MTUME MWAMPOSA AKAMATA PEPO LIVE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025
  • #arisendshinetanzania #shuhuda #2021mwakawaimani #mwamposalive

Комментарии • 542

  • @SAIMONNDILA
    @SAIMONNDILA Год назад +4

    Kupitia hi mazabau ya arise end shini naomba mungu amuponye mume wangu simoni ndila magonjwa yote yanayo musumbua Amina

  • @zayprince5951
    @zayprince5951 8 часов назад

    Eeeeeeh Mungu kupitia madhabahu hii naomba mahusiano yetu mimi na mume wangu yaweze kurudi na tulee familia pamoja na azidishe upendo kwangu., Ameen🙏

  • @GloryDmmbaga
    @GloryDmmbaga 16 дней назад

    Naitwa NEEMA Nmepokea muujiza asaiv maombi yaleo nmeomba kupewa watoto wangu kirais baada ya maombi ya jion kuisha nkapgiwa cm nkafate watoto wangu asante mungu wa mathabahu ya inuka uangaze

  • @fatumapembe6170
    @fatumapembe6170 Месяц назад +1

    Naomba uniombe mm na mchunba wangu kurwa tuoane mwaka unao kuja na mungu atubarik tuwe naaman naupendo katika familia yetu atupe nauzao wenye baraka naaman afu mtumishi naomba utuombee mim namchumbaangu mungu atupenye changamoto tulionayo kila tukiwa wote naomba niombee me niko moshi naitwa jacklini

  • @asharajabu1111
    @asharajabu1111 Год назад

    Najiunganisha na madhabahu ya arise and shine na kwamba nikapokee uponyaji wa maradhi yote katika mwili wangu kwa jina la Yesu,iwe ni uchawi au mapepo nayakemea kwa jina la Yesu yakashindwe na nisimame tena katika afya njema kwa jina la Yesu amina

  • @ruthmoses6565
    @ruthmoses6565 2 года назад +2

    Nampenda sana MTUMISHI naomba Mungu amweke sana...,..ninamengi nahitaji hivyo Naamini KUPITIA madhabahu hii NITAINUKA NA KUANGAZA

  • @ESTERJUMA-t4u
    @ESTERJUMA-t4u 6 дней назад

    Mm naitwa esta Juma namshukuru mungu ameniponya tumbo ririronisubua ndani yamiaka kumina tisa

  • @BerthaJohn-v9d
    @BerthaJohn-v9d 16 дней назад

    Ee mungu nifungue na Mimi nizaliwe upya Leo nafunguliwa natangaaza balaka vifungo vote naviamulu vitoke Kwa jina la yesu 🙏🙏🙏🙏

  • @NeahJohn
    @NeahJohn 29 дней назад

    Mungu nisaidie nipate ndoa, na Mume mwenye hofu ya Mungu🤲

  • @ElizabethDaniel-f3r
    @ElizabethDaniel-f3r 21 день назад

    Kupitia watu hawa wanaoponya na Mim niende nikaponywe Kwa dam ya yesu amina

  • @WilliamBeatriz-q1y
    @WilliamBeatriz-q1y 14 дней назад

    Nitafikaje kwa uyu pastor mimi

  • @AsiaMohammed-gp3bf
    @AsiaMohammed-gp3bf Год назад

    Mungu akusamehe wew unae ita watumishi wa mungu majina yaajabu

  • @canlasbaseme6784
    @canlasbaseme6784 5 месяцев назад

    Wow!what a suprise !May goodness Make me man!

  • @FrebroniaNgowi
    @FrebroniaNgowi Год назад

    Mutumishi wa mungu naomba ni saidiye madeni ya ishe ni patemutaji ni fungue biasharayangu ameeeee 🙏🙏🙏🙏

  • @elishamashita
    @elishamashita 2 года назад +5

    Naomb kubeba mimba mungu nisaidie mwaka huu

  • @happyjeremiahmasele
    @happyjeremiahmasele Год назад

    Naitwa Faustine peter np Zanzibar naishkur madhabahu ya inuka uangaze long live mwamposa na naomba umuombee mdogo wangu ridia Hamis ambaye yp saiv mhimbili anayesumbuliwa na mguu tangu mwaka jana aweze kupona na kuendelea na masomo yake shukran mwamposa msaidie mdogo wangu

