba baba ukatende mujiza wako nawale ninao wadai wuwakumbushe waweze kunilipa
hawawezi kufunguka: wametengeneza miungu na imani wanazozijua wao, hata sielewi watu ni wajinga kiasi gani na kwa nini. wanaabudu na kutukuza upumbavu, mbali kabisa na Mungu wa kweli.
Kupitia hi mazabau ya arise end shini naomba mungu amuponye mume wangu simoni ndila magonjwa yote yanayo musumbua Amina
Eeeeeeh Mungu kupitia madhabahu hii naomba mahusiano yetu mimi na mume wangu yaweze kurudi na tulee familia pamoja na azidishe upendo kwangu., Ameen🙏
Naitwa NEEMA Nmepokea muujiza asaiv maombi yaleo nmeomba kupewa watoto wangu kirais baada ya maombi ya jion kuisha nkapgiwa cm nkafate watoto wangu asante mungu wa mathabahu ya inuka uangaze
Naomba uniombe mm na mchunba wangu kurwa tuoane mwaka unao kuja na mungu atubarik tuwe naaman naupendo katika familia yetu atupe nauzao wenye baraka naaman afu mtumishi naomba utuombee mim namchumbaangu mungu atupenye changamoto tulionayo kila tukiwa wote naomba niombee me niko moshi naitwa jacklini
Najiunganisha na madhabahu ya arise and shine na kwamba nikapokee uponyaji wa maradhi yote katika mwili wangu kwa jina la Yesu,iwe ni uchawi au mapepo nayakemea kwa jina la Yesu yakashindwe na nisimame tena katika afya njema kwa jina la Yesu amina
Nampenda sana MTUMISHI naomba Mungu amweke sana...,..ninamengi nahitaji hivyo Naamini KUPITIA madhabahu hii NITAINUKA NA KUANGAZA
Ķk7
Mm naitwa esta Juma namshukuru mungu ameniponya tumbo ririronisubua ndani yamiaka kumina tisa
Ee mungu nifungue na Mimi nizaliwe upya Leo nafunguliwa natangaaza balaka vifungo vote naviamulu vitoke Kwa jina la yesu 🙏🙏🙏🙏
Mungu nisaidie nipate ndoa, na Mume mwenye hofu ya Mungu🤲
Kupitia watu hawa wanaoponya na Mim niende nikaponywe Kwa dam ya yesu amina
Nitafikaje kwa uyu pastor mimi
Mungu akusamehe wew unae ita watumishi wa mungu majina yaajabu
Wow!what a suprise !May goodness Make me man!
Mutumishi wa mungu naomba ni saidiye madeni ya ishe ni patemutaji ni fungue biasharayangu ameeeee 🙏🙏🙏🙏
Naomb kubeba mimba mungu nisaidie mwaka huu
Naitwa Faustine peter np Zanzibar naishkur madhabahu ya inuka uangaze long live mwamposa na naomba umuombee mdogo wangu ridia Hamis ambaye yp saiv mhimbili anayesumbuliwa na mguu tangu mwaka jana aweze kupona na kuendelea na masomo yake shukran mwamposa msaidie mdogo wangu
Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine miezi miwili walionitapeli mdantaoni mungu kaseme nao nataka kurudishiwa kila kitu changu nilichotapeliw kwa damu ya yesu
Eeh Mungu nikumbuke na mm kwenye maombi ya leo waangushe watesi wangu
Mungu kupitiamadhabau hii yamtume mwamposa naombakufungiliwa mimi nauzao wangu
mungu nisaidie kupitia mabauhaya nowadai wote wanilipe ambaoni godifuley masumbuko samwel tobiasi twagalale kubagola sitefano kahigi masumbuko mabili adulofu adulofu rafaeli mondi masumbuko kusangwa Wanao nidai ni eliki petulo kubahela bututu reah kitung rehema esau mwamposa niombee mngu anitendee naamini atatenda ❤❤❤
Kwa imani pamoja na kanisa lako takatifu Mungu naomba umbariki baba yangu na afunguliwe katika mateso makali anayoyapitia sasahiv , kwa kumponya mkono wake wa kulia . Amina
