GARI LA AJABU LILIVYOWASHANGAZA WATU ARUSHA, JAMAA KAINUNUA MILIONI 68

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Muonekano wa gari hili umewashangaza watu wengi kutokana na muonekano wake lakini mmiliki anasema gari hiyo ameinunua million 68 nchini japani alipokwenda kusoma na ina kazi mbili ikiwemo kwenda kutembelea sehemu mbalimbali ku-enjoy lakini kazi yake nyingine inabeba maiti na inaweza kumhifadhi kwa zaidi ya siku ishirini

Комментарии • 760

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 года назад +16

    Jaman , gar ya maiti niende nayo pick niki tena. Ambao hawakubalian na ilo Gonga Like.

  • @neemanyerere5160
    @neemanyerere5160 3 года назад +34

    Hii ni special kwa maiti aseee na sio vitu vingine looh

  • @maryshirima3198
    @maryshirima3198 3 года назад +53

    Ukiona gari hii moyo lazima ustuke ndio ujue kuzimu kunatusubiri nambingu zinatungojea

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 3 года назад +46

    Hakuna picnic hapo kudadeki, hiyo ni gari ya kubebea maiti, hayo mengine unalazimisha

  • @peteveprosper7186
    @peteveprosper7186 3 года назад +85

    Ilii ni kwaajili ya maitii tuuu hayo mengine mnafoc tuu

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma2702 3 года назад +25

    Gari kama Kaburi mmmh ,nani aende nalo picnic

  • @annenduku5243
    @annenduku5243 3 года назад +6

    Aiseee gari ya Maiti bwana itaendaje picnic, sibora. Itafanya vizuri sana kwa kubeba maiti,tena niyakifahari.hongera mzee.

    • @jeanbaek7607
      @jeanbaek7607 Год назад

      Hakunanshida hapo maana hata zakawaida zinabeba ila wew ndo haujui ila na haufuatilii jamaa yuko wazi sana na anatangaza vyema biashara zake watu wenye mtazamo kama mim tutaendanalo picnic na tutabebea maiti pia

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 года назад +13

    Gari limeniogopesha na mwenye gari nae hadi nimemuogopa, Humo sipendi heri nipande baiskeli au nitembee kwa miguu 😎😎😒

  • @yusuphpilion2465
    @yusuphpilion2465 3 года назад +40

    Picknick na kubeba maiti wap na wapi😂😂😂😂🙌

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 3 года назад +14

    Hapana bwana,kwa picnic naona mnalazimisha tu,Hilo Ni kwa ajili ya maiti mambo ya picnic hayafai ni uchuro

    • @itNeza
      @itNeza 3 года назад

      Na mimi napinga Kabisa 🤣🤣🤣

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto7210 3 года назад +14

    Ulo gar mmh picnic hupati watu aseee

  • @honestkiwia2264
    @honestkiwia2264 3 года назад +5

    Iyo Gari ilikuwepo Moshi pande KCMC zaidi ya miezi 3 wakuu saiv imekuja kuwa star, kweli bongo noma

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 3 года назад +51

    Sema gari ya kubebea maiti!!!!

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад +4

    Subhannallah nani mshamba kam mm maan nilijua ni Sanduku la maiti kumbe gari dahhhh ushamba huu mzigo sana ila mie hilo sipandi nikiwa hai wacha nipandishwe nikiwa mait like nipo hai noooo

    • @zaheernakhwa903
      @zaheernakhwa903 3 года назад

      😂😂😂

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      mbona lipo sawa 2 unaliogopa kwa nn

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 3 года назад

      @@heyumi2340 hapan naliogopa ndugu yng utapandaje jeneza hali ya kuw upo hai? Je ukiitwa na allah wataka upandishwe ktk gari gn ya mwisho? No niliogopa kabisa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      @@munaahmed8499 😁😁😁

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 3 года назад

      @@heyumi2340 walah tena

  • @georgeben2953
    @georgeben2953 3 года назад +23

    Ni sawa maana hata coster tunapanda kila siku lakini zinakodiwa kubeba maiti..maiti ni mtu kama wewe ukifariki...