  • @kamakiamollel1728
    @kamakiamollel1728 Год назад

    Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine miezi miwili walionitapeli mdantaoni mungu kaseme nao nataka kurudishiwa kila kitu changu nilichotapeliw kwa damu ya yesu

  • @rosemgonja2235
    @rosemgonja2235 Месяц назад

    Eeh Mungu nikumbuke na mm kwenye maombi ya leo waangushe watesi wangu

  • @JanetMosh
    @JanetMosh 24 дня назад

    Mungu kupitiamadhabau hii yamtume mwamposa naombakufungiliwa mimi nauzao wangu

  • @yuxuphbilali
    @yuxuphbilali 2 месяца назад

    mungu nisaidie kupitia mabauhaya nowadai wote wanilipe ambaoni godifuley masumbuko samwel tobiasi twagalale kubagola sitefano kahigi masumbuko mabili adulofu adulofu rafaeli mondi masumbuko kusangwa Wanao nidai ni eliki petulo kubahela bututu reah kitung rehema esau mwamposa niombee mngu anitendee naamini atatenda ❤❤❤

  • @ErnestinaSylvester-g5j
    @ErnestinaSylvester-g5j 11 месяцев назад

    Kwa imani pamoja na kanisa lako takatifu Mungu naomba umbariki baba yangu na afunguliwe katika mateso makali anayoyapitia sasahiv , kwa kumponya mkono wake wa kulia . Amina

  • @maryjames3293
    @maryjames3293 2 года назад

    naomba nipokea upako wa kufunga ndoa na yohana eziraeli makerere ambaye tayari Mwenyez Mungu ametujalie nko na ujauzito wake tupatie upendo tusikilizane kwa Kila hatua amina Niko tayari kupokea upako

  • @YohanaEdward-q7e
    @YohanaEdward-q7e 5 месяцев назад

    Ee Mungu naomba kupitia madhabahu hiii uniponye ugonjwa unaonitesa amina

  • @fatumapembe6170
    @fatumapembe6170 Месяц назад

    Naomba mungu anijalie niolewe na mchumbaangu kurwa na atupe familia yenyeamani na baraka na kumcha mungu atupe na uzao wenye baraka na tuwe na furaha sikuzote amen

  • @yuxuphbilali
    @yuxuphbilali 2 месяца назад

    Mtumishi naaandika wanaonidai wota naomba niwaliPe wote ambao ni rehema kubahela leah nawengineo Naambao ninawadai ambaoni samwely adulofu masumbuko twagalale jane sitefano godifuley rafaely naomba wote niombee wanilipe naamini mungu anatendakupitia mazabau mungu nitendee mimi mwanao😂😂❤❤❤❤

  • @LovenesJulias
    @LovenesJulias 3 месяца назад

    Najiunganisha namadhabahu ya mwamposa Mungu mtenda miujiza aniguse nataka kujenga nyumba Mungu alio watendea wengine anitendee namimi naamini Mungu atanisaidia Amina napokea Kwa jina la yesu

  • @Shamila-k1s
    @Shamila-k1s Месяц назад

    Najiungamanish na madhabahu hii ya inuka uangaze kwa jina la yesu natak mi na mchumb ang Vinny tuelewane na mung atujalie tufunge ndoa amen

  • @RudovcJackob
    @RudovcJackob 24 дня назад

    NAmuomba mungu nipate kazi kilahis yakujenga na kupauwa

  • @agnesMpika
    @agnesMpika Месяц назад

    Najiungamanisha na madhabahu hii Mungu atende miujiza aponye magonjwa kwa mama na baba angu,awalinde watoto wangu na maadui wabaya

  • @catherinemairo
    @catherinemairo Год назад

    Ee mungu kupitia madhabahu hii naomba kufunguliwa tumbo langu nipate ujauzito mwaka huu na baba yangu aponywe maradhi yanayomsumbua kwa jina la yesu

  • @HappyJoseph-m6k
    @HappyJoseph-m6k 2 месяца назад

    Najiunganisha na madhabahu ya mwamposa mungu amtoe mdogo angu kwenye kifungo cha mateka jina paulo

  • @LamecksimonManoni
    @LamecksimonManoni Месяц назад

    Kupitia madhabahuhii naomba mungu aniponye

  • @PhilipoSimkoko-gk7ye
    @PhilipoSimkoko-gk7ye Год назад +2

    Emungu nikumbuke namimi maisha yang yapo kwako mungu

  • @RatifaGrayson
    @RatifaGrayson 4 месяца назад

    Mungu kupitia madhabahu hii ya Arese and shine niondolee giza linaloni fanya nisione Kane Mimi nakuanzia saa hii napokea Nuru Amen