naomba nipokea upako wa kufunga ndoa na yohana eziraeli makerere ambaye tayari Mwenyez Mungu ametujalie nko na ujauzito wake tupatie upendo tusikilizane kwa Kila hatua amina Niko tayari kupokea upako
Ee Mungu naomba kupitia madhabahu hiii uniponye ugonjwa unaonitesa amina
Naomba mungu anijalie niolewe na mchumbaangu kurwa na atupe familia yenyeamani na baraka na kumcha mungu atupe na uzao wenye baraka na tuwe na furaha sikuzote amen
Mtumishi naaandika wanaonidai wota naomba niwaliPe wote ambao ni rehema kubahela leah nawengineo Naambao ninawadai ambaoni samwely adulofu masumbuko twagalale jane sitefano godifuley rafaely naomba wote niombee wanilipe naamini mungu anatendakupitia mazabau mungu nitendee mimi mwanao😂😂❤❤❤❤
Najiunganisha namadhabahu ya mwamposa Mungu mtenda miujiza aniguse nataka kujenga nyumba Mungu alio watendea wengine anitendee namimi naamini Mungu atanisaidia Amina napokea Kwa jina la yesu
Najiungamanish na madhabahu hii ya inuka uangaze kwa jina la yesu natak mi na mchumb ang Vinny tuelewane na mung atujalie tufunge ndoa amen
NAmuomba mungu nipate kazi kilahis yakujenga na kupauwa
Najiungamanisha na madhabahu hii Mungu atende miujiza aponye magonjwa kwa mama na baba angu,awalinde watoto wangu na maadui wabaya
Ee mungu kupitia madhabahu hii naomba kufunguliwa tumbo langu nipate ujauzito mwaka huu na baba yangu aponywe maradhi yanayomsumbua kwa jina la yesu
Najiunganisha na madhabahu ya mwamposa mungu amtoe mdogo angu kwenye kifungo cha mateka jina paulo
Kupitia madhabahuhii naomba mungu aniponye
Emungu nikumbuke namimi maisha yang yapo kwako mungu
Mungu kupitia madhabahu hii ya Arese and shine niondolee giza linaloni fanya nisione Kane Mimi nakuanzia saa hii napokea Nuru Amen
Eeh! Mungu naomba unikumbuke na mm nipokee uponyaji wa moyo wangu na ganzi
Ee mungu wabarik wazaz Wang na uwaombee maisha marefu love more my parent..mungu akujalie maisha marefu pia mtumish,
Ee baba naomba wanaonidai wote wanisamehe kufanya maisha yangu kuwa na mafanikio meng amen
Mungu naomba unifanyie wepes kupitia mazabahu hii mpenz wngu aje kunitolea barua na Mahal nitendee baba miujiza yako ameen
Watatokea manabii wauongo wakitoa ishala kubwa namaajabu ndo ww khaaaa kudanganya watu ivyo jamani khaaaaa😄😄
Wwe endelea kusema uongo tuu basi nabii wa kwel ni mganga wako
Mungu wangu nakuja mbele zako baba naomba unibariki nipate ujauzito wa mapacha wakike na wakiume mwezi huu naamini imekuwa hivyo
Hii madhabahu inatenda,Acha Mungu aitwe Mungu
baba naomba niombee nibadilishe maisha yangu nimefungwa sioni mbele baba naimani na ww
mungu nisaidie mume wang akubali tufunge ndoa mwaka huu usiishe mungu tubariki nyumba nzuri na gari lakutembelea asante mung unaweza yote
Mutume naomba uniombee mchumba wangu eje nyumban atakapo toka kazn leo mungu naomba aseme kitu
Mungu naomba uitee ndoa yangu iwe amani na mume wangu aniijie
Namwomba Sana mungu anijalie nipate watoto katika Manisha yangu naham Sana kuitwa mama na kunyonyesha mtt wang
Mungu keshaskia subiria muujiza huo amini tu
Jaman namshkuru munguu Sasa naitwa mjamzito mama mtalajiwa pia munguu naomb amsaidie mama aache kunywa pombe naamin nitapokea ameen