  • @kkagore4235
    @kkagore4235 2 года назад +1

    Hata mimi niliwahi kuliona mitaa ya KCMC for sure linatisha likiwa katika maduka ya majeneza kama ni kwa ajili ya kubebea maiti hapo sawa ila sio picnic

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 года назад +5

    Magari Ya Kishetani Ayo Panda Ufe Panda Usiku Uote Ndoto Za Kifokifo Mpaka Ukome

  • @40kstore
    @40kstore 3 года назад +15

    Me kwenye picnic unibebi humo,bora nibaki

    • @caslidajosephat8912
      @caslidajosephat8912 3 года назад

      😂😂😂😂😂

    • @mkumbomoody6162
      @mkumbomoody6162 3 года назад

      😂😂😂

    • @peaceisrael8158
      @peaceisrael8158 3 года назад

      Kumbe tuko wengi😁😁😁

    • @mikehjackson8146
      @mikehjackson8146 3 года назад

      Mbona couster zinabeba sana mait au mnajisahaulisha

    • @40kstore
      @40kstore 3 года назад

      @@mikehjackson8146 bora kosta kaka,hili limekaa moja kwa moja yaani,lina mpaka chumba spesho cha maiti,hili lipo serious sana na maiti kuliko kosta

  • @msuyasuya6752
    @msuyasuya6752 3 года назад +9

    Umezingua hapo kwa picnic

  • @willyclassic9263
    @willyclassic9263 3 года назад +4

    Iyo ni canter tu mbwembwe nyingiii na atuwez kwenda picnick na gal ya kubebea maiti tuache kidogo bna

  • @sportstoall9394
    @sportstoall9394 3 года назад +7

    Gari la namna hii nililiona pale chuo cha DIT posta nikawa nalishangaa sana! Ila cha ajabu ni mwaka 2019 sasa hapo ndio nashindwa kuelewa kwamba ndio hilo au laa.

  • @rukiaminja5540
    @rukiaminja5540 3 года назад +5

    Magari ya kuzimu kabisa hayo

    • @winniewairimu3822
      @winniewairimu3822 3 года назад

      Bora kabsa umesema ukwelii wako kama Mimi nimeona hivyohivyo

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 года назад

      Yaani ww ndo umeongea neno, Gari linaogopesha mwenye gari nae ameniogopesha mhhh

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 3 года назад +13

    Muonekano wagari tu nikama jeneza sasa ukisema pikiniki misikuelewe

  • @annahpsimon1156
    @annahpsimon1156 3 года назад +17

    Tutaona mengi Mwaka huu 😎

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 3 года назад +2

    Gari zuri kwa kubebea maiti lakini fridge hiyo hiyo ya vinywaji wakat wa picnic na na hiyohiyo kutunzia maiti! Hapa haijakaa vizuri.Hata wanaokodi kwa ajili ya picnic wako vizuri mitano Tena ila Mimi hata mmoja hapana

    • @eugeneurassa5301
      @eugeneurassa5301 Год назад

      Hahahahahahshdhhghhhhhjjjjjjjjhhhhbbhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjjjjjjjjjjn haaaaaaaaa!!!! Jamani picknic i? na soda?

  • @EllishaJames
    @EllishaJames 3 года назад +6

    Picnic na maiti wapi na wapi?

  • @eliamtambo6655
    @eliamtambo6655 Год назад +1

    Njombe pia nimeiona gari kama hii..

  • @MasterRegan
    @MasterRegan 3 года назад +12

    Usiseme hamna lingine sema wewe hujaliona ila mimi nimeliona lingine lipo pale kwenye yard ya magari fire upande wa kulia kama unatokea magomeni mapipa.

    • @fadhiltave1359
      @fadhiltave1359 3 года назад

      Hakika ila kama saiz halipo hv

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yeaaah upo sawa kk

    • @wardamohd3721
      @wardamohd3721 3 года назад +1

      Yeah hata Mimi nimeliona ila in dogo si Kama hili kubwa

    • @eliamatinya4557
      @eliamatinya4557 3 года назад +2

      Ile magomeni ni hiace, hii ni Canter...