  • @MamIhsan-b3m
    @MamIhsan-b3m Месяц назад

    Eeh! Mungu naomba unikumbuke na mm nipokee uponyaji wa moyo wangu na ganzi

  • @MichaelRichard-el8ux
    @MichaelRichard-el8ux Год назад

    Ee mungu wabarik wazaz Wang na uwaombee maisha marefu love more my parent..mungu akujalie maisha marefu pia mtumish,

  • @donatishirima3693
    @donatishirima3693 Год назад

    Ee baba naomba wanaonidai wote wanisamehe kufanya maisha yangu kuwa na mafanikio meng amen

  • @yusuratally7646
    @yusuratally7646 5 месяцев назад

    Mungu naomba unifanyie wepes kupitia mazabahu hii mpenz wngu aje kunitolea barua na Mahal nitendee baba miujiza yako ameen

  • @nasmaomary1857
    @nasmaomary1857 3 года назад +2

    Watatokea manabii wauongo wakitoa ishala kubwa namaajabu ndo ww khaaaa kudanganya watu ivyo jamani khaaaaa😄😄

    • @williamkavuta8066
      @williamkavuta8066 Год назад

      Wwe endelea kusema uongo tuu basi nabii wa kwel ni mganga wako

  • @HappynessNassoro-op4nk
    @HappynessNassoro-op4nk 8 месяцев назад

    Mungu wangu nakuja mbele zako baba naomba unibariki nipate ujauzito wa mapacha wakike na wakiume mwezi huu naamini imekuwa hivyo

  • @eveeshi4003
    @eveeshi4003 Месяц назад

    Hii madhabahu inatenda,Acha Mungu aitwe Mungu

  • @CharlesPatrice-v2i
    @CharlesPatrice-v2i Месяц назад

    baba naomba niombee nibadilishe maisha yangu nimefungwa sioni mbele baba naimani na ww

  • @rachelpoul
    @rachelpoul 10 месяцев назад

    mungu nisaidie mume wang akubali tufunge ndoa mwaka huu usiishe mungu tubariki nyumba nzuri na gari lakutembelea asante mung unaweza yote

  • @JanethDaudi-c7q
    @JanethDaudi-c7q Год назад

    Mutume naomba uniombee mchumba wangu eje nyumban atakapo toka kazn leo mungu naomba aseme kitu

  • @malangwaexpress285
    @malangwaexpress285 Год назад +2

    Mungu naomba uitee ndoa yangu iwe amani na mume wangu aniijie

  • @AdelinaCasmiry
    @AdelinaCasmiry 2 месяца назад

    Namwomba Sana mungu anijalie nipate watoto katika Manisha yangu naham Sana kuitwa mama na kunyonyesha mtt wang

    • @lanoykapolondo980
      @lanoykapolondo980 2 месяца назад

      Mungu keshaskia subiria muujiza huo amini tu

  • @CarolineAfredy
    @CarolineAfredy 6 месяцев назад

    Jaman namshkuru munguu Sasa naitwa mjamzito mama mtalajiwa pia munguu naomb amsaidie mama aache kunywa pombe naamin nitapokea ameen

  • @JacklineShana
    @JacklineShana 2 месяца назад

    Kupitia madhabahu ya rise and shine , nataka nipate mume na nifunge ndoa mtu sahii

  • @DainesNgweta
    @DainesNgweta 3 месяца назад

    Naomba unisaidie mungu na mm nipate mimba mwaka huu wawe mapacha wakiume

  • @emiliekapile2069
    @emiliekapile2069 2 года назад +5

    Ee mungu mwenyenzi naomba kupitia mazabahu hii yamtumishi wako boniphas mwamposa ikamkumbushe mume wangu yakwamba anamke namtoto aweze kutukumbuka Kila siku naweze kututafuta Ili tuweze kuidumisha ndoa yetu ee mungu mwenyenzi naomba kupitia mazabahu hii baba kamguse mume wangu wandoa tupe upatanisho wandoa yetu baba