Kupitia madhabahu ya rise and shine , nataka nipate mume na nifunge ndoa mtu sahii
Naomba unisaidie mungu na mm nipate mimba mwaka huu wawe mapacha wakiume
Ee mungu mwenyenzi naomba kupitia mazabahu hii yamtumishi wako boniphas mwamposa ikamkumbushe mume wangu yakwamba anamke namtoto aweze kutukumbuka Kila siku naweze kututafuta Ili tuweze kuidumisha ndoa yetu ee mungu mwenyenzi naomba kupitia mazabahu hii baba kamguse mume wangu wandoa tupe upatanisho wandoa yetu baba
Mungu aliye hai atakupa haja ya moyo wako katika jina la Yesu
Amém
Eee mungu mwenyezi naomba unirudishie mahusiano yangu yawe na amani na upendo ktk yangu mm na hussen ramadhan Omar leo utuondoshee Yale yote yanayo tusumbuwa Ameen🙏🙏
Najiunga na mambi ya paste naomba mung anisaidie tupate hela Mim na mpenz wang tujenge nyumba ya kuishi
Ehe mung nijalie afya njema nifanikiwe ktk mamb yany
Najiunganisha na madhabau hii namuomba mungu amfanye mume wangu ALIY aache pomb
Hee mwenyezi mungu naomba uniponye magonjwa yote
Ee mungu Naomba Anae niendea mbio kuniroga mchawi nyumbani kwangu Leo hii Afee katika jina layesuu
Mungu nimukubwa kweli nimeamini kabisa mungu ninaitaji mungu wangu kwanzia tarehe iyi ya leo nibebe mimba yamapanja wawili mungu nanitalisukuru jina lako
Eee mung kwakupitia mahabahu hii naiombea familia yangu iponye iondokane na pepo la kurudisha nyuma maisha yang na ninaomba kwa mung mme wangu aponywe na aebushe na dhuruba baya linalomfanya acaminike kwa watu na kuletewa roho ya umaskin na madeni amina
Naowada ni godifuly masumbuko samwely tobias masumbuko mabili twagalale kubagola adulofu adulofu james josam sitefano sosipita masumbuko kusangwa na wanaonidaini eliki petulo mungu nitendee kama unavyo watendea wengine
Namuombea mwanangu daud anaumwa alipimwa moyo wake una tundu ee mwenyeze MUNGU naomba kwa uwezo atakapoenda kutibiwa mhimbi apone kabisa nafunga rolo ya maradhi katka kizazi changu kwa jina la yesu amen🙏
Amini tu hata Kwa maombi atapona,pole wangu alikua na tundu niliandikiwa India muda kidogo ila huyo dactar aliniambia mama usiogope uki muinamia Mungu ata pona ninavo kuambia Alisha pona kabisa Sasa ni kijana
Ameeeee
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu amukumbuke mzazi wangu amponye magonjwa mbalimbali ya nayo msumbua amena
Acting of a high level…….May the Lord God give the spirit of discernment to his people
Naumwa ugonjwa wa zinaa naomba mungu wa mwamposa uniponye
😂😂😂😂
Ee mungu naomba kesi ya magonjwa yapotee kabisa amina
Neste momento estou de joelhos a ver os live,este ano quero todas as maldades queimar hoje quero casar, ter filhos e no meu trabalho tudo dê certo como vinha acontecendo com coisas boas em nome de Jesus Cristo 🤲🏻
namwomba mungu anisaidie biashara yangu iwe kubwa kupita maelezo mungu niheshimishe maadui washangae nibariki mungu
Naomba maelekezo ya kutoa koment na uelezamatatizo yangu ilnisaiduwe
Ee mungu naomba kupitia maombi ya mtumishi wako naomba milango iliyofungwa katakana maisha yangu ikafunguliwe kila kilicho changu kiludishwe
Eeeeeeh mwenyezi mungu nisaidie kupitis ibada ya leo niweze kushika ujsuzito.