    • @bakari-si1pw
      @bakari-si1pw 3 года назад

      Kigamboni pia lipo ukitokea ferry kulia ukipita kwa mr kuu imepaki muda mlifu hapo

  • @saramuna1173
    @saramuna1173 3 года назад +3

    Duh... picnic na maiti vinachanganywa vipi nawakati muundo wa gari ni kama jeneza kabisa

  • @rehemshehoz8704
    @rehemshehoz8704 3 года назад +4

    Hiyo lamd ikes nmekufa ningizwe kwa bahat mbay lkn hvhvh siwez ingia hat kwa bure

  • @yustinhhari5085
    @yustinhhari5085 3 года назад +1

    Kiukweli juzi nimeona dodoma nlijua kuwa ni ya kubeba maiti

  • @lowasalesirai9504
    @lowasalesirai9504 3 года назад

    Hilo gar Lina sura mbaya

  • @kelsamtv5529
    @kelsamtv5529 3 года назад

    Honger

  • @anthonyluhumbika4693
    @anthonyluhumbika4693 3 года назад +4

    Duh!,Gari linatisha unaweza ukakimbia.

  • @bungalafestor
    @bungalafestor 5 месяцев назад

    Maisha yako kasi sana sahz iko Mbeya.

  • @erickmweta8215
    @erickmweta8215 3 года назад +2

    Picnic kwa gari hili hapana 🙌🙌

  • @badrutwaha1918
    @badrutwaha1918 3 года назад +4

    Mwenye nalo wanaendana vile

    • @alexmgusi2534
      @alexmgusi2534 3 года назад

      😂😂😂

    • @witneyjerry1293
      @witneyjerry1293 3 года назад

      😂😂😂

    • @francisosward6930
      @francisosward6930 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umeni vunjambavu Alo Aise Bongo sihami

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojl

  • @benithabuberwa1553
    @benithabuberwa1553 3 года назад

    Hatarii sana

  • @katemboyamotomoto420
    @katemboyamotomoto420 3 года назад

    Mtihani

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 3 года назад +2

    Aiseeee hii gari yenyewe tu inatisha kabla hajatuambia ni gari ya nini teyari inajitambulisha pale juu ya gari kuna muundo kama wa jeneza kwa hiyo inajulikana ni gari ya kusafirisha maiti wala siyo ya kwenda picnic.

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 года назад +7

    Hii nchi sijui waandishi wataelimika lini

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 3 года назад +1

      hususani huyu jamaa nimemfatiliaga kazi zake miyayusho sana Millard amfanyie 8nterview tena 😂😂

  • @joycekalembo2225
    @joycekalembo2225 3 года назад +3

    Vipi k vant au nyagi tunaweza weka ktk friji la kuhifadhia maiti tukilikodi ktk picnic?!!

    • @yunyun799
      @yunyun799 3 года назад

      😂😂😂😂

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 3 года назад +2

    Gari zingine ni za ngu vu za giza.

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +13

    Kubeba maiti na picnic ni vitu tofauti , labda iwe hoyo party inaenda sambamba yaani funeral celebration kinyume na hayo hii gari ni ya funeral only .

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 3 года назад

      😂😂

    • @othmanali7408
      @othmanali7408 2 года назад

      Mbona izo nyengine tunazopanda zinabebewa maiti na sisi tunapanda au hujui ilo ?
      kuna canter Fusso Carry zinakodiwa zinabeba maiti na sisi tunapanda .wacha iyo uyo maiti ndo sisi tunamshika nakumvisha na kmfukia au pia hujui ?

  • @fredrickyayambo206
    @fredrickyayambo206 3 года назад +1

    Mtangazaji kashamaliza story yte kwenye intro yani

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 3 года назад +1

    Hahaha namuona mzee Mboroo
    Gari ya mtaani kwetu huku sanya juu ni special kwaajili yakubebea maiti nahuwa inakaaga hospital ya KCMS

    • @msowamhokole7714
      @msowamhokole7714 3 года назад +1

      Anaitwa mamboro ama nimesoma vibaya wachaga mna majina ya ajabu

    • @gb-one6435
      @gb-one6435 3 года назад

      Ndio ndio jina la ukoo wake no ndio jina analotumia maarufu

  • @dullahshaaban9050
    @dullahshaaban9050 3 года назад

    Gari la Freemason Hilo ....✍️✍️✍️✍️

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 3 года назад +1

    Hv wew Baba upo sawa kweli??