    • @agapithtemba
      @agapithtemba 2 года назад +1

      Mungu aliye hai atakupa haja ya moyo wako katika jina la Yesu

    • @PaulinaNchebua
      @PaulinaNchebua Год назад

      Amém

    • @ChawamduduMdudu-hv2gw
      @ChawamduduMdudu-hv2gw Год назад +1

      Eee mungu mwenyezi naomba unirudishie mahusiano yangu yawe na amani na upendo ktk yangu mm na hussen ramadhan Omar leo utuondoshee Yale yote yanayo tusumbuwa Ameen🙏🙏

    • @TezraFenias-h9y
      @TezraFenias-h9y 2 месяца назад

      Najiunga na mambi ya paste naomba mung anisaidie tupate hela Mim na mpenz wang tujenge nyumba ya kuishi

    • @mariammgawe
      @mariammgawe 2 месяца назад

      Ehe mung nijalie afya njema nifanikiwe ktk mamb yany

  • @AishaRashidi-j2o
    @AishaRashidi-j2o Месяц назад

    Najiunganisha na madhabau hii namuomba mungu amfanye mume wangu ALIY aache pomb

  • @SuzanaNyoni
    @SuzanaNyoni 5 месяцев назад

    Hee mwenyezi mungu naomba uniponye magonjwa yote

  • @MariamuSaid-om7sh
    @MariamuSaid-om7sh 3 месяца назад

    Ee mungu Naomba Anae niendea mbio kuniroga mchawi nyumbani kwangu Leo hii Afee katika jina layesuu

  • @SivyaNadine
    @SivyaNadine 10 месяцев назад

    Mungu nimukubwa kweli nimeamini kabisa mungu ninaitaji mungu wangu kwanzia tarehe iyi ya leo nibebe mimba yamapanja wawili mungu nanitalisukuru jina lako

  • @michaelmasaganya8516
    @michaelmasaganya8516 Год назад

    Eee mung kwakupitia mahabahu hii naiombea familia yangu iponye iondokane na pepo la kurudisha nyuma maisha yang na ninaomba kwa mung mme wangu aponywe na aebushe na dhuruba baya linalomfanya acaminike kwa watu na kuletewa roho ya umaskin na madeni amina

  • @yuxuphbilali
    @yuxuphbilali 2 месяца назад

    Naowada ni godifuly masumbuko samwely tobias masumbuko mabili twagalale kubagola adulofu adulofu james josam sitefano sosipita masumbuko kusangwa na wanaonidaini eliki petulo mungu nitendee kama unavyo watendea wengine

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 3 года назад +2

    Namuombea mwanangu daud anaumwa alipimwa moyo wake una tundu ee mwenyeze MUNGU naomba kwa uwezo atakapoenda kutibiwa mhimbi apone kabisa nafunga rolo ya maradhi katka kizazi changu kwa jina la yesu amen🙏

    • @lovenesstweve8499
      @lovenesstweve8499 2 года назад +1

      Amini tu hata Kwa maombi atapona,pole wangu alikua na tundu niliandikiwa India muda kidogo ila huyo dactar aliniambia mama usiogope uki muinamia Mungu ata pona ninavo kuambia Alisha pona kabisa Sasa ni kijana

    • @neemjonasnapokeeya
      @neemjonasnapokeeya Год назад

      Ameeeee

    • @neemjonasnapokeeya
      @neemjonasnapokeeya Год назад

      🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @BeaKisiki-it9kk
    @BeaKisiki-it9kk 11 месяцев назад

    Mungu amukumbuke mzazi wangu amponye magonjwa mbalimbali ya nayo msumbua amena

  • @PatrickNjoroge-s4i
    @PatrickNjoroge-s4i 4 месяца назад

    Acting of a high level…….May the Lord God give the spirit of discernment to his people

  • @frankmushi2501
    @frankmushi2501 2 года назад +1

    Naumwa ugonjwa wa zinaa naomba mungu wa mwamposa uniponye

    • @samwa9496
      @samwa9496 2 года назад

      😂😂😂😂

  • @estertemba
    @estertemba 5 месяцев назад

    Ee mungu naomba kesi ya magonjwa yapotee kabisa amina

  • @muanassaingles9560
    @muanassaingles9560 7 месяцев назад

    Neste momento estou de joelhos a ver os live,este ano quero todas as maldades queimar hoje quero casar, ter filhos e no meu trabalho tudo dê certo como vinha acontecendo com coisas boas em nome de Jesus Cristo 🤲🏻

