GARI LA AJABU LILIVYOWASHANGAZA WATU ARUSHA, JAMAA KAINUNUA MILIONI 68
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Muonekano wa gari hili umewashangaza watu wengi kutokana na muonekano wake lakini mmiliki anasema gari hiyo ameinunua million 68 nchini japani alipokwenda kusoma na ina kazi mbili ikiwemo kwenda kutembelea sehemu mbalimbali ku-enjoy lakini kazi yake nyingine inabeba maiti na inaweza kumhifadhi kwa zaidi ya siku ishirini
Jaman , gar ya maiti niende nayo pick niki tena. Ambao hawakubalian na ilo Gonga Like.
Hii ni special kwa maiti aseee na sio vitu vingine looh
Kabiiiiiiiiisa
Ukiona gari hii moyo lazima ustuke ndio ujue kuzimu kunatusubiri nambingu zinatungojea
😅😅😅😅
Hahahaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Hakuna picnic hapo kudadeki, hiyo ni gari ya kubebea maiti, hayo mengine unalazimisha
😂😂
fact
😁😂😂😂
😂😂😂😂
Acha uongo wewe litakubebawewe
Ilii ni kwaajili ya maitii tuuu hayo mengine mnafoc tuu
Kabisa
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 gari kwaajili ya shughuli za msiba haya mengine mnataka nini bwana
Kabisa
Ndo hapo sasa Nani aende piknik na mochwarii😄😄😄😄
Gari kama Kaburi mmmh ,nani aende nalo picnic
🤣 🤣 🤣 🤣
🤣🤣
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Hahahaaaaa
Aiseee gari ya Maiti bwana itaendaje picnic, sibora. Itafanya vizuri sana kwa kubeba maiti,tena niyakifahari.hongera mzee.
Hakunanshida hapo maana hata zakawaida zinabeba ila wew ndo haujui ila na haufuatilii jamaa yuko wazi sana na anatangaza vyema biashara zake watu wenye mtazamo kama mim tutaendanalo picnic na tutabebea maiti pia
Gari limeniogopesha na mwenye gari nae hadi nimemuogopa, Humo sipendi heri nipande baiskeli au nitembee kwa miguu 😎😎😒
Ata mm kaniogopesha
Picknick na kubeba maiti wap na wapi😂😂😂😂🙌
😂😂😂
Ndo nawaza hapa
🤣🤣🤣
😂😂😅 Yaani biashara za watanzania ni noma..
Mnaweza kwenda picnic kumbe ndani inamaiti tayali ila jamaa anaongezea kipato tena
Hapana bwana,kwa picnic naona mnalazimisha tu,Hilo Ni kwa ajili ya maiti mambo ya picnic hayafai ni uchuro
Na mimi napinga Kabisa 🤣🤣🤣
Ulo gar mmh picnic hupati watu aseee
Iyo Gari ilikuwepo Moshi pande KCMC zaidi ya miezi 3 wakuu saiv imekuja kuwa star, kweli bongo noma
Na mi niliiona muda tuu pale wanapotengeneza majeneza...
Ndio lipo kcmc pale
Sema gari ya kubebea maiti!!!!
What 😁😁😁
Ibraaa
Kweli kabisa maana 😎😎😎
😂😂😂
Kweli hatari
Subhannallah nani mshamba kam mm maan nilijua ni Sanduku la maiti kumbe gari dahhhh ushamba huu mzigo sana ila mie hilo sipandi nikiwa hai wacha nipandishwe nikiwa mait like nipo hai noooo
😂😂😂
mbona lipo sawa 2 unaliogopa kwa nn
@@heyumi2340 hapan naliogopa ndugu yng utapandaje jeneza hali ya kuw upo hai? Je ukiitwa na allah wataka upandishwe ktk gari gn ya mwisho? No niliogopa kabisa
@@munaahmed8499 😁😁😁
@@heyumi2340 walah tena
Ni sawa maana hata coster tunapanda kila siku lakini zinakodiwa kubeba maiti..maiti ni mtu kama wewe ukifariki...
😂😂😂
Hata mimi niliwahi kuliona mitaa ya KCMC for sure linatisha likiwa katika maduka ya majeneza kama ni kwa ajili ya kubebea maiti hapo sawa ila sio picnic
Magari Ya Kishetani Ayo Panda Ufe Panda Usiku Uote Ndoto Za Kifokifo Mpaka Ukome
Masheitwan yanaanza kuleta vitu vyao. Picnic upande hilo dude?