  • @sigiwemwazembe6950
    @sigiwemwazembe6950 2 года назад

    Muteule,muchungaji,.mwAkihA ba

  • @alfanishabani1928
    @alfanishabani1928 3 года назад +4

    Lenyewe kama jeneza

  • @juliusphabian6336
    @juliusphabian6336 3 года назад

    Asee niliiona mosh sanya...duuuuh! noma sana

  • @rukiasalum5671
    @rukiasalum5671 3 года назад

    Jamani mume mume Mimi nataka wanaume wa aina hi wabunivu na wenye vitu vipya kama upo single tuunganishe babaaaa napitikana ugaiyabuni Dubai 🙏

  • @silentcry254
    @silentcry254 3 года назад +2

    Hapo kwa picnic Mimi niondoe, dah!!! 😂😂😂

  • @munadlebobo5234
    @munadlebobo5234 3 года назад +14

    Gari lenyewe lakaa jeneza 🙄

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 3 года назад

    Hii chuma Kali kwa maiti Kali Sana sema nimeipenda sana

  • @edithashirima7278
    @edithashirima7278 3 года назад +2

    Ndio ufreemason wenyewe huu wallah Tena 😥😥hata kwa bure silipandi aise

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 года назад +4

    Subhannallah, mtihani kwakweli dah!

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 3 года назад

      Njoo tukakodishe twende picnic😂 @saumu

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 3 года назад +1

      @@alfanm.8221 Gari lenyewe tu lanitishia Amani, sithubutuh hata kwa lift tu,🙌😜

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 3 года назад

      @@saumusalimuhassan2499 😂😂😂😂 mbona mm nipo hakuna kitakachokutokea.

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 года назад

      Saana my

    • @subirasamweli8797
      @subirasamweli8797 3 года назад

      😂😂

  • @majesticnaturesafari118
    @majesticnaturesafari118 3 года назад

    Dah! Asante Nkya

  • @sylviermuhonjah8411
    @sylviermuhonjah8411 3 года назад +8

    Nimewahi ona mfano huo Lebanon kwa pikinic tuu

    • @evalineemmanuel8178
      @evalineemmanuel8178 3 года назад +2

      huo ndio mwisho wadunia yn mtu anaenda nunua gr km hiyo ili wat wafe wampe kz

  • @nancyhassan8290
    @nancyhassan8290 3 года назад +4

    Mi mwenyewe kunasiku niliiona moshi moja kwa moja nilijua nigari ya kubebea maiti, ila linaogopesha.

    • @irynmasanja1498
      @irynmasanja1498 Год назад

      Mm pia.. nililiona moshi mwez wa 12 mwaka jana

  • @samuelleonse9398
    @samuelleonse9398 2 года назад

    Safi sana kazi iendelee

  • @siapeter8125
    @siapeter8125 3 года назад +3

    hiv naanzaj kupanda hapo nikiwa mzma lbda niwe nisha vutaaa kwakweli ujasir huu sna

  • @walterkissima7364
    @walterkissima7364 3 года назад +3

    kwahiyo wakati wa picnic, vyakula na vinywaji tunahifadhi kwa friji visiharibike

    • @jamesbayyo8466
      @jamesbayyo8466 3 года назад

      watalii wasimplfy maisha amna haja ya magari ya tours

  • @hedwigaalfred2681
    @hedwigaalfred2681 3 года назад +2

    Hata Moshi nililiona pale GODMARK, barabara ya kwenda KCMC.

  • @josephsngwegwe8767
    @josephsngwegwe8767 3 года назад +1

    njooni DIT yapo mengi tu....asiseme liko peke ake😂😂😂 karibuni DIT hapa

    • @kanaelykombe4011
      @kanaelykombe4011 3 года назад

      Mwenyewe nilishaliona dar kurasin tulioeleka mwil maduka mawil temeke Tena Kama miaka 4 hivi imeisha

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 3 года назад +1

    Linaogopesha sana hili gari

  • @humaur2739
    @humaur2739 3 года назад +4

    Baba hivi hii sio Canter wameimodify ikawa ka Basi?

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 года назад

      Ni canter hiyo

  • @josekaliyaya1948
    @josekaliyaya1948 3 года назад

    Hilo gari liko kcmc

  • @saramss7262
    @saramss7262 3 года назад

    Hongereni Ayoo habari za uwakika kabisa

  • @tujambwambo606
    @tujambwambo606 2 года назад

    Kwel linatisha jman 😳😳😳NMeliona leo nkagoogle😂

  • @samrecordvwawa9133
    @samrecordvwawa9133 3 года назад

    Mbona gari yenyewe tuu kama jeneza mimi siwezi panda gari hiyo

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 3 года назад +1

    Mko juu ayo

  • @godfreycharles6322
    @godfreycharles6322 3 года назад

    Mzee baba ilipitaa manyara hapaa tuliionaa

  • @officialwagetto4006
    @officialwagetto4006 3 года назад +6

    Ila zur balaaaaaa

  • @kevoowizzy12
    @kevoowizzy12 2 года назад

    Nimeshaendesha Sana Hii Gar Pale Njia Panda Himo Nikiwa Napta Nayo Wananiitaga Faru John