Amina eemtumishi wa mungu mponye namdogo wangu afunguliwe vifungo alivyo fungwa apate mtoto nakuomba mtumishi wa mungu temberea na songea kwani wachawi Wana daiana nyama laivu Kama maandazi tuna hitaji upako wako songea
Mwenyezi mungu kupitia madhahabu hii kila vita wanavyo ninulia Madui zangu naomba upiga ne nao mwenyewe
Ehee mungu kupitia madhabau ya mtumishi wako maisha yangu yakabadilike nikainuke na kuangaza
Eee mwenyezi mungu naomba ukafunguo uzao wangu ukawe wabaraka maisha I mwangu amee
Naomba kubet na kushinda pesa zaidi ya million 20 watu washangae utajir wangu pia nitatoa fungu la 10
Naiman mungu atanitendea
Amina ninaiman nitapokea
Eee mungu niangalie niweze kupata mtaji
Ee mungu nikumbuke na Mimi kwenye hitaj langu siku zote
Kupitia madhabau hii naomba mungu amfungue mzazi mwenzangu kanikatia mawasiliano kaniachia watoto agunguliwe akumbukw familia tena apate uhamisho ahamie dar
pastor na mtume wa mungu mwamposa naomba uniombee kwa sababu napitia hali ngumu ya kimaisha
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
namshukuru mungu ndoa yangu mungu ametetea ilikua nashida mume wang alikua hataki kuniona hata lakin maji ya upako yamefanya ndoa yang iwe na amani na mume wangu ananipenda namshukur mungu sana
Hello
Ulifanyaj
Mungu naomba uniponye magonjwa na uwaombee wanangu wawe na afya njema
Niombe nipate mtoto mungu nisaidie mapacha
Shalom Mungu aliye hai atuinue sote
Pasteur.
Nahandika kutokea Kinshasa Drc.
1. Nina upungufu.wa kuona, usikunao mchana. Mungu aniponue, nione vizuri.
2. Ugonjwa wa pression.arterielle unanisumbua. Mungu aniponye.
3. Nimeondolewa kuvkazi bila sababu. Mungu anifunguliye milango ya kazi nipate ingine.
4. Natafuta visa ya kusafiri kwenda marekani. Mungu anisaidie, nipate visa na nisafiri.
5. Nilifiwa na mke. Nimepata marekani mke mwengine,awe amechanguliwa kwangu na Mungu.
Msamahani kwa swahili yangu ya Congo Drc.
Jacques
Mungu wa madhabahui hiii ya arise naomba Nuru katika maisha yanguu amani ya Moyo wanguu,,naomb uniponye. Afya yangu,,naomb ubariki kazii ya mikono ya Kaka yangu,,naamini unatenda
naomba babayangu aaje mungu ambarikiwe ajee pombe
❤❤❤❤❤ so much mimepokea mtaj kwa j n l yes am bllessed
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu mwamposa samahani naomba unisaidie babu yangu ni mgonjwa sana ila tumeenda hospitali wamesema ugonjwa hawaoni nisaidie baba angu tupo Dodoma Chamwino kijiji mlebe please
Mungu akupe mysha marefu mwamposa wetu
Mungo anibarike anipa uzima,ninauma sana
Kupitia haya madhabau nikabadilike eeh mwenyezi Mungu nisaidie
Ee mungu naomba unifungulie milango yangu ya biashara mifugo yangu imekwisha kufa yote nimebaki ziro ,naomba baba ukatende mujiza wako nawale ninao wadai wuwakumbushe waweze kunilipa
eeeeh mungu nifanyie wepesi leo nivinguliw kiuchumi
Nakuomba mungu unifungiliye mjia zangu nijimbu maombi yangu na kwanini yesu
Ameeen. Namuunganisha na ibada hii na Mimi napokea uponyaji. Sasa
Mungu nisimamie niaenda kuongea na mkulia anisaidie na anisikikize amina
kwa jina la yesu naomba mafanikio kupitia mtumish
Naitaji mtoto mm nina shida ya tumbo linaniuma sana
Eemungu naomba nibarikimwakahuu nipatemimba nizaemtoto wakike
Habar
Mtumishi shalomsholom bomba umuombee baba yangu
Mtumishi minaomba umwombee mwanangu mungu amwonekanie kwenye masomo yake.natokea panda za Moshi ubarikiwe
Najionganisha na maombi mdahu mungu ani komboe mimi nipate kazi kubwa kubwa kikoni
Barikiwa mtumishi naomba nifunguliwe nipate mtoto
Mwamposa tubu Mungu atakusamehe wachanga kufanya comefy na jina LA yesu jameni watu fungukeni macho
hawawezi kufunguka: wametengeneza miungu na imani wanazozijua wao, hata sielewi watu ni wajinga kiasi gani na kwa nini. wanaabudu na kutukuza upumbavu, mbali kabisa na Mungu wa kweli.