  • @rachelpoul
    @rachelpoul 10 месяцев назад +1

    namwomba mungu anisaidie biashara yangu iwe kubwa kupita maelezo mungu niheshimishe maadui washangae nibariki mungu

    • @DavidDegea-w7t
      @DavidDegea-w7t 8 месяцев назад

      Naomba maelekezo ya kutoa koment na uelezamatatizo yangu ilnisaiduwe

  • @LetyPalander
    @LetyPalander 19 дней назад

    Ee mungu naomba kupitia maombi ya mtumishi wako naomba milango iliyofungwa katakana maisha yangu ikafunguliwe kila kilicho changu kiludishwe

  • @ChikuMbaraka
    @ChikuMbaraka 2 месяца назад

    Eeeeeeh mwenyezi mungu nisaidie kupitis ibada ya leo niweze kushika ujsuzito.

  • @osanajohnmkilima6657
    @osanajohnmkilima6657 2 года назад

    Amina eemtumishi wa mungu mponye namdogo wangu afunguliwe vifungo alivyo fungwa apate mtoto nakuomba mtumishi wa mungu temberea na songea kwani wachawi Wana daiana nyama laivu Kama maandazi tuna hitaji upako wako songea

  • @gracejason5443
    @gracejason5443 2 месяца назад

    Mwenyezi mungu kupitia madhahabu hii kila vita wanavyo ninulia Madui zangu naomba upiga ne nao mwenyewe

  • @GetrudaJoseph-r1o
    @GetrudaJoseph-r1o 5 месяцев назад

    Ehee mungu kupitia madhabau ya mtumishi wako maisha yangu yakabadilike nikainuke na kuangaza

  • @christinamaggi4279
    @christinamaggi4279 2 года назад

    Eee mwenyezi mungu naomba ukafunguo uzao wangu ukawe wabaraka maisha I mwangu amee

  • @EmanuelMasiaga
    @EmanuelMasiaga 8 месяцев назад

    Naomba kubet na kushinda pesa zaidi ya million 20 watu washangae utajir wangu pia nitatoa fungu la 10
    Naiman mungu atanitendea
    Amina ninaiman nitapokea

  • @SharifaMohamed-r4c
    @SharifaMohamed-r4c 2 месяца назад

    Eee mungu niangalie niweze kupata mtaji

  • @Lucy-p5p1x
    @Lucy-p5p1x 2 месяца назад

    Ee mungu nikumbuke na Mimi kwenye hitaj langu siku zote

  • @mariamumwamakula5540
    @mariamumwamakula5540 2 года назад

    Kupitia madhabau hii naomba mungu amfungue mzazi mwenzangu kanikatia mawasiliano kaniachia watoto agunguliwe akumbukw familia tena apate uhamisho ahamie dar

  • @CleopaMwakapiso
    @CleopaMwakapiso Год назад

    pastor na mtume wa mungu mwamposa naomba uniombee kwa sababu napitia hali ngumu ya kimaisha

  • @castorycharles1993
    @castorycharles1993 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @rachelpoul
    @rachelpoul 10 месяцев назад

    namshukuru mungu ndoa yangu mungu ametetea ilikua nashida mume wang alikua hataki kuniona hata lakin maji ya upako yamefanya ndoa yang iwe na amani na mume wangu ananipenda namshukur mungu sana

  • @VictorKyaman
    @VictorKyaman 3 месяца назад

    Mungu naomba uniponye magonjwa na uwaombee wanangu wawe na afya njema

  • @LusPeter
    @LusPeter Год назад +1

    Niombe nipate mtoto mungu nisaidie mapacha

  • @wcipbUniversityedu
    @wcipbUniversityedu 2 месяца назад

    Shalom Mungu aliye hai atuinue sote

  • @jacquesmusombo4106
    @jacquesmusombo4106 5 месяцев назад

    Pasteur.
    Nahandika kutokea Kinshasa Drc.
    1. Nina upungufu.wa kuona, usikunao mchana. Mungu aniponue, nione vizuri.
    2. Ugonjwa wa pression.arterielle unanisumbua. Mungu aniponye.
    3. Nimeondolewa kuvkazi bila sababu. Mungu anifunguliye milango ya kazi nipate ingine.
    4. Natafuta visa ya kusafiri kwenda marekani. Mungu anisaidie, nipate visa na nisafiri.
    5. Nilifiwa na mke. Nimepata marekani mke mwengine,awe amechanguliwa kwangu na Mungu.
    Msamahani kwa swahili yangu ya Congo Drc.
    Jacques