  • @mcmchokozi_1770
    @mcmchokozi_1770 3 года назад +15

    nimeiona leo doDODOMA ila inavutwa

  • @Zilizopendwa_60s
    @Zilizopendwa_60s 3 года назад +2

    Mwenye gari anafanana na gari utazani Ni mipacha" yaan vyote vinatisha😥

  • @nkamangi4707
    @nkamangi4707 Год назад

    Kaka Idriss ha ha mwamba wa KCMC

  • @faridimansuri2547
    @faridimansuri2547 3 года назад

    Hongera kwa gari

  • @chaliwachuga519
    @chaliwachuga519 3 года назад +3

    Yani wewe boss unatoa pesa yako unaenda kununua gari linatisha kiasi hicho

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 3 года назад

    Hii gari iko hapa kcmc tena inabebaga maiti

  • @gwauswazofficial3972
    @gwauswazofficial3972 2 года назад

    Waarusha lazima washangae sana Kwa kuwa wapo pembeni na barabara yaendayo Kongo lakini Mimi nipo mlandizi mkoa wa pwani iyo gari nishaiyona na mengine kama hayo Zaid ya 60 ambayo ni IT.yanaenda nje kikubwa wajue hiyo gari ni kwaajili ya miili tu wasidanganyike Kwa matumizi mengine huo ni uchulo ..yapo dizain nyingi mpaka Costa iliyo umbwa kama hiyo zinapita Kaa mkoa wa pwani ushangae magari ya wakongo yakisafirishwa kama I T..😀😀😀

  • @salumtall1785
    @salumtall1785 3 года назад +1

    Nzur sana

  • @chakubanga8053
    @chakubanga8053 2 года назад

    Gari inatisha mmmh!

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 3 года назад +1

    iyo gar ni yakubeba maiti acha kufoc mambo mengne

  • @giftpamelagiftpamela4494
    @giftpamelagiftpamela4494 2 года назад +3

    😭😭😭😭eeee mungu wangu

  • @desdelius
    @desdelius 3 года назад

    Picnic!!!! Acheni utani picnic na gari la marehemu !!!

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 3 года назад +6

    68 pamoja na ushuuru au ?

  • @stevenngakonda6483
    @stevenngakonda6483 3 года назад +2

    Nimeliona leo hilo gal babat manyala

  • @elizabethmathayo5290
    @elizabethmathayo5290 3 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣 duuuh,jana nmeiona ikipita dodoma na rafiki zangu tukajisemea kua ni ya kubeba maiti, rafiki angu mmoja akasema haiwez kununua hata,hata bure hapokei loooh.tulilishangaa kwel

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 3 года назад +7

    Achague moja picnic au maiti

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw 3 года назад +8

    Sasa Gari Libebee Maiti alafu na Picnic inaendaje hiyoo Jamani 🤔🤔🤔🤐

  • @florencegregory8932
    @florencegregory8932 3 года назад +1

    Mmmh

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 3 года назад +1

    Dah

    • @jumbeselemani569
      @jumbeselemani569 3 года назад

      Acha uongo wee mzee ata hapa dar lipo tena limepita sasa hiv hapa linapeleka mwili usitudanganye banaa yapo mengi tu

  • @fatmamirraj1187
    @fatmamirraj1187 3 года назад +1

    Gari ni gari lakini hili gari ni noma innocent atapanda na guilty atapanda😭😭😭😭😭

  • @prossonassoro525
    @prossonassoro525 Год назад

    Cwezi kupanda kwa kweli

  • @ymusic803
    @ymusic803 3 года назад +2

    Kama unaenda picnic ya kuchokoza wanyama wakali nimuhimu kwenda na hilo gali 😅😅😅😅

  • @waziriomar1414
    @waziriomar1414 Год назад

    Brother lichagulie Kaz moja hiyo gari mkuu yaani ubebee maiti utubebe na siye tulie hai

  • @Ronaldo-2c
    @Ronaldo-2c 2 года назад +1

    Millard ayo nakukubali sana Kaka sijui naweza pata namba zako tufanye biashara