linatisha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Me kwenye picnic unibebi humo,bora nibaki
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kumbe tuko wengi😁😁😁
Mbona couster zinabeba sana mait au mnajisahaulisha
@@mikehjackson8146 bora kosta kaka,hili limekaa moja kwa moja yaani,lina mpaka chumba spesho cha maiti,hili lipo serious sana na maiti kuliko kosta
Umezingua hapo kwa picnic
Iyo ni canter tu mbwembwe nyingiii na atuwez kwenda picnick na gal ya kubebea maiti tuache kidogo bna
Gari la namna hii nililiona pale chuo cha DIT posta nikawa nalishangaa sana! Ila cha ajabu ni mwaka 2019 sasa hapo ndio nashindwa kuelewa kwamba ndio hilo au laa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
La skunying sanaa
Yapo mawili wale wahindu wenye jumba lao la kuabudu pembeni ya DIT wanayo
@@juliusuronu8812ndio maana nimeshangaaa
Magari ya kuzimu kabisa hayo
Bora kabsa umesema ukwelii wako kama Mimi nimeona hivyohivyo
Yaani ww ndo umeongea neno, Gari linaogopesha mwenye gari nae ameniogopesha mhhh
Muonekano wagari tu nikama jeneza sasa ukisema pikiniki misikuelewe
🤣🤣🤣
Tutaona mengi Mwaka huu 😎
La mdaa sana ii
@@calvinpaul2171 kumbe 🙄
Gari zuri kwa kubebea maiti lakini fridge hiyo hiyo ya vinywaji wakat wa picnic na na hiyohiyo kutunzia maiti! Hapa haijakaa vizuri.Hata wanaokodi kwa ajili ya picnic wako vizuri mitano Tena ila Mimi hata mmoja hapana
Hahahahahahshdhhghhhhhjjjjjjjjhhhhbbhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjjjjjjjjjjn haaaaaaaaa!!!! Jamani picknic i? na soda?
Picnic na maiti wapi na wapi?
Njombe pia nimeiona gari kama hii..
Itakuwa ni hihi ndugu yangu
Usiseme hamna lingine sema wewe hujaliona ila mimi nimeliona lingine lipo pale kwenye yard ya magari fire upande wa kulia kama unatokea magomeni mapipa.
Hakika ila kama saiz halipo hv
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yeaaah upo sawa kk
Yeah hata Mimi nimeliona ila in dogo si Kama hili kubwa
Ile magomeni ni hiace, hii ni Canter...
Kigamboni pia lipo ukitokea ferry kulia ukipita kwa mr kuu imepaki muda mlifu hapo
Duh... picnic na maiti vinachanganywa vipi nawakati muundo wa gari ni kama jeneza kabisa
Umeonee
Hiyo lamd ikes nmekufa ningizwe kwa bahat mbay lkn hvhvh siwez ingia hat kwa bure
Kiukweli juzi nimeona dodoma nlijua kuwa ni ya kubeba maiti
Hilo gar Lina sura mbaya
Honger
Duh!,Gari linatisha unaweza ukakimbia.
Maisha yako kasi sana sahz iko Mbeya.
Picnic kwa gari hili hapana 🙌🙌
Mwenye nalo wanaendana vile
😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umeni vunjambavu Alo Aise Bongo sihami
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojl
Hatarii sana
Mtihani
Aiseeee hii gari yenyewe tu inatisha kabla hajatuambia ni gari ya nini teyari inajitambulisha pale juu ya gari kuna muundo kama wa jeneza kwa hiyo inajulikana ni gari ya kusafirisha maiti wala siyo ya kwenda picnic.
Hii nchi sijui waandishi wataelimika lini
hususani huyu jamaa nimemfatiliaga kazi zake miyayusho sana Millard amfanyie 8nterview tena 😂😂
Vipi k vant au nyagi tunaweza weka ktk friji la kuhifadhia maiti tukilikodi ktk picnic?!!
😂😂😂😂
Gari zingine ni za ngu vu za giza.
😃😃
Kubeba maiti na picnic ni vitu tofauti , labda iwe hoyo party inaenda sambamba yaani funeral celebration kinyume na hayo hii gari ni ya funeral only .
😂😂
Mbona izo nyengine tunazopanda zinabebewa maiti na sisi tunapanda au hujui ilo ?
kuna canter Fusso Carry zinakodiwa zinabeba maiti na sisi tunapanda .wacha iyo uyo maiti ndo sisi tunamshika nakumvisha na kmfukia au pia hujui ?
Mtangazaji kashamaliza story yte kwenye intro yani
Hahaha namuona mzee Mboroo
Gari ya mtaani kwetu huku sanya juu ni special kwaajili yakubebea maiti nahuwa inakaaga hospital ya KCMS
Anaitwa mamboro ama nimesoma vibaya wachaga mna majina ya ajabu
Ndio ndio jina la ukoo wake no ndio jina analotumia maarufu
Gari la Freemason Hilo ....✍️✍️✍️✍️
Hv wew Baba upo sawa kweli??
Muteule,muchungaji,.mwAkihA ba
Lenyewe kama jeneza
Asee niliiona mosh sanya...duuuuh! noma sana
Jamani mume mume Mimi nataka wanaume wa aina hi wabunivu na wenye vitu vipya kama upo single tuunganishe babaaaa napitikana ugaiyabuni Dubai 🙏
😁😁😁🙄
Hapo kwa picnic Mimi niondoe, dah!!! 😂😂😂
Gari lenyewe lakaa jeneza 🙄
Yaani naiyo kazi inafaa kabisa naliogopa mie🤦💃💃💃
Hhhhhh
🤦🤦
Ndozury ilo
Linatisha haki ilo sipandi ng'oo 💃
Hii chuma Kali kwa maiti Kali Sana sema nimeipenda sana
Ndio ufreemason wenyewe huu wallah Tena 😥😥hata kwa bure silipandi aise
Umewaza kama mimi duuuuuu!