  • @ElizabethKingu-t4l
    @ElizabethKingu-t4l 2 месяца назад

    Mungu wa madhabahui hiii ya arise naomba Nuru katika maisha yanguu amani ya Moyo wanguu,,naomb uniponye. Afya yangu,,naomb ubariki kazii ya mikono ya Kaka yangu,,naamini unatenda

  • @serafinajoaompinimpini83
    @serafinajoaompinimpini83 2 года назад

    naomba babayangu aaje mungu ambarikiwe ajee pombe

  • @FsisalMushi
    @FsisalMushi Год назад +1

    ❤❤❤❤❤ so much mimepokea mtaj kwa j n l yes am bllessed

  • @PirdoTesha-r1o
    @PirdoTesha-r1o 17 дней назад

    Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu mwamposa samahani naomba unisaidie babu yangu ni mgonjwa sana ila tumeenda hospitali wamesema ugonjwa hawaoni nisaidie baba angu tupo Dodoma Chamwino kijiji mlebe please

  • @MickRaker
    @MickRaker 17 дней назад

    Mungu akupe mysha marefu mwamposa wetu

  • @OdetefaustinoFaustino
    @OdetefaustinoFaustino 9 месяцев назад

    Mungo anibarike anipa uzima,ninauma sana

  • @BwireMosses
    @BwireMosses Год назад

    Kupitia haya madhabau nikabadilike eeh mwenyezi Mungu nisaidie

  • @hamocell
    @hamocell 2 месяца назад

    Ee mungu naomba unifungulie milango yangu ya biashara mifugo yangu imekwisha kufa yote nimebaki ziro ,naomba baba ukatende mujiza wako nawale ninao wadai wuwakumbushe waweze kunilipa

  • @AnjelaSabasHamaro
    @AnjelaSabasHamaro Месяц назад

    eeeeh mungu nifanyie wepesi leo nivinguliw kiuchumi

  • @AlyiaJuma
    @AlyiaJuma 6 месяцев назад

    Nakuomba mungu unifungiliye mjia zangu nijimbu maombi yangu na kwanini yesu

  • @RoseMsaki
    @RoseMsaki Год назад +1

    Ameeen. Namuunganisha na ibada hii na Mimi napokea uponyaji. Sasa

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Mungu nisimamie niaenda kuongea na mkulia anisaidie na anisikikize amina

  • @VelenaClemence
    @VelenaClemence 10 месяцев назад +2

    kwa jina la yesu naomba mafanikio kupitia mtumish

  • @HawaNdaiga-qz3nz
    @HawaNdaiga-qz3nz 2 месяца назад

    Naitaji mtoto mm nina shida ya tumbo linaniuma sana

  • @MalkiaShirima
    @MalkiaShirima 11 месяцев назад +1

    Eemungu naomba nibarikimwakahuu nipatemimba nizaemtoto wakike

  • @DaudiLukumay-yq7iy
    @DaudiLukumay-yq7iy 3 месяца назад

    Mtumishi shalomsholom bomba umuombee baba yangu

  • @jaclintarimo774
    @jaclintarimo774 3 года назад

    Mtumishi minaomba umwombee mwanangu mungu amwonekanie kwenye masomo yake.natokea panda za Moshi ubarikiwe

  • @MusaMshana-oz5sp
    @MusaMshana-oz5sp 4 месяца назад

    Najionganisha na maombi mdahu mungu ani komboe mimi nipate kazi kubwa kubwa kikoni

  • @philomenajohn9857
    @philomenajohn9857 3 года назад +1

    Barikiwa mtumishi naomba nifunguliwe nipate mtoto

  • @GloryGloria-pm7ce
    @GloryGloria-pm7ce Год назад

    Mwamposa tubu Mungu atakusamehe wachanga kufanya comefy na jina LA yesu jameni watu fungukeni macho

    • @shorewanda5635
      @shorewanda5635 9 месяцев назад

      hawawezi kufunguka: wametengeneza miungu na imani wanazozijua wao, hata sielewi watu ni wajinga kiasi gani na kwa nini. wanaabudu na kutukuza upumbavu, mbali kabisa na Mungu wa kweli.