Serikali yahitimisha mgogoro wa ardhi KKKT na wananchi wa Njombe, Waziri mbula atoa maagizo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Serikali imehitimisha rasmi mgogoro wa muda mrefu baina ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya kusini Njombe na wananchi wa kijiji cha Magoda na mtaa wa Lunyanywi katika halmashauri ya wilaya ya Njombe mkoani Njombe.

Комментарии •