Subhannallah, mtihani kwakweli dah!
Njoo tukakodishe twende picnic😂 @saumu
@@alfanm.8221 Gari lenyewe tu lanitishia Amani, sithubutuh hata kwa lift tu,🙌😜
@@saumusalimuhassan2499 😂😂😂😂 mbona mm nipo hakuna kitakachokutokea.
Saana my
😂😂
Dah! Asante Nkya
Nimewahi ona mfano huo Lebanon kwa pikinic tuu
huo ndio mwisho wadunia yn mtu anaenda nunua gr km hiyo ili wat wafe wampe kz
Mi mwenyewe kunasiku niliiona moshi moja kwa moja nilijua nigari ya kubebea maiti, ila linaogopesha.
Mm pia.. nililiona moshi mwez wa 12 mwaka jana
Safi sana kazi iendelee
hiv naanzaj kupanda hapo nikiwa mzma lbda niwe nisha vutaaa kwakweli ujasir huu sna
😂😂😂😂
kwahiyo wakati wa picnic, vyakula na vinywaji tunahifadhi kwa friji visiharibike
watalii wasimplfy maisha amna haja ya magari ya tours
Hata Moshi nililiona pale GODMARK, barabara ya kwenda KCMC.
Yeah linakuwaga pale
njooni DIT yapo mengi tu....asiseme liko peke ake😂😂😂 karibuni DIT hapa
Mwenyewe nilishaliona dar kurasin tulioeleka mwil maduka mawil temeke Tena Kama miaka 4 hivi imeisha
Linaogopesha sana hili gari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baba hivi hii sio Canter wameimodify ikawa ka Basi?
Ni canter hiyo
Hilo gari liko kcmc
Hongereni Ayoo habari za uwakika kabisa
Kwel linatisha jman 😳😳😳NMeliona leo nkagoogle😂
Mbona gari yenyewe tuu kama jeneza mimi siwezi panda gari hiyo
Mko juu ayo
Mzee baba ilipitaa manyara hapaa tuliionaa
Ila zur balaaaaaa
Nimeshaendesha Sana Hii Gar Pale Njia Panda Himo Nikiwa Napta Nayo Wananiitaga Faru John
nimeiona leo doDODOMA ila inavutwa
Kwamba limegongwa au
Nimeiona DOm maili mbili pia Jana nikashangaa sana
@@maramsenga4431 nikampigia miluzii
Mwenye gari anafanana na gari utazani Ni mipacha" yaan vyote vinatisha😥
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kaka Idriss ha ha mwamba wa KCMC
Hongera kwa gari
Yani wewe boss unatoa pesa yako unaenda kununua gari linatisha kiasi hicho
Kwel yan
Hii gari iko hapa kcmc tena inabebaga maiti
Waarusha lazima washangae sana Kwa kuwa wapo pembeni na barabara yaendayo Kongo lakini Mimi nipo mlandizi mkoa wa pwani iyo gari nishaiyona na mengine kama hayo Zaid ya 60 ambayo ni IT.yanaenda nje kikubwa wajue hiyo gari ni kwaajili ya miili tu wasidanganyike Kwa matumizi mengine huo ni uchulo ..yapo dizain nyingi mpaka Costa iliyo umbwa kama hiyo zinapita Kaa mkoa wa pwani ushangae magari ya wakongo yakisafirishwa kama I T..😀😀😀
Nzur sana
Gari inatisha mmmh!
iyo gar ni yakubeba maiti acha kufoc mambo mengne
😭😭😭😭eeee mungu wangu
Picnic!!!! Acheni utani picnic na gari la marehemu !!!
68 pamoja na ushuuru au ?
Nimeliona leo hilo gal babat manyala
🤣🤣🤣🤣🤣 duuuh,jana nmeiona ikipita dodoma na rafiki zangu tukajisemea kua ni ya kubeba maiti, rafiki angu mmoja akasema haiwez kununua hata,hata bure hapokei loooh.tulilishangaa kwel
Achague moja picnic au maiti
Sasa Gari Libebee Maiti alafu na Picnic inaendaje hiyoo Jamani 🤔🤔🤔🤐
Mmmh
Dah
Acha uongo wee mzee ata hapa dar lipo tena limepita sasa hiv hapa linapeleka mwili usitudanganye banaa yapo mengi tu
Gari ni gari lakini hili gari ni noma innocent atapanda na guilty atapanda😭😭😭😭😭
Cwezi kupanda kwa kweli
Kama unaenda picnic ya kuchokoza wanyama wakali nimuhimu kwenda na hilo gali 😅😅😅😅
Brother lichagulie Kaz moja hiyo gari mkuu yaani ubebee maiti utubebe na siye tulie hai
Millard ayo nakukubali sana Kaka sijui naweza pata namba zako tufanye